logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
AJALI
  • Na Asha Business
  • August 7, 2023

30 wafa, 90 wajeruhiwa ajali ya treni Pakistan

Mamlaka nchini humo zimesema shughuli za uokoaji zimekamilika na majeruhi wamepelekwa hospitalini.Afisa mkuu wa shirika la reli nchini humo, Mahmoodur Rehman Lakho, amesema mabehewa 10 ya treni iliyok . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • August 3, 2023

Mtumiaji Wa Intaneti Ahukumiwa Kifungo Cha Miaka Mitano Jela Kwa Kumkosoa Mfalme Wa Morocco

Mtumiaji wa intaneti raia wa Morocco amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kumkosoa mfalme kwenye mtandao wa Facebook juu ya hatua ya Morocco kuboresha uhusiano na Israel.Said Boukioud, mwenye . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • August 3, 2023

Vikosi vya usalama Kenya vyaua al-Shabaab 60

Vikosi vya usalama vya Kenya vimewauwa karibu wapiganaji 60 wa kundi la itikadi kali za kiislamu la al-ShabaabWaziri wa Mambo ya ndani wa Kenya Kithure Kindiki amesema kuwa askari wa Kenya walikabilia . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 2, 2023

'Nigeria yawafanyia fujo viongozi wa mapinduzi ya Niger'

Nigeria, kiongozi wa kambi muhimu ya Afrika Magharibi na nchi yenye nguvu ya kiuchumi katika bara hilo, imeongeza juhudi zake za kubadili mapinduzi yaliyoikumba nchi jirani ya Niger, na kuwasilisha Ab . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • August 1, 2023

Juhudi utafutaji waliozama Ziwa Victoria zaendelea

Watu 13 wanaaminika wamefariki dunia baada ya mitumbwi miwili waliyokuwa wakisafiria kuzama katika Ziwa Victoria wilayani Bunda mkoa Mara, ambapo jitihada za kutafuta miili zinaendelea.Inahisiwa kuwa . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • July 28, 2023

Mwanamume Aliyemuua Mke Kwa Kumpakulia Chakula Bila Nyama Ahukumiwa Miaka 15 Jela

Mwanamume mwenye umri wa miaka 56 atatumikia kifungo cha jela kwa miaka 15 ijayo baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe. Crispin Nyaga mwenye umri wa miaka 56 alimuua mkewe, Catherine Mbuya . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 26, 2023

Mwanafunzi Apatikana Amekufa

Wazazi wametaka uchunguzi ufanywe baada ya mwanafunzi wa shule ya upili ya Kajiunduthi eneo bunge la Maara kupatikana amefariki katika eneo la River Maara jirani. Wanafunzi hao wanadaiwa kuanza k . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 25, 2023

Dereva Bajaji Mbaroni, Adaiwa Kumuua Mlinzi ofisi ya DC Moshi

Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro, linamshikilia dereva bajaji, Abdan Abdi, mkazi wa Majengo kwa Mtei, Manispaa ya Moshi, kwa tuhuma za mauaji ya Michael Dastani Ngulizi, aliyekuwa mlinzi ofisi ya Mk . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • July 24, 2023

Wadakwa Wakiwa Wanafanya Mapenzi Nyumbani Kwa Jirani

Polisi nchini Uganda wanamshikilia Mwanaume (23) na Mpenzi wake (35) kwa kosa la kuingia nyumba ya Jirani wakiwa wanatoka Baa usiku kisha kufanya mapenzi kwenye kitanda cha Jirani huyo Margaret Awino . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 23, 2023

Mashambulizi ya makombora yasababisha vifo vya watu 20 Sudan

Takribani raia 20 wa Sudan wameuawa katika mashambulizi ya makombora yaliyorushwa katika maeneo ya makaazi ya mojawapo ya miji muhimu ya Darfur na karibu na hospitali katika jimbo la Kordofan Kaskazin . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • July 23, 2023

Upepo mkali kutatiza shughuli ya kuzima moto Ugiriki

Upepo mkali unatarajiwa kutatiza shughuli ya kuzima moto unaowaka katika kisiwa cha Ugiriki cha Rhodes, ambapo takriban watu elfu 30,000 wamelazimika kuhama.Upepo mkali unatarajiwa kutatiza shughuli y . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 21, 2023

Polisi Wawanyanyasa Wanahabari Wakifuatilia Matukio Mahakamani

BAADHI ya wanahabari waliofika katika mahakama ya Milimani mnamo Ijumaa, Julai 21, 2023 kunasa matukio wakati wa kesi dhidi ya Mbunge wa Embakasi Mashariki Babu Owino, wamepata wakati mgumu baada ya k . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 20, 2023

Ndege nyingine yaanguka Ziwa Victoria, marubani wanusurika

Ndege ya kijeshi iliyokuwa na marubani wawili imeanguka ndani ya Ziwa Victoria, hatua chache kutoka Uwanja wa Ndege wa Bukoba.Tukio hilo limetokea saa 3:30 asubuhi leo Julai 20, 2023 kuibua hofu na ta . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • July 20, 2023

Rais wa Misri amsamehe mwanaharakati wa haki za binadamu Patrick Zaki

Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi amemsamehe mtafiti wa haki za binadamu Patrick Zaki, siku moja baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela kwa mashtaka ya kusambaza habari za uongo.Zaki ameku . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 20, 2023

Watu wawili wauawa, mamia wakamatwa katika maandamano nchini Kenya

Watu wawili waliuawa Jumatano nchini Kenya kufuatia maandamano ya kuipinga serikali, afisa mmoja wa hospitali amesema, huku wizara ya mambo ya ndani ikitangaza kukamatwa kwa zaidi ya watu 300 kuhusian . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 20, 2023

Waandamanaji waliokuwa na hasira wameuchoma moto ubalozi wa Uswidi nchini Iraq kutokana na uchomaji wa Quran

Mamia ya waandamanaji wamevamia ubalozi wa Uswidi katika mji mkuu wa Iraq wa Baghdad kutokana na mpango ulioripotiwa wa kuchoma moto Qur'ani nyingine, kitabu kitakatifu cha Waislamu, huko Stockholm, m . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • July 20, 2023

Amtema Mchumba Kisa Kujiunga na Shule ya Uuguzi

Mwanaume kutoka Ghana amezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii baada ya kufunguka sababu ya kuvunja uhusiano na mpenzi wake. mwanaume huyo, ambaye alionekana kuwa na hasira, alimweleza rafiki yake . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • July 19, 2023

PADRI AUAWA NA MTU ALIYEENDA KUOMBA AOMBEWE

Tukio limetokea usiku wa kuamkia Julai 19, 2023 Mkoani #Arusha, ikielezwa Mtuhumiwa alienda Kanisani kumgongea mlango Padri Pamphilius Nada wa Parokia ya Karatu ili amuombeeBaada ya Padri kufungua mla . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 19, 2023

Mlinzi wa Raila Odinga Atekwa Nyara na Watu Wasiojulikana, Viongozi wa Azimio Wadai

Mlinzi wa Raila, Maurice Ogeta, alidaiwa kutekwa nyara na watu wasiojulikana akiwa amevalia mavazi ya kawaida. Katika taarifa, Philip Etale, mkurugenzi wa mawasiliano wa Chama cha ODM, alidai Ogeta al . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 18, 2023

Watu wanane wafariki baada ya jengo la makazi kuporomoka mjini Cairo

Watu wanane wakiwemo saba kutoka familia moja walifariki mjini Cairo Jumatatu wakati jengo la makazi katika mji mkuu wa Misri lilipoporomoka, ofisi ya mwendesha mashtaka na vyombo vya habari wamesema. . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 13, 2023

Watu 9 Wauawa, Zaidi ya 33 Wajeruhiwa Wakati wa Maandamano ya Azimio

Maandamano yaliyoitishwa na kiongozi wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga yaligeuka kuwa ya vurugu huku polisi wakikabiliana na waandamanaji katika maeneo mbalimbali nchini. Maandamano ya Ju . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • July 13, 2023

Wafugaji washambulia watu usiku mkoani Lindi

Wananchi wa vijiji vya Ilolo na Nanguchile Wilayani Nachingwea Mkoani Lindi, wamelalamika kupigwa, kuvunjiwa nyumba na mali zao lakini pia mazao yao kugeuzwa kuwa sehemu ya malisho na wafugaji jamii y . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • July 11, 2023

Wahamiaji 86 waokolewa kati ya 300 ambao walikua hawajulikani walipo

Mamlaka nchini Uhispania zimefahamisha kuwa zimefanikiwa kuwaokoa wasaka hifadhi 86 karibu na visiwa vya Canary ambao walikuwa kwenye mashua ndogo inayoaminika ilitokea nchini Senegal ikielekea barani . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • July 10, 2023

Watoto Wa Kiume Waua Wazazi Wao Ili Kurithi Mali

WAZAZI wengi eneo la Mlima Kenya wanaishi kwa hofu ya kuangamizwa na watoto wao wa kiume, kufuatia njama zinazochochewa na urithi wa mali.Katika hali hiyo, wazazi wengi haswa walio na vijana waliozama . . .

Kurasa 20 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 13 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 11 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 11 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode