Katika dini ya Kiislam, wanaume wanaruhusiwa kuoa wake zaidi ya mmoja kutokana na maandiko katika kitabu kitukufu cha Uislamu, Kurani.Wanaume Waislamu wanaruhusiwa kuoa hadi wake wanne, japo kwa masha . . .
MSANII wa Bongofleva, Maunda Zorro amefariki dunia kwa ajali ya gari, usiku wa kuamkia leo, April 14, 2022 baada ya gari alilokuwa amepanda aina ya VITZ kugongana uso kwa uso na lori la mchanga Kigamb . . .
Hilda Maeda (82), mkazi wa Mabogini Wilaya ya Moshi, amemuomba Rais Samia Suluhu na mashirika ya kutetea haki za binadamu kuingilia kati, ili kumzuia mwanawe wa kumzaa asimdhulumu mali anazodai ku . . .
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amemshauri Paul Makonda kwenda kituo cha polisi kuripoti tuhuma alizozitoa mtandaoni, ikiwamo ya kudai kutishiwa maisha.“Sijaonge . . .
HIVI karibuni limetokea shambulio katika stesheni moja ya treni jijini NewYork nchini marekani ambapo idadi ya watu Zaidi ya 17 wamejeruhiwa na wengine wawili wakiwa mahututi.Chanzo cha shambulio . . .
DurbanWatu takribani 60 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa katika mji wa Durban na maeneo ya jirani ya mkoa wa Kwazulu Natal nchini Afrik . . .
WashingtonRais wa Marekani Joe Biden amevitaja vita vya Urusi nchini Ukraine kuwa mauaji ya halaiki, yanayolenga kuiangamiza Ukraine. Akizungumza katika hafla moja huko Iowa, alipokuwa akielezea k . . .
Dada watatu pacha wanaofanana kama shilingi kwa ya pili wamefichua kuwa sasa wanachumbiana na mwanaume mmoja baada ya kumpenda katika nyakati tofauti.Wakizungumza katika mahojiano na Jalas, pacha hao, . . .
Kamanda wa Jeshi la Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro amesema jeshi hilo linamshikilia Latifa Bakari (33) mkazi wa Mabibo jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za mauaji ya . . .
Zaidi ya watu 30 waliuawa katika mashambulizi yaliyotekelezwa Jumapili na Jumatatu na washambuliaji wanaoshukiwa kuwa wanajihadi katika mkoa wa kaskazini mashariki mwa DRC wa Ituri, shirika la m . . .
Kenya imekataa ombi la Ukraine la kuhutubia bunge la Kenya, serikali ikihofia kuingizwa katika mzozo wa Ukraine na Urusi na kusambaratisha uswahiba wa Nairobi na Moscow.Serikali Yakataa Ombi la Ukrain . . .
Korogwe. Watu sita wamefariki dunia na wengine 19 wamejeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Coaster kupinduka katika eneo la kwa Mdulu Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, . . .
Kumekuwa na hisia kali baada ya taarifa za kifo cha mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Nigeria Osinachi Nwachukwu.Ripoti za awali zilisema kuwa mwanadada huyo mwenye umri wa miaka 42 alikuwa anaugu . . .
Wanajeshi wa Israel Jumapili wameua wanawake wawili wa Kipalestina baada ya mmoja kuwakimbilia wanajeshi na mwingine kumchoma kisu mwanajeshi katika matukio tofauti katika Ukingo wa magharibi un . . .
Ukraine imedai kuwa imegundua miili zaidi ya watu 1,200 karibu na mkoa wa Kyiv, katika mauaji yanayodaiwa kufanywa na Urusi. Mwishoni mwa Juma, milio ya mabomu ilisikika nchini Ukraine wakati waka . . .
Watu wenye silaha wameshambulia vijiji vya jimbo la Plateau katikati mwa Nigeria na kuua takriban watu 26.Washambuliaji hao waliokuwa kwenye pikipiki walivamia takriban vijiji vinne vya mbali siku . . .
Watu wasiopungua 35 wamekufa leo na wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa baada ya roketi kukipiga kituo cha treni katika mji wa Kramatorsk kinachotumika kuwaondoa raia wanaokimbia vita mashariki mwa . . .
Korea kusini na Marekani wanajiandaa kwa uwezekano wa jaribio la nyuklia la Korea kaskazini huku mivutano ikiwa juu baada ya onyo la wiki hii kutoka Pyongyang, kwamba iko tayari kutumia silaha z . . .
Nchi ya Marekani imeweka vikwazo dhidi ya mabinti wawili wa Rais wa Urusi Vladimir Putin kutokana na ukatili wa Urusi nchini Ukraine kwa kuamini kuwa mali za Putin zimefichwa na wanafamilia. . . .
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, ameshiriki ibada ya kitaifa ya kuaga mwili wa aliyekuwa Spika wa Bunge la Uganda, Mhe. Jacob Oulanyah katika Viwa . . .
Mahakama ya Uturuki imeamua Alhamisi, Aprili 7, kurejesha nchini Saudi Arabia faili ya mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari wa Saudi Arabaia aliyeuawa mwezi Oktoba 2018 katika majengo ya . . .
Maelfu ya raia wa Sudan waliandamana katika mji mkuu wa Khartoum na miji mingine siku ya Jumatano katika maandamano mapya ya kupinga mapinduzi ya kijeshi ya Oktoba ambayo yaliitumbukiza nchi hiy . . .
Baraza kuu la Umoja wa Mataifa linapiga kura hii leo ya uwezekano wa kuisimamisha Urusi kwenye baraza lake la haki za binaadamu. Hatua hiyo ilianzishwa na Marekani kufuatia kugundulika kwa mamia y . . .
Mali imesema jana kwamba wachunguzi wa kijeshi wameanza kuchunguza matukio yaliyotokea kwenye kijiji cha Moura kunakodaiwa vikosi vyake na vya kigeni vilifanya mauaji ya kimbari. Awali mtaalamu wa . . .