logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Top Story
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

TUTAPIGA MAOMBI MWANZA MPAKA 'PANYA ROAD' WAOKOKE

Kanisa la Angalikana Tanzania Dayosisi ya Victoria Nyanza, limewataka watanzania kumrejea mwenyezi Mungu kwa kuepuka vitendo vya mmomonyoko wa maadili, ili kulinda tunu ya amani, umoja na mshikama . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

Wakurugenzi watano MSD waondolewa

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametangaza kuondolewa kazini Wakurugenzi watano wa Bohari ya Dawa (MSD), kufuatilia malalamiko mengi ambayo yamekuwa yakitolewa na wabunge na wadau wengine kuhusu ute . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

Benki ya dunia kushirikiana na Ethiopia

Benki ya dunia itaipa serikali ya Ethiopia kima cha shilling dolla millioni 300, zitakazotumika kusaidia kujenga upya maeneo yalioharibiwa kutokana na vita hasa katika jimbo . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

Utapia mlo kutatiza watoto katika Bara la Africa.

Umoja wa mataifa umesema idadi ya watoto wanaokabiliwa na utapia mlo inazidi kuongezeka kidunia, hali hii ikichangiwa na janga la Uviko 19, mabadiliko ya tabia nchi na mizozo . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

Kimeumana! Sauti Sol Kushtaki Azimio la Umoja kwa Kutumia Wimbo wao Kuzindua Mgombea Mwenza Martha Karua.

Kundi la wanamuziki la Sauti Sol limetishia kushtaki muungano wa Azimio la Umoja kwa kutumia wimbo wao wa Extravaganza bila idhini yao.Katika taarifa iliyotiwa sahihi na wanamuziki wanne wa kundi hilo . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

Wanajeshi wa Marekani wasiozidi 500 wameidhinishwa kuingia Somalia kukabiliana na Al Shabaab.

Vikosi vya Marekani vilivyopewa jukumu la kukabiliana na kundi la kigaidi la al-Shabab havitalazimika tena kusafiri hadi Somalia kutoka nchi jirani baada ya maafisa kutengua uamuzi ambao maafisa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

Kamala Harris na Blinken wamewasilisha rambirambi kwa familia ya marehemu Rais wa UAE

Makamu wa Rais wa Marekani kamala Harris na waziri wa mambo ya nje Marekani Antony Blinken siku ya Jumatatu waliwasilisha rambirambi kwa familia ya marehemu Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UA . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

Dk Tulia aonya matumizi mabaya ya mafuta magari ya viongozi

Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amewataka viongozi wa Serikali kuzima magari yao wanaposhuka badala ya kuyaacha kwa muda mrefu yakiwa yanaendelea kunguruma huku wao wakiwa wanaendelea na shughuli . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

Ludovick Utouh alia na Katiba

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) mstaafu, Ludovick Utouh amependekeza kufutwa kwa baadhi ya vipengele katika Katiba ya nchi, ili kuongeza udhibiti wa matumizi ya fedha za umma. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 16, 2022

Ukraine yataka kuungwa mkono na Afrika katika vita na Urusi

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema atayaomba mabara ya Afrika na Asia yamuunge mkono. Zelensky amesema habari juu ya mahitaji ya nchi yake zinapaswa kutangazwa katika nchi zote muhimu kw . . .

bungeni
  • Na Asha Business
  • May 16, 2022

Ratiba ya Bunge yapanguliwa uwasilishaji Bajeti Kuu

Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amatangaza mabadiliko ya ratiba ya Bunge akisema ni makubaliano ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Dk Tulia ametangaza mabadiliko hayo leo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 15, 2022

Ujerumani iko tayari Finland na Sweden ziidhinishwe katika NATO

Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Annalena Baerbock amesema nchi yake imefanya maandalizi yote ya mchakato wa uidhinishaji wa haraka iwapo Finland na Sweden zitaamua kuomba uanachama wa Jumuiya . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 15, 2022

Korea Kaskazini yaripoti vifo 15 zaidi kutokana na 'homa'

Korea Kaskazini leo imeripoti vifo 15 zaidi kutokana na kile ilichokiita homa, siku chache baada ya kuthibitisha rasmi maambukizo yake ya kwanza kabisa ya virusi vya corona na kuagiza vizuizi vika . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 15, 2022

Serikali Yaitaka Kampuni Ya Gas Entec Tanzania Kuzingatia Mkataba

SERIKALI imeuelekeza uongozi wa  Kampuni ya  Gas Entec Tanzania ambayo inajenga meli mpya ya MV Mwanza Hapa Kazi  Tu kuzingatia makubaliano  yote   yaliyomo kwenye . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 13, 2022

Kesi ya unyanyasaji wa kingono dhidi ya muandaaji yawekwa faraghani

Mahakama ya mwanzo mjini Kigali imeamua kuendesha kesi dhidi ya mwandaaji wa shindano la urembo la Rwanda -Miss Rwanda faraghani ili kuwalinda mashahidi, amesema jaji.Dieudonné Ishimwe, al maaruf . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 13, 2022

Mkenya anayepambana na ukeketaji ametangazwa kuwa muuguzi bora zaidi duniani

Muuguzi wa Kenya ameshinda tuzo ya kwanza kuwahi kuepo ya uuguzi duniani ambayo ina zawadi ya $250,000. Anna Qabale Duba, ambaye anafanya kazi katika Hospitali ya Rufaa ya Kaunti ya Marsabit kaska . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 13, 2022

Mnadhimu mkuu wa jeshi amehitimisha ziara nchini Rwanda.

Mnadhimu mkuu wa jeshi la Mali, Jenerali Oumar Diarra, alhamis Mei 12 amehitimisha ziara ya siku tatu ya kikazi nchini Rwanda, ambapo pia alikutana na rais Paul Kagame, lengo likiwa ni kuimarisha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 13, 2022

Marekani yaonya uwezekano wakutokea shambulio la kigaidi mashariki mwa DRC.

Serikali ya Marekani imeonya kuhusu uwezekano kwa kutoka kwa shambulio la kigaidi katika eneo la Goma, Mashariki mwa nchi ya Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo sehemu ambao imekuwa ikishuhudia onge . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 13, 2022

Waliokimbia Ukraine wapindukia milioni 6

Shirika la Umoja wa Mataifa lenye kuwahudumia wakimbizi UNHCR limesema zaidi ya watu milioni 6 hadi sasa wameikimbia Ukraine tangu Urusi ianze uvamizi wake dhidi ya taifa hilo.Kadhalika shirika hi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 13, 2022

Zelenskyy anasema yupo tayari kuzungumza na Putin

Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amesema yupo tayari kufanya mazungumzo na Rais Vladimir Putin wa Urusi katika kufanikisha makubaliano lakini pasipo masharti.Akizungumza na televisheni ya taifa . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 13, 2022

Korea Kaskazini yathibitisha kifo cha kwanza cha Covid 19, shughuli zote zafungwa kudhibiti maambukizi

Shirika la habari la Korea Kaskazini (KCNA) leo Ijumaa limethibitisha kifo cha kwanza cha Covid 19, ikiwa takwimu za kwanza kutolewa rasmi siku moja baada ya nchi hiyo kuthibitisha mlipuko wa kw . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 13, 2022

Rais Ramaphosa ayaomba mashirika ya kimataifa kununua chanjo za Covid zinazotengenezwa Afrika

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa Alhamisi ameyaomba mashirika ya kimataifa yanayosaidia katika mpango wa chanjo dhidi ya virusi vya corona kuanza kununua chanjo zinazotengenezwa Afrika, ili . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 12, 2022

Viongozi wa Finland waunga mkono nchi hiyo kujiunga na NATO

Viongozi wakuu wa Finland wamesema hii leo kuwa wanaunga mkono taifa hilo kuomba uanachama wa Jumuiya ya Kujihami ya NATO hatua inayofungua njia ya kutanuka kwa muungano huo wa kijeshi baada ya ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 12, 2022

Muswada wa sheria wa kulinda haki ya wanawake kutoa mimba wakwama kwenye baraza la Seneti la Marekani

Wademocrats katika baraza la Seneti Jumatano wameshindwa kupitisha muswada wa sheria unaolinda haki ya wanawake kutoa mimba nchini kote kabla ya uamuzi unaosubiriwa wa mahakama ya juu ya Marekan . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • May 12, 2022

Mahakama kuu Kenya imesitisha kwa muda utekelezaji wa sheria ya usawa wa jinsia kwa vyama vya kisiasa

Mahakama kuu nchini Kenya imesitisha kwa muda utekelezaji wa sheria ya usawa wa jinsia inayovitaka vyama vyote vya kisiasa vinavyotaka kushiriki uchaguzi mkuu wa Agosti 9 viwasilishe usajili wa wa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 12, 2022

MWANZA: MWENYEKITI WA NYAMBULOGOYA AMETOA WITO KWA VIJANA.

wito umetolewa kwa vijana hapa nchini kuacha tabia ya kuchagua kazi na kuchangamkia fursa mbalimbali kadri zinavyojitokeza. wito huo umetolewa na mwenyekiti wa vijana mtaa wa swila na nyambulogoya kat . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 12, 2022

RAIS WA TANZANIA SAMIA SULUHU ATOA SHUKRANI KWA WAUGUZI WOTE.

Ikiwa leo ni siku ya wauguzi duniani, Waziri wa Afya ,ummy mwalimu amewashukuru Wauguzi kwa kazi nzuri wanazoendelea kufanya katika kuwahudumia wananchi, huku akitoa wito kwao kuendelea kutimiza wajib . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 11, 2022

Lavrov akutana na rais Tebboune wa Algeria

Waziri wa mambo ya kigeni wa Urusi Urusi Sergei Lavrov amekutana na rais wa Algeria Abdelmadjid Tebboune mjini Algiers jana usiku wakati wa ziara yake kwenye taifa hilo la kaskazini mwa Afrika amb . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 11, 2022

Bill Gates apata corona

Mwanzilishi mwenza aliyestaafu wa Microsoft na mfadhili mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Bill Gates amepimwa na kukutwa na UVIKO-19, na atajitenga hadi atakapopona. Tangazo hilo lilikuja wak . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 11, 2022

Tajiri anayetarajiwa kuimiliki kampuni ya Twitter yuko tayari kumruhusu Donald Trump kutumia tena mtandao huo

Tajiri anayetarajiwa kuwa mmiliki wa kampuni ya Twitter Jumanne amesema atamuruhusu rais wa zamani wa Marekani Donald Trump kutumia tena akaunti yake ya Twitter. Musk ambaye anapanga kuin . . .

Kurasa 100 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 13 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 13 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode