MTU na mkewe waliokuwa wametengana kwa miezi mitatu walifariki saa chache baada ya kurudiana pikipiki walimosafiria ilipogongana na lori kwenye msafara wa kampeni kaunti ya Meru. Jackson Mawira a . . .
Mwanamke Mmarekani amekiri kuongoza batalioni ya wanawake pekee ya wanawake wa kile kinachoitwa kikundi cha Islamic State nchini Syria, pamoja kupanga njama za mashambulizi katika ardhi ya Marekani . . .
Kikosi cha kimataifa kinachojumuisha wanajeshi kutoka Nigeria, Niger, Cameroon na Chad Jumanne kimesema kiliua zaidi ya wanamgambo wa kiislamu 800 katika kipindi cha miezi miwili katika eneo len . . .
Russia imekabidhi kwa Kyiv maiti 210 za wapiganaji wa Ukraine, ambao wengi wao walifariki wakiulinda mji wa Mariupol usitekwe na wanajeshi wa Russia katika mapigano makali yaliyofanyika kwenye k . . .
Mvutano wa kidiplomasia kati ya China na Canada unaongezeka tena, wakati kila mmoja akimshtumu mwenzake kwa uchochezi kwa kutumia ndege zao za kijeshi zinazoruka karibu na Korea Kaskazini. Mapema . . .
Mamlaka na mashahidi wamesema shambulio katika kanisa katoliki magharibi mwa Nigeria limeonyesha kila dalili kwamba lilikuwa ni tukio la kupangwa. Licha ya washambuliaji hao kutotambulika, wataala . . .
Wanajeshi wawili wa DRC wameuawa Jumatatu katika mapigano dhidi ya waasi wa M23 huko mashariki mwa nchi, jeshi la DRC limesema. Ni ghasia za hivi karibuni katika mzozo huo wa muda mrefu a . . .
Mwanamume mmoja alizirai na kuaga dunia akifanya mazoezi katika ukumbi wa mazoezi maarufu kama gym kwenye barabara ya Koinange jijini Nairobi.Mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 51 na kukimbizwa kwa h . . .
Moto na mlipuko mkubwa umesababisha vifo vya takriban watu 34 baada ya vifo viwili kuongezeka na mamia ya wengine kujeruhiwa kwenye ghala moja lililoko karibu na mji wa Chittagong, Bangladesh.Ma . . .
Mshauri wa rais wa Ukraine Mykhailo Podoliak amesema mbinu za Urusi zimebadilika katika vita nchini humo na kuashiria kile alichokiita awamu mpya katika vita hivyo. Afisa huyo wa Ukarine alikisia . . .
Jeshi la Korea Kusini limesema leo kuwa Korea Kaskazini imefyetua kombora la masafa marefu kwenye bahari Mashariki mwa Pwani yake hili likiwa tukio la hivi karibuni zaidi katika mfululizo wa majar . . .
Polisi eneo la Changamwe katika Kaunti ya Mombasa wanachunguza kisa ambapo mwanafunzi mmoja wa kidato cha nne aliingia shuleni na kitoa machozi.Kwa mujibu wa Naibu Kaunti Kamishna wa Changamwe Michael . . .
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, aliyekuwa mshauri wa rais Felix Tshisekedi kuhusu masuala ya usalama François Beya, atafikishwa katika Mahakama ya kijeshi siku ya I . . .
Meya wa mji wa Sloviansk, Vadym Liakh amewataka wakaazi wa eneo hilo kuondoka, kutokana na kuongezeka kwa mashambulizi ya vikosi vya jeshi la Urusi. Liakh amesema mashambulizi ya jana ya Urusi, ya . . .
Rais wa Marekani Joe Biden ametoa hotuba huko White House alhamis usiku kwa kulitaka bunge kuidhinisha sheria za kawaida ili kujaribu kuzuia matukio ya hivi karibuni ya vifo vinavyotokana na ufy . . .
Imetimia siku 100 tangu Urusi ilipoivamia Ukraine, Februari 24, wakati huu mashambulio yakiendelea katika jimbo la Donbas kwa lengo la kuteka eneo lote la Masharik . . .
Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz ametetea mchango wa nchi yake katika kuipelekea silaha Ukraine na ameahidi kupeleka silaha zaidi pamoja na mfumo wa kisasa wa ulinzi wa anga. Katika hotuba aliyoto . . .
Mkuu wa zamani wa kijasusi nchini Afrika kusini Arthur Fraser alisema Jumatano kwamba aliwasilisha malalamiko ya kisheria dhidi ya Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa akimtuhumu kuteka nyara n . . .
Mwanajeshi mmoja mlinda amani wa Umoja wa mataifa ameuawa na wengine watatu kujeruhiwa Jumatano katika shambulio la kigaidi dhidi ya msafara wao katika jimbo la Kidal, kaskazini mwa Mali, tume y . . .
Mwenyekiti wa Bunge, David Kihenzile leo Alhamisi Juni 2, 2022 ameahirisha shughuli za bunge kwa muda wa dakika 30 kwa sababu Waziri wa Nishati, January Makamba na naibu wake, Stephen Byabato hawa . . .
Mbunge wa Mbozi, George Mwenisongole ameingia katika mgogoro na wabunge wanawake kutokana na lugha aliyoitumia kutafsiriwa kuwa ilikuwa ya kuudhi.Mbunge huyo amelazimika kufuta kauli yake aliyosem . . .
Mwanamke mmoja mkazi wa Njombe, amejinyonga baaada ya kujifungua mtoto mwenye ulemavu, ambapo Kamanda wa Polisi mkoani humo Khamis Issah, akawasihi wanawake kuwa na huruma na watoto na kuhoji kama . . .
Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amesema nchi yake itapeleka Ukraine makombora ya kisasa ya kuzuia mashambulizi ya kutokea angani pamoja na mifumo ya radar. Hii ni baada ya Ujerumani kukosolewa kw . . .
Idadi ya waliokufa kutokana na mafuriko makubwa na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua za masika nchini Brazil imepanda na kufikia watu 106 huku vikosi vya uokoaji vikiendelea kuwatafuta . . .