logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 23, 2023

Fei Toto Aahidi Ushindi Stars Dhidi ya Uganda Kufuzu AFCON

KIUNGO wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Feisal Salum ‘Fei Toto’ baada ya kutua nchini Misri, amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu maandalizi ya mechi yao dhidi ya Uganda . . .

news
Masumbwi
  • Na Asha Business
  • March 23, 2023

Bondia Mtanzania Stumai Muki Amchapa Chimwemwe Banda wa Malawi Dar

Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Stumai Muki amefanikiwa kumchapa kwa pointi mpinzani wake kutoka Malawi, Chimwemwe Banda katika pambano lisilokuwa la ubingwa la kimata . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 22, 2023

US Monastir kumsajili Fiston Mayele

Kocha Mkuu wa US Monastir ya Tunisia, Novic Darko, ameshindwa kujizuia na kutamka kuwa kama akipewa nafasi ya kusajili Mshambuliaji msimu ujao, basi chaguo lake la kwanza . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 20, 2023

Taifa Stars yawasili salama Misri

Kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, imewasili nchini Misri salama huku Kocha Msaidizi, Hemed Morocco, akisema kuwa Tanzania ina nafasi ya kufanya vizu . . .

news
Masumbwi
  • Na Asha Business
  • March 20, 2023

BFT kuongeza idadi ya makocha

Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), limetangaza kuendesha mafunzo kwa makocha yakiwa na lengo la kuongeza idadi ya walimu wa mchezo huo. Makocha hao wataongezwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 19, 2023

FIFA na CAF Wampe Tuzo Mama Samia Kwa Kuhamasisha Michezo na Kuongeza Morali

Nimesikia na kuona Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) likitoa tuzo maalum kwa Rais wa Rwanda, Paul Kagame na Mfalme Mohammed VI wa Morocco kwa kuwa mfano wa kuigwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 17, 2023

Mambo yamekubali Ulaya, Robo Fainali UEFA

Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika Real Madrid watakutana na Chelsea ya England katika mchezo wa Robo Fainali, baada ya kufanywa kwa Droo ya Michuano hiy . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 17, 2023

Kocha wa Arsenal Apigwa Kalamu Baada ya Kucheza Mechi 12 Bila Ushindi.

Klabu ya Crystal Palace imempiga kalamu kocha mkuu Patrick Vieira baada ya kuiongoza klabu hiyo kwa mechi 12 zilizopita bila kusajili ushindi wowote. Palace haijashi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2023

Ten Hag akasirishwa na maamuzi England

Meneja wa Manchester United Erik Ten Hag ameonesha kusikitishwa na kitendo cha kukosa uthabiti katika maamuzi ya waamuzi baada ya kuchoshwa na uchezeshaji wa mwamuzi Anth . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 12, 2023

Wanne mbaroni wakijifanya wachezaji wa Coastal

Kamanda wa Uhamiaji Mkoa wa Tanga, Kagimbo Bakari amesema Jeshi hili limewakamata wahamiaji haramu wanne raia wa Cameroon, ambao wamedai wapo nchini  kwa ajili ya ku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 9, 2023

Nabi atetea maamuzi ya kumtoa Aziz Ki

Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans Nasreddine Mohammed Nabi, ametetea maamuzi yake ya kumtoa Kiungo Mshambuliaji kutoka Burkina Faso Stephen Aziz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 7, 2023

Young Africans yamlima barua Feisal Salum

Kwa mara nyingine tena Uongozi wa Young Africans umemwandikia Barua Kiungo kutoka visiwani Zanzibar Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ ya kumtaka kurejea kambini kujiun . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 3, 2023

Messi awanunulia zawadi ya iPhone wachezaji wa Argentina

Lionel Messi ametumia pauni 175,000 kuwanunulia zawadi za simu 35 aina ya iPhone rangi ya dhahabu wachezaji wenzake wa timu ya taifa ya Argentina kutokana na mafanikio wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 1, 2023

Young yahamia Chamazi

Rasmi mchezo wa 16 Bora Kombe la Shirikisho Tanzania Barani ‘ASFC’ kati ya Mabingwa watetezi Young Africans dhidi ya Maafande wa Jeshi la Magereza Tanzania Prisons ut . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 28, 2023

Vipers SC Yapewa muda Tena

Shirikisho la Soka Nchini Uganda ‘FUFA’ limeusogeza mbele Mchezo wa Ligi Kuu nchini humo kati ya Arua Hill SC dhidi ya Vipers SC.Mchezo huo ulipangwa kuchezwa kesho M . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 27, 2023

Wamtimua Mario Balotelli Uwanjani na Kuchoma Jezi Yake Kufuatia Kichapo

Katika video iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, jezi ya Balotelli iliteketezwa huku mashabiki waliokula mori wakiondoka uwanjani kabla ya mechi kumalizika. Kw . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • February 23, 2023

Mwanasoka Wa Zamani Wa Man-United, John O’Shea Ateuliwa Kuwa Kocha Msaidizi Wa Jamhuri Ya Ireland

BEKI wa zamani wa Manchester United, John O’Shea, ameteuliwa kuwa kocha msaidizi katika timu ya taifa ya Jamhuri ya Ireland ambayo sasa inanolewa na mkufunzi Stephen Ke . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 22, 2023

Thamani Ya Staa Wa Manchester City Erling Haaland Kwa Sasa Ni Euro Bilioni 1

Thamani ya staa wa Manchester City, Erling Haaland kwa sasa ni euro bilioni 1. Haya yameelezwa na wakala wa staa huyo, Rafaela Primenta ambaye anamsimamia Haaland na m . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 21, 2023

Robertinho Hasira zote kwa Azam FC

Kocha cha Simba juzi kilipoteza mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika mbele ya Raja Casablanca na kocha Roberto Oliveira 'Robertinho' akifichua kilichowaponza, lakini akawa mo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 20, 2023

Rais Young Africans Amshukuru Rais Samia

Rais wa Klabu ya Young Africans Injinia Hersi Said amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza ahadi yake.Rais Samia aliahidi kun . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 9, 2023

Man City Hatihati Kushushwa Daraja Kutoka Ligi Kuu Ya England Au Kukatwa Pointi

MANCHESTER City huenda ikakabiliwa na adhabu ya kushushwa daraja kutoka Ligi Kuu ya England au kukatwa pointi kwa kosa la kuvunja sheria za fedha zaidi ya mara 100 kuhusu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 8, 2023

Fainali za Kombe la Dunia kurudi zilikoanzia

Nchi za Argentina, Chile, Paraguay na Uruguay kwa pamoja zimewasilisha rasmi maombi/zabuni ya ya kutaka kuwa wenyeji wa Fainali za Kombe la Dunia 2030.Nchi hizo nne za Am . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 7, 2023

Man City yashikwa Pabaya, Kutimuliwa Ligi Kuu Kama Mwizi

Bodi ya Ligi Kuu ya England ‘Premier League’ imeishtaki Klabu ya Manchester City kwa ukiukaji zaidi ya 100 wa sheria zake za kifedha kufuatia uchunguzi wa miaka minne . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 6, 2023

Robertinho akubali uwezo wa Chama

Kocha Mkuu wa Simba C Roberto Oliviera ‘Robertinho’, amempigia Saluti Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Zambia Clatous Chotta Chama kwa kiwango kizuri alichokionesha . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 3, 2023

Beki US Monastir amuhofia Fiston Mayele

Beki wa US Monastir ya Tunisia Ousmane Adama Ouattara amesema, wapo tayari kwa mchezo wa Mzunguuko wa kwanza Hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya M . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 2, 2023

BEKI WA KAZI SIMBA AREJEA

HENOCK Inonga, beki wa Simba amerejea kwenye uimara wake taratibu baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Tanzania Prisons.Katika mchezo huo wa ligi Inonga . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • February 2, 2023

Robertinho aanika ramani ya Ubingwa

Kocha Mkuu Simba SC Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amesema, ili kufanikisha ndoto za kutwaa ubingwa msimu huu 2022/23 kwa klabu hiyo, ni lazima kikosi chake kishinde m . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 31, 2023

ALONSO ATAJWA KUMRITHI KLOPP LIVERPOOL

Inasemwa  kuwa, licha ya kuzungumzia mafanikio ya Jurgen Klopp ndani ya Liverpool, lakini mambo yanaweza kubadilika wakati wowote kikosini hapo na nafasi yake ik . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • January 31, 2023

HUU HAPA UZI MPYA WA YANGA KIMATAIFA

JANUARI 30,2023 Yanga imezindua uzi wao mpya kwa ajili ya mechi za kimataifa ikiwa imetinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Timu hiyo inayonolewa na Ko . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 30, 2023

Wanafaidi Matunda ya Kumvumilia Arteta

Kocha wa Manchester City Pep Guardiola anaamini kuwa viongozi wa Ligi Kuu ya Uingereza Arsenal sasa wanafaidi matunda ya kumvumilia Mikel Arteta kama kocha wao kwa miaka . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 30, 2023

Fenabahce kumpiga bei Samatta, Al Ahly

Miamba ya Soka nchini Misri Al Ahly imeendelea kutajwa kuwa kwenye mpango wa kumsajili Mshambuliaji na Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Mbwana Ally . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 29, 2023

Manzoki avunja ukimya Dar es salaam

anaipenda klabu hiyo ya Msimbazi na ataitumikia siku moja.Manzoki amesema anajua kuna baadhi ya watu waliwahi kumuhusisha na mpango wa kusajiliwa na timu inayovaa rangi y . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • January 25, 2023

USAJILI WA NYOTA WA ZAMANI WA YANGA NA NAMUNGO ACHA TU

MIONGONI mwa taarifa ambazo zilikuwa na sarakasi nyingi ni pamoja usajili wa nyota Mohamed Issa Banka kuibuka ndani ya Ruvu Shooting na kabla ya kuanza kucheza mkatab . . .

Kurasa 15 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • RC MTANDA AZINDUA BODI YA NANE YA YA MAJI BONDE LA ZIWA VICTORIA

    • 3 dakika zilizopita
  • WANAOHAMASISHA UVUNJIFU WA AMANI NA UTULIVU KUCHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA.

    • 13 dakika zilizopita
  • Jera miaka 30 kwa kosa la ubakaji

    • 17 dakika zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode