logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • December 2, 2022

POLISI TANZANIA WAMTAMBULISHA KOCHA MPYA

MWINYI Zahera aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga ametambulishwa kuwa Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania. Taarifa rasmi ambayo imetolewa na uongozi wa Polisi Tanzania umebainisha k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 30, 2022

TIMU ZILIZOTOA WACHEZAJI WENGI KOMBE LA DUNIA

KUTOKANA na Kombe la Dunia la FIFA la 2022 linalofanyika Qatar kuanza karibia majira ya baridi, msimu huu umekuwa wa kitofauti ambapo ligi mbalimbali duniani zimesimama k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 30, 2022

Tunisia ina kibarua kwa Ufaransa leo Jumatano

UFARANSA tayari wamefuzu kwa hatua ya 16-Bora, lakini leo Jumatano watakutana na Tunisia ambao ushindi utafufua matumaini yao ya kutinga katika raundi hiyo ya maondoano. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 29, 2022

Brazil na Ureno Zatinga Hatua ya 16-Bora Kwenye Kombe la Dunia

Brazil iliungana na Ufaransa katika hatua ya mwondoano kwenye Kombe la Dunia siku ya Jumatatu, Novemba 28, baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Switzerland.Kiungo wa kati wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 28, 2022

Shirikisho la vyama vya kandanda duniani FIFA kuichunguza timu ya Ujerumani

Shirikisho la vyama vya kandanda duniani FIFA litachunguza hatua ya timu ya Ujerumani ya kukiuka taratibu za kuitisha mkutano na waandishi habari kabla ya pambano na timu . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • November 28, 2022

TANZANIA YANG’ARA MASHINDANO YA KUOGELEA

Waogeleaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ya wanaume na wanawake (Tanzanite) wameipeperusha vyema bendera ya nchi baada ya kushinda mashindano ya Kanda ya tatu Afrika yaliy . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • November 28, 2022

Museveni "Marufuku kutoka nje kwa muda wa wiki tatu"

Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametoa amri ya watu kutotoka nje ya Wilaya mbili ambazo mlipuko wa virusi vya Ebola ulianzia, kwa muda wa siku 21. Museveni amesema kwamba . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 26, 2022

Qatar yaaga mapema michuano ya Kombe la Dunia

Timu ya taifa ya Qatar imekuwa ya kwanza kuaga mashindano ya kombe la dunia baada ya kufungwa na Senegal bao 3-1 siku ya Ijumaa katika uwanja wa  Al Thumama Do . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 26, 2022

Wachezaji wa Saudi Arabia Kuzawadiwa Magari aina ya Rolls Royce Phantom

Wachezaji wa Saudi Arabia watazawadiwa gari aina ya Rolls Royce Phantom baada ya kuifunga Argentina kwenye Kombe la Dunia la Fifa 2022.Rolls Royce itazawadiwa kwa kil . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 25, 2022

Mgunda aleta kitu kipya

Kaimu Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda amemuongeza kwenye benchi lake, staa wa zamani wa Msimbazi, Mussa Hassan Mgosi.Straika huyo aliyekuwa anakochi timu ya vijana ya . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 25, 2022

NEYMAR AANZA NA MAJANGA

WAKATI timu ya taifa ya Brazil ikiibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Serbia staa wao Neymar alipata maumivu ya enka.Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye benchi la ufun . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 25, 2022

Waziri wa Saudia Arabia Agusia Kuinunua Man United na Liverpool

Waziri wa Michezo wa Saudi Arabia Prince Abdulaziz bin Turki Al-Faisal amebainisha nia ya kutamani kumuona Cristiano Ronaldo akishiriki katika Ligi Kuu ya Nchi hiyo k . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 23, 2022

Ufaransa waanza kutetea ufalme wao kwa ushindi wa 4-1 dhidi ya Australia

Mabingwa  watetezi wa Kombe la Dunia, Ufaransa, walianza kampeni za kipute hicho mwaka huu kwa ushindi wa 4-1 dhidi ya Australia katika pambano la Kundi D lililo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 23, 2022

UFARANSA WAPINDUA MEZA

Mabingwa  watetezi wa Kombe la Dunia wamepindua meza kibabe na kusepa na pointi tatu mazima kwenye mchezo wa kwanza wa makundi dhidi ya Australia.Austaralia wakiwa U . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 22, 2022

Tunisia wasema wako tayari kwa mtihani wa Denmark katika Kundi D

TUNISIA almaarufu Carthage Eagles watafungua kampeni za Kombe la Dunia kwa kibarua kizito dhidi ya Denmark katika uga wa Education City mjini Al Rayyan. Wawakilishi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 22, 2022

DODOMA JIJI WATAMBA DHIDI YA YANGA

UONGOZI wa Dodoma Jiji umetamba kuifunga Yanga kwenye mchezo wa ligi na kuvunja rekodi ya timu hiyo kutofungwa ndani ya ligi.Yanga chini ya Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi im . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 21, 2022

SADIO MANE AVUNJA UKIMYA

Hatimaye Sadio Mane amevunja kimya chake baada ya kuondolewa kwenye michuano ya Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar. Read more: https://kiswahili.tuko.co.ke/michezo/483798- . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 15, 2022

Messi atoa ahadi kwa timu ya Argentina

LIONEL Messi ametoa ahadi ya kuongoza Argentina kujituma maradufu katika makala ya 22 ya Kombe la Dunia mwaka huu 2022 na kutwaa ufalme.Kombe la Dunia ndilo taji la pekee . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 15, 2022

Kocha wa Simba akutwa na dawa za kulevya

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya nchini imewakamata watuhumiwa 9 wakiwa na dawa za kulevya aina ya heroin kg 34.89 ambapo miongoni mwa watuhumiwa hao . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • November 14, 2022

Kocha Matola "Naondoka Simba Sasa"

Kocha  Msaidizi wa Simba, Seleman Matola ameweka wazi kwamba anaondoka kwenye benchi la ufundi la timu hiyo kwa muda akapige shule kidogo.Matola ambaye ni nahodha wa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • November 6, 2022

Mashabiki wa soka Ujerumani wataka kombe la dunia Qatar lisusiwe

Mashabiki wa soka katika viwanja nchini Ujerumani wametoa wito jana Jumamosi, wa kususiwa kwa michuano ijayo ya kombe la dunia nchini Qatar. Mjini Dortmund, mashabiki wal . . .

news
RIPOTI YA WATANI
  • Na Asha Business
  • October 31, 2022

YANGA NI MBINU MBINU FC TUTARUDI KUCHEZA NA SIMBA UWANJA WETU MPYA, WAZIRI WASHUGHULIKIE

. . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 31, 2022

SHABIKI AWAJIBU WANAOBEZA USHINDI WA YANGA

. . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 28, 2022

Saido Ntibazonkiza Aipania Yanga

kiungo wa soka ambaye alipata umaarufu mkubwa akiwa na Klabu ya Yanga, Saido Ntibazonkiza, amefunguka kuwa mechi yao ijayo dhidi ya Yanga, kwake anaitazama kwa umakini mk . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 25, 2022

Watu watatu wamekufa katika ujenzi wa viwanja Qatar

Shirikisho la soka duniani FIFA limesema watu watatu wamekufa katika miaka ya hivi karibuni katika maeneo ya ujenzi wa viwanja vitakavyotumiwa kwa ajili ya mechi za kombe . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 24, 2022

Kikao cha Ronaldo na Erik ten Hag kufanyika leo

Cristiano Ronaldo leo siku ya Jumatatu atakuwa kwenye kika kizito na kocha wake, Erik ten Hag kujadili kile kilichotokea kwenye mchezo wao na Tottenham Hotspur huku t . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 20, 2022

Waamuzi wafungiwa muda usiojulikana

CHAMA cha Soka Mkoa wa Mjini Magharib kimewasimamisha waamuzi wawili na kumfungia kutochezesha ligi mmoja kwa kushindwa kumudu Sheria 17 za soka.Kwa mujibu wa taari . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 16, 2022

Tanzania yashtua Ulimwengu wa soka katika Kombe la Dunia chini ya miaka 17

Timu ya taifa ya soka ya wanawake chini ya umri wa miaka 17 ya Tanzania (Serengeti Girls) sikua ya  Jumamosi iliushtua Ulimwengu wa soka baada ya kuifunga timu ya ta . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 14, 2022

Mgunda apania kwa Mkapa

Simba kinaendelea kujifua kwa ajili ya mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Primeiro de Agosto ya Angola, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Juma Mgunda akif . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • October 12, 2022

Mashabiki wa Arsenal wafanya sherehe

Arsenal na Manchester United ndio klabu zinazoongoza kwa kuwa na mashabiki wengi barani Afrika lakini pia katika bara la Asia Manchester wakijatwa kuongoza zaidi.Mbali na . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 10, 2022

KMC FC YA INGIA KAMBINI KUJIANDAA NA MTIBWA SUGAR JUMAMOSI

Kikosi cha KMC FC leo kimeanza maandalizi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu soka Tanzania Bara dhidi ya Mtibwa Sugar utakaochezwa siku ya Jumamosi Oktoba 15 katika uwanja w . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • October 4, 2022

Ten Hag aruhusu Ronaldo kuondoka

kocha wa Manchester United Eric ten Hag yupo tayari kumruhusu mshambuliaji wake Cristiano Ronaldo kuondoka klabuni hapo kwenye dirisha dogo la usajili la mwezi Januari 20 . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • October 3, 2022

Tembo Warriors yapata ushindi wa kwanza Kombe la Dunia

Timu ya Taifa ya Watu wenye ulemavu Tembo Warriors, imepata ushindi wa kwanza katika mashindano ya Kombe la Dunia 2022 yanayoendelea nchini Uturuki wakiifunga Uzbekistan . . .

Kurasa 17 ya 25

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • DKT BITEKO AZINDUA MFUKO WA DUNIA WA PAMOJA WA KUKABILIANA NA MAGONJWA YA MLIPUKO

    • 4 masaa yaliopita
  • Ruto atoa siku saba za maombolezo

    • 4 masaa yaliopita
  • JAMII IMETAKIWA KUJIEPUSHA NA UHALIFU MTANDAONI

    • 6 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode