Baada ya Lionel Messi kushinda Kombe la Dunia la FIFA huko Qatar, Benki Kuu ya Argentina inafikiria kuweka sura wa mchezaji huyo mashuhuri wa PSG katika noti ya 1000 kuto . . .
Maelfu ya wakazi wa Argentina Jumanne wamemiminika kwenye barabara za mji mkuu wa Buenos Aires, ili kuishangilia timu yao iliyochukua kombe la dunia ikiongozwa na nyota L . . .
Klabu ya Saudi Arabia ya Al Nassr inatarajia kupata saini ya mshambuliaji wa Ureno Cristiano Ronaldo mwishoni mwa mwaka huu. Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester Un . . .
RASMI uongozi wa Coastal Union umetangaza kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Yusuf Chipo ambaye alikuwa ni kocha mkuu wa timu hiyo.Taarifa rasmi iliyotolewa na Coa . . .
Karim Benzema ametangaza kustaafu soka la kimataifa, siku moja baada ya Ufaransa kushindwa na Argentina katika fainali ya Kombe la Dunia 2022.Benzema alikosa michuano hiy . . .
Shirikisho la soka Ulimwenguni (FIFA) linadaiwa kuwa limekataa ombi la Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kutaka kabla ya mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia kati ya Arge . . .
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ufaransa Kylian Mbappe amesema kwenye mechi yao ya fainali dhidi ya Argentina anategemea sapoti kubwa kutoka barani Afrika kwa kuwa Wafar . . .
LIYEKUWA mshambuliaji wa Singida Big Stars, Peterson Da Cruz ‘Peu’ ametambulishwa kuwa mchezaji mpya wa Clube Nautico Marcilio Dias inayoshiriki Ligi Daraja la Tatu n . . .
Dirisha dogo la usajili kwa Ligi Kuu, Daraja la Kwanza, Daraja la Pili na Ligi ya Wanawake limefunguliwa Desemba 15, 2022 na litafungwa Januari 15,2023. . . .
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa amesema wizara bado inaendelea kuchunguza sakata la Hassan Mwakinyo baada ya kupoteza pambano lake nchini Uinger . . .
Lionel Messi amempiku nyota wa soka wa Argentina, Gabriel Batistuta kama mfungaji bora wa taifa hilo katika Kombe la Dunia baada ya kuifungia timu yake goli dhidi ya Croa . . .
MABOSI wa Berkane FC ya nchini Morocco wamefunga safari kumfuata kiungo mchezeshaji, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kwa ajili ya kuinasa saini yake ikiwa ni baada ya kukoshw . . .
Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Barbara Gonzalez leo ameandika barua ya kujiuzulu wadhifa wake kama Afisa Mtendaji Mkuu wa timu hiyo kuanzia January mwakani.“Nimetoa notisi . . .
Inadaiwa kuwa Staa wa Ureno, Cristiano Ronaldo alitaka kupakia mabegi yake na kuondoka nchini Qatar baada ya kukasirishwa kutokana na kutopangwa kwenye kikosi cha kwanza . . .
KLABU ya Al-Nassr iliyoko Saudi Arabia imeweka mezani ofa nono ili kujitwalia huduma za nyota Cristiano Ronaldo baada ya fainali za Kombe la Dunia kukamilika nchini Qatar . . .
Uongozi wa Klabu ya Ruvu Shooting umemtangaza Kocha Mkuu Mbwana Makataa ambaye atakuwa ndani ya kikosi hicho kwa sasa. Ni mkataba wa mwaka mmoja amepewa akibeba mik . . .
MWINYI Zahera aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga ametambulishwa kuwa Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania. Taarifa rasmi ambayo imetolewa na uongozi wa Polisi Tanzania umebainisha k . . .
KUTOKANA na Kombe la Dunia la FIFA la 2022 linalofanyika Qatar kuanza karibia majira ya baridi, msimu huu umekuwa wa kitofauti ambapo ligi mbalimbali duniani zimesimama k . . .
UFARANSA tayari wamefuzu kwa hatua ya 16-Bora, lakini leo Jumatano watakutana na Tunisia ambao ushindi utafufua matumaini yao ya kutinga katika raundi hiyo ya maondoano. . . .
Brazil iliungana na Ufaransa katika hatua ya mwondoano kwenye Kombe la Dunia siku ya Jumatatu, Novemba 28, baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Switzerland.Kiungo wa kati wa . . .
Shirikisho la vyama vya kandanda duniani FIFA litachunguza hatua ya timu ya Ujerumani ya kukiuka taratibu za kuitisha mkutano na waandishi habari kabla ya pambano na timu . . .
Waogeleaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ya wanaume na wanawake (Tanzanite) wameipeperusha vyema bendera ya nchi baada ya kushinda mashindano ya Kanda ya tatu Afrika yaliy . . .
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametoa amri ya watu kutotoka nje ya Wilaya mbili ambazo mlipuko wa virusi vya Ebola ulianzia, kwa muda wa siku 21. Museveni amesema kwamba . . .
Timu ya taifa ya Qatar imekuwa ya kwanza kuaga mashindano ya kombe la dunia baada ya kufungwa na Senegal bao 3-1 siku ya Ijumaa katika uwanja wa Al Thumama Do . . .
Wachezaji wa Saudi Arabia watazawadiwa gari aina ya Rolls Royce Phantom baada ya kuifunga Argentina kwenye Kombe la Dunia la Fifa 2022.Rolls Royce itazawadiwa kwa kil . . .
Kaimu Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda amemuongeza kwenye benchi lake, staa wa zamani wa Msimbazi, Mussa Hassan Mgosi.Straika huyo aliyekuwa anakochi timu ya vijana ya . . .
WAKATI timu ya taifa ya Brazil ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Serbia staa wao Neymar alipata maumivu ya enka.Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye benchi la ufun . . .
Waziri wa Michezo wa Saudi Arabia Prince Abdulaziz bin Turki Al-Faisal amebainisha nia ya kutamani kumuona Cristiano Ronaldo akishiriki katika Ligi Kuu ya Nchi hiyo k . . .
Mabingwa watetezi wa Kombe la Dunia, Ufaransa, walianza kampeni za kipute hicho mwaka huu kwa ushindi wa 4-1 dhidi ya Australia katika pambano la Kundi D lililo . . .
Mabingwa watetezi wa Kombe la Dunia wamepindua meza kibabe na kusepa na pointi tatu mazima kwenye mchezo wa kwanza wa makundi dhidi ya Australia.Austaralia wakiwa U . . .
TUNISIA almaarufu Carthage Eagles watafungua kampeni za Kombe la Dunia kwa kibarua kizito dhidi ya Denmark katika uga wa Education City mjini Al Rayyan. Wawakilishi . . .
UONGOZI wa Dodoma Jiji umetamba kuifunga Yanga kwenye mchezo wa ligi na kuvunja rekodi ya timu hiyo kutofungwa ndani ya ligi.Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi im . . .
Hatimaye Sadio Mane amevunja kimya chake baada ya kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar. Read more: https://kiswahili.tuko.co.ke/michezo/483798- . . .