logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 18, 2023

Ally Kamwe 'Kuna kazi nzito 2023/24"

Uongozi wa Klabu Bingwa Tanzania Bara Young Africans umeweka wazi kuwa kazi ipo msimu mpya wa 2023/24 kutokana na mipango makini inayosukwa kwenye klabu hiyo.Young Africa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 18, 2023

Habibu Kondo kocha mpya Mtibwa Sugar

Imefahamika Rasmi Klabu ya Mtibwa Sugar imemwajiri Kocha Mzawa Habibu Kondo kuwa kocha mkuu wa timu hiyo na anaanza majukumu yake leo Jumanne (Julai 18).Kondo amechukua n . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 17, 2023

Ahmed Ally "Suala la Chama Lipo Kwa Viongozi"

Kundi la pili la wachezaji wa klabu ya @simbasctanzania limeondoka alfajiri ya leo nchini kuelekea Uturuki kuungana na wachezaji wengine ambao tayari wapo huko wakiendele . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 16, 2023

Sadio Mane afukuzwa Bayern Munich "Huna Msaada Kwenye Timu yetu"

Uongozi wa klabu ya Bayern Munich ya Ujerumani umemshauri nyota wao raia wa Senegal, Sadio Mane kuchunguza chaguzi za uhamisho.Uongozi wa Bayern umethibitisha kwa sasa ha . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 14, 2023

Kufuzu Kombe La Dunia 2026: Tanzania, Morocco Na Niger Kundi Moja

Timu ya Taifa ya Tanzania (TaifaStars), imepangwa Kundi E katika makundi ya kufuzu Kushiriki Michuano ya Kombe la Dunia ya mwaka 2026Katika droo iliyochezeshwa leo makund . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 14, 2023

Wilson Oruma "Robertinho hampendi Chama tangu siku ya kwanza"

Wakati vuguvugu la kiungo wa Simba Clatous Chotta Chama likizidi kuchukua nafasi katika midomo ya wapenda soka nchini.Mchambuzi wa Michezo kutoka EFM ametoa kauli inayoon . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 13, 2023

Kwenye mauzo ya Mshambuliaji huyo, Arsenal inahitaji kati ya Pauni 30 milioni na Pauni 50 milioni, hivyo kama West Ham watamchukua kwa Pauni 50 milioni, hiyo itakuwa nafuu kwa Arsenal na kuonekana kama wamepata punguzo la bei kwenye usajili wa Rice kutoka West Ham, ambao wanahitaji Mshambuliaji mpya. West Ham wanataka kutumia pesa za Rice kumsajili Harvey Barnes na James Ward-Prowse.

Klabu ya Arsenal huenda ikapata ahueni kidogo kwenye mkwanja kunasa huduma ya kiungo Declan Rice kwa kuwa kuna kiasi kitarudi kutokana na West Ham United kuhitaji saini y . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 13, 2023

Kitasa Kipya Yanga Chachota Sh 200Mil, Aucho Ahusika Usajili Wake

Beki wa kati ya Timu ya Taifa ya Uganda na Klabu ya SC Villa ya nchini humo, Gift Fred.IMEELEZWA kuwa Yanga imetumia dau la Sh 200Mil kufanikisha usajili wa beki wa kati . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 11, 2023

Kyle Walker yuko njia panda Man City

Klabu Bingwa nchini England Manchester City imempa ofa ya mkataba mpya beki wa England, Kyle Walker ili kujaribu kumshawishi abaki katika klabu hiyo msimu huu wa majira y . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 11, 2023

Ihefu FC kumng’oa Pascal Wawa

Uongozi wa Ihefu FC umegonga hodi Singida Fountain Gate kwa ajili ya kumpata beki wa kati, Pascal Wawa kwa mkopo utakaomuweka kwenye viunga vya Mbarali hadi msimu ujao.Ih . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 10, 2023

Usajili wa Caicedo waibua vicheko London

Mashabiki wa The Gunners ‘Arsenal’ wamewacheka wale wa Chelsea baada ya kufahamika Brighton wanataka zaidi ya Pauni 100 milioni kumuuzaMoises Caicedo.Kiungo huyo wa E . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 9, 2023

Chama Akanusha Taarifa za Kwenda Kujiunga Yanga

Hizi taarifa zinasambaa nipende kukanusha ni za uongo zipuuzwe mara moja.Sijawai kuwa na mawazo ya kwenda yanga wala kujiunga na yanga tangu niwe mchezaji wa Simba. Naipe . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 7, 2023

Man Utd yaweka Milioni 40 kwa Onana

Klabu ya Manchester United imeiambia Inter Milan kwamba iko tayari kutoa Pauni Milioni 40 ili kufanikisha usajili wa Mlinda Lango wao, Andre Onana, kwa mujibu wa ESPN.Maz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 6, 2023

Fabrice Ngoma Aliyetekwa na Simba Ashitakiwa FIFA na Al Hilal

MARA baada ya wachezaji wa timu ya Al Hilal kutaka kusitisha mkataba huku wakihusishwa na baadhi ya timu za hapa nchini, mabosi wao wameamua kuwafungulia mashtaka Fifa.Wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 5, 2023

Golikipa wa PSG Rico akiwa katika chumba cha wagonjwa mahututi baada ya ajali

Kipa wa Paris Saint-Germain Sergio Rico yuko nje ya uangalizi maalum, ripoti ya hospitali ilithibitisha Jumatano, huku akiendelea kupata nafuu kutokana na jeraha la kiwew . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 5, 2023

FIFA Yakaribia Kubadilisha Sheria za Offside Baada ya Pendekezo la Arsene Wenger

Wito wa Arsene Wenger kwa mabadiliko katika kanuni za kuotea unaonekana kuwa na matunda, huku shirikisho la soka la dunia, FIFA, likipanga kujaribu mapendekezo mapya.&nbs . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 5, 2023

Rais wa Barcelona Afichua Klabu Hiyo Bado Inamlipa Messi Mshahara Miaka Miwili Baada ya Kuondoka

Barcelona bado inamlipa Lionel Messi zaidi ya miaka miwili baada ya kuondoka klabuni na itaendelea kufanya hivyo hadi angalau 2025. Katika mahojiano na Cadena SER, L . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 30, 2023

Al Nassr kumteua Mreno kama meneja baada ya ombi la Ronaldo

Kocha wa Ureno Luis Castro anaondoka katika klabu ya Botafogo ya Brazil na kuwa meneja wa timu ya Saudi Pro League ya Al Nassr.Al Nassr alikuwa akitafuta meneja mpya tang . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 29, 2023

Chelsea kurudi mezani usajili wa Caicedo

Imeelezwa kuwa Klabu ya Chelsea inajipanga kuanza upya mazungumzo na Uongozi wa Brighton kwa ajili ya kumsajili kiungo, Moises Caicedo.The Blues ipo kwenye mchakato wa ku . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 27, 2023

Okwa "Hawajanilipa Pesa za Kuvunja Mkataba"

UDAKU SPECIALHomeTrending GossipKiungo Nelson Okwa Aendelea Kuivua Nguo Simba "Hawajanilipa Pesa za Kuvunja Mkataba"Kiungo Nelson Okwa Aendelea Kuivua Nguo Simba "Hawajan . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 26, 2023

Kocha Mashujaa FC Atoa Neno Kwa Ligi Kuu

Baada ya kuupa heshima Mkoa wa Kigoma kwa kuipandisha Ligi Kuu Tanzana Bara Mashujaa FC kwa ushindi wa jumla wa 4-1 dhidi ya Mbeya City, Kocha Abdul Mingange ametamba kua . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 26, 2023

Modric ameongeza mkataba wa Real Madrid hadi 2024

Kiungo mkongwe wa Real Madrid Luka Modric atasalia katika klabu hiyo kwa msimu mwingine baada ya kuongeza mkataba wake hadi Juni 2024, timu hiyo ya Uhispania ilisema Juma . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 23, 2023

Cedrick Kaze kukabidhiwa Benchi la Ufundi

Kocha kutoka nchini Burundi Cedrick Kaze anapewa nafasi kubwa ya kurithi mikoba ya Fredy Felix Minziro aliiyetupiwa virago Geita Gold FC, baada ya mkataba wake kufikia ki . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 21, 2023

Khalid Aucho Ashinda Tuzo ya Mchezaji bora

Kiungo wa kimataifa anayekipiga klabu ya Yanga, Khalid Aucho ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwaka nchini Uganda inayotolewa na mtandao wa Pulse Sports wa nchini humo. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 20, 2023

Chelsea wamethibitisha kumsajili Christopher Nkunku kutoka RB Leipzig

Chelsea ilikamilisha usajili wake wa kumnunua fowadi wa Ufaransa Christopher Nkunku kutoka RB Leipzig kwa mkataba wa thamani ya pauni milioni 63 siku ya Jumanne.Nkunku al . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 19, 2023

Real Madrid wamemsajili Joselu kwa mkopo kutoka Espanyol

Real Madrid ilithibitisha kuwasili kwa mshambuliaji wa Uhispania Joselu kwa mkopo kutoka Espanyol iliyoshuka daraja kwa msimu ujao Jumatatu."Real Madrid na Espanyol wamek . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 18, 2023

Mchezaji Haaland Azomewa na Mashabiki Wake Baada ya Mechi

ErlingHaaland amekutwa na tukio hilo baada ya Timu yake ya Taifa ya Norway kupoteza mchezo kwa magoli 2-1 dhidi ya Scotland, ambapo aliingia kwenye basi la timu moja . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 16, 2023

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron " Mbappe Asiondoke PSG "

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amefichua kuwa atajaribu kumshawishi nahodha wa timu ya taifa Kylian Mbappe asiondoke katika miamba hao wa soka ya Ufaransa.Macron alizun . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 15, 2023

Chelsea wamekataa dau la Man Utd la pauni milioni 40 kumnunua Mason Mount

Manchester United wameshuhudia ofa yao ya awali ya pauni milioni 40 kwa kiungo wa kati Mason Mount kukataliwa na Chelsea. Inaripotiwa kuwa The Blues wanashikilia dau . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 15, 2023

Ronaldo Kumlipa Georgina Milioni 257 Kila Mwezi Endapo Wakiachana

Mitandao inaripoti kwamba Cristiano Ronaldo amesaini makubaliano ya kabla ya ndoa (pre-nup agreement) ambapo imeelezwa kwamba, kama ikitokea wakaachana, nyota huyo wa Ure . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 14, 2023

Singida Big Stars yauzwa

Klabu ya Singida Big Stars FC rasmi imeuzwa kwa Japhet Mboto Makau Mkurugenzi wa Fountain Gate Sports Academy, ambaye kuanzia sasa atakuwa mmiliki mpya wa timu hiyo iliyo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 13, 2023

"Kylian Mbappe" Siwataki Tena PSG

Nahodha wa Ufaransa Kylian Mbappe ameambia Paris Saint-Germain kuwa hataongeza mkataba wake hadi mwaka 2025 na kuzua tumbo joto katika mabingwa hao wa Ligue 1.Mkataba wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 11, 2023

Azam Wanaendelesha Operation Yao, Sasa Waivamia Kambi ya Simba, Wanamtaka

Baada ya kumalizana na Kiungo kutoka visiwani Zanzibar Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ akitokea Young Africans, Uongozi wa Azam FC unatajwa kuhamishia nguvu Simba SC . . .

Kurasa 12 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • MAJALIWA MGENI RASMI SIKU YA CHAKULA DUNIANI.

    • 21 dakika zilizopita
  • DALILI ZA UWEPO WA GESI ASILIA ZAONEKANA KATIKA KITALU CHA LINDI-MTWARA

    • saa moja lililopita
  • WANAWAKE VIJIJINI WAHIMIZWA KUENDELEZA MIFUMO ENDELEVU YA CHAKULA

    • 2 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode