Baada ya mchezo kumalizika Jembe Fm ikiwa kibanda umiza ikateta na mashabiki wa soka, kwenye mic Jacob Mlay wa Sports Ripoti ya Jembe Fm Mwanza.MAGOLI.Ni Aziz Ki, kiungo . . .
Uongozi wa FC Barcelona unahitaji Pauni Milioni 70 milioni ili kumuachia mshambuliaji wao wa kimataifa wa Brazil, Raphinha wakati wa usajili wa Majira ya Kiangazi.Klabu z . . .
Club ya Manchester city ni kama wamekubali wayamalize na nyota wa zamani wa club hiyo Yaya Toure raia wa Ivory coast kufuatia laana inayosemekana kutoka kwake kupitia kwa . . .
Wapinzani wa Young Africans katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika Marumo Gallants wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es salaam leo Jumatatu (Mei 08) tayari k . . .
Serikali ya Saudi Arabia imeandaa ofa kubwa zaidi katika historia ya soka la nchi hiyo ili kumnasa Nahodha na Mshambuliaji wa Mabingwa wa Dunia, Timu ya Taifa ya Argentin . . .
Uongozi wa Azam FC umetangaza donge nono kwa Wachezaji wanaounda kikosi cha klabu hiyo, endapo watafanikiwa kuifunga Simba SC na kutonga Fainali ya Kombe la Shirikisho Ta . . .
Meneja mtarajiwa wa Kikosi cha Chelsea, Mauricio Pochettino ameripotiwa kupitisha mpango wa usajili wa mshambuliaji wa FC Bayern Munich ya Ujerumani Sadio Mane ili atue k . . .
ARSENAL walirejea kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) mnamo Jumanne usiku baada ya kupepeta Chelsea 3-1 ugani Emirates.Matokeo hayo yalirejesha matumaini . . .
Mabingwa wa Soka nchini England wameripotiwa kuanzisha mazungumzo na Mshambuliaji kutoka Norway Erling Braut Haaland kwa ajili ya kumsainisha mkataba mpya.Haaland mwenye . . .
Adhabu ya Kadi Nyekundu iliyomuangukia Beki wa Kulia wa Mabingwa wa Soka nchini Ufaransa Paris Saint-Germain Achraf Hakimi wakati wa mchezo wa Ligi Kuu mwishoni mwa juma . . .
Tanzania imefanikiwa kupata medali ya fedha kwenye mchezo wa kurusha Mkuki kwenye mashindano ya Afrika ya vijana yanayofanyika kwenye Uwanja wa Levy Mwanawasa, nchi . . .
Uongozi wa Simba SC umeweka wazi kuwa, mpango kubwa ni kuandika rekodi nyingine ya kumvua ubingwa bingwa wa taji la Ligi ya Mabingwa Afrika, Wydad AC ya Morocco.Simba SC . . .
Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Barani Afrika Wydad A.C Juan Carlos Garrido Fernández ameichimba mkwara Simba SC kuelekea mchezo wa Mkondo wa Pili wa Robo . . .
Mwanasheria wa Saudi Arabia ametoa wito wa kufukuzwa mchezaji wa Al Nassr Cristiano Ronaldo kufuatia kitendo kinachodaiwa kuwa si cha kimaadili katika nchi hiyo ya Kiisla . . .
Matokeo ya sare ya 1-1 ya Pamba dhidi ya Mbuni leo Aprili 22 imeihakikishia JKT Tanzania kupanda Ligi kuu licha ya kupoteza mchezo wake ugenini mbele ya Kitayosce kwa mab . . .
FC Barcelona inaweza kuchukua hatua ya kumsajili, Lionel Messi, lakini La Liga haitabadilisha kanuni zake ili kusaidia hilo, kwa mujibu wa Rais wa Ligi Kuu Hispania, Javi . . .
Klabu Bingwa nchini England Manchester City inajiandaa kumpa mkataba mpya Mshambuliaji Erling Haaland baada ya kuwakosha kwa huduma yake moto katika msimu huu wa kwanza k . . .
Huenda Simba SC ikawakosa Aishi Manula na Sadio Kanoute katika mchezo wa Mkondo wa Kwanza wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Wydad Casablanca ya Moro . . .
Klabu ya Real Madrid ya Uhispania imefabikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya (UEFA Champions League) baada ya kuikanda Chelsea (wenyeji wa . . .
Imefahamika kuwa Mabingwa wa Soka nchini England Manchester City, wameanza mikakati ya kumnasa kiungo wa Borussia Dortmund, Jude Bellingham ili kumsajili kwa msimu ujao w . . .
Mshambuliaji Kylian Mbappe amekuwa mfungaji bora wa muda wote wa Klabu Bingwa nchini Ufaransa Paris Saint-Germain kwenye Ligi Kuu ya nchi hiyo ‘Ligue 1’, huku mabingw . . .
Katika hali ya kushangaza, imebainika kuwa Beki wa Kulia kutoka Morocco na Klabu Bingwa nchini Ufaransa Paris Saint-Germain Achraf Hakimi hamiliki chochote, licha ya kuli . . .
Beki wa Klabu ya Chelsea, Ben Chilwell amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kukipiga kwenye timu hiyo akiahidi kujituma zaidi.Beki huyo amecheza mechi 81 katika mas . . .
Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mashindano ya Kimataifa ya Kanda ya tatu ya mchezo wa ngumi yanayotarajiwa kufanyika Aprili 18 hadi 23, mwaka huu, katika Uwanja wa . . .
FRANK Lampard alianza vibaya awamu yake ya pili ya ukufunzi kambini mwa Chelsea kwa kichapo cha 1-0 kutoka kwa Wolverhampton Wanderers kwenye Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) . . .
Makamu wa Rais wa FC Barcelona, Rafa Yuste, amesema hana uhakika wa asilimia 100 kama Mshambuliaji kinda wa klabu hiyo Ansu Fati atasalia klabuni hapo, licha ya kufahamu . . .
Kiungo kutoka Visiwani Zanzibar na klabu ya Young Africans Mudathir Yahya Abbas amefichua siri ya bao lake alilofunga dhidi ya TP Mazembe ambalo limeibuka Bao Bora la Kom . . .
Baada ya Yanga kuizamisha TP Mazembe kwenye dimba lao la nyumbani huko DR Congo kwa kuwachapa bao 1-0, US Monastir walipaswa kushinda angalau mabao matatu dhidi ya Real B . . .
Klabu ya Chelsea imemtimua Kocha wake Graham Potter baada ya muendelezo wa matokeo mabovu ya klabu hiyo huku jana Jumamosi akipokea kichapo cha magoli 2-0 kutoka kwa Asto . . .
Serikali imehaidi kufanya Maboresho katika Uwanja wa Benjamin Mkapa ikiwemo kununua jenereta mbili kubwa ambazo zitatumika wakati umeme utakapokatika.Kauli hiyo, imetolew . . .
Imeelezwa kuwa mmiliki mwenza wa kutoka Familia ya Glazer, Avram Glazer hataki klabu ya Manchester United ipigwe bei kwa mujibu wa ripoti, licha ya klabu hiyo kuwekwa sok . . .
Majogoo wa Jiji ‘Liverpool’ wameanza mchakato wa kumfukuzia beki anayekipiga SL Benfica ya Ureno, Antonio Silva huku taarifa zikiripoti meneja wa Klabu hiyo ya Alfiel . . .
Aliyekuwa kiungo wa kati wa Arsenal, Real Madrid na Ujerumani Mesut Ozil ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 34. Akitoa tanggazo hilo kupitia ukurasa wake wa . . .