Kwa siku kadhaa, makundi ya wahalifu yamekuwa yakifanya biashara hiyo kuelekea nchi jirani ambazo zinakabiliwa na ugumu wa kupata biodhaa hii.Vituo vya mafuta kwenye mipaka ya Nigeria, Benin na . . .
Serikali ipo mbioni kuandaa kuani za kudhibiti bei za dawa nchini na tayari rasimu ya kanuni hizo zimeshawasilishwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya Mhe. . . .
Mashirika ya kiraia pamoja na Madaktari wasio na mipaka MSF mkoani Kivu Kaskazini, wameripoti kuzuka kwa ugonjwa wa kipindupindu katika Gereza kuu la Goma. . . .
SERIKALI sasa inawataka Wakenya kuanza tena kuvaa maski huku wasiwasi ukitanda kuhusu uwezekano wa kuzuka kwa wimbi jipya la maambukizi ya Covid-19. Wizara ya Afya imesema kuwa idadi ya maambukiz . . .
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema mwelekeo wa kipupwe unaotarajiwa kuanza Juni hadi Agosti mwaka huu katika mikoa mitano ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini Magharibi yenye miinuko, in . . .
Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, ambaye pia ni rais wa Senegal anaelekea Urusi ambako amepangiwa kesho Ijumaa kukutana na rais Vladmir Putin. Ziara hiyo inalenga kutafuta namna ya kumshawishi rais P . . .
Marekani imetangaza kuwa balozi Mike Hammer ndiye atakayehudumu kama mjumbe maalum wa Marekani katika eneo la Pembe ya Afrika. Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken amesema katika taar . . .
Tume ya Umoja wa Ulaya ilisema Jumatano kwamba Croatia ilitimiza vigezo vyote vya kujiunga na ukanda wa ulaya na hivyo kufungua njia kwa nchi hiyo kuwa mwanachama wa 20 kutumia sarafu moja hapo . . .
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Waziri wa Nchi (OR-TAMISEMI), Innocent Bashungwa na viongozi wengine wa wizara hiyo wahakikishe kuwa suala la ukusanyaji mapato kwenye Mikoa, Halmashauri n . . .
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kufunguliwa kesi mpya.Sabaya amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatano Juni Mosi saa 11:40 asubuhi. . . .
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipofungua Semina kuhusu Sensa ya Watu na Makazi kwa Wabunge iliyofanyika kwenye ukumbi wa Msekwa, Bungeni jijini Dodoma, Mei 30,2022 . . .
Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau amesema serikali yake itapeleka muswada bungeni kuweka zuio la nchi nzima kwa watu kumiliki bastola pamoja na kupiga marufuku raia wa Canada kuuza au kununua b . . .
Hii ina wahusu madereva, Basi tangazo hili kutoka Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (Latra) linakuhusu sana. Iko hivi, Latra imetangaza kuwa kuanzia sasa itaanza kuwatahini madereva wa magari . . .
Tuhuma za matumizi mabaya ya fedha za umma zilizoibuliwa wiki iliyopita Jijini Arusha na kusababisha watumishi sita kusimamishwa kazi, zinazidi kulitikisa Jiji hilo baada ya idadi ya wanaohusishwa . . .
China leo imeshindwa katika mpango wake wa kutaka mataifa 10 ya Pasifiki yaunge mkono makubaliano yanayojumuisha kila kitu kuanzia usalama hadi uvuvi baada ya baadhi ya nchi katika eneo hilo kuele . . .
Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amekutana na maafisa wake wa ngazi ya juu kujadili kile kinachotazawa kama hatua ya kutaka kupunguza masharti ya kukabiliana na mripuko wa janga la virusi v . . .
Serikali imetoa kibali cha kurekebishwa kwa posho ya kujikimu safarini kwa watumishi wa umma kutosha Sh120,000 hadi Sh250,000 kwa daraja la juu na Sh80,000 hadi Sh100,000 kwa daraja la chini. Ka . . .
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amepokea mapendekezo kutoka kwa wananchi wa tarafa za Loliondo, Ngorongoro na Sale kuhusu namna bora ya kulinda uhifadhi wa maeneo hayo. Mapendekezo hayo yamewas . . .
Wakala wa Mabasi yaendayo Haraka (DART) umependekeza nauli kwa njia jumuishi kuwa shilingi 1,500 kutoka shilingi 800 inayotozwa hivi sasa. DART imetoa mapendekezo hayo katika kipindi hiki a . . .
Rais Joe Biden wa Marekani na mkewe Jill Biden watakwenda mji wa Uvalde katika jimbo la Texas siku ya Jumapili kuzifariji familia na kutoa heshima kwa wahanga wa shambulizi la bunduki shuleni amba . . .
Urusi imesema leo kuwa inatafanya mipango ya kuongeza uzalishaji wake wa nafaka kwa ajili ya kuuza nje katika msimu ujao. Hii ni wakati kukiwa na mzozo wa chakula ulimwenguni uliozidishwa na uvami . . .
China na Urusi zimetumia kura za turufu kupinga azimio la Umoja wa Mataifa juu ya kuiwekea vikwazo Korea Kaskazini. Azimio hilo lilikuwa na lengo la kuiwekea nchi hiyo vikwazo vipya vikali zaidi b . . .
Rais wa Senegal Macky Sall Alhamisi amemfuta kazi waziri wake wa afya, Abdoulaye Diouf Zarr, amri ya serikali imeonyesha, baada ya watoto wachanga 11 kuuawa na moto katika chumba cha hospitali c . . .
Idadi ya watu waliogunduliwa kuwa na maambukizo ya homa ya kima imefikia 219 nje ya nchi ambako ugonjwa huo ni janga, kwa mujibu wa taarifa ya karibuni kabisa kutoka Kituo cha Udhibiti wa Maradhi . . .
Uturuki imerejelea msimamo wake kwamba haitaziruhusu Finnland na Sweden kuwa wanachama wa muungano wa kijeshi wa NATO hadi pale masharti yake kwa mataifa hayo yatakapotimizwa. Baada ya mazungumzo . . .
Wizara ya Ulinzi ya Urusi imeahidi kufunguwa njia salama za kuzipisha meli za kigeni kuondoka kwenye bandari za Bahari Nyeusi. Mkuu wa Kituo cha Udhibiti wa Ulinzi wa Taifa cha Urusi, Mikhail Mizi . . .
Serikali imetangaza kiwango kipya cha kikotoo cha mafao ya mkupuo ambapo sasa ni asilimia 33 kwa mifuko yote ya hifadhi ya jamii.Kauli hiyo imetolewa leo Alhamis Mei 26, 2022 na Katibu Mkuu ofisi . . .
Homaya nyani husababishwa na virusi vya nyani, kirusi wa familia moja ya virusi vya ndui, ingawa sio kali sana na wataalamu wanasema uwezekano wa kuambukizwa ni mdogo.Inatokea zaidi katika s . . .
Rais wa Ufilipino anayeondoka madarakani Rodrigo Duterte, amemkosoa vikali kiongozi wa Urusi Vladimir Putin kwa mauaji ya raia wasio na hatia nchini Ukraine, akisema wakati wote wawili wakitajwa k . . .