Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini ameliagiza Jeshi la Polisi Mkoani Mara, kuhakikisha wanawasaka watuhumiwa waliohusika na mauaji ya Mzee Omary Iyombe Mkazi wa Kijiji cha Kizaru, . . .
Vitendo vya udhalilishaji wa kingono kwa watoto vinazidi kuitikisa nchi na sasa padri mmoja wa Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwabaka na kuwalawiti watoto zaidi y . . .
Maelfu ya raia wa Angola waliandamana Jumamosi kupinga kile walichosema kuwa uchaguzi uliokuwa na dosari wa mwezi uliopita ambao ulikirejesha madarakani chama tawala cha MPLA baada ya takriban miongo . . .
Ndege ya Shirika la Ndege la West Atlantic ilipitiliza njia jana wakati ikijaribu kutua katika uwanja wa Ndege wa Montpellier nchini Ufaransa, na hatimaye kusimama pembeni mwa Ziwa.Ndege hiyo ya mizig . . .
rubani wa ndege iliyokuwa imembeba mwanasoka wa Argentina Emiliano Sala aliwaambia rafiki zake kuwa ndege ile ilikuwa na matatizo kabla haijapata ajali.Emiliano SalaSauti ya rubani David Ibbotson (59) . . .
Jeshi la Polisi kanda maalum ya Tarime/Rorya, linamtafuta Werema Ibaso mkazi wa kijiji cha Isango wilayani Rorya mkoani Mara kwa tuhuma za kumjeruhi mke wake Maria Marwa.Ibaso anatuhumiwa kumjeruhi mk . . .
Polisi huko Murang'a nchini Kenya wanamsaka mwanaume wa miaka 30 anayeshukiwa kumuua kakake mkubwa kufuatia mzozo wa nyama ya utumbo ya KSh 50 sawa na shilingi 1000 ya Tanzania.Katika kisa cha Jumapil . . .
Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Fatma Nyangasa amesema Jeshi la Polisi wilayani humo linawashirikia watu 45 katika operesheni maalumu ya kukabiliana na vitendo vya kihalifu.Septemba 15, 2022 akizungumza . . .
Zaidi ya watu 50 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa kwa kuungua na moto vibaya, baada ya lori la mafuta kulipuka katika kijiji kimoja kilichopo Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo . . .
Zaidi ya wahalifu 100 wamekamatwa ndani ya siku mbili wakituhumiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu wa kuvamia nyumba za watu na kupora mali.Watuhumiwa hao wamekamatwa kufutia uvamizi uliofanywa Sep . . .
Jeshi la polisi mkoani Geita, linamshikilia Athanas Rugambwa (62) mkazi wa Muganza wilayani Chato mkoani Geita kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka nane mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi Ka . . .
Jumla ya Watu 35 wamenusurika kifo, baada ya nyumba wanaishi kuteketea kwa Moto majira ya usiku wa kuamkia Septemba 12, 2022 Mkoani Morogoro.Wakiongea mara baada ya tukio hilo, baadhi ya wapangaji wa . . .
Teddy na Peter amabao ni mapacha wako katika uhusiano wa mapenzi na mwanamke mmoja kwa jina Emily ambaye wanadai ni mke waoUhusiano huo wa kushangaza umempelekea Emily kupata mimba na amefichua kuwa h . . .
Mwanafunzi wa Chuo cha St John, Winfrida Michael (24) amefariki dunia baada ya kuchomwa kisu na mpenzi wake Julius Gervas (26) ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho sababu ikitajwa kuwa wivu wa mapen . . .
Kamanda wa Polisi wa Jimbo la Rivers nchini Nigeria, Friday Eboka amesema wamemkamata mshukiwa wa Reverend Sister, anayejulikana kama Maureen Wechinwu ambaye anadaiwa kuhusika katika wizi wa watoto.Mt . . .
Mshukiwa wa pili aliyekuwa anasakwa na polisi ya Canada kufuatia mashambulizi ya kutumia visu mwishoni mwa wiki iliyopita ambayo yaliwauwa watu 10 katika eneo la jamii ya watu wa asili la Saskatchewan . . .
Polisi katika kijiji cha Ebungaya, kaunti ya Kakamega wanachunguza kisa ambapo mwanamume mwenye umri wa miaka 50, anadaiwa kukatiza maisha yake baada ya mzozo wa kinyumbani mnamo Jumatatu, Septemba 5. . . .
Dodoma. Askari wa Jeshi la Anga, William Giriango (40) amejinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali aliokuwa ameutundika katika nondo ya dirisha katika chumba cha kulala wageni, Mtaa za Hazina jijini Dod . . .
RAIS wa Msumbiji Fillipe Nyusi amesema wanamgambo wa kiislamu walioasi katika jimbo la Napula wamewakata vichwa watu sita (6) huku wakiwateka nyara watu wengine watatu. Wakati akizungumza mubasha . . .
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kiteto, imemhukumu kifungo cha miaka 30, Yerenia Chidaka, mkazi wa Kijiji cha Dongo wilayani humo, baada ya kumtia mimba mtoto wake wa miaka 16.Mtuhumiwa amekiri kosa hilo hii . . .
RAIS Evariste Ndayishimiye ametimua waziri mkuu wa Burundi na akidai kuwa kuna njama ya kupindua serikali yake.Rais Ndayishimiye alimtimua Alain Guillaume Bunyoni bila kutoa sababu.Bunge jana liliidhi . . .
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa Sudan Kusini ,UNMISS pamoja na ofisi ya Umoja wa mataifa ya haki za binadamu wamesema kwamba takriban wanawake 131 na wasichana walibakwa.Ripoti hiyo inaongeza kusema kwamba . . .
Watuhumiwa wanne katika kesi namba mbili ya mwaka 2022 ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekua mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya,wameachiliwa huru, baada ya kuandika barua ofisi ya DPP ya kuomba . . .
Takribani raia 35 waliuawa na 37 walijeruhiwa kaskazini mwa Burkina Faso siku ya Jumatatu wakati gari lililokuwa kwenye msafara lilipokanyaga bomu lililotegwa barabarani.Serikali ya mpito ilisema kati . . .