logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Bungeni
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Mbunge awacharukia wanaodai CCM iliiba kura

Sakata la madai ya wizi wa kura limeibuka bungeni ambapo Mbunge wa Makambako (CCM), Deo Sanga amesema wananchi wamewapa ushindi wa kishindo kutokana na kazi mbalimbali zinazofanywa.Sanga ameyasema . . .

Jamii
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Mtuhumiwa aogeshwa maji ya tope,achezea kichapo hadharani

Kijana ambaye hajafahamika haraka jina lake anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 25 mpaka 30 mkazi wa Igoma halmashauri ya mji wa Njombe amenusurika kifo kutoka kwa wananchi wenye hasira kal . . .

Mauaji
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Mtoto Auawa Kwa Kumwagiwa Maji ya Moto na Bibi Yake Lyabukande Wilaya ya Shinyanga

Mtoto aitwaye Joseph Juma mwenye umri wa miaka minne mkazi wa kijiji cha Lyabukande kata ya Lyabukande wilaya ya Shinyanga ameuawa kwa kupigwa na fimbo kisha kumwagiwa maji ya moto ya kupikia ugal . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Waasi wa Houthi wakubali kuacha kuwatumia watoto kama wanajeshi

Umoja wa Mataifa umesema waasi wa Houthi wameamua kutowatumia tena watoto kama wanajeshi. Waasi hao wamewatumia maelfu ya watoto kupigana katika vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa kwa mi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Israel yaidungua roketi iliyotokea Gaza

Jeshi la Israel linasema limedungua roketi iliyorushwa kutoka Ukanda wa Gaza jana. Hili ndilo shambulizi la kwanza la aina hiyo kufanyika baada ya miezi kadhaa wakati ambapo mivutano inazidi kuong . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

SHINDA YA MAJI YALETA KIKWAZO KWA WANAOTARAJIA KUOA

Baadhi ya vijana katika Kijiji cha Muungano wilayani Chemba mkoani Dodoma, wamedai kuwa wanakabiliwa na changamoto ya kukataliwa kuoa katika vijiji vya jirani kutokana na shida ya maji inayowakabi . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Wanajeshi wawili huko DRC wameuwa raia 15 na kanali wa jeshi

Wanajeshi wawili waliokuwa wamelewa wamewaua kwa risasi watu 15 katika mashambulizi tofauti kwenye eneo tete la mashariki mwa Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo (DRC) mamlaka ilisema Jumatatu. Mwa . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

MAFURIKO YA AFRIKA KUSINI YAWA JANGA LA KITAIFA

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa Jumatatu ametangaza kuwa mafuriko mabaya yanayolikumba taifa hilo ni janga la kitaifa, na kuonya kwamba ukarabati wa huduma za msingi utachukua muda mrefu. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Ukraine yaapa kutosalimu amri kwenye mji wa Mariupol

Ukraine imeapa kupambana hadi dakika ya mwisho katika mji uliozingirwa wa Mariupol baada ya kumalizika kwa muda uliowekwa na Urusi kwa kuwataka wapiganaji wake kuweka chini silaha na kujisalimisha . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Watu 47 Wafariki Nchini Afghanistan Baada ya Shambulio la Anga Kutoka Pakistan

JUMLA ya watu 47 wameripotiwa kufariki nchini Afghanistan katika majimbo ya Khost na Kunar yanayopatikana mashariki mwa nchi hiyo na hiyo ni baada ya shambulio la anga lililotekelezwa na majeshi ya Pa . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

FARDC yapoteza wanajeshi watatu waliouawa na mwenzao Bambu

Watu wanane wakiwemo wanajeshi watatu wameuawa katika mji wa Bambu, Kilomita 40 kutoka mji wa Bunia, mkoani Ituri baada ya kupigwa risasi na mwanajesha aliyekuwa amelewa.&nbs . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Marekani Ya fyatua risasi wikiendi ya Pasaka

Maafisa wa jimbo la South Carolina nchini Marekani wanasema wanachunguza tukio la ufyatuaji risasi katika klabu moja katika kaunti ya Hampton mapema Jumapili tukio ambalo lilisababisha watu tisa . . .

Dini
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Vurugu zazuka kanisani Mbeya, Polisi wakamata viongozi

Wakati mgogoro ukizidi kufukuta kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde, leo baadhi ya waumini wa usharika wa Mbalizi wamemzuia mchungaji wao, Atupele Mlawa kuingia ka . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Kikosi cha pamoja cha kijeshi kimeua zaidi ya waasi 100 eneo la ziwa Chad

Kikosi cha pamoja cha kijeshi kutoka Nigeria, Niger na Cameroon kilisema Jumapili kwamba kimewaua zaidi ya waasi 100 wa kiislam wakiwemo makamanda 10 katika wiki chache zilizopita huku wakizidis . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Idadi ya watu waliofariki kwa mafuriko Afrika kusini imefikia 440

Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko yaliyotokea Afrika kusini, iliongezeka hadi 440 siku ya Jumapili huku mvua ikipungua na kuruhusu shughuli za uokoaji kushika kasi baada ya moja ya . . .

Jamii
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Vipigo kwenye ndoa tishio jingine kwa familia

Wiki iliyopita simanzi iliwakumba watu wengi barani Afrika, hasa wafuatiliaji wa muziki wa injili baada ya kifo cha muimbaji wa nyimbo za injili Nigeria, Osinachi Nwachukwu (42) kilichodaiwa kuhusishw . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

MWANAMKE ANYWA MKOJO BADALA YA BIA

Huku wengine wakisumbuliwa na uraibu wa pombe na dawa za kulevya, basi kuna wengine ambao wana uraibu wa kunywa mkojo wao. Daah! ama kweli kila soko na wazimu wake.  mwanamke mwenye umri wa miaka . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

MACHINGA APORWA MALI ZAKE MWANZA

Kufuatia Video iliyosambaa mitandaoni ikionyesha Mjasiriamali mdogo wa ndizi akichukuliwa bidhaa zake na mgambo wa Halmashauri, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Innocent Bashungwa amese . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Nigeria yasema shambulizi la anga limeuwa wanamgambo 70

Jeshi la anga la Nigeria limesema limewauwa zaidi ya wapiganaji 70 wenye mafungamano na kundi linalojiita Dola la Kiislamu katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo uliko mpaka na taifa jirani la Nig . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Urusi yawataka wanajeshi wa Ukraine walioko Mariupol kujisalimisha

Jeshi la Urusi limevitolea mwito vikosi vya Ukraine katika mji wa bandari uliozingirwa wa Mariupol kuweka chini silaha na kujisalimisha likionya kutakuwa na "taathira kubwa" baada ya muda uliowekw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Korea Kaskazini yafanya jaribio la makombora chini ya usimamizi wa Kim

Korea Kaskazini imefanya jaribio jingine la aina mpya ya makombora katika tukio ambalo limeshuhudiwa na kiongozi wa taifa hilo, Kim Jong Un, usiku wa kuamkia leo. Taarifa hizo ni kwa mujibu wa shi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Meli ya mafuta yazama pwani ya Tunisia

Meli iliyobeba tani 750 za mafuta ya dizeli ikitokea Misri kwenda kisiwa cha Malta imezama nje kidogo ya pwani ya kusini mashariki mwa Tunisia, lakini maafisa wanasema inawezekana umwagikaji mkubw . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Wakristo duniani washerehea sikukuu ya Pasaka

Mamilioni ya waumini wa dini ya Kikristo duniani leo wanasherehekea sikukuu ya Pasaka kukumbuka kufufuka kwa Yesu Kristo baada ya kusulubiwa msalabani zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Kiongozi wa Ka . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • April 15, 2022

Nyumba Yanusurika Kuungua Baada ya Gari Kuteketea kwa Moto Nje ya Nyumba Hiyo

YUMBA moja mali ya Bw. Rashid Adam mkazi wa Dodoma, imenusurika kushika moto kutokana na gari iliyokuwa imepaki nje ya nyumba hiyo kuteketea kwa moto. Nyumba hiyo iliyoko jirani na jengo maar . . .

Kurasa 41 ya 49

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Siasa
news
  • 6 masaa yaliopita

SABABU ZA HECHE KUNYIMWA UWANJA WA FURAHISHA MWANZA

Michezo
news
  • 6 masaa yaliopita

RASMI CARLO ANCELOTTI KOCHA MPYA BRAZIL

Michezo
news
  • 8 masaa yaliopita

XABI ALONSO KUANZA KUIFUNDISHA MADRID KOMBE LA DUNIA

Burudani
news
  • 9 masaa yaliopita

Foby "Kwenye Lebo unaingia msafi ukitoka mchafu"

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Tume ya Uchaguzi Yatangaza Majimbo Mapya 8 na Kubadili Majina ya Majimbo 12

Siasa
news
  • 12 masaa yaliopita

Katibu wa BAWACHA Kilimanjaro aondoka CHADEMA

Habari
news
  • jana

Rais Samia Aongoza Taifa Kuaga Mwili wa Mzee Cleopa Msuya

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • SABABU ZA HECHE KUNYIMWA UWANJA WA FURAHISHA MWANZA

    • 6 masaa yaliopita
  • RASMI CARLO ANCELOTTI KOCHA MPYA BRAZIL

    • 6 masaa yaliopita
  • XABI ALONSO KUANZA KUIFUNDISHA MADRID KOMBE LA DUNIA

    • 8 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode