logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 4, 2025

Waliompiga Enock wakamatwa

Jeshi la Polisi limetoa ufafanuzi wa picha mjongeo ambayo inaonekana kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikionyesha kijana aliyeefungwa mikono huku akipigwa kwa fimbo.Jeshi la Polisi limetoa ufafanu . . .

Mauaji
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Wapalestina 30 wauawa na Israel ndani ya masaa 24

Mashambulizi kadhaa ya anga ya jeshi la Israel kwenye Ukanda wa Gaza yameuwa takribani watu 30 na kuwajeruhi wengine kadhaa.Kwenye mashambulizi ya hivi karibuni zaidi, watu kumi wameuawa usiku wa kuam . . .

Afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • July 4, 2025

Vijana wenye hasira kali wachoma kituo cha polisi

VIJANA waliokuwa na hasira waliteketeza kituo cha polisi cha Mawego katika eneo la Rachuonyo Kaskazini wakati wa ibada ya mazishi ya mwalimu aliyeuawa, Albert Ojwang’.Ambapo awali alikuwa amezuiliwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 2, 2025

Njaa yaua maelfu ya watu Sudani

MAMILIONI ya watu wanaokimbia mapigano nchini Sudan wanakabiliwa na hali mbaya ya njaa, huku wakisaka hifadhi katika mataifa jirani ambayo yenyewe tayari yanakumbwa na uhaba wa chakula.Kwa mujibu wa S . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 1, 2025

Mchungaji auawa kikatili na aliyefika kuombewa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara linamshikilia Victor Fransis Thomas (39), mkulima na mkazi wa Kitongoji cha Kadudu, Kijiji cha Lupaso, Wilaya ya Masasi kwa tuhuma za mauaji ya kikatili dhidi ya Mchunga . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • June 30, 2025

Serikali yabeba gharama za maziko, 39 waliofariki ajalini

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Nurdin Babu, amesema serikali imeamua kubeba gharama za maziko ya watu 39, waliopoteza maisha katika ajali ya barabarani iliyotokea eneo la saba saba, nje kidogo ya Mji wa . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • June 30, 2025

Idadi ya Vifo yaongezeka ajali ya Same hadi kufikia 39

Idadi ya watu waliofariki katika ajali ya magari mawili kugongana uso kwa uso Wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro imeongezeka na kufikia 39.Ajali hiyo ilitokea Juni 28, 2025 katika eneo la Sabasaba, Sa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 30, 2025

Nusura Ya Mauti! Ndege ya Batik Air Yatingishwa na Hali Mbaya ya Hewa!

Ndege ya abiria ya Batik Air ilinusurika kuteleza wakati wa kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Soekarno-Hatta, kutokana na hali mbaya ya hewa. Tukio hilo lilinaswa kwenye video iliyorekodiwa . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 30, 2025

Maasi ya Gen Z yatia wasiwasi kwa vigogo wa siasa za maeneo nchini Kenya

VIGOGO wa maeneo ya kisiasa nchini ambao kwa kawaida wamekuwa wakijivunia ufuasi mkubwa, sasa wapo hatarini kupoteza umaarufu huo kutokana na kuchipuka kwa maasi ya Gen Z dhidi ya serikali.Mnamo Jumat . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 30, 2025

Watu 11 wafukiwa na kifusi Sudan

Kampuni ya Rasilimali ya Madini Sudan (SMRC) imethibitisha kuwa wachimbaji 11 wa dhahabu wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na mgodi katika eneo la Kirsh al-Fil, jangwa la Howeid, kati ya miji ya At . . .

Afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 28, 2025

Waziri akemea uharibifu uliotokea maandamano ya Gen Z

WAZIRI wa Huduma ya Umma, Geoffrey Ruku, amekashifu vikali uharibifu ulioshuhudiwa kote nchini katika maandamano ya Gen Z majuzi.Akizungumza Alhamisi Mbeere Kaskazini, Kaunti ya Embu, wakati wa shughu . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • June 27, 2025

Jera miaka 20 kwa udhalilishaji wa kingono

Mahakama ya Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara imemuhukumu kifungo cha miaka 20 jela Mussa Hassan Ntakula (70), Mkazi wa Kijiji cha Ngalinje baada ya kupatikana na hatia ya kosa la udhalilishaji wa kingon . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 27, 2025

Anayedaiwa kumuua mumwe anatafutwa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linamsaka mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Mgore anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 25 na mkazi wa lbanda, Kata ya Kirumba Wilaya ya llemera kwa tuhuma za . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 27, 2025

Wapalestina 56 wauawa Gaza

 IDARA ya Ulinzi wa Raia katika Ukanda wa Gaza imethibitisha kuwa watu 56 wameuawa  Juni 26, 2025 kufuatia mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Israel katika maeneo mbalimbali ya uk . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • June 26, 2025

Nchemba afungwa jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka sita

Mrisho Mussa Nchemba (31) Mkulima mkazi wa Milama, Kata ya Dakawa wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro , amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kosa la kumbaka mtoto wa kike wa miaka 6.Akisomewa hukumu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 26, 2025

Watu 26 wakamatwa kusaidia Israel

Iran imeripoti kuwa watu wasiopungua 26 wamekamatwa katika mkoa wa Khuzestan, kusini magharibi mwa nchi, kwa madai ya kushirikiana na Israel, siku mbili baada ya Iran na Israel kufikia makubaliano ya . . .

Afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 26, 2025

Idadi ya vifo yaongezeka Kenya

 IDADI ya raia waliofariki dunia kutokana na maandamano ya Jumatano imefikia 16, kwa mujibu wa taarifa ya shirika la Amnesty International.Ripoti hiyo imeeleza kuwa  idadi ya watu waliopotez . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 25, 2025

Waandamanaji 2 wa Gen Z Wapigwa Risasi na Polisi

Maandamano yanayoendelea ya kizazi cha Gen Z katikati mwa Jiji la (CBD) jijini Nairobi yameanza kuchukua mkondo mbaya. Maandamano hayo, yaliyokusudiwa kuwaenzi waliouawa wakati wa maandamano ya m . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 25, 2025

Mama Adaiwa Kuwaua Watoto Wake Wawili Baada ya Kukorofishana na Mumewe

Wasichana wawili wadogo wanaripotiwa kufariki baada ya mama yao mwenye umri wa miaka 26, Mary Mushi, kudaiwa kuwachoma kisu tumboni. Baba mkwe wa Mary, Nicholas Kileka, alisimulia tukio hilo la k . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

Jera miaka 20 kwa udhalilishaji wa kingono

Mkazi wa Kijiji cha Lituhi kilichopo Wilaya ya Nyasa Mkoa wa Ruvuma Winfridi Twahibu Mahundi {29} amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la udhalilishaji wa kingono kwa mtoto wa miaka 03.Hukum . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

Magenge ya uhalifu yatikisa Haiti ongezeko la vitendo vya ukatili– UN

 WATAALAMU wa Umoja wa Mataifa wametahadharisha kuwa magenge ya wahalifu yanayodhibiti maeneo makubwa ya Haiti yameongeza vitendo vya ukatili ikiwemo mauaji, ubakaji na utekaji nyara.Taarifa ya j . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

Watanzania 42 kutoka Israel warejea nchini

Watanzania 42 waliokuwa wamekwama nchini Israel kwa sababu ya mapigano kati ya nchi hiyo na Iran watarejea nchini leo tarehe 25 Juni 2025, kwa Ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia. Kwamujibu wa . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Askari walihusika na mauaji ya muuza madini wahukumiwa kunyongwa

Mahakama Kuu Kanda ya Mtwara, imewahukumu kunyongwa hadi kufa maofisa wawili wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara, waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya mauaji ya mfanyabiashara wa madini, Mussa Hamisi (25), . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Zoezi la kutafuta meli iliyotoweka kati ya Madagascar na Comoro linaendelea

Wiki moja baada ya kutoweka kwa meli, ambayo ilitakiwa kusafiri kutoka bandari ya Majunga, Madagascar, hadi Mutsamudu, mji mkuu wa kisiwa cha Comoro cha Anjouan, waokoaji bado wanajaribu kutafuta manu . . .

Kurasa 2 ya 53

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Top Stories
news
  • 44 dakika zilizopita

TAARIFA : Afande Sele Amvalisha Mpenzi wake Pete Ya Uchumba

Top Stories
news
  • 4 masaa yaliopita

LIZZO : "Ilifikia Wakati Nikatamani Niondoke Duniani"

Habari
news
  • 4 masaa yaliopita

RC Sendiga akagua mabanda Maonesho ya Wakulima Kanda ya Kaskazini

Habari
news
  • 4 masaa yaliopita

Hatma ya plastiki yazua mjadala mkali

Habari
news
  • 4 masaa yaliopita

Rwanda yapokea wahamiaji 250

Siasa
news
  • 4 masaa yaliopita

Mkurugenzi INEC ataka vyombo vya habari kutopendelea chama cha siasa

Michezo
news
  • 4 masaa yaliopita

Mashindano ya Kwanza ya Dunia ya Soka la Roboti Kuandaliwa , Timu 30 Kuonesha Ubora wa AI

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • TAARIFA : Afande Sele Amvalisha Mpenzi wake Pete Ya Uchumba

    • 44 dakika zilizopita
  • LIZZO : "Ilifikia Wakati Nikatamani Niondoke Duniani"

    • 4 masaa yaliopita
  • RC Sendiga akagua mabanda Maonesho ya Wakulima Kanda ya Kaskazini

    • 4 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode