logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 22, 2022

DODOMA JIJI WATAMBA DHIDI YA YANGA

UONGOZI wa Dodoma Jiji umetamba kuifunga Yanga kwenye mchezo wa ligi na kuvunja rekodi ya timu hiyo kutofungwa ndani ya ligi.Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi im . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

SADIO MANE AVUNJA UKIMYA

Hatimaye Sadio Mane amevunja kimya chake baada ya kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar. Read more: https://kiswahili.tuko.co.ke/michezo/483798- . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 15, 2022

Messi atoa ahadi kwa timu ya Argentina

LIONEL Messi ametoa ahadi ya kuongoza Argentina kujituma maradufu katika makala ya 22 ya Kombe la Dunia mwaka huu 2022 na kutwaa ufalme.Kombe la Dunia ndilo taji la pekee . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 15, 2022

Kocha wa Simba akutwa na dawa za kulevya

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini imewakamata watuhumiwa 9 wakiwa na dawa za kulevya aina ya heroin kg 34.89 ambapo miongoni mwa watuhumiwa hao . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • November 14, 2022

Kocha Matola "Naondoka Simba Sasa"

Kocha  Msaidizi wa Simba, Seleman Matola ameweka wazi kwamba anaondoka kwenye benchi la ufundi la timu hiyo kwa muda akapige shule kidogo.Matola ambaye ni nahodha wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 6, 2022

Mashabiki wa soka Ujerumani wataka kombe la dunia Qatar lisusiwe

Mashabiki wa soka katika viwanja nchini Ujerumani wametoa wito jana Jumamosi, wa kususiwa kwa michuano ijayo ya kombe la dunia nchini Qatar. Mjini Dortmund, mashabiki wal . . .

news
RIPOTI YA WATANI
  • Na Asha Business
  • October 31, 2022

YANGA NI MBINU MBINU FC TUTARUDI KUCHEZA NA SIMBA UWANJA WETU MPYA, WAZIRI WASHUGHULIKIE

. . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 31, 2022

SHABIKI AWAJIBU WANAOBEZA USHINDI WA YANGA

. . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 28, 2022

Saido Ntibazonkiza Aipania Yanga

kiungo wa soka ambaye alipata umaarufu mkubwa akiwa na Klabu ya Yanga, Saido Ntibazonkiza, amefunguka kuwa mechi yao ijayo dhidi ya Yanga, kwake anaitazama kwa umakini mk . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 25, 2022

Watu watatu wamekufa katika ujenzi wa viwanja Qatar

Shirikisho la soka duniani FIFA limesema watu watatu wamekufa katika miaka ya hivi karibuni katika maeneo ya ujenzi wa viwanja vitakavyotumiwa kwa ajili ya mechi za kombe . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 24, 2022

Kikao cha Ronaldo na Erik ten Hag kufanyika leo

Cristiano Ronaldo leo siku ya Jumatatu atakuwa kwenye kika kizito na kocha wake, Erik ten Hag kujadili kile kilichotokea kwenye mchezo wao na Tottenham Hotspur huku t . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2022

Waamuzi wafungiwa muda usiojulikana

CHAMA cha Soka Mkoa wa Mjini Magharib kimewasimamisha waamuzi wawili na kumfungia kutochezesha ligi mmoja kwa kushindwa kumudu Sheria 17 za soka.Kwa mujibu wa taari . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 16, 2022

Tanzania yashtua Ulimwengu wa soka katika Kombe la Dunia chini ya miaka 17

Timu ya taifa ya soka ya wanawake chini ya umri wa miaka 17 ya Tanzania (Serengeti Girls) sikua ya  Jumamosi iliushtua Ulimwengu wa soka baada ya kuifunga timu ya ta . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 14, 2022

Mgunda apania kwa Mkapa

Simba kinaendelea kujifua kwa ajili ya mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Primeiro de Agosto ya Angola, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mgunda akif . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • October 12, 2022

Mashabiki wa Arsenal wafanya sherehe

Arsenal na Manchester United ndio klabu zinazoongoza kwa kuwa na mashabiki wengi barani Afrika lakini pia katika bara la Asia Manchester wakijatwa kuongoza zaidi.Mbali na . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 10, 2022

KMC FC YA INGIA KAMBINI KUJIANDAA NA MTIBWA SUGAR JUMAMOSI

Kikosi cha KMC FC leo kimeanza maandalizi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar utakaochezwa siku ya Jumamosi Oktoba 15 katika uwanja w . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • October 4, 2022

Ten Hag aruhusu Ronaldo kuondoka

kocha wa Manchester United Eric ten Hag yupo tayari kumruhusu mshambuliaji wake Cristiano Ronaldo kuondoka klabuni hapo kwenye dirisha dogo la usajili la mwezi Januari 20 . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 3, 2022

Tembo Warriors yapata ushindi wa kwanza Kombe la Dunia

Timu ya Taifa ya Watu wenye ulemavu Tembo Warriors, imepata ushindi wa kwanza katika mashindano ya Kombe la Dunia 2022 yanayoendelea nchini Uturuki wakiifunga Uzbekistan . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 3, 2022

Mbunge "Yanga hii inatoboa CAF"

Kocha wa timu ya Bunge (Bunge SC), Ahmed Juma Ngwali amekiangalia kikosi cha sasa cha Yanga kisha akatamka kibabe kwamba kama wataamua kukaza watatoboa kiulaini tu katika . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 29, 2022

John Mikel Obi Astaafu Soka

Kiungo wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, John Mikel Obi, ameangika daluga zake kwenye ulingo wa soka akiwa na umri wa miaka 35.Akitangaza maamuzi hayo, Mikel alisema . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 23, 2022

Simba Mushusha Mafundi

 Mgunda amesaini mkataba wa mwaka mmoja Simba na klabu hiyo iko kwenye mchakato wa kuajiri makocha watatu kwa mpigo, Makocha hao ni wa viungo, makipa na bosi wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 23, 2022

Wachezaji 15 wa kike wajiuzulu

 wachezaji 15 wa timu ya taifa ya wanawake ya Uhispania wamejiuzulu wiki chache baada ya minon'gono ya kuwepo kwa mgawanyiko kwenye kambi ya timu hiyo. Vyombo vya ha . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 21, 2022

UNYANYASAJI WA KINGONO WAMUONDOA MKURUGEZI CHELSEA

Chelsea imemfuta kazi Mkurugenzi wa Biashara, Damian Willoughby mwezi mmoja baada ya kuajiriwa kutumikia nafasi hiyo. Willoughby alibainika alikuwa akituma jumbe zisizofa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 14, 2022

Mchezaji wa Man City Benjamin Mendy Afutiwa Shtaka la Ubakaji

Mchezaji wa Manchester City, Benjamin Mendy hakupatikana na hatia katika kesi ya kumbaka mwanamke mwenye umri wa miaka 19.Uamuzi huo ulitolewa na jaji wa Mahakama ya Ches . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 14, 2022

ONYANGO AREJAEA TENA.

Beki wa Simba, Mkenya Joash Onyango ambaye alikuwa analazimisha kuondoka kikosini, jana alikuwa miongoni mwa mastaa waliosafiri na timu kwenda Mbeya.Awali, Onyango alipel . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 13, 2022

BANDA AREJESHWA TAIFA STARS

Kocha mkuu wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Hanoor Janza amemrejesha kikosini beki Abdi Banda anayecheza soka la kulipwa nchini Afrika Kusini katika klabu ya Chipa Uni . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • September 13, 2022

Mwanasarakasi wa Kike Asiye na Miguu Aliyeweka Rekodi Duniani

 Jen Bricker au Moceanu ni  mhamasishaji na mwanasarakasi wa kike kutoka Marekani asiye na miguu yote miwili.Jen ana umri wa miaka 32, ni mwanamke aliyepitia ma . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 12, 2022

KISINDA AKWAMA YANGA

Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imekata mzizi wa fitina kwa kuuzuia usajili wa winga aliyerejea Yanga, Tuis . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 7, 2022

HIKI NDIO CHANZO CHA KOCHA WA SIMBA KUONDOLEWA.

Uongozi wa Simba jana mchana ulitangaza kuvunja mkataba na kocha wake Mserbia Zoran Manoljović  baada ya kudumu kwa miezi miwili huku sababu tatu zikitajwa kumuondo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 5, 2022

TARIFA KUTOKA TFF.

TFF yatoa ufafanuzi dhidi ya usajili wa wachezaji wa kigeni na hii ni kutokana na sakata la timu ya yanga. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 4, 2022

Qatar yaruhusu Bia wakati wa Kombe la Dunia.

Qatar itawaruhusu mashabiki kununua bia zenye kileo katika mechi za soka za kombe la dunia saa tatu kabla ya kuanza na kumalizika kwa filimbi ya mwisho, lakini sio wakati . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 1, 2022

Mziki Wa Mayele

SI Yanga pekee inayopiga hesabu za kukutana na Al Hilal ya Sudan hata wao huko walipo ni kama wameshaivuka St Georges wanaiwaza Yanga.Yanga inacheza mechi mbili nyumbani . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • September 1, 2022

Moallin Atamani Kuendelea.

Aliyekuwa  Kocha Mkuu wa Azam FC, Abdihamid Moallin amesema kwamba anaheshimu maamuzi ya uongozi wa timu hiyo baada ya kuondolewa kwenye majukumu hayo.Akizungumza na . . .

Kurasa 14 ya 21

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • SABABU ZA HECHE KUNYIMWA UWANJA WA FURAHISHA MWANZA

    • 4 masaa yaliopita
  • RASMI CARLO ANCELOTTI KOCHA MPYA BRAZIL

    • 4 masaa yaliopita
  • XABI ALONSO KUANZA KUIFUNDISHA MADRID KOMBE LA DUNIA

    • 6 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode