logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Mauaji
  • Na Asha Business
  • September 26, 2022

Sagini Aagiza Polisi Kuwasaka Watuhumiwa Wa Mauaji

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Jumanne Sagini ameliagiza Jeshi la Polisi Mkoani Mara, kuhakikisha wanawasaka watuhumiwa waliohusika na mauaji ya Mzee Omary Iyombe Mkazi wa Kijiji cha Kizaru, . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • September 26, 2022

Padri Mbaroni Kwa Kulawiti Watoto 10

Vitendo vya udhalilishaji wa kingono kwa watoto vinazidi kuitikisa nchi na sasa padri mmoja wa Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwabaka na kuwalawiti watoto zaidi y . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 25, 2022

Waandamana kupinga matokeo ya uchaguzi Angola

Maelfu ya raia wa Angola waliandamana Jumamosi kupinga kile walichosema kuwa uchaguzi uliokuwa na dosari wa mwezi uliopita ambao ulikirejesha madarakani chama tawala cha MPLA baada ya takriban miongo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 25, 2022

Ndege yapitiliza njia na kutua ziwani

Ndege ya Shirika la Ndege la West Atlantic ilipitiliza njia jana wakati ikijaribu kutua katika uwanja wa Ndege wa Montpellier nchini Ufaransa, na hatimaye kusimama pembeni mwa Ziwa.Ndege hiyo ya mizig . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • September 22, 2022

Chanzo cha kifo cha Mchezaji Emiliano Sala Chafamika

rubani wa ndege iliyokuwa imembeba mwanasoka wa Argentina Emiliano Sala aliwaambia rafiki zake kuwa ndege ile ilikuwa na matatizo kabla haijapata ajali.Emiliano SalaSauti ya rubani David Ibbotson (59) . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • September 21, 2022

Mke akatwa titi, mkono na mume wake Tarime

Jeshi la Polisi kanda maalum ya Tarime/Rorya, linamtafuta Werema Ibaso mkazi wa kijiji cha Isango wilayani Rorya mkoani Mara kwa tuhuma za kumjeruhi mke wake Maria Marwa.Ibaso anatuhumiwa kumjeruhi mk . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • September 21, 2022

Amuua Kaka yake Kisa Nyama ya Utumbo ya Shilingi 1000

Polisi huko Murang'a nchini Kenya wanamsaka mwanaume wa miaka 30 anayeshukiwa kumuua kakake mkubwa kufuatia mzozo wa nyama ya utumbo ya KSh 50 sawa na shilingi 1000 ya Tanzania.Katika kisa cha Jumapil . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • September 18, 2022

Watu 45 wadakwa operesheni maalumu Kigamboni

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Fatma Nyangasa amesema Jeshi la Polisi wilayani humo linawashirikia watu 45 katika operesheni maalumu ya kukabiliana na vitendo vya kihalifu.Septemba 15, 2022 akizungumza . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • September 16, 2022

Zaidi ya Watu 50 Wafariki Katika Mlipuko wa Lori la Mafuta

Zaidi ya watu 50 wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa kwa kuungua na moto vibaya, baada ya lori la mafuta kulipuka katika kijiji kimoja  kilichopo Magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • September 16, 2022

100 wakamatwa kwa matukio ya kihalifu Temeke

Zaidi ya wahalifu 100 wamekamatwa ndani ya siku mbili wakituhumiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu wa kuvamia nyumba za watu na kupora mali.Watuhumiwa hao wamekamatwa kufutia uvamizi uliofanywa Sep . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • September 15, 2022

KATAKISITA ABAKA MTOTO WA MIAKA 8

Jeshi la polisi mkoani Geita, linamshikilia Athanas Rugambwa (62) mkazi wa Muganza wilayani Chato mkoani Geita kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka nane mwanafunzi wa darasa la tatu shule ya msingi Ka . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • September 12, 2022

Nyumba yateketea, 35 wanusurika kifo

Jumla ya Watu 35 wamenusurika kifo, baada ya nyumba wanaishi kuteketea kwa Moto majira ya usiku wa kuamkia Septemba 12, 2022 Mkoani Morogoro.Wakiongea mara baada ya tukio hilo, baadhi ya wapangaji wa . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • September 12, 2022

MAPACHA WAOA MKE MMOJA.

Teddy na Peter amabao ni mapacha wako katika uhusiano wa mapenzi na mwanamke mmoja kwa jina Emily ambaye wanadai ni mke waoUhusiano huo wa kushangaza umempelekea Emily kupata mimba na amefichua kuwa h . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • September 9, 2022

Mwanachuo Ajikata Tumbo Baada ya Kumuua Mwanafunzi Mwenzake

Mwanafunzi wa Chuo cha St John, Winfrida Michael (24) amefariki dunia baada ya kuchomwa kisu na mpenzi wake Julius Gervas (26) ambaye pia ni mwanafunzi wa chuo hicho sababu ikitajwa kuwa wivu wa mapen . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 8, 2022

Sista Matatani kwa Wizi wa Watoto

Kamanda wa Polisi wa Jimbo la Rivers nchini Nigeria, Friday Eboka amesema wamemkamata mshukiwa wa Reverend Sister, anayejulikana kama Maureen Wechinwu ambaye anadaiwa kuhusika katika wizi wa watoto.Mt . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 8, 2022

Mshukiwa wa pili wa mashambulizi ya visu Canada afariki dunia

Mshukiwa wa pili aliyekuwa anasakwa na polisi ya Canada kufuatia mashambulizi ya kutumia visu mwishoni mwa wiki iliyopita ambayo yaliwauwa watu 10 katika eneo la jamii ya watu wa asili la Saskatchewan . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • September 8, 2022

AJIUA BAADA YA KUNYIMWA TENDO LA NDOA.

Polisi katika kijiji cha Ebungaya, kaunti ya Kakamega wanachunguza kisa ambapo mwanamume mwenye umri wa miaka 50, anadaiwa kukatiza maisha yake baada ya mzozo wa kinyumbani mnamo Jumatatu, Septemba 5. . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • September 8, 2022

Mwanajeshi Ajinyonga na Mkanda wa Jeshi, Aacha Ujumbe kwa Mama na Mke Wake

Dodoma. Askari wa Jeshi la Anga, William Giriango (40) amejinyonga kwa kutumia mkanda wa suruali aliokuwa ameutundika katika nondo ya dirisha katika chumba cha kulala wageni, Mtaa za Hazina jijini Dod . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 8, 2022

Watu 6 Wapoteza Maisha kwa Kukatwa Vichwa na Waasi Nchini Msumbiji

RAIS wa Msumbiji Fillipe Nyusi amesema wanamgambo wa kiislamu walioasi katika jimbo la Napula wamewakata vichwa watu sita (6) huku wakiwateka nyara watu wengine watatu. Wakati akizungumza mubasha . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • September 8, 2022

Miaka 30 jela kwa kumpa mimba mwanae ili asiolewe na kabila lingine

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kiteto, imemhukumu kifungo cha miaka 30, Yerenia Chidaka, mkazi wa Kijiji cha Dongo wilayani humo, baada ya kumtia mimba mtoto wake wa miaka 16.Mtuhumiwa amekiri kosa hilo hii . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 8, 2022

RAIS WA BURUNDI AMTIMUA WAZIRI MKUU

RAIS Evariste Ndayishimiye ametimua waziri mkuu wa Burundi na akidai kuwa kuna njama ya kupindua serikali yake.Rais Ndayishimiye alimtimua Alain Guillaume Bunyoni bila kutoa sababu.Bunge jana liliidhi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 7, 2022

UN yasema wanawake 131 walibakwa Sudan Kusini ndani ya kipindi cha miezi tatu

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa Sudan Kusini ,UNMISS pamoja na ofisi ya Umoja wa mataifa ya haki za binadamu wamesema kwamba takriban wanawake 131 na wasichana walibakwa.Ripoti hiyo inaongeza kusema kwamba . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • September 7, 2022

SABAYA ABAKI GEREZANI , WENZAKE WAACHIWA.

Watuhumiwa wanne katika kesi namba mbili ya mwaka 2022 ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekua mkuu wa wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya,wameachiliwa huru, baada ya kuandika barua ofisi ya DPP ya kuomba . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 6, 2022

Rais 35 wa Burkina Faso wameuawa Jumatatu; serikali ya mpito imesema

Takribani raia 35 waliuawa na 37 walijeruhiwa kaskazini mwa Burkina Faso siku ya Jumatatu wakati gari lililokuwa kwenye msafara lilipokanyaga bomu lililotegwa barabarani.Serikali ya mpito ilisema kati . . .

Kurasa 35 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 14 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 12 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 12 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode