Mgunda amesaini mkataba wa mwaka mmoja Simba na klabu hiyo iko kwenye mchakato wa kuajiri makocha watatu kwa mpigo, Makocha hao ni wa viungo, makipa na bosi wa . . .
wachezaji 15 wa timu ya taifa ya wanawake ya Uhispania wamejiuzulu wiki chache baada ya minon'gono ya kuwepo kwa mgawanyiko kwenye kambi ya timu hiyo. Vyombo vya ha . . .
Chelsea imemfuta kazi Mkurugenzi wa Biashara, Damian Willoughby mwezi mmoja baada ya kuajiriwa kutumikia nafasi hiyo. Willoughby alibainika alikuwa akituma jumbe zisizofa . . .
Mchezaji wa Manchester City, Benjamin Mendy hakupatikana na hatia katika kesi ya kumbaka mwanamke mwenye umri wa miaka 19.Uamuzi huo ulitolewa na jaji wa Mahakama ya Ches . . .
Beki wa Simba, Mkenya Joash Onyango ambaye alikuwa analazimisha kuondoka kikosini, jana alikuwa miongoni mwa mastaa waliosafiri na timu kwenda Mbeya.Awali, Onyango alipel . . .
Kocha mkuu wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Hanoor Janza amemrejesha kikosini beki Abdi Banda anayecheza soka la kulipwa nchini Afrika Kusini katika klabu ya Chipa Uni . . .
Jen Bricker au Moceanu ni mhamasishaji na mwanasarakasi wa kike kutoka Marekani asiye na miguu yote miwili.Jen ana umri wa miaka 32, ni mwanamke aliyepitia ma . . .
Kamati ya Katiba, Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imekata mzizi wa fitina kwa kuuzuia usajili wa winga aliyerejea Yanga, Tuis . . .
Uongozi wa Simba jana mchana ulitangaza kuvunja mkataba na kocha wake Mserbia Zoran Manoljović baada ya kudumu kwa miezi miwili huku sababu tatu zikitajwa kumuondo . . .
TFF yatoa ufafanuzi dhidi ya usajili wa wachezaji wa kigeni na hii ni kutokana na sakata la timu ya yanga. . . .
Qatar itawaruhusu mashabiki kununua bia zenye kileo katika mechi za soka za kombe la dunia saa tatu kabla ya kuanza na kumalizika kwa filimbi ya mwisho, lakini sio wakati . . .
SI Yanga pekee inayopiga hesabu za kukutana na Al Hilal ya Sudan hata wao huko walipo ni kama wameshaivuka St Georges wanaiwaza Yanga.Yanga inacheza mechi mbili nyumbani . . .
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa Azam FC, Abdihamid Moallin amesema kwamba anaheshimu maamuzi ya uongozi wa timu hiyo baada ya kuondolewa kwenye majukumu hayo.Akizungumza na . . .
Mshambuliaji wa Klabu ya Simba, Mzambia Moses Phiri amepata dawa mpya ya kudumu kwenye kikosi cha kwanza cha timu hiyo.Phiri ameweka wazi kwamba yuko fiti kucheza nafasi . . .
Kufuatia maneno ya kaka mkubwa wa kiungo wa kati wa Ufaransa na klabu ya Juventus Paul Pogba, Mathias Pogba siku kadhaa zilizopita, akidai hivi karibuni . . .
Miamba ya soka Uingereza, Manchester United leo imeendeleza wimbi la ushindi baada ya kupata ushindi mwembamba wa bao 1-0 ugenini dhidi ya Southampton katika mfululizo wa . . .
Baada ya kuitumikia Man United kwa miaka sita beki wa kimataifa wa Ivory Coast Eric Bailly ameondoka Man United na kwenda kujiunga na Olympic Marseille kwa mkopo hadi mwi . . .
BOSI wa benchi la ufundi la Simba, Zoran Manojlovic ‘Maki’, ameweka wazi kuwa matakwa ya kimfumo ambao anautumia ndiyo sababu kubwa ya kutoonekana kwa straika na naho . . .
Klabu ya Zalan ya Sudan Kusini imewasilisha rasmi maombi ya mechi zao zote dhidi ya Mabingwa wa Tanzania Yanga zichezwe hapa nchini kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa.Taari . . .
Bondia Twaha Kassim ‘Kiduku’ ameanza Kambi ya kujiandaa na Pambano la Kimataifa ambalo huenda likaunguruma Septemba 24, katika mkoa ambao utatangazwa baadae.Kiduku am . . .
Kuelekea Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya kwanza, Kocha Mkuu wa Nyasa Big Bullets, Kalisto Pasuwa, amefichua kuwa kwa sasa amekuwa akiwafuatilia kwa karibu wachezaji wa S . . .
Wizara ya Ulinzi ya Jeshi la Shirikisho Urusi limemtunuku nishani kwa kuimarisha ushirikiano katika Majeshi Kimataifa. Kanali Joseph Bakari ni mwanajeshi anayetumiki . . .
Wakati zikisaliwa takribani siku 13 kabla ya usajili wa dirisha kubwa kufungwa hapa nchini, uongozi wa Simba, umetangaza kuachana mazima na mshambuliaji wa Vipers FC ya U . . .
Bilionea namba moja duniani mwenye utajiri wa $265.7 bilioni Elon Musk amekanusha kuhusu kuinunua klabu ya Manchester United baada ya kuandika kupitia akaunti yake ya Twi . . .
Baada ya mazungumzo kwa siku kadhaa na klabu ya Juventus pamoja na muwakilishi wa mchezaji Adrien Rabiot ambaye ni mama yake, Klabu ya Manchester United imeshindwa kufiki . . .
YANGA wamethibitisha rasmi leo Agosti 12, 2022 kuachana na aliyekuwa Afisa wa habari na mawasiliano wake, Hassani Bumbuli. . . .
Hukumu ya mchezaji wa mpira wa kikapu wa Marekani Brittney Griner kwenda jela miaka 9 nchini Urusi kwa ulanguzi wa madawa ya kulevya, katika muktadha wa mahusiano yenye m . . .
Kocha msaidizi na mtaalamu wa viungo Simba, Karim Sbai amesema kwa muda wa wiki mbili aliokuwa kwenye kikosi hicho amefanikiwa katika maeneo mengi tofauti na alivyokuwa a . . .
Morrison ameanza kazi rasmi Yanga na leo akiingia siku ya nne mazoezini, lakini kocha mmoja fundi wa mazoezi ameshtukia kitu kwa winga huyo Mghana kisha akamtengea siku 1 . . .
Zikiwa zimebaki siku 10 kabla ya Simba na Yanga kukutana kwenye mchezo wa ufunguzi wa ligi wa Ngao ya Jamii, Agosti 13 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, kocha wa Simba . . .
Klabu ya wananchi ya Raja Athletic ya Morocco iko katika hesabu kali ikipigania saini ya winga wa Simba, Pape Sakho na fedha ambayo wameitaja kupata saini hiyo ni kam . . .
Yanga bado haijawapa mikataba mipya makocha wao, lakini kama kuna kitu kitawashtua basi ni ujio wa ofa moja kubwa kwa kocha mkuu Nasreddine Nabi ambaye kama hawatajiongez . . .
wiki tangu kiungo mshambuliaji wa Simba, Pape Sakho atwae tuzo ya Bao Bora kwenye michuano ya Caf.Bao la Sakho liliingia kwenye kinyang’anyiro cha michuano ya Kombe l . . .