logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Jamii
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Idadi ya wakimbizi imepindukia watu milioni 100 kwa mara ya kwanza

Mkuu wa Shirika lenye kuwahudumia wakimbizi duniani, UNHCR Filippo Grandi amesema wa mara ya kwanza vita vya Ukraine vimeongeza idadi ya watu waliolazimishwa kuyakimbia makaazi yao duniani na kupi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Ajali Imetokea Morogoro Baada ya Gari Kugonga Behewa la Treni

AJALI mbaya imetokea inayohusisha gari aina ya TOYOTA PICKUP lenye namba ya usajili T 840 DQF lililokuwa likitokea maeneo ya Tumbaku kuelekea Msamvu kugonga Behewa la Treni lililokuwa likitokea Ki . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Auawa kwa Kupigwa Risasi Akivua Samaki Eneo la Mgodi

MWANAUME aliyejulikana kwa jina la Hamis Mayunga (27) mkazi wa Kijiji cha Dulisi wilayani Kishapu ameuawa kwa kupigwa risasi na anayedaiwa kuwa Mlinzi wa Kampuni ya Ulinzi ya Sam Security aitwaye . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

New Zealand kutoa mafunzo kwa wapiganaji wa Ukraine

Serikali ya New Zealand imetangaza kwamba itatuma nchini Uingereza takriban wakufunzi thelathini wa kijeshi kuwafunza wapiganaji wa Ukraine katika kukabiliana na uvamizi wa U . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Kundi la waasi la M23 lashtumiwa kushambulia walinda amani wa Umoja wa mataifa

Afisa wa ngazi ya juu wa Umoja wa mataifai amelishtumu kundi la M23 linaloendesha harakati zake nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa kushambulia walinda amani wa tume ya Umoja wa mataifa . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

Mahakama ya Pakistan yaamuru uchunguzi kuhusu kukamatwa kwa waziri wa zamani

Mahakama Kuu ya mji mkuu wa Pakistan, Islamabad imeamuru uchunguzi ufanyike juu ya kitendo chenye utata cha kukamatwa kwa aliyekuwa waziri wa haki za binadamu wa nchi hiyo Shireen Mazari kwa tuhum . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Jeshi la Mali limezuia vikosi vya UN kufanya doria kwenye kiini cha ghasia za wanajihadi

Jeshi la Mali lilizuia vikosi vya Umoja wa Mataifa kufanya doria katika mji wa kati wa Djenne kiini cha ghasia na harakati za wanajihadi katika Sahel msemaji wa UN alisema Alhamis tukio la karib . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Serikali ya Somalia inarudisha fedha ilizozikamata kutoka ndege ya UAE

Serikali ya Somalia imetoa dola milioni 9.6 ilizozikamata kutoka kwenye ndege ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mjini Mogadishu miaka mine iliyopita hatua inayolenga kurekebisha uhusiano ambao . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Jenerali Tefera Mamo akamatwa

Aliyekuwa kamanda vikosi vya Amhara nchini Ethiopia, jenerali Tefera Mamo, anazuiliwa katika jijini la Bahir Dar, baada yake kutoweka kwa mazingira yasiyoeleweka siku ya jumatatu jiji Addis Ababa. . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

PANYA ROAD WAPEMA ONYO.

Mawaziri Dkt. Dorothy Gwajima wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum na Hamadi Masauni wa Mambo ya Ndani ya Nchi, wameuambia umma kuwa, vijana wadogo wanaovamia watu na kuwaka . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

WATALIBANI WATANGAZA KUSITISHA MAPIGANO.

Wataliban wa Pakistan wamesema wataendeleza muda wa kusimamisha mapigano na serikali ya Pakistan hadi mwishoni mwa mwezi huu. Wajumbe wa pande hizo mbili walikutana chini ya unyekiti wa serikali y . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Utafiti mpya wagundua uchafuzi wa mazingira waongoza kusababisha vifo milioni 9 kwa mwaka

Utafiti mpya umegundua kuwa uchafuzi wa mazingira wa aina zote ndio chanzo cha vifo vipatavyo milioni 9 kwa mwaka duniani kote. Idadi hiyo ya vifo imehusishwa na sababu za hewa chafu kutoka kwenye . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Mbunge akamatwa kwa kubaka

Mbunge wa Chama cha Conservative ambaye jina lake halijatajwa amekamatwa kwa tuhuma za ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia. Polisi wa Metropolitan mjini London wameithibitisha kuwa mwanamume mmoja a . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Mapacha Wenye Miaka 9 Mkoani Arusha Wanaishi kwa Kula Magodoro

Mapacha wenye umri wa miaka 9 mkoani Arusha wanaoishi huku wanakula magodoro, wanaomba msaada ili wakatibiwe. Mama mzazi wa watoto hao, Joyce Mrema amesema tatizo lao lilianza wakiwa na umri wa m . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Hospitali Yakanusha Madai ya Maiti ya Msanii Osinachi Kuimba Ekwueme usiku.

Hospitali ya Kitaifa ya Abuja, siku ya Jumatatu, Mei 16, ilikanusha madai kuwa maiti ya mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili, Osinachi Nwachukwu, ilikuwa ikiimba ‘Ekwueme’ katika chumba cha kuhifa . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

WATU WAWILI WANASWA WAKISAFIRISHA POMBE HARAMU KWA KUTUMIA GARI LA KUBEBEA MAITI.

Watu wawili wametiwa mbaroni kwa madai ya kusafirisha pombe haramu iliyovishwa kama maiti kutoka eneo la Magharibi mwa Kenya hadi Nairobi wakitumia gari la kubebea maiti.Wawili Wanaswa Wakisafirisha C . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Rais Biden na mkewe wametembelea eneo la shambulizi la risasi huko Buffalo, New York

Rais wa Marekani Joe Biden alitangaza Jumanne kwamba tukio lililotokea mwishoni mwa wiki la shambulizi la risasi kwa umma katika mji wa Buffalo kwenye jimbo la New York ambapo kijana mzungu aliy . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

Binti Ampeleka Baba Mkwe Mahakamani.

Halima Yunusa amempeleka baba mkwe katika Mahakama ya Kiislamu Islamic (Sharia Court) katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria kwa madai ya kukataa aolewe na mpenzi wake Bashir Yusuf. Taarifa iliy . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

HRW yalaani ongezeko la ghasia dhidi ya raia

Nchini Burkina Faso, ukatili dhidi ya raia umeongezeka kwa kasi katika muda wa miezi tisa iliyopita, kulingana na uchunguzi wa hivi punde wa shirika la kimataifa la haki za b . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

Ukraine yaongeza juhudi za uokozi Azovstal

Juhudi zinaendelea kuwaokoa wapiganaji wa mwisho wa Ukraine ndani ya kiwanda cha chuma cha pua cha Azovstal katika mji ulioharibiwa na vita wa Mariupol. Hii ni baada ya maafisa wa Ukraine kusema w . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

Machafuko yazuka Jerusalem kufuatia mazishi

Polisi wa Israel walifyetua gesi ya kutoa machozi na risasi za mpira kuyatawanya makundi ya waandamanaji Wapalestina jana Jumatatu kufuatia machafuko yaliyotokea baada ya mazishi ya kijana wa Kipa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 16, 2022

Vikosi vya Ukraine vyadai kuwa vimedhibiti tena enero la mpakani Kharkiv

Katika siku ya 82 ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine, Jumatatu hii, Mei 16, Ukraine imedai kuwa udhibiti wa eneo la mpakani huko Kharkiv kutoka mikononi mwa Urusi. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 16, 2022

Raia waandamana kutaka mabadiliko

Raia wa Tunisia wameandamana katika jiji la taifa hilo Tunis, kupinga hatua ya rais Kais Saied kuendelea kujilimbikizia madaraka na kupanda kwa gharama ya maisha. Vuguvugu linaloong . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • May 16, 2022

Wanafunzi 76 wanusurika kifo bweni likiteketea Kibaha

Wanafunzi 76 wa shule ya Sekondari ya Wasichana Mkuza mjini Kibaha wamenusurika kifo baada ya moto kuteketeza bweni la shule hiyo.Moto huo ambao uliozuka ghafla umeteketeza bweni la shule hiyo ina . . .

Kurasa 42 ya 53

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 22 masaa yaliopita

GGML YATOA TAULO ZA KIKE ZAIDI YA ELFU 80 GEITA

Habari
news
  • 24 masaa yaliopita

NEC " Hakuna sheria inayoruhusu kura kupigwa mapema "

Habari
news
  • 24 masaa yaliopita

Akutwa amefariki kwenye dimbwi la maji

Habari
news
  • jana

Polisi Mtwara wamkamata Ebitoke katika fukwe za bahari

Top Stories
news
  • jana

RC KIHONGOSI AKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA NCHINI TANZANIA, WAKUBALIANA KUIMARISHA UTALII NA SEKTA YA AFYA

Habari
news
  • jana

Waititu apawe agizo la kuleta dhamana ya Sh53 milioni ili atoke jela

Top Stories
news
  • jana

Nyongeza ya mishahara ya walimu yageuka kuwa masikitiko

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • GGML YATOA TAULO ZA KIKE ZAIDI YA ELFU 80 GEITA

    • 22 masaa yaliopita
  • NEC " Hakuna sheria inayoruhusu kura kupigwa mapema "

    • 24 masaa yaliopita
  • Akutwa amefariki kwenye dimbwi la maji

    • 24 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode