logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 16, 2022

Khalwale afukuzwa kikaoni kwa kuvumisha mwaniaji wa ODM

VURUGU zilitokea katika mkutano wa kampeni wa Muungano wa Kenya Kwanza katika Kaunti ya Kakamega, baada ya wafuasi wa Seneta Cleophas Malala kumfurusha seneta wa zamani, Dkt Boni Khalwale, wakimsu . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

AFANYA MAZISHI YA KUMDHIHAKI MKE WAKE

Mwanamume mmoja katika kijiji cha Emakhwale, kaunti ya Kakamega amewaacha wakazi wa eneo hilo na mshangao baada ya kufanya mazishi ya kejeli ya mkewe waliyeachana naye.Mwanaume Kakamega Afanya Mazishi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Aliyetuhumiwa kumbaka mama yake ahukumiwa jela miaka 30 na kulipa fidia Milioni moja’

Jeshi la Polisi Mkoani Iringa limefanikiwa kumkamata Mtuhumiwa na Mfanyabiashara Kaloli Mkusa mwenye umri wa miaka 30 ambaye alihukumiwa kwenda Jela miaka 30 na fidia ya shilingi million moja . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Mwanamke asakwa kwa madai ya kuhepa na gari la mpenzi

POLISI wanamsaka mwanamke aliyetoroka na gari la mpenzi wake baada ya wawili hao kuwasili katika mji wa Naivasha kubarizi. Kulingana na rekodi za polisi, wawili hao waliwasili Naivasha Jumamosi kut . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Waasi washambulia kusini/mashariki mwa Ethiopia

Maafisa wa serikali ya Ethiopia wamesema waasi wameushambulia mji wa kusini/mashariki wa taifa hilo wa Gambella na kusababisha makabiliano ya risasi yaliodumu kwa masaa kadhaa hadi vikosi vya usal . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • June 14, 2022

Ukimtukana Mtu Mtandaoni Jela Mwaka Mmoja

Bunge la Japan limepitisha mswada wa sheria mpya ya kudhibiti matusi mitandaoni ambayo inatarajiwa kusainiwa na Rais wa nchi hiyo ambayo inatoa hukumu ya mwaka mmoja jela au faini ya Yen 300,000 a . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 14, 2022

Zelensky ataka nguvu ya Ujerumani katika vita vyake na Ukraine

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ametoa wito kwa Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz kuchukua msimamo ulio wazi zaidi katika mzozo wa taifa lake na Urusi.Akizungumza na kituo cha televisheni cha Uj . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • June 14, 2022

Mahakama ya Senegal imemuhukumu kiongozi wa waasi kifungo cha maisha jela kwa mauaji

Mahakama nchini Senegal Jumatatu ilimhukumu kiongozi mtoro wa waasi na wanaume wengine wawili kifungo cha maisha jela kwa mauaji pamoja na uasi wa kutumia silaha kutokana na mauaji yaliyogharimu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 14, 2022

Raia takribani 100 wameuawa kaskazini mwa Burkina Faso

Watu wenye silaha waliwaua takribani raia 100 katika wilaya ya mashambani kaskazini mwa Burkina Faso karibu na mpaka na Niger mwishoni mwa wiki chanzo cha usalama kilisema. Washambuliaji waliw . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

Watu kadhaa wauawa na maelfu kuyahama makazi yao kufuatia shambulio

Nchini Burkina Faso, watu wenye silaha waliwashambulia wakazi wa eneo la Seytenga, karibu na mpaka na Niger usiku wa Jumamosi Juni 11 kuamkia Jumapili Juni 12, shambulio amba . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

DRC inaishutumu Rwanda kuwasaidia waasi wa M23 katika mashambulizi ya Bunagana

Mamlaka katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) ilisema wanajeshi wa Rwanda wakiwa na silaha walisaidia mashambulizi yanayofanywa na kundi la waasi wa M23 siku ya Juma . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

Vikosi vya Russia vimeshambulia kiwanda cha kemikali kilichopo Ukraine

Vikosi vya Russia vilishambulia kwa mabomu kiwanda cha kemikali kinachohifadhi mamia ya wanajeshi na raia katika mji wa Sievierodonetsk huko mashariki mwa Ukraine siku ya Jumapili lakini gavana . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

Baada ya Panya Road Dar, Panya Kalowa waibuka Dodoma

Mbunge wa Viti Maalum, Fatuma Toufiq ameibua sakata la kikundi cha uhalifu maarufu Panya Kalowa ambacho amesema kinawasumbua wananchi wa Kata ya Dodoma Makulu jijini Dodoma. Toufiq ametoa kau . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 12, 2022

Mwili wa padre waokotwa Mbeya

Mwili wa padre wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mbeya wa Shiriki wa Wasionari wa Afrika (White Father), Michael Samson umeokotwa jijini Mbeya.Mwili huo umeokota katika mto Meta meaneo ya Sabasaba j . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 12, 2022

Kiongozi wa upinzani nchini Venezuela Guaido ashambuliwa

Kiongozi wa upinzani nchini Venezuela aliyejitangaza kuwa rais wa mpito Juan Guaido, ameshambuliwa kimwili hapo jana.Video zilizochapishwa katika mitandao ya kijamii na tovuti ya kituo cha habari . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 10, 2022

Ukraine yasema imeyapiga maeneo ya wanajeshi wa Urusi mkoani Kherson

Ukraine imesema leo kuwa imeyapiga maeneo ya jeshi la Urusi katika mkoa wa kusini wa Kherson ambako jeshi la Kyiv linapambana kulikomboa eneo lililokamatwa na wanajeshi wa Moscow katika siku za mw . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 10, 2022

Watu 7 wauawa katika shambulio dhidi ya kambi ya wakimbizi wa ndani mashariki mwa DRC

Watu 7 waliuawa katika shambulio kwenye kambi ya waliyohama makazi yao katika eneo la mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo lenye ukosefu wa usalama, polisi wamesema Alhamisi †. . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • June 10, 2022

Watu 19 wafa ajali ya basi Mafinga

Watu 19 wamefariki dunia baada ya basi dogo aina ya Costa kugongana kugonga lori lililokuwa limeharibika karibu na eneo la Changarawe, Mafinga mkiani Iringa.Akizungumza i leo Ijumaa Juni 10, 202 . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Hatima ya Donbass iko kwenye jiji la Sievierodonetsk, kulingana na Zelensky

Katika siku ya 106 ya uvamizi wa Urusi nchini Ukraine, Alhamisi Juni 9, fuata moja kwa moja taarifa za hivi punde kuhusu mzozo huo. . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

mwanamke wa India amtusi Mtume Muhammad

India inakabiliwa na shinikizo la kidiplomasia kuhusu matamshi yenye utata yaliyotolewa na afisa w angazi ya juu wa chama tawala cha nchi hiyo - Bharatiya Janata Party (BJP) ambaye alimtusi Mtu . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Miili yapatikana mjini Mariupol, huku hofu juu ya mzozo wa chakula ikiongezeka

Mamlaka nchini Ukraine imesema wafanyikazi wamepata miili zaidi ya watu kutoka vifusi vya majengo yaliyoharibiwa kwa vita mjini Mariupol, wakati kukiwa na wasiwasi wa kuongezeka kwa mzozo wa chaku . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Wagambia waomba rais wa zamani Jammeh arudishwe nchini

Makundi ya waathirika nchini Gambia Jumatano yameitaka serikali kuchukua hatua madhubuti kumrudisha rais wa zamani Yahya Jammeh wiki mbili baada ya serikali hiyo kuahidi kumfungulia mashtaka kwa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Wanandoa wafariki baada ya kurudiana

MTU na mkewe waliokuwa wametengana kwa miezi mitatu walifariki saa chache baada ya kurudiana pikipiki walimosafiria ilipogongana na lori kwenye msafara wa kampeni kaunti ya Meru. Jackson Mawira a . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

MWALIMU WA BIOLOJIA AKIRI KUTOA MAFUNZO YA UGAIDI

Mwanamke Mmarekani amekiri kuongoza batalioni ya wanawake pekee ya wanawake wa kile kinachoitwa kikundi cha Islamic State nchini Syria, pamoja kupanga njama za mashambulizi katika ardhi ya Marekani . . .

Kurasa 41 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 11 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 11 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 11 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode