logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Afrika
  • Na Asha Business
  • March 24, 2025

Waislamu, Wakristo Burkina Faso Wala Futari Pamoja

Mamia ya Waislamu na Wakristo huko Ouagadougou, mji mkuu wa Burkina Faso, wameshiriki pamoja dhifa ya futari katika medani ya Place De La Na . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2025

Daraja la J.P Magufuli kuanza kutumika mwezi April

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Dkt. Charles Msonde amesema daraja la J.P Magufuli (Kigongo Busisi) lenye urefu wa KM 3 litaanza kutumika . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 20, 2025

Mwanaume Mganda Akamatwa baada ya Kukiri Kumuua Mkewe kwa Kupika Omena badala ya Nyama

Polisi mjini Naivasha wamemkamata mwanamume mmoja raia wa Uganda kwa madai ya kumuua mkewe katika eneo la Lwakhakha linalopakana na Kenya na . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • March 20, 2025

Finland Ya Kwanza Kuwa Na Watu Wenye Furaha Zaidi Duniani

Finland imeorodheshwa ya kwanza kama nchi yenye watu wenye furaha zaidi duniani kwa mwaka wa nane mfululizo. Kulingana na ripoti ya Furaha y . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 19, 2025

Busara na Hekima zitumike zaidi Dabi ya Kariakoo

Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi, Steven Mnguto, amesema tayari wamejibu barua ya Yanga na hawana mamlaka ya kuwazuia kwenda CAS lakini kama wamee . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 19, 2025

Raila "Nilizuia Rais Ruto Kupinduliwa na Mapinduzi ya Kijeshi"

Kiongozi mkuu wa upinzan nchini Kenya, Raila Odinga amefichua kuwa aliamua kumwokoa Rais William Ruto wakati wa maandamano ya Gen Z ili kuzi . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • March 19, 2025

Mwamba Jela Maisha Kwa Kumlawiti Mtoto wa Miaka Minne

MAHAKAMA ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida imemhukumu kifungo cha maisha jela Barnaba Yohana Isaya (20), mkazi wa kiji cha Nselembwe, kata . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 18, 2025

EU YasemaTrump Ni Janga Baya Kuliko Corona

Naibu wa Gavana wa Benki Kuu ya Umoja wa Ulaya Luis de Guindos amesema kuwa, rais wa Marekani, Donald Trump amesababisha kukosekana utulivu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 18, 2025

Israel " Tutaendelea Na Mapigano Hadi Hamas Iwaachie Mateka Wote"

Israel imeapa kuendelea na mapigano katika Ukanda wa Gaza hadi pale ambapo mateka wote wanaoshikiliwa na Hamas wataachia huru.Tangazo la Isr . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • March 18, 2025

utafiti "Juisi ya zabibu inawafaa wazee na kuwapa nguvu za kushiriki ‘mechi’"

WANAUME wakongwe ambao hunywa sharubati ya zabibu (grape juice) wanapunguza uwezekano wa kuandamwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 17, 2025

Rwanda yatangaza kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Ubelgiji

Rwanda imetangaza Jumatatu, Machi 17, kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Ubelgiji, ikishutumu serikali ya zamani ya kikoloni kwa "kuunga mk . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 17, 2025

Mwanafunzi wa Darasa la Kwanza Auawa Kikatili Mkoa wa Kilimanjaro

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja (26), mkazi wa kijiji cha Kirwa, Wilaya ya Rombo, kwa tuhuma za mauaji ya m . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2025

Maweni RRH "Taarifa za uwepo wa Mpox hazina ukweli, tusipotoshe "

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni ya Mkoani Kigoma, imekanusha Picha mjongeo iliyonakilishwa na Mange Kimambi Machi 13, 2025 kwenye ukurasa . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • March 14, 2025

Akamatwa Kwa Kumfungia Mtoto wa Kambo kwa Miaka 20

Mwanamke mmoja kutoka Connecticut, Kimberly Sullivan (56), amekamatwa baada ya kijana anayesemekana kuwa mtoto wake wa kambo kudai kuwa alim . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 13, 2025

Waziri" Tanzania Haina Tena Marburg Tumeidhiti"

Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amesema Tanzania imefanikiwa kuudhibiti ugonjwa wa mlipuko wa Marburg na ameutangazia Umma wa Watanzania kuw . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 13, 2025

Waliofoji vyeti vya JKT ili kupata ajira wakalia kuti kavu

Jeshi la kujenga Taifa (JKT), limesema lipo tayari kutoa ushirikiano kwa Taasisi mbalimbali za ajira, ili kuwachukulia hatua kali Vijana wan . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 13, 2025

Iran yakataa mazungumzo na Marekani kuhusu mkataba wa nyuklia

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema Iran haipo tayari kwa mazungumzo na Marekani wakati inapewa vitisho na kumtaka Rais Donald Trump ‘ . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 13, 2025

SADC yaamua wanajeshi kuondoka DRC

Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imetangaza kumalizika kwa majukumu yake ya kupeleka wanajeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 12, 2025

Mganga Aliyekutwa Akifuga fisi Jela Miaka 20 Wilayani Bariadi

Mahakama ya Wilaya Bariadi mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela pamoja na kuchapwa viboko 12 Emmanuel John (31), maarufu kama . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 12, 2025

Motsepe Achaguliwa Tena Kuongoza CAF Hadi 2029

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Dk. Patrice Motsepe, amechaguliwa tena kuliongoza Shirikisho hilo kama Rais kwa kipindi ch . . .

Jembe Maktaba
  • Na Asha Business
  • March 11, 2025

Lifahamu Gereza la Kishua zaidi Dunia

Nchini Norway katika mji wa Halden lipo gereza maarufu la Halden linalotajwa kuwa gereza lenye utu zaidi duniani.Gereza hilo lililojengwa kw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 11, 2025

Zelensky Atua Saudia Kukutana Na Mwakilishi Wa Trump

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky amewasili jijini Jeddah, Saudi Arabia na kupokelewa kwa heshima zote na Mrithi wa Kiti cha Ufalme, Mwana . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 11, 2025

Rais wa Zamani Wa Ufilipino Akamatwa

Rais wa zamani wa Ufilipino, Rodrigo Duterte amekamatwa kwa hati maalum kutoka Mahakama ya Uhalifu wa Kivita (ICC) kufuatia tuhuma za ukatil . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2025

TFF Yavifungia Viwanja Vitatu Vya Ligi Kuu Kwa Kutokidhi Vigezo

hirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limevifungia viwanja vya Jamhuri (Dodoma), CCM Kirumba (Mwanza), na Liti (Singida) kutumika kwa m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2025

Mwanafunzi aliyeongoza maandamano dhidi ya Israel akamatwa na maafisa wa usalama wa Marekani

Maafisa wa utawala wa Rais wa Marekani Donald Trump wamemkamata mwanafunzi raia wa Palestina aliyehitimu ambaye alihusika sana katika maanda . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • March 9, 2025

Makamu wa Rais wa Yanga: Hakuna Mechi Tena Dhidi ya Simba Msimu Huu!

Makamu wa Rais wa Yanga SC, Arafat Haji, ameweka wazi kuwa mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga SC na Simba SC, iliyokuwa imepangwa kufanyi . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • March 7, 2025

Uhaba wa madaktari wa upasuaji Afrika watatiza wagonjwa

KATIKA kijiji cha Koono, Kaunti ya Turkana, Lomong, kijana wa miaka 12 amekaa kwenye kiti huku akiwatazama vijana wenzake wakicheza kandanda . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 7, 2025

Gilbert Kinyua" Uchunguzi wa Mauaji ya Mgonjwa KNH Wagonga Mwamba, Mshukiwa Mkuu Hana Hatia".

Uchunguzi kuhusu kifo cha Gilbert Kinyua, mgonjwa anayedaiwa kuuawa akiwa amelazwa katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta, umekwama baada y . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 7, 2025

Trump achelewesha ushuru wa Mexico baada ya kuzungumza na Rais Sheinbaum

Rais wa Marekani Donald Trump Alhamisi amechelewesha kwa wiki nne ushuru mpya wa asilimia 25 kwenye bidhaa nyingi kutoka Mexico na Canada kw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 7, 2025

Asilimia 90 Ya Kipato Cha Mwanamke Hutumika kwa Ajili Ya Familia

Katika kusherehekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP), D . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 6, 2025

Iran yakamilisha zoezi kubwa zaidi la kijeshi

Iran imekamilisha  miezi miwili ya mazoezi makali ya kijeshi katika miongo kadhaa huku ikijaribu kuzuia uwezekano wa mashambulizi kutok . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 6, 2025

Donald Trump Aipa Hamas Onyo la Mwisho Waachieni Mateka Mara Moja

Rais wa Marekani Donald Trump ametoa kile alichokiita “onyo la mwisho” kwa Hamas kuwaachilia mara moja mateka wote walioko Gaza – hatu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 6, 2025

Kundi la M23 Yawateka Wagonjwa 130 Hospitali

Umoja wa Mataifa umesema Wapiganaji wa M23 wamewateka karibu Watu 130 kutoka Hospitali za Mji wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kon . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 6, 2025

Dereva Wa Teksi Akamatwa Kwa Tuhuma Za Mauaji Ya Mteja Aliyetoweka Tangu 2016

Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Omary Seleman Mwanamtwa (61), mkazi wa Morogoro ambaye ni dereva wa teksi, anashikiliwa na polisi m . . .

Makala
  • Na Asha Business
  • March 5, 2025

Mende Anaweza Kuishi Mwezi Mzima Bila Kichwa

Bila shaka unamfahamu mdudu anaitwa Mende au kombamwiko: Mdudu huyu anaweza kuishi zaidi ya mwezi bila ya kula chakula chochote kutokana na . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 5, 2025

Miili yawaliouawa katika shambulio kwenye mkutano wa M23 yazikwa

Familia mashariki mwa DRC, Jumanne ya wiki hii zilizika wahanga wa shambulio lililoua takriban watu 13 huko Bukavu, huku jamaa waliokuwa na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 5, 2025

Marekani kusitisha michango ya moja kwa moja kwenye majukwaa ya UN

Marekani imeweka bayana kwamba haitakuwa ikitoa mchango wa moja kwa moja kwa majukwaa ya Umoja wa Mataifa yakiwemo maendeleo endelevu pamoja . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 5, 2025

Rais wa Baraza la Taifa na Bunge la Jamhuri ya Cuba Awasili nchini

Rais wa Baraza la Taifa na Bunge la Jamhuri ya Cuba, Esteban Lazo Hernandez, amewasili nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu.Katika Uwanja . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • March 4, 2025

Ajali Basi la AN Classic yauwa sita Dodoma

Takriban Watu sita wamefariki dunia na wengine 49 kujeruhiwa kufuatia kutokea kwa ajali iliyohusisha Lori na Basi la abiria katika eneo la C . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 4, 2025

Wakenya waliotapeliwa nchini Myanmar wemekwama kwenye mpaka wa Thailand

Zaidi ya Wakenya 60 waliookolewa kutoka mikononi mwa makundi ya matapeli wa mtandaoni nchini Myanmar wamekwama kwenye mpaka kati ya nchi hiy . . .

Kurasa 4 ya 159

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category