logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 5, 2022

Watu 7 wamepoteza maisha nchini China baada ya kutokea Tetemeko la Ardhi

Watu wasiopungua saba wamekufa hii leo baada ya tetemeko la ardhi kuupiga mji wa Kangding ulio katika jimbo la kusini magharibi mwa China la Sichuan. Tetemeko hilo la ukubwa wa 6.6 katika kipimo cha R . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 5, 2022

Watu 10 wauawa kwa kuchomwa kisu Kanada, 15 wajeruhiwa

Polisi nchini Canada inawasaka washukiwa wawili katika tukio ambalo watu kumi waliuawa kwa kuchomwa kisu na wengine karibu 15 kujeruhiwa katika eneo moja la jamii ya kiasili lisilo na wakaazi wengi. M . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 4, 2022

Al-Shabab yafanya shambulio jipya katikati mwa Somalia

Shambulio hilo lilitokea usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi, na kuua takriban raia 19, kulingana na ripoti ya hivi punde. Wiki mbili zilizopita, hoteli moja katika mji mkuu, Mogadishu, ililengwa na mash . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • August 31, 2022

Jera Miaka Minne Kwa Kumcharaza Karani Wa Sensa.

Mahakama ya Wilaya ya Kiteto imemhukumu Amos Nyang’waji kifungo cha miaka minne jela au kulipa faini ya Sh1.2 milioni kwa kosa la kumchapa viboko karani wa Sensa ya Watu na Makazi aliyekuwa Kijiji c . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 30, 2022

Marubani Wapigana Wakiendesha Ndege Angani

Wakiwa ndani ya chumba cha marubani wakiendesha ndege angani, marubani wawili wa Shirika la Ndege la Air France wanaripotiwa kuzichapa kavukavu. Mtu ukiwa unasafiri kwa ndege, matukio kedekede ya . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 28, 2022

Waasi nchini Burkina Faso waua watu 6

Watu wenye silaha na wasiojulikana wamewaua watu sita na kuwajeruhi wengine wawili katika shambulio dhidi ya msafara kutoka mgodi wa dhahabu wa Boungou mashariki mwa Burkina Faso. Taarifa ya Jeshi ime . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • August 28, 2022

Watu milioni 33 Pakistan wakumbwa na mafuriko yaliyoua zaidi ya 1,000

Pakistan inaomba msaada zaidi wa kimataifa baada ya mafuriko kusababisha uharibifu mkubwa kote nchini humo.Marekani, Uingereza, Umoja wa Falme za Kiarabu na nchi nyingine zimechangia kusaidia madhara . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • August 26, 2022

Mwalimu afariki dunia akiamulia ugomvi wa jirani

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Taisi Kata ya Bumera, mkoani Mara, Ibrahimu Maryoba, amefariki dunia kutokana na shinikizo la damu wakati akienda kuamua ugomvi wa jirani yake. Mwenyekiti wa Kijij . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • August 25, 2022

Watu 22 wauawa katika shambulio la Russia kwenye kituo cha treni-Zelenskiy

Takriban watu 22 wameuawa na darzeni kujeruhiwa Jumatano katika shambulio la kombora la Russia kwenye kituo cha treni cha Ukraine, Rais Volodymyr Zelenskiy amesema, wakati taifa lake likiadhimisha uhu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 24, 2022

MBUGE AMUUA MPINZANI WAKE

Mbunge mteule wa Kimilili Didmus Barasa amekana mashtaka ya kumuua mlinzi wa mpinzani wake siku ya uchaguzi mkuu mapema mwezi huu.Mbunge huyo alikuwa amefikishwa mbele ya mahakama ya Kakamega ambapo u . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 24, 2022

Polisi Wasimamishwa kwa Kumpiga Raia

Polisi watatu katika jimbo la Arkansas nchini Marekani, wamesimamishwa kazi kutokana na video iliyozaagaa mitandaoni ikiwaonesha wakimpiga mshukiwa mmoja huku wamemlaza chini Mmoja wa maofisa ame . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 23, 2022

MWALIMU AUAWA NA MWANAE.

Biwi la simanzi limevaa kijiji cha Migingo, katika Kaunti Ndogo ya Kadibo, baada ya Naibu Mwalimu Mkuu wa Shule ya Upili ya Wasichana ya Migingo, Roseline Atieno Nyawada, kupatikana ameuawa nyumbani k . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 22, 2022

Japan kupeleka zaidi ya makombora 1,000 Ili kukabiliana na tishio la China

Kufuatia mvutano unaoongezeka barani Asia tangu uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine, Japan inafanya kilio chini ya uwezo wake ili kupata uwezo mpya wa ulinzi. Inaweza kupeleka makombora zaidi ya elfu mo . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 22, 2022

MAGAIDI WAFANYA MASHAMBULIZI SOMALIA

Polisi wa serikali kuu ya Somalia wamesema Jumapili kwamba maafisa wa usalama wamemaliza kushikiliwa kwa  hoteli moja kwenye mji mkuu wa Mogadishu. Shambulizi hilo lilifanywa na ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 22, 2022

WAZIRI WA ZAMANI WA GUINEA AFARIKI .

Lounceny Camara, mwenye umri wa miaka 62, ni miongoni mwa mawaziri wa zamani na maafisa waandamamizi walioshtumiwa ubadhirifu wa pesa za umma na kufungwa jela baada ya jeshi kumuondoa madarakani rais . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 19, 2022

MWANAUME AJIKATA SEHEMU ZAKE ZA SIRI AKIWA USINGIZINI.

Mwanamume mmoja kutoka taifa la Ghana anaendelea kupokea matibabu hospitalini baada ya kujikata sehemu zake za siri kwa bahati mbaya akilala.Kofia Atta mkulima mwenye umri wa miaka 47 alisema kuwa ali . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • August 19, 2022

Mlipuko Mkubwa Watokea Ndani ya Msikiti Unaobeba Watu Wengi Afghanistan

Polosi mjini Kabul wamesema watu zaidi ya 21 wamefariki kutokana na mlipuko uliotokea ndani ya Msikiti Mkubwa zaidi jijini Kabul, Kati ya hao majeruhi zaidi ya 33 wameripotiwa.Mlipuko wa Jumatano ulit . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 19, 2022

Tajiri kutoka Canada ahukumiwa kifungo cha miaka kumi na tatu jela kwa ulaghai

Tajiri wa Canada mwenye asili ya China, Xiao Jianhua, ambaye alitoweka mnamo 2017 kutoka hoteli moja huko Hong Kong, amehukumiwa kifungo cha miaka kumi na tatu jela, vyombo vya shria vimetangaza Ijuma . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 18, 2022

Kesi ya mtuhimiwa wa mauaji ya kimbari Rwanda Kabuga kuanza Septemba 29

Mtu anayetuhumiwa kufadhili mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka wa 1994 Felicien Kabuga, atapandishwa kizimbani mjini The Hague Septemba 2. Jaji wa mahakama hiyo ya Umoja wa Mataifa Iain Bonomy ames . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • August 18, 2022

Rais wa Ukrain Alaani Mashambulio ya Urusi Dhidi ya Nchi Yake

RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelensky amelaani shambulio dhidi ya makazi ya watu katika mji wa pili kwa ukubwa nchini humo, ambalo alilitaja kuwa la ‘kudharauliwa’. Shambulio hilo limeacha maafa . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • August 16, 2022

50 Wanusurika Kifo Basi Likiteketea kwa Moto

Basi la kampuni ya usafirishaji la Tashrif limeteketea kwa moto asubuhi ya leo tarehe 16 Agosti 2022 wakati likiwa safarini kutoka Tanga Mjini kuelekea Masasi mkoani Mtwara. Dereva wa Basi hilo a . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 16, 2022

Akianguka Kutoka Milima ya Montblanc

BINGWA wa kupanda milima na kuteleza kwenye theluji mwanadada Adele Milloz, 26, afariki dunia baada ya kuanguka kutoka safu za milima ya Montblanc nchini Ufaransa.Milloz alikuwa ameachana na michezo y . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • August 16, 2022

Takriban watu 52 wamefariki dunia

Sudan ilikumbwa na mafuriko katika wiki za hivi karibuni. Kulingana na Baraza la Kitaifa la Ulinzi wa Raia, watu 52 wamefariki dunia tangu mwezi Mei mwaka jana, mwanzoni mwa msimu wa mvua. Zaidi ya ny . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • August 15, 2022

Israel yamuua Mpalestina mmoja huko Jerusalem

Polisi wa Israel wamempiga risasi na kumuua Mpalestina mmoja aliyefahamika kwa jina la Mohammed al-Shaham ambaye alijaribu kuwashambulia maafisa hao kwa kisu wakati wakifanya msako wa silaha zinazomil . . .

Kurasa 36 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 12 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 12 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode