logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • May 24, 2022

Waziri wa Usalama Uganda" Watu Maskini Hawatakwenda Mbinguni".

Waziri wa Masuala ya Ndani nchini Uganda anadai kuwa watu maskini hawataenda mbinguni kwa sababu wanamtukana Mungu kupitia malalamishi na shutuma kila siku.Kulingana na mwanasiasa huyo, utajiri ni utu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Rais Samia apokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Zimbabwe

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akipokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe Mhe. Emmerson Mnangagwa, uliowasilishwa kwake na Mjumbe huyo Maalum Balozi . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Rais Samia ziarani nchini Ghana

. . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Volodymyr Zelensky kuhutubia viongozi wa dunia Davos

 Rais wa Ukraine anaendelea na ziara yake kupitia mkutano kwa njia ya video na viongozi wa dunia. Volodymyr Zelensky atahutubia Jumatatu hii Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF), ambalo linakutana tena . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Rais wa Senegal Macky Sall kufanya ziara Russia na Ukraine kwa niaba ya AU

Rais wa Senegal Macky Sall Jumapili amesema atafanya ziara siku za hivi karibuni nchini Russia na huko Ukraine kwa niaba ya Umoja wa Afrika, kama kiongozi wa Umoja huo. Ziara hiyo ilikuwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan ametangaza kufanya maandamano ya amani dhidi ya serikali

Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan, Imran Khan alitangaza Jumapili kwamba ataongoza maandamano ya amani dhidi ya serikali kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Islamabad baadae wiki hii kushinikiza madai . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

IMF yataka serikali zitoe ruzuku kugharamia 'makali ya maisha' kwa wananchi wake

Serikali za mataifa duniani zinatakiwa kutoa ruzuku kwa ajili ya gharama ya chakula na nishati kwa watu maskini zaidi katika jamii, mkuu wa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). Watu kote ulimw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

Ukraine yakataa kusalimisha ardhi yake kwa Warusi kwenye mpango wa makubaliano ya amani

Serikali ya Ukraine inasema haitakubali makubaliano ya kusitisha mapigano na Urusi ambayo yanahusisha kuachia eneo - katika hali inayoonekana kuwa ngumu kwa msimamo wake. Mshauri wa rais Mykha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

Muungano wa Indo-Pacific: baada ya Korea Kusini, Joe Biden atarajiwa Japani

Rais wa Marekani Joe Biden anawasili Tokyo Jumapili hii baada ya kukaa zaidi ya siku mbili nchini Korea Kusini ili kuthibitisha ahadi ya Marekani ya kumtetea mshirika wake wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

Urusi Yatangaza Kuudhibiti Mji wa Mariupol Wanajeshi Zaidi ya 2,000 wa Ukraine Wajisalimisha

BAADA ya wanajeshi wa Ukraine 531 waliokuwa wamejificha kwenye kiwanda cha Azovstal wakipambana na wanajeshi wa Urusi kujisalimisha, Urusi imemesema kuwa jumla ya wapiganaji 2,439 wa Ukraine sasa . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

Israel yaripoti kisa cha kwanza cha homa ya nyani

Kisa cha kwanza cha homa ya nyani kimegunduliwa nchini Israel kwa mtu aliyerejea kutoka nje ya nchi. Mamlaka nchini humo zinachunguza visa vingine vinavyoshukiwa kuwa vya homa hiyo. Wizara ya Afya . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Ugonjwa wa Homa ya Nyani wasambaa duniani

Mataifa kadhaa duniani yamethibitisha maambukizo ya homa ya nyani siku kadhaa tangu Uingereza ilipotangaza mripuko wa maradhi hayo yanayosababishwa na virusi kutoka kwa wanyama wa mwituni wakiwemo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Biden aanza ziara ya Korea Kusini, Japan

Rais wa Marekani Joe Biden amewasili nchini Korea Kusini leo kwa ziara itakayomfikisha pia nchini Japan inayofanyika chini ya kiwingu cha kutanuka kwa nguvu za China na kurejea kwa majaribio ya si . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Ndovu 70 wafariki kutokana na ukame

Waziri wa Utali nchini Kenya, Najib Balala alisema kwamba Zaidi ya ndovu 70 wamefariki nchini humo, kutokana ukame ambao unashuhudiwa kanda ya Africa Mashariki, kwa kipindi c . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Marekani yakosoa kufungwa kwa Rusesabagina

Wizara ya mambo ya nje ya Marekani imesema uchunguzi wake umebaini kuwa, muigizaji wa filamu ya Hotel Rwanda, Paul Rusesabagina, ambaye anatuhumiwa kuhusika na mauwaji ya kim . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Bajeti ya Uongo Katika daraja la Kigongo-Busisi

Miaka miwili kabla ujenzi wa daraja la Kigongo-Busisi haujakamilika, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amegundua udanganyifu wa kisomi uliofanywa na mkandarasi wa mradi huo.Mrad . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

KUMBE' BUGANDO INATIBU FISTULA BURE

MAADHIMISHO ya Siku ya Kutokomeza Fistula Duniani, Kitaifa nchini Tanzania yatafanyika jijini Mwanza katika viwanja vya Hospitali ya Rufaa ya Bugando. . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Awamu ya kwanza ya wahamiaji kutoka Uingereza kuwasili hivi karibuni

Waziri mkuu wa Rwanda, Edouard Ngirente, amesema awamu ya kwanza ya wahamiaji kutoka nchini Uingereza, watawasili nchini Rwanda hivi karibuni, na kwamba Rwanda imekamilisha matayarisho ya kuwapoke . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Mawaziri wa fedha wa nchi tajiri wanatayarisha mpango wa kuisadia Ukraine

Mawaziri wa fedha wa nchi wa saba tajiri duniani, wanakutana kwenye mji wa Königswinter, magharibi mwa Ujerumani kujadili mpango wa kuisaidia Ukraine. Mawaziri hao wanajadili namna ya kuuratibish . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Dkt. Philip Mpango azindua Mpango wa Maendeleo wa UN na Tanzania.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akizindua Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano (2022-2027) wa ushirikiano baina ya Tanzania na Ofisi ya Mrati . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Serikali yawatoa hofu wakazi wa Mindu

Serikali imesema kuwa inaendelea kulishughulikia sauala la migogoro ya watu wa Mindu mkoani Morogoro hivyo wananchi wake wasiwe na wasiwasi.Kauli hiyo iletolewa leo na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Korea Kaskazini kujaribu kombora wakati Biden akiizuru Korea Kusini

Maafisa wa serikali ya Korea Kusini na Marekani wanasema Korea Kaskazini inaonekana kujiandaa kufanya jaribio la kombora la masafa marefu lenye uwezo wa kutoka bara moja hadi jengine kuelekea ziar . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Sweden na Finland zawasilisha rasmi maombi ya kujiunga NATO

Mabalozi wa Sweden na Finland wamewasilisha rasmi maombi yao ya kujiunga na Jumuiya ya Kujihami ya NATO leo kwa Katibu Mkuu Jens Stoltenberg. Hayo yamefanyika katika hafla ya video mjini Brussels. . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Kim awalaumu maafisa wa serikali yake kuenea kwa corona

Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un amewalaumu maafisa wa serikali yake kwa uzembe uliosababisha hali ya janga la virusi vya corona nchini humo kuwa mbaya zaidi. Haya yameripotiwa na shirika . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Mawaziri Uhispania wapitisha likizo ya wanawake walio katika hedhi

Baraza la mawaziri la Uhispania limeidhinisha mswada unaowapa wanawake likizo ya kimatibabu yenye malipo, wanapopitia maumivu makali kipindi cha hedhi. Uhispania sasa inakuwa nchi ya kwanza ya Ula . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Kiongozi wa Taliban nchini Afghanistan anaahidi nchi hiyo haitakuwa tena tishio kwa Marekani

Kiongozi wa cheo cha juu wa utawala wa Taliban nchini Afghanistan anaahidi nchi yake kamwe haitakuwa tena tishio la kigaidi kwa Marekani na aliahidi habari njema hivi karibuni juu ya kurejea kwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

MABALOZI WA SENSA MWANZA WAPANIA KUIFANYA SENSA 2022.

ZAIDI ya vijana 100 mkoani Mwanza, wameunda umoja wa mabalozi wa Sensa wa kujitolea kwaajili ya kusaidia tukio la Sensa lipate matokeo chanya . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Rais Mteule wa Somalia amepokea kwa furaha taarifa ya Marekani kupambana dhidi ya Al Shabaab.

Rais mteule wa Somalia anakaribisha taarifa kwamba kikosi maalum cha operesheni cha Marekani kitakuwa tena nchini Somalia kusaidia katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi la al-Shabaab. Hass . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Serikali kupitia upya mkataba wa Songas

Serikali imesema itapitia upya mkataba wa mkataba wa kampuni ya kuzalisha umeme ya Songas ili kuhakikisha kuwa haitakuwa na mkataba wenye dosari.Mkataba wa sasa kati ya Serikali na Kampuni ya Son . . .

UTALII
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

NYATI MWEUPE AONEKANA TANZANIA.

 Nyati mweupe ameonekana ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire na kuanza watalii wa ndani na kutoka nje ya nchi kutaka kumuona.Nyati huyo ameonekana kwa mara ya kwanza jana Jumatatu Mei 16, 20 . . .

Kurasa 99 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 12 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 13 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode