1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

MSANII TEKNO AAMUA KUGAWA PESA ZAKE ZA USHINDI KWA MASHABIKI ZAKE

Msanii maarufu kutoka Nigeria, Tekno, amevutia hisia nyingi baada ya kushinda ₦298,000,000 kupitia mchezo wa betting. Kiasi hiki . . .

MSIGWA AWAKABIDHI UMSOTA MILIONI TANO ZAWADI YA “GOLI LA MAMA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg. Gerson Msigwa amekabidhi kiasi cha s . . .

Jembe Michezo

JKT Queens kushiriki Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika

Timu ya JKT Queens pamoja na Viongozi na Benchi la Ufundi wameondoka Novemba 5 mwaka huu kwenda nchini Misri kushiriki Michuano ya . . .

Liverpool wanafikiria kumsajili Semenyo

Liverpool inafikiria kumsajili mshambuliaji wa Bournemouth na timu ya taifa ya Ghana Antoine Semenyo, 25, msimu wa uhamisho wa wac . . .

Jembe Habari

Mahakama Kuu Kutowa Hukumu Kesi ya Viongozi wa CHADEMA

Dar es Salaam, Tanzania – Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa hukumu Novemba 04 . . .

Kaya 28 zakabidhiwa hundi za fidia kupisha mradi wa maji Babati

Mkuu wa Wilaya ya Babati Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda Oktoba 28 mwaka huu amekabidhi rasmi hundi za malipo ya fidia kwa kaya . . .

Habari Zote
Kimataifa

Balozi Mussa ameshiriki maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Angola

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Said Shaib Mussa, ameungana na viongozi mbalimbali wa . . .

Habari

Zaidi ya wakulima 250 Wilayani Magu waishukuru Serikali kwa vifaa vya umwagiliaji

Wakulima zaidi ya 250 katika Wilaya ya Magu, Mkoa wa Mwanza wamepokea jozi 22 za vifaa vya kisasa vya umwagiliaji kwa vikundi vyao 11, kufua . . .

Habari

Makusanyo ya Madini Simiyu Yavuka Malengo, Yafikia Zaidi ya Asilimia 103

AFISA Madini Mkazi wa Mkoa wa Simiyu, Mayigi Makolobela, amesema mkoa huo umeendelea kufanya vizuri katika ukusanyaji wa mapato yatokanayo n . . .

Habari

Mwinyi amezindua rasmi Baraza la 11 la Wawakilishi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amezindua rasmi Baraza la 11 la Wawakilishi Zanzibar na . . .

Siasa

ACT-Wazalendo yatoa hoja tatu wanazohiji zitekelezwa

Chama Cha ACT-Wazalendo kimetoa hoja tatu wanazotaka zitekelezwa baada ya kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa Rais wabunge na madiwani na mgombe . . .

Habari

Demokrasia ni mfumo bora wa utawala rais Ruto

Rais wa Kenya William Ruto, amesema kuwa demokrasia ni mfumo bora wa utawala, ingawa si rahisi kila wakati. Ameeleza kuwa demokrasia ina cha . . .