logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 4, 2023

Israel yaongeza shambulizi lingine Damascus

Shambulizi la anga la Israel  limeulenga  mji mkuu wa Syria,Damascus mapema  Jumanne kulingana na ripoti ya chombo cha habari cha  serikali likiwa la nne mjini humo tangu Alhamisi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 2, 2023

Jumla ya maduka 21 kati ya 110 yanayomilikiwa na wafanyabiashara mbalimbali ambayo ni mali ya jumuiya ya Wanawake wa chama cha mapinduzi (CCM UWT) Wilaya ya Njombe yameteketea kwa moto na kusababisha hasara kutokana na mali kuungua

Moto huo umetokea majira ya saa tatu usiku wa Aprili 1 mwaka huu ambapo Mkaguzi Loti Madauda kwa niaba ya Kaimu Kamanda wa  jeshi la zimamoto na uokoaji mkoa wa Njombe amesema walipata taarifa ya . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • March 31, 2023

Ajali basi la Chuo Pwani: Dereva alilalamikia ubovu wa breki

Katibu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Pwani – PUSA, Kelvin Nyambura amewataka Wanafunzi na Wazazi kuwa watulivu akisema vifo hivyo vimewagusa watu wengi na Taifa la Kenya kiujumla na kwamba bado wanafuatili . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 31, 2023

Dada Wawili Wapiga na Kuua Kaka Yao Kisa Chakula

Polisi eneo la Webuye Mashariki katika Kaunti ya Bungoma wanachunguza kisa ambapo wanawake wawili wanakisiwa kumuua kaka yao katika mzozo wa chakula. Katika kisa hicho cha Jumanne - Machi 28 - usiku, . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 30, 2023

WATU SITA MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI

WATU sita wamekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida wakituhumiwa kujihusisha na vitendo vya mauaji ya watu, kufukua makaburi wilayani Manyoni na kuchukua sehemu za siri za miwili ya watu waliozik . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • March 30, 2023

Wanawake Waliozaa na wakandarasi Wa China Haya Ndio Yanayowakuta Wanawake Hao

Kwa zaidi ya muongo uliopita, Wachina wamekuwa wakifurika mijini na vijijini barani Afrika kujenga barabara, mabwawa, madaraja na miundombinu mingine ya kisasa.Hata hivyo, kuja kwao kumeleta baraka na . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • March 30, 2023

Mfadhili wa Mbegu za Kiume Aliyezaa Watoto 550 Kote Duniani, Ashtakiwa kwa Kuzaa Sana

Mwanamuziki wa Uholanzi mwenye makazi yake nchini Kenya na ambaye ni mfadhili mkubwa wa mbegu za kiume aliyezaa takriban watoto 550 duniani kote anakabiliwa na mashtaka.Jonathan Jacob Meijer, 41, ames . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • March 30, 2023

Aiba mtoto na akamdanganye mume wake

Mahakama ya wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu kifungo cha miaka miwili gerezani Happyness William mwenye umri wa miaka 18 mkazi wa Nyehunge wilayani humo kwa kosa la wizi wa mtoto wa miezi . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 28, 2023

Maandamano Yataendelea Alhamisi Mapema Asubuhi

Kiongozi wa Muungano wa Azimio La Umoja One Kenya Raila Odinga amesisitiza kuwa safari yake ya kwenda Ikulu haiwezi kuzimwa. Kupitia kitandazi chake cha Twitter baada ya maandamano hayo, Raila al . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 28, 2023

Amuua mumewe kwa kumkata sehemu za siri

Polisi mjini Kampala nchini Uganda wanamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Joy Biira kwa tuhuma za kumkata mumewe sehemu za siri jambo lililosababisha kifo cha mwanaume huyo.Msemaji wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 28, 2023

Islamic state wameshambulia Taliban, sita wamefariki

watu waliojeruhiwa wakipokea matibabu baada ya shambulizi la bomu.Maafisa wa Taliban nchini Afghanistan, wamesema kwamba shambulizi la bomu la kujitoa mhanga nje ya wizara ya mambo ya nje mjini Kabul, . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 27, 2023

Waandishi wa Habari washambuliwa katika maandamano

Waandishi wa Habari wa vyombo mbalimbali vya Kenya na Kimataifa, wameshambuliwa na genge la watu wenye silaha eneo la Kibra nchini humo, wakati wakiripoti maandamano ya kwanza ya kila wiki ya kupinga . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • March 27, 2023

Russia inasema imezuia shambulio la ndege isiyo na rubani ya Ukraine

Mifumo ya ulinzi wa anga ya Russia Jumapili imezuia shambulio la ndege isiyo na rubani ya Ukraine katika mji mmoja wa Russia ambapo watu watatu walijeruhiwa na majengo ya makazi kuharibiwa, wizara ya . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 24, 2023

Wanamgambo mashariki mwa DRC wauwa watu wapatao 15

Afisa kutoka shirika moja la kiraia kwa jina Charite Banza amefahamisha kwamba wapiganaji wa kundi la waasi la CODECO walishambulia kijiji cha Drodro katika mkoa wa Ituri kwenye mji wa Djungu siku ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2023

Zaidi ya watu laki moja wajeruhiwa na gesi ya kutoa machozi kote ulimwenguni

Zaidi ya watu 119,000 wamejeruhiwa na gesi ya kutoa machozi pamoja na kemikali nyingine za kudhibiti maandamano kote ulimwenguni tangu 2015. Hilo limejiri huku wengine takriban 2,000 wakipata maj . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • March 22, 2023

Mamaye Mwanachuo Aliyeuawa Alaani Unyama Wa Polisi

MAMA yake mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Maseno aliyeuawa Jumatatu wakati wa maandamano ya Upinzani, amesikitika na kusema hakuwahi kuwazia kuwa mwanawe angefariki kabla hajahudhuria sherehe ya kufuzu k . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 22, 2023

Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Maseno Nchini Kenya Waandanama Kufuatia Kifo cha Mmoja Wao

Wanafunzi katika chuo kikuu cha Maseno wamefanya maandamano kufutia kifo cha mmoja wao William Bhangi Mayenga mwanafunzi wa mwaka wa tatu aliyepigwa risasi shingoni na maafisa wa usalama.Kifo cha Maye . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 21, 2023

Raila Odinga"Maandamano Bado Yataendeleea Kenya "

Kiongozi wa Azimio Raila Odinga sasa amesema maandamano ya kushinikiza kushuka kwa gharama ya maisha itakuwa kila Jumatatu na Alhamsii.Raila anasema amechukua msimamo huo baada ya wananchi kutaka kuwe . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 20, 2023

Mwanamke ajinyonga kisa ukame

Mkazi wa Kijiji cha Kiperesa, Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Sophia Ishuka (56) amejinyonga kwa mtandio akiwa nyumbani kwake kwa madai kuwa mimea yake imeathirika kwa kiwango kikubwa shambani kwake . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • March 17, 2023

Kioja Jamaa Wawili Wakitoa Nguo na Kupanda Juu ya Mti Karibu na Kituo cha Polisi

Wanaume wawili kutoka nchini Kenya wamepanda mti wakiwa uchi muda wa usiku Alhamis March 16 huku wakihubiri lakini waafisa wa usalama walifanikiwa kuwafuykuz watu hao.Ijumaa asubuhi, wanaume hao walif . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 17, 2023

Mwalimu adaiwa kumuua Mwalimu mwenzake darasani Geita

Mwalimu wa Shule ya Msingi Igaka, Samwel Subi anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Geita kwa tuhuma za kumuua mwalimu mwezake Emanuel Chacha kwa kumchoma na kisu akiwa darasani. Kamanda wa Poli . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • March 16, 2023

Baba Ampachika Mimba Binti yake na kumuoa, aishi nyumba moja na mama yake

Baba ampachika mimba binti yake na kumuoa, aishi nyumba moja na mama yakeFamilia ya Chihinzi Misagwe Ezekiel (baba), Tumaini Chihonzi (binti), na Ntakwinja Kakumba (mama) sio familia ya kawaida kwani . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • March 16, 2023

Rais atangaza wiki mbili za maombolezo

Rais wa Malawi, Lazarus Chakwera ametangaza wiki mbili za maombolezo ya kitaifa baada ya watu zaidi ya 200 kuuawa na Kimbunga Freddy, ambacho kilipeleka maafa makubwa zaidi katika jiji la Blantyre na . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • March 14, 2023

Mtoto apigwa radi akicheza na wenzake

Swaumu Abdala (13) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la sita katika shule ya msingi Bugongwa mtaa wa Igombe B kata ya Bugogwa halmashauri ya manispaa ya Ilemela  amepoteza maisha baada ya kupigwa na . . .

Kurasa 26 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 14 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 12 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 12 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode