logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Top Story
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Wanandoa wafariki baada ya kurudiana

MTU na mkewe waliokuwa wametengana kwa miezi mitatu walifariki saa chache baada ya kurudiana pikipiki walimosafiria ilipogongana na lori kwenye msafara wa kampeni kaunti ya Meru. Jackson Mawira a . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

MWALIMU WA BIOLOJIA AKIRI KUTOA MAFUNZO YA UGAIDI

Mwanamke Mmarekani amekiri kuongoza batalioni ya wanawake pekee ya wanawake wa kile kinachoitwa kikundi cha Islamic State nchini Syria, pamoja kupanga njama za mashambulizi katika ardhi ya Marekani . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

nchi nne za Afrika magharibi zinasema zimewaua wanamgambo wa kiislamu 805

Kikosi cha kimataifa kinachojumuisha wanajeshi kutoka Nigeria, Niger, Cameroon na Chad Jumanne kimesema kiliua zaidi ya wanamgambo wa kiislamu 800 katika kipindi cha miezi miwili katika eneo len . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

Russia yakabidhi kwa Kyiv maiti 210 za wapiganaji wa Ukraine

Russia imekabidhi kwa Kyiv maiti 210 za wapiganaji wa Ukraine, ambao wengi wao walifariki wakiulinda mji wa Mariupol usitekwe na wanajeshi wa Russia katika mapigano makali yaliyofanyika kwenye k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

Mvutano kati ya China na Canada waongezeka juu ya doria za anga Korea Kaskazini

Mvutano wa kidiplomasia kati ya China na Canada unaongezeka tena, wakati kila mmoja akimshtumu mwenzake kwa uchochezi kwa kutumia ndege zao za kijeshi zinazoruka karibu na Korea Kaskazini. Mapema . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

Msako wa kuwatafuta waliofanya shambulizi kanisani Nigeria unaendelea

Mamlaka na mashahidi wamesema shambulio katika kanisa katoliki magharibi mwa Nigeria limeonyesha kila dalili kwamba lilikuwa ni tukio la kupangwa. Licha ya washambuliaji hao kutotambulika, wataala . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

Wanajeshi wawili wauawa na waasi wa M23

Wanajeshi wawili wa DRC wameuawa Jumatatu katika mapigano dhidi ya waasi wa M23 huko mashariki mwa nchi, jeshi la DRC limesema. Ni ghasia za hivi karibuni katika mzozo huo wa muda mrefu a . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

Mwanamume Aaga Dunia Akifanya Mazoezi Kwenye Gym

Mwanamume mmoja alizirai na kuaga dunia akifanya mazoezi katika ukumbi wa mazoezi maarufu kama gym kwenye barabara ya Koinange jijini Nairobi.Mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 51 na kukimbizwa kwa h . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 5, 2022

Mlipuko Bangladesh waua 34 na kujeruhi mamia ya watu

Moto na mlipuko mkubwa umesababisha vifo vya takriban watu 34 baada ya vifo viwili kuongezeka na mamia ya wengine kujeruhiwa kwenye ghala moja lililoko karibu na mji wa Chittagong, Bangladesh.Ma . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • June 5, 2022

Ukraine yasema vita viko katika awamu nyingine, vinaweza kudumu hadi miezi sita

Mshauri wa rais wa Ukraine Mykhailo Podoliak amesema mbinu za Urusi zimebadilika katika vita nchini humo na kuashiria kile alichokiita awamu mpya katika vita hivyo. Afisa huyo wa Ukarine alikisia . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 5, 2022

Korea Kaskazini yafyetua kombora la masafa marefu Mashariki mwa Pwani ya Korea Kusini

Jeshi la Korea Kusini limesema leo kuwa Korea Kaskazini imefyetua kombora la masafa marefu kwenye bahari Mashariki mwa Pwani yake hili likiwa tukio la hivi karibuni zaidi katika mfululizo wa majar . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 3, 2022

MWANAFUNZI AINGIA NA BOMU LA MACHOZI DARASANI

Polisi eneo la Changamwe katika Kaunti ya Mombasa wanachunguza kisa ambapo mwanafunzi mmoja wa kidato cha nne aliingia shuleni na kitoa machozi.Kwa mujibu wa Naibu Kaunti Kamishna wa Changamwe Michael . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • June 3, 2022

Aliyekuwa mshauri wa masuala ya usalama wa rais Thisekedi kufikishwa Mahakamani

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, aliyekuwa mshauri wa rais Felix Tshisekedi kuhusu masuala ya usalama François Beya, atafikishwa katika Mahakama ya kijeshi siku ya I . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 3, 2022

Meya awataka wananchi kuondoka Sloviansk

Meya wa mji wa Sloviansk, Vadym Liakh amewataka wakaazi wa eneo hilo kuondoka, kutokana na kuongezeka kwa mashambulizi ya vikosi vya jeshi la Urusi. Liakh amesema mashambulizi ya jana ya Urusi, ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 3, 2022

Rais Biden amelihutubia taifa akiliomba bunge kuidhinisha sheria kudhibiti vifo vya bunduki

Rais wa Marekani Joe Biden ametoa hotuba huko White House alhamis usiku kwa kulitaka bunge kuidhinisha sheria za kawaida ili kujaribu kuzuia matukio ya hivi karibuni ya vifo vinavyotokana na ufy . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 3, 2022

Uvamizi wa Urusi nchini Ukraine watimiza siku 100

Imetimia siku 100 tangu Urusi ilipoivamia Ukraine, Februari 24,  wakati huu mashambulio yakiendelea katika jimbo la Donbas kwa lengo la kuteka eneo lote la Masharik . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 2, 2022

Kansela Scholz atetea msimamo wa Ujerumani juu ya kupeleka silaha Ukraine

Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz ametetea mchango wa nchi yake katika kuipelekea silaha Ukraine na ameahidi kupeleka silaha zaidi pamoja na mfumo wa kisasa wa ulinzi wa anga. Katika hotuba aliyoto . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • June 2, 2022

Mkuu wa zamani wa kijasusi Afrika kusini awasilisha mashtaka dhidi ya Rais Ramaphosa

Mkuu wa zamani wa kijasusi nchini Afrika kusini Arthur Fraser alisema Jumatano kwamba aliwasilisha malalamiko ya kisheria dhidi ya Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa akimtuhumu kuteka nyara n . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 2, 2022

Mwanajeshi wa Umoja wa mataifa auawa nchini Mali.

Mwanajeshi mmoja mlinda amani wa Umoja wa mataifa ameuawa na wengine watatu kujeruhiwa Jumatano katika shambulio la kigaidi dhidi ya msafara wao katika jimbo la Kidal, kaskazini mwa Mali, tume y . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • June 2, 2022

Bunge laahirishwa sababu Makamba na naibu wake kutokuwepo bungeni.

Mwenyekiti wa Bunge, David Kihenzile leo Alhamisi Juni 2, 2022 ameahirisha shughuli za bunge kwa muda wa dakika 30 kwa sababu Waziri wa Nishati, January Makamba na naibu wake, Stephen Byabato hawa . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • June 2, 2022

Wabunge wanawake wamshukia Mwenisongole.

Mbunge wa Mbozi, George Mwenisongole ameingia katika mgogoro na wabunge wanawake kutokana na lugha aliyoitumia kutafsiriwa kuwa ilikuwa ya kuudhi.Mbunge huyo amelazimika kufuta kauli yake aliyosem . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 1, 2022

Ajinyonga baada ya kujifungua mtoto mlemavu

Mwanamke mmoja mkazi wa Njombe, amejinyonga baaada ya kujifungua mtoto mwenye ulemavu, ambapo Kamanda wa Polisi mkoani humo Khamis Issah, akawasihi wanawake kuwa na huruma na watoto na kuhoji kama . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • June 1, 2022

Ujerumani na Marekani kutuma silaha za kisasa Ukraine

Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amesema nchi yake itapeleka Ukraine makombora ya kisasa ya kuzuia mashambulizi ya kutokea angani pamoja na mifumo ya radar. Hii ni baada ya Ujerumani kukosolewa kw . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • June 1, 2022

Mafuriko yasababisha vifo vya watu 106.

Idadi ya waliokufa kutokana na mafuriko makubwa na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua za masika nchini Brazil imepanda na kufikia watu 106 huku vikosi vya uokoaji vikiendelea kuwatafuta . . .

Kurasa 35 ya 49

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 2 masaa yaliopita

Rais Samia Aongoza Taifa Kuaga Mwili wa Mzee Cleopa Msuya

Habari
news
  • 3 masaa yaliopita

Charles Hillary, Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Afariki Dunia

Top Stories
news
  • 2 siku zilizopita

Kwa mala ya kwanza Papa Leo XIV akiwa PAPA, aongoza misa akisema; "Kanisa linaweza kusaidia Dunia"

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

Mhe. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pongezi kwa Mhe. Vladimir Putin

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

Tanzania Yajibu Azimio la Bunge la Ulaya Kuhusu Kesi za Kisheria, Yasisitiza Uhuru wa Mahakama

Makala
news
  • 3 siku zilizopita

Tumia vyakula hivi unapotatizwa na harufu mbaya kinywani

Michezo
news
  • 3 siku zilizopita

PSG WAMEFUZU FAINALI YA LIGI YA MABINGWA UALAYA

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Rais Samia Aongoza Taifa Kuaga Mwili wa Mzee Cleopa Msuya

    • 2 masaa yaliopita
  • Charles Hillary, Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Afariki Dunia

    • 3 masaa yaliopita
  • Kwa mala ya kwanza Papa Leo XIV akiwa PAPA, aongoza misa akisema; "Kanisa linaweza kusaidia Dunia"

    • 2 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode