logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 24, 2022

Mwanajeshi wa Russia ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumua raia wa Ukraine

Mwanajeshi wa Russia ambaye alikiri kumuua raia wa Ukraine amehukumiwa kifungo cha maisha jela Jumatatu na mahakama ya Ukraine, licha ya ishara kuwa Kremlin nayo inaweza kuwafikisha mahakamani b . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 24, 2022

Afisa wa polisi auawa Pakistan, wafuasi wa Khan wakamatwa

Chama kikuu cha upinzani nchini Pakistan Tehreek-e-Insaf kinachoongozwa na waziri mkuu aliyeondolewa madarakani hivi karibuni Imran Khan, kimeishtumu polisi kwa kuwazuilia mamia ya wafuasi wake ka . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 24, 2022

Kesi ya kadinali anayeunga mkono demokrasia yatatiza uhusiano wa Vatican na Beijing

Wanachama sita wa mfuko wa misaada ya pande zote kwa wanaharakati wanaounga mkono demokrasia wamefikishwa mahakamani huko West Kowloon Jumanne hii asubuhi. Miongoni mwao ni M . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 24, 2022

Jeshi la Polisi lajitenga sakata la Mzee wa Yesu

Ikiwa imepita wiki moja tangu alipokamatwa na maofisa wa Idara ya Uhamiaji bila kujulikana alipohifadhiwa Askofu wa Kanisa la House of Prayer, Mulilege Kameka almaarufu kama Mzee wa Yesu, mkewe am . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • May 24, 2022

‘House girl’ anavyopigana kwenda shule

Haikuwa kazi rahisi kufanya vizuri darasani akiwa kwenye lindi la umaskini, lakini jitihada na hamasa kutoka kwa walimu wake zilimfanya Mariam Mchiwa kupata daraja la kwanza katika matokeo yake . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Idadi ya wakimbizi imepindukia watu milioni 100 kwa mara ya kwanza

Mkuu wa Shirika lenye kuwahudumia wakimbizi duniani, UNHCR Filippo Grandi amesema wa mara ya kwanza vita vya Ukraine vimeongeza idadi ya watu waliolazimishwa kuyakimbia makaazi yao duniani na kupi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Ajali Imetokea Morogoro Baada ya Gari Kugonga Behewa la Treni

AJALI mbaya imetokea inayohusisha gari aina ya TOYOTA PICKUP lenye namba ya usajili T 840 DQF lililokuwa likitokea maeneo ya Tumbaku kuelekea Msamvu kugonga Behewa la Treni lililokuwa likitokea Ki . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Auawa kwa Kupigwa Risasi Akivua Samaki Eneo la Mgodi

MWANAUME aliyejulikana kwa jina la Hamis Mayunga (27) mkazi wa Kijiji cha Dulisi wilayani Kishapu ameuawa kwa kupigwa risasi na anayedaiwa kuwa Mlinzi wa Kampuni ya Ulinzi ya Sam Security aitwaye . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

New Zealand kutoa mafunzo kwa wapiganaji wa Ukraine

Serikali ya New Zealand imetangaza kwamba itatuma nchini Uingereza takriban wakufunzi thelathini wa kijeshi kuwafunza wapiganaji wa Ukraine katika kukabiliana na uvamizi wa U . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Kundi la waasi la M23 lashtumiwa kushambulia walinda amani wa Umoja wa mataifa

Afisa wa ngazi ya juu wa Umoja wa mataifai amelishtumu kundi la M23 linaloendesha harakati zake nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa kushambulia walinda amani wa tume ya Umoja wa mataifa . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 22, 2022

Mahakama ya Pakistan yaamuru uchunguzi kuhusu kukamatwa kwa waziri wa zamani

Mahakama Kuu ya mji mkuu wa Pakistan, Islamabad imeamuru uchunguzi ufanyike juu ya kitendo chenye utata cha kukamatwa kwa aliyekuwa waziri wa haki za binadamu wa nchi hiyo Shireen Mazari kwa tuhum . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Jeshi la Mali limezuia vikosi vya UN kufanya doria kwenye kiini cha ghasia za wanajihadi

Jeshi la Mali lilizuia vikosi vya Umoja wa Mataifa kufanya doria katika mji wa kati wa Djenne kiini cha ghasia na harakati za wanajihadi katika Sahel msemaji wa UN alisema Alhamis tukio la karib . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 20, 2022

Serikali ya Somalia inarudisha fedha ilizozikamata kutoka ndege ya UAE

Serikali ya Somalia imetoa dola milioni 9.6 ilizozikamata kutoka kwenye ndege ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) mjini Mogadishu miaka mine iliyopita hatua inayolenga kurekebisha uhusiano ambao . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Jenerali Tefera Mamo akamatwa

Aliyekuwa kamanda vikosi vya Amhara nchini Ethiopia, jenerali Tefera Mamo, anazuiliwa katika jijini la Bahir Dar, baada yake kutoweka kwa mazingira yasiyoeleweka siku ya jumatatu jiji Addis Ababa. . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

PANYA ROAD WAPEMA ONYO.

Mawaziri Dkt. Dorothy Gwajima wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum na Hamadi Masauni wa Mambo ya Ndani ya Nchi, wameuambia umma kuwa, vijana wadogo wanaovamia watu na kuwaka . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

WATALIBANI WATANGAZA KUSITISHA MAPIGANO.

Wataliban wa Pakistan wamesema wataendeleza muda wa kusimamisha mapigano na serikali ya Pakistan hadi mwishoni mwa mwezi huu. Wajumbe wa pande hizo mbili walikutana chini ya unyekiti wa serikali y . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Utafiti mpya wagundua uchafuzi wa mazingira waongoza kusababisha vifo milioni 9 kwa mwaka

Utafiti mpya umegundua kuwa uchafuzi wa mazingira wa aina zote ndio chanzo cha vifo vipatavyo milioni 9 kwa mwaka duniani kote. Idadi hiyo ya vifo imehusishwa na sababu za hewa chafu kutoka kwenye . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • May 19, 2022

Mbunge akamatwa kwa kubaka

Mbunge wa Chama cha Conservative ambaye jina lake halijatajwa amekamatwa kwa tuhuma za ubakaji na unyanyasaji wa kijinsia. Polisi wa Metropolitan mjini London wameithibitisha kuwa mwanamume mmoja a . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Mapacha Wenye Miaka 9 Mkoani Arusha Wanaishi kwa Kula Magodoro

Mapacha wenye umri wa miaka 9 mkoani Arusha wanaoishi huku wanakula magodoro, wanaomba msaada ili wakatibiwe. Mama mzazi wa watoto hao, Joyce Mrema amesema tatizo lao lilianza wakiwa na umri wa m . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Hospitali Yakanusha Madai ya Maiti ya Msanii Osinachi Kuimba Ekwueme usiku.

Hospitali ya Kitaifa ya Abuja, siku ya Jumatatu, Mei 16, ilikanusha madai kuwa maiti ya mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili, Osinachi Nwachukwu, ilikuwa ikiimba ‘Ekwueme’ katika chumba cha kuhifa . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

WATU WAWILI WANASWA WAKISAFIRISHA POMBE HARAMU KWA KUTUMIA GARI LA KUBEBEA MAITI.

Watu wawili wametiwa mbaroni kwa madai ya kusafirisha pombe haramu iliyovishwa kama maiti kutoka eneo la Magharibi mwa Kenya hadi Nairobi wakitumia gari la kubebea maiti.Wawili Wanaswa Wakisafirisha C . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 18, 2022

Rais Biden na mkewe wametembelea eneo la shambulizi la risasi huko Buffalo, New York

Rais wa Marekani Joe Biden alitangaza Jumanne kwamba tukio lililotokea mwishoni mwa wiki la shambulizi la risasi kwa umma katika mji wa Buffalo kwenye jimbo la New York ambapo kijana mzungu aliy . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

Binti Ampeleka Baba Mkwe Mahakamani.

Halima Yunusa amempeleka baba mkwe katika Mahakama ya Kiislamu Islamic (Sharia Court) katika jimbo la Kaduna nchini Nigeria kwa madai ya kukataa aolewe na mpenzi wake Bashir Yusuf. Taarifa iliy . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 17, 2022

HRW yalaani ongezeko la ghasia dhidi ya raia

Nchini Burkina Faso, ukatili dhidi ya raia umeongezeka kwa kasi katika muda wa miezi tisa iliyopita, kulingana na uchunguzi wa hivi punde wa shirika la kimataifa la haki za b . . .

Kurasa 37 ya 49

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 50 dakika zilizopita

Tume ya Uchaguzi Yatangaza Majimbo Mapya 8 na Kubadili Majina ya Majimbo 12

Siasa
news
  • 2 masaa yaliopita

Katibu wa BAWACHA Kilimanjaro aondoka CHADEMA

Habari
news
  • 24 masaa yaliopita

Rais Samia Aongoza Taifa Kuaga Mwili wa Mzee Cleopa Msuya

Habari
news
  • jana

Charles Hillary, Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Afariki Dunia

Top Stories
news
  • 3 siku zilizopita

Kwa mala ya kwanza Papa Leo XIV akiwa PAPA, aongoza misa akisema; "Kanisa linaweza kusaidia Dunia"

Habari
news
  • 3 siku zilizopita

Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pongezi kwa Mhe. Vladimir Putin

Habari
news
  • 3 siku zilizopita

Tanzania Yajibu Azimio la Bunge la Ulaya Kuhusu Kesi za Kisheria, Yasisitiza Uhuru wa Mahakama

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Tume ya Uchaguzi Yatangaza Majimbo Mapya 8 na Kubadili Majina ya Majimbo 12

    • 50 dakika zilizopita
  • Katibu wa BAWACHA Kilimanjaro aondoka CHADEMA

    • 2 masaa yaliopita
  • Rais Samia Aongoza Taifa Kuaga Mwili wa Mzee Cleopa Msuya

    • 24 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode