logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Michezo

  • Pata Habari za Michezo Kwa Undani
news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 7, 2022

Kocha Wa Simba kutua Misri

SIMBA inaenda nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na michuano ya kimataifa ambapo wao wanashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika huku wakiwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 6, 2022

YANGA INASHUSHA MCHEZAJI MWINGINE TENA

YANGA imemalizana na Bernard Morrison akisaini mkataba wa mwaka mmoja kurejea klabuni kwa masharti kadhaa lakini kuna balaa kubwa wanalifanyia kazi kwa usiri mkubwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 4, 2022

AFCON kufanyika tena Januari na Februari mwaka 2024

Mashindano yajayo ya kuwania ubingwa wa Afrika AFCON yatafanyika mapema mwaka 2024 ili kuzuia kinyang'anyiro hicho kukumbwa na mafuriko wakati wa msimu wa mvua nchini . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 1, 2022

Romelu Lukaku arejea Inter Milan kwa mkopo baada ya kuagana na Chelsea

MSHAMBULIAJI matata raia wa Ubelgiji, Romelu Lukaku, 29, amerejea Inter Milan kwa mkopo, takriban mwaka mmoja baada ya kutua ugani Stamford Bridge kuvalia jezi za Che . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • July 1, 2022

Sadio Mane na Mohamed Salah watiwa katika orodha ya Wachezaji 30 wanaowania taji la Mchezaji Bora wa Mwaka barani Afrika

WASHAMBULIAJI Sadio Mane na Mohamed Salah wamejumuishwa katika orodha ya masogora 30 wanaowania taji la Mchezaji Bora wa Kiume barani Afrika mnamo 2021-22. Mane aliy . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 29, 2022

Straika mpya Simba kumekucha

Mkongomani aliyeko kwenye hatua za mwisho za kujiunga na Simba, Ceasar Manzoki ameaga rasmi wachezaji wenzie na mashabiki wa Vipers ya Uganda. Simba imefanya maz . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 15, 2022

Straika wa mabao atua Simba

Yanga inafanya  usajili wa bandika bandua kutokana na namna wanavyofanya usajili wao kuelekea msimu wa 2022/23, lakini kama unadhani Simba wamepoa unajidanganya. . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

Man City imemtambulisha Erling Haaland

Club ya Man City imemtambulisha rasmi Erling Haaland (21) kutokea Boru . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 13, 2022

WAKALA APELEKA JINA LA NABI SIMBA

INAWEZA kuwa habari ya kushtua sana kwa mashabiki wa Yanga, lakini ndivyo ilivyo kwamba wakala wa Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi, alilipelekea jina la kocha h . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 10, 2022

Bocco na Mugalu wazua mzozo Simba

WACHEZAJI, John Bocco na Chris Mugalu waliong’ara msimu uliopita wakiwa vinara wa mabao wa Simba na Ligi Kuu Bara msimu uliopita, wamewagawa mabosi wa klabu hiyo ya . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

BINGWA LIGI KUU KUONDOKA NA MILIONI 600

BINGWA wa ligi kuu tanzania bara msimu wa 2021/2022 atajinyakulia kombe la shilingi milioni 600. Afisa mtendaji wa mkuu wa bodi ya ligi kuu [TPLB] , Almasi Kasongo , ames . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 9, 2022

Urais Yanga...Ni jeuri ya pesa

 Vita ya nafasi ya Urais wa Yanga imeanza. Kuna majina makubwa kwa mashabiki na wanachama ambayo kabla kesho Jua halijazama yatapishana kuchukua fomu za nafasi h . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 8, 2022

KANDA YA ZIWA YAPATA WAWAKILISHI MICHUANO YA MAJI CUP

HATIMAYE Michuano ya Maji Cup League 2022 kwa ngazi ya Kanda ya Ziwa imehitimishwa jinini Mwanza na kupata wawakilishi wake watakao kwenda kushiriki kwenye fainali zi . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

MASHARTI MAPYA KWA MKONGO

Yanga inaendelea na mazoezi ya kujiandaa na mechi za kumalizia msimu wa Ligi Kuu Bara pamoja na pambano lao na fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASF . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 7, 2022

Simba yaleta mchezaji mpya

Mabosi wao wanazidi kukuna kichwa ili kutengeneza timu itakayofukia mashimo yote yaliyojitokeza msimu huu na kushindwa kutimiza malengo yao na moja ni kusaka wacheza . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 5, 2022

KARIM BENZEMA AZUA MSALA

Mshambuliaji wa Real Madrid, Karim Benzema, ametiwa hatiani kwa njama ya vitisho dhidi ya aliyekuwa mchezaji mwenza wa timu ya Ufaransa Mathieu Valbuena kuhusiana na . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 1, 2022

Bwalya aondoka Simba

Taarifa za ndani zinasema kuwa kiungo wa Simba, Rally Bwalya ameshamwaga wino wa kujiunga na klabu ya Amazulu ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini, lakini uongozi wa Wekundu . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • June 1, 2022

Nabi anaanza na huyu, Baada ya Saido.

NI rasmi kwamba Yanga imetangaza kuachana na Saido Ntibazonkiza. Siyo huyo tu imefuta pia mpango wa kumsajili beki wa Uganda, Mustafa Kizza sababu kubwa ikitajwa kwam . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 31, 2022

Ralf Rangnick akataa majukumu mapya ya kuwa mshauri kambini mwa Man-United

ALIYEKUWA kocha mshikilizi wa Manchester United, Ralf Rangnick, amekataa majukumu mapya ya kuwa mshauri wa benchi ya kiufundi kambini mwa mabingwa hao mara 20 wa Ligi . . .

news
Top Story
  • Na Asha Business
  • May 30, 2022

Mchakato wa kuuzwa kwa Chelsea unakamilika rasmi leo Mei 30, 2022

MCHAKATO wa kuuzwa kwa Chelsea unakamilika rasmi leo Jumatatu, Mei 30, 2022 baada ya maelewano ya “mwisho na dhahiri” kuafikiwa na kampuni inayoongozwa na  T . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 27, 2022

BARAKA MPENJA" HIZI NDIZO DERBY ZANGU BORA ZAIDI".

. . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 27, 2022

Saido ndiyo basi tena

YANGA wamepania kwa namna yoyote ile kushinda mechi ya Jumamosi dhidi ya Simba kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza na hawataki masihara kwenye jambo lao.Habari . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 24, 2022

Pablo" Kuna kitu Simba, awaachia wachezaji mechi ya Yanga".

KOCHA wa Simba, Pablo Franco hajaridhishwa na kiwango kilichoonyeshwa na timu yake katika mechi yao waliyoshikiliwa kwa sare ya 1-1 dhidi ya Geita Gold kwenye Uwanja . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Barcelona yatuma dau nono kwa Lewandowski

.Klabu ya Barcelona imetuma dau la kwanza la dola milioni 33 ili kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich, Robert Lewandowski .Gazeti la Ujerumani la Bild am Sonntag limer . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Senzo atuma salamu Simba

YANGA ipo jijini Mwanza kwa ajili ya mechi mbili ngumu, lakini hapohapo wakapeleka salamu nzito kwa watani zao Simba watakaokutana nao Mei 28 jijini humo.Yanga ambayo . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 23, 2022

Saido atembea na mkataba wa Yanga

Saido Ntibazonkiza yupo kwenye majadiliano na Yanga kuhusiana na muda wa mkataba wake mpya huku Mwanaspoti likitaarifiwa kwamba amegomea wa muda mfupi.Staa huyo ambay . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 12, 2022

Pablo apewa siku 7 Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco amepewa wiki moja kuandaa ripoti maalumu kwa ajili ya masuala ya kiufundi kabla ya msimu ujao kuanza mambo gani anayotaka yafanyike . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 9, 2022

Yanga haitaki utani, kocha atangaza vita mpya

YANGA itashuka uwanjani leo, huku ikiwa haijaonja ushindi katika mechi mbili zilizopita, lakini Kocha Msaidizi, Cedric Kaze amesema sare imewapa kazi ya kupambana zai . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • May 6, 2022

Yanga yatangulia CAF

SARE iliyopata Simba dhidi ya Namungo na kichapo ilichopewa Azam FC kutoka kwa Kagera Sugar, imewarahisishia kazi Yanga, kwani vinara hao wa Ligi Kuu Bara imekuwa kla . . .

news
NETBALL
  • Na JZ The Brand
  • April 28, 2022

Asante kwa kuunga mkono Ligi Kuu ya Soka ya NBC

Wakati  Ligi Kuu ya NBC ikikaribia  ukingoni, napenda kutoa shukrani za dhati kwa kila mtu aliyewezesha kufanikiwa kwa ligi hii maarufu Afrika na duniani . . .

news
SOKA ULAYA
  • Na JZ The Brand
  • April 28, 2022

Hakuna Ambaye Amependa Toni Rudiger Kuondoka

Beki wa klabu ya Chelsea Antonio Rudiger anaondoka klabuni hapo ifikapo mwisho wa msimu huu. ANTONIO Rudiger ameamua kuondoka ndani ya kikosi cha Chelsea mwishoni mwa . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Man City yaipiku Real Madrid katika mechi ya kusisimua ya Ligi ya Mabingwa

Manchester,Manchester City wana uongozi mwembamba wa kuulinda katika mkondo wa pili wa nusu fainali yao ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid baada ya kushin . . .

news
SOKA
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Ibenge apata ajali Morocco

Kocha Mkuu wa RS Berkane, Florent Ibenge amepata ajali ya gari wakati akitoka mazoezini jana.Taarifa ya klabu yake imesema ajali hiyo imempa maumivu makali ya mgongo koch . . .

Kurasa 16 ya 21

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Rais Samia Aongoza Taifa Kuaga Mwili wa Mzee Cleopa Msuya

    • 21 masaa yaliopita
  • Charles Hillary, Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Afariki Dunia

    • 21 masaa yaliopita
  • Kwa mala ya kwanza Papa Leo XIV akiwa PAPA, aongoza misa akisema; "Kanisa linaweza kusaidia Dunia"

    • 3 siku zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode