Sabaya afikishwa mahakamani Moshi kufunguliwa kesi mpya

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi kufunguliwa kesi mpya.

Sabaya amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatano Juni Mosi saa 11:40 asubuhi.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii