1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Bodi ya Filamu Yawapa Wito ‘A-List’ Watakiwa Kufika Septemba 7, 2026

Bodi ya Filamu Tanzania imewataka waigizaji Irene Uwoya, Aunty Ezekiel, Frida Kajala na Jacqueline Wolper kufika katika ofisi za B . . .

Nani alimuua Tupac Shakur?

Kwa karibu miaka 30, swali la nani aliyemuua Tupac Shakur halijapata jibu la kisheria. Kesi ya Duane Davis sasa inachunguza madai . . .

Jembe Michezo

Infantino Athibitisha Kugombea tena Urais wa FIFA Mwakani

Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA), Gianni Infantino, amethibitisha kuwa atagombea tena nafasi ya urais wa FIFA katika . . .

UEFA Yaandaa Kesi ya Jinai Dhidi ya Infantino

Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) linajiandaa kuanzisha mchakato wa kisheria nchini Uswisi dhidi ya Rais wa FIFA, Gianni Infantino, . . .

Jembe Habari

Wapwani walalamikia ongezeko la vijana kutekwa na kupatikana Nairobi

VIONGOZI na wakazi wa Mombasa wameelezea wasiwasi kuhusu visa vya vijana kupotea, huku baadhi yao baadaye wakipatikana Nairobi na . . .

Mume wa Rais Samia afariki dunia

Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, ametangaza kifo cha Hafidh Ameir Hassan, ambaye ni mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tan . . .

Habari Zote
matukio

Wapwani walalamikia ongezeko la vijana kutekwa na kupatikana Nairobi

VIONGOZI na wakazi wa Mombasa wameelezea wasiwasi kuhusu visa vya vijana kupotea, huku baadhi yao baadaye wakipatikana Nairobi na katika viu . . .

Kimataifa

Iran "Tuna uwezo kuzishambulia meli za kivita za Marekani"

Kaimu Waziri wa Ulinzi wa Iran, Majid Ibn e Reza, amesema jeshi la Iran lina uwezo kamili wa kushambulia meli za kivita za Marekani zinazote . . .

SOKA

Infantino Athibitisha Kugombea tena Urais wa FIFA Mwakani

Rais wa Shirikisho la Kimataifa la Soka (FIFA), Gianni Infantino, amethibitisha kuwa atagombea tena nafasi ya urais wa FIFA katika uchaguzi . . .

Kimataifa

Houthi waituhumu Saudi Arabia kwa shambulio kwenye gereza

Waasi wa Houthi nchini Yemen wameituhumu Saudi Arabia kwa kutekeleza shambulio la anga kwenye gereza kaskazini mwa Mji wa al-Hazm, shambulio . . .

Kimataifa

Makabiliano yaendelea kuripotiwa licha ya upatanishi wa Marekani

Wanajeshi wa Ukraine na Urusi wameendelea kukabiliana licha ya juhudi za upatanishi zinazoongozwa na Marekani.Wizara ya ulinzi ya Urusi Juma . . .

Top Story

Mume wa Rais Samia afariki dunia

Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, ametangaza kifo cha Hafidh Ameir Hassan, ambaye ni mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt . . .