logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Mbwana Makata Kocha mpya Mbeya Kwanza FC

Uongozi wa Klabu ya Mbeya Kwanza FC imemtangaza kocha wa zamani wa Dodoma Jiji, Mbwana Makata kuwa Kocha Mkuu wa kikosi cha klabu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Bernard Morrison awatuliza mashabiki Simba SC

Kiungo Mshambuliaji Wa Klabu ya Simba SC Bernard Morrison amewataka Mashabiki wa klabu hiyo kuamini timu yao bado ina nafasi kubwa ya kutinga hatua ya Robo Fainali Ko . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 18, 2022

RATIBA KAMILI YA MECHI ZITAKAZO CHEZA ROBO FAINALI YA UEFA

Mabingwa watetezi Chelsea watamenyana na mabingwa mara 13 Real Madrid katika robo fainali ya Kombe la Klabu Bingwa barani Ulaya.Mabingwa wa Ligi Kuu ya Uingereza Manchest . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 18, 2022

Simba SC yadhamiria kufuzu ugenini

Menaja wa Habari na Mawasilino wa Klabu ya Simba SC Ahmed Ally amesema lengo kuu la kikosi chao kuelekea Benin ni kuendeleza mapambano katika michuano ya Kombe la Shi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 18, 2022

Hassan Bumbuli aikazia macho KMC FC

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasilino ya Klabu ya Young Africans Hassan Bumbuli ameijibu KMC FC baada ya klabu hiyo ya Kinondoni Jijini Dar es salaam, kutamba kuondok . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 17, 2022

Simba SC kusajili wanne 2022/23

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu Bingwa Tanzania Bara Simba SC Salim Abdallah ‘Try Again’ amesema klabu hiyo ina mpango wa kusajili wachezaji wanne wa K . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 17, 2022

Mchezaji wa kwanza Afrika kuvunja mkataba Urusi

Mnigeria Sylvester Igboun (31) amekuwa Mwanasoka wa Kiafrika wa kwanza kuondoka kwenye Ligi ya Urusi kufuatia uvamizi uliofanywa na Urusi nchini Ukraine. Igboun amet . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 17, 2022

Wezi wavamia nyumbani kwa Pogba akiwa uwanjani

Kiungo wa klabu ya Manchester United Paul Pogba ametangaza kuwa nyumba yake ilivamiwa na wezi siku ya Jumanne usiku wakati timu yake ikicheza na Atletico Madrid. Waka . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 16, 2022

Lusajo "natamani kufunga zaidi"

Mshambuliaji wa Namungo FC Reliant Lusajo amewajibu baadhi ya Wadau wa Soka la Bongo ambao wamekua wakihoji ubunifu wa ushangiliaji pale anapoifungia timu yake kwenye . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

RS Berkane wathibitisha kutuma barua CAF

Makamu wa Rais wa RS Berkane Majid Medrane amethibitisha kuandikwa kwa barua ya malalamiko na kutumwa Shirikisho la Soka Barani Afrika ‘CAF’ kuhusu mapungufu yali . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Mayele akabidhiwa Ng’ombe Dar

Shabiki wa Kalbu ya Young Africans Peter Kanduru ametimiza ahadi yake kwa kumzawadia Ng’ombe Mshambuliaji hatari wa klabu hiyo kwa sasa, Fiston Kalala Mayele. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Timu ya US Monastir yakata tiketi ya kwanza kuingia robo fainali ya BAL

Timu ya US Monastir ya Tunisia ilikuwa ya kwanza kukata tiketi ya kuingia robo fainali ya michuano ya BAL baada ya kuishinda timu ya Dakar University Club-DUC   . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Kocha RS Berkane aitabiria makubwa Simba SC

Kocha Mkuu wa RS Berkane ya Morocco Florent Ibenge amesema hatashangaa kuiona Simba SC ikicheza Fainali ya Kombe la Shirikisho msimu huu, kufutia kiwango chao kuikari . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Young Africans: Tutamuuza yeyote utaratibu ukifuatwa

Uongozi wa Young Africans umesema upo tayari kumuuza mchezaji yoyote mwishoni mwa msimu huu, endapo itapata ofa nzuri inayoendana na thamani ya mchezaji husika. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 13, 2022

SLAC ya Guinea yapata ushindi dhidi ya CFV Beira ya Msumbiji

Washindi wa mechi ya ufunguzi ya BAL ya msimu wa pili timu ya  Seydou Legacy Athletique Club (SLAC) ya Guinea wamepata ushindi mwingine dhidi ya  Ferrovia . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Amos Makalla awaita mashabiki Kwa Mkapa

Mkuu wa Mkoa wa Dar esa Salaam Amos Makalla amewahimiza Mashabiki wa soka mkoani humo na sehemu za karibu, kufika Uwanja wa Benjamin Mkapa siku ya Jumapili (Machi 13) . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Young Africans kujipima kwa Somalia

Timu ya Young Africans itacheza mchezo wa Kimataifa wa Kirafiki dhidi ya Timu ya taifa ya Somalia iliyoweka kambi nchini Tanzania kujiandaa na mchezo wa hatua ya awal . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Bilionea Nick Candy atangaza dau Chelsea.

Bilionea Nick Candy amethibitisha kuwa na nia ya kutaka kuinunua Klabu ya Chelsea iliyowekwa sokoni na mmiliki wake, Bilionea wa Kirusi, Roman Abramovic. Bilio . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Luka Modric amuita Mbappe Real Madrid

Kiungo kutoka nchini Croatia na klabu ya Real Madrid Luka Modric ametangaza hadharani kutaka kuona Mshambuliaji wa PSG Kylian Mbappe akijiunga na The Galacticos msimu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

RS Berkane yaanza safari ya Dar es salaam.

Kikosi cha RS Berkane kimeanza safari ya kuelekea Dar es salaam Tanzania, tayari kwa mchezo wa Mzunguuko wa 04 wa ‘Kundi D’ Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Si . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Kapombe: Nina imani nitaikabili RS Berkane

Beki wa Kulia wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC Shomari Salum Kapombe amewatoa hofu Mashabiki na Wanachama wa klabu hiyo, kuhusu hali yake kuelekea mchezo wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Samatta kuibeba Twiga Stars

Nahodha na Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Soka ya Tanzania, Mbwana Samatta na mamia ya watu maarufu wamejitokeza kuchangia timu ya Taifa ya Wanawake ya Twiga Stars . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Wachezaji Geita Gold FC wapongezwa

Licha ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Young Africans katika mchezo wa Mzunguuko wa 17 wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Wachezaji wa Geita Gold FC wamepongezwa na Uongozi w . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Azam FC yasalimu amri Ligi Kuu Tanzania Bara

Klabu ya Azam FC imejitoa Rasmi katika mbio za Ubingwa wa Tanzania Bara msimu wa 2021/22, baada ya kuangusha alama 08 katika michezo mitatu dhidi ya Biashara United M . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 8, 2022

Pablo: Simba SC ina nafasi ya kutwaa ubingwa

Kocha Mkuu wa Simba SC Franco Pablo Martin anaamini bado kikosi chake kina nafasi ya kutetea taji la Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mara ya tano mfululizo msimu huu 2021/ . . .

news
Riadha
  • Na JZ The Brand
  • March 8, 2022

Kwa nini herufi 'Z' imekuwa ishara ya kuunga mkono vita vya Urusi?

Mwanariadha wa Kirusi Ivan Kuliak anakabiliwa na kesi ya kinidhamu na Shirikisho la Kimataifa la Gymnastics (FIG) kwa kuonyesha herufi "Z" kwenye jukwaa karibu na m . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Kakolanya kuanza langoni mwa Simba SC.

Mlinda Lango chaguo la pili katika kikosi cha Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC Beno Kakolanya, huenda akaanza langoni leo Ijumaa (Machi 04), katika mchezo wa M . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 4, 2022

Saido Na Aucho Wanalo

YANGA inazidi kupasua anga ikionyesha inalitaka kombe na wakati mbio hizo zikiendelea kocha wao Nesreddine Nabi ameshusha mkwara mzito akiwachonganisha mastaa wake wa . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • March 4, 2022

EPL, La Liga Na Serie A Kuendelea Leo Wikiendi Hii

Ni wikiendi ya kibabe katika kuuanza mwezi wa 3 mwaka huu wa 2022. Ni mwendo wa ‘Big Match’ kunako EPL na Serie A. Mbio za Top 4 vs vita ya kuwania Scudetto, Meridian . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Franco Pablo" Hatuna muda wa kupumzika"

Kocha Mkuu wa Simba SC Franco Pablo Martin amesema wachezaji wake hawatakua na muda wa kupumzika baada ya kuwasili Dar es salaam, wakitokea nchini Morocco. Sim . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Mshindo Msolla awasihi Wachezaji, Kocha Young Africans

Mwenyekiti wa Klabu ya Young Africans Mshindo Mbette Msolla ameibuka kwa mara ya kwanza msimu huu na kutoa nasaha kwa Benchi la Ufundi na Wachezaji wa klabu hiyo, kuf . . .

news
SOKA
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Mayele kumbe 60% tu Yanga

Mshambulia wa Yanga na kinara wa mabao, Fiston Mayele aliyetupia tisa katika Ligi Kuu katika mchezo dhidi ya Kagera Sugar, akiwa ameiteka asilimia kubwa ya nchi kwa s . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • March 1, 2022

Lwanga" Nipo tayari kuitetea Simba SC"

Kiungo kutoka nchini Uganda na klabu ya Simba SC Thadeo Lwanga amesema yupo tayari kuipigania klabu yake katika Mzunguuko wa Pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambao ulia . . .

Kurasa 18 ya 21

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Rais Samia Aongoza Taifa Kuaga Mwili wa Mzee Cleopa Msuya

    • 20 masaa yaliopita
  • Charles Hillary, Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Afariki Dunia

    • 21 masaa yaliopita
  • Kwa mala ya kwanza Papa Leo XIV akiwa PAPA, aongoza misa akisema; "Kanisa linaweza kusaidia Dunia"

    • 3 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode