1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Tamasha la 24 Sauti za Busara Lapangwa Kufanyika Machi 11 – 14 ,2027

Tamasha kubwa la muziki la kimataifa, Sauti za Busara, linalofanyika visiwani Zanzibar, limeendelea kuthibitisha hadhi yake kama m . . .

Davido Akosa Grammy Tatu Mfululizo

Mwimbaji maarufu kutoka Nigeria, Davido, ameendelea kukumbana na bahati mbaya katika Tuzo za Grammy baada ya kushindwa kuondoka na . . .

Jembe Michezo

RC Shigela: Hakuna Mwekezaji Katika Uwanja wa CCM Katoro

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martin Shigela, ametangaza rasmi kuwa hakuna mwekezaji halali katika eneo la uwanja wa mpira wa CCM Ka . . .

Senegal: Serikali inapanga kukata rufaa dhidi ya vikwazo vya CAF dhidi ya kocha Pape Thiaw

Kufuatia vikwazo vilivyotangazwa na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), siku kumi na moja baada ya mchezo wa fainali ya Kombe la M . . .

Jembe Habari

Zahanati ya Msasa Geita Yakamilishwa Baada ya Miaka 10 ya Kusubiri

Wananchi wa Kijiji cha Msasa, Kata ya Runzewe Mashariki wilayani Bukombe mkoani Geita, wameishukuru Ofisi ya Madini kwa kuchukua j . . .

Baridi kali jijini New York yasababisha vifo vya watu 18

Jumla ya watu 18 wamefariki dunia kutokana na kipindi cha baridi kali jijini New York, kwa mujibu wa meya wa jiji hilo.Tangu mwish . . .

Habari Zote
TAMASHA

Tamasha la 24 Sauti za Busara Lapangwa Kufanyika Machi 11 – 14 ,2027

Tamasha kubwa la muziki la kimataifa, Sauti za Busara, linalofanyika visiwani Zanzibar, limeendelea kuthibitisha hadhi yake kama moja ya mat . . .

Muziki

Msanii wa Tanzania Manfongo Aapa Kuongoza Kampeni za Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake na Watoto Kupitia Muziki

Katika Tamasha la Sauti za Busara 2026, msanii wa muziki wa singeli kutoka Tanzania, Manfongo, ametangaza rasmi dhamira yake ya kuanza kufan . . .

Muziki

Wasanii Wengi Hutengeneza Muziki Bila Kuzingatia Mustakabali wa Mtoto - Labdi

Mwanamuziki wa muziki wa asili (traditional/fusion) kutoka Kenya, Labdi, ambaye ni miongoni mwa wasanii waliopata fursa ya kutumbuiza katika . . .

AFYA

Zahanati ya Msasa Geita Yakamilishwa Baada ya Miaka 10 ya Kusubiri

Wananchi wa Kijiji cha Msasa, Kata ya Runzewe Mashariki wilayani Bukombe mkoani Geita, wameishukuru Ofisi ya Madini kwa kuchukua jukumu la k . . .

SOKA

RC Shigela: Hakuna Mwekezaji Katika Uwanja wa CCM Katoro

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhe. Martin Shigela, ametangaza rasmi kuwa hakuna mwekezaji halali katika eneo la uwanja wa mpira wa CCM Katoro eneo . . .

Kitaifa

RC Mtanda Atoa Siku Tatu Kufuatilia Sh79 Milioni Ukerewe

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mheshimiwa Said Mtanda, ametoa siku tatu kwa Mkaguzi wa Ndani wa Mkoa huo kukagua na kutoa taarifa ya fedha Shilingi . . .