logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
AJALI
  • Na Asha Business
  • July 24, 2024

Maporomoko ya ardhi yaua takriban watu 229 kusini mwa Ethiopia

Takriban watu 229 walifaiki katika maporomoko ya ardhi, tukio lililotokea Julai 22 kusini mwa Ethiopia baada ya mvua kubwa kunyesha, kulingana na ripoti ya muda ambapo idadi ya vifo inaweza kuongezeka . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 18, 2024

Wazazi wa mtoto aliyeuawa kwenye maandamano waagizwa kuafikiana kuhusu mazishi

FAMILIA ya mvulana mwenye umri wa miaka 12 aliyepigwa risasi na kuuawa wakati wa maandamano ya kupinga serikali, imeagizwa na mahakama kutafuta mbinu mbadala za kutatua mgogoro baina yao.Hakimu Mkuu w . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • July 17, 2024

Watu 50 wameuawa katika maandamano dhidi ya serikali nchini Kenya

Tume ya kitaifa ya haki za binadamu nchini Kenya, imesema idadi ya watu waliokufa kutokana na maandamano yaliyoanza mwezi uliopita imefikia 50 baada ya hapo jana watu wawili kuripotiwa kuuawa kwa kupi . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 5, 2024

Aliyechoma picha ya Rais atupwa jela miaka 2

Mahakama ya wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya imemuhukumu kwenda jela miaka miwili au faini ya milioni 5 Shadrack Chaula kijana ambaye video yake ilisambaa mitandaoni akimkashifu na kuchoma picha inayomuo . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 24, 2024

Mwenyekiti wa mtaa auawa na wasiojulikana

Aliyekuwa mwenyekiti wa Mtaa Mwatulole Halmashauri ya mji wa Geita Noel Ndasa (40), ameuawa na watu wasiojulikana nyumbani kwake majira ya saa 2:00 usiku wa kuamkia leo Juni 24, 2024.Watoto wa marehem . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • June 24, 2024

Watu 1,300 wapoteza maisha wakati wa Hija

Zaidi ya watu 1,300 wamefariki dunia wakati wa ibada ya Hija mwaka huu nchini Saudi Arabia huku waumini wakikabiliwa na hali ya joto kali katika maeneo matakatifu ya Kiislamu katika ufalme huo wa jang . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 21, 2024

Mwandamanaji mmoja amefariki baada ya kupigwa risasi na polisi

Nchini Kenya, mtu mmoja amethibitishwa kufariki katika maandamano yaliofanyika Alhamis ya wiki hii jijini Nairobi kupinga muswada mpya wa fedha mwa mwaka wa 2024.Kwa mujibu wa shirika la kimataifa la . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • June 14, 2024

Mahujaji wakusanyika Saudia kuanza ibada ya Hijja

Mamia kwa maelfu ya mahujaji wa kiislamu wanaanza leo ibada Hijja katika mji mtakatifu wa Makkah nchini Saudi Arabia kutimiza moja ya nguzo kuu za dini hiyo yenye zaidi ya waumini bilioni 2 kote ulimw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 14, 2024

Mashambulizi ya Wahouthi yaazidi kusumbua usafirishaji bahari ya Sham

Mashambulizi yasiyosita dhidi ya meli za kimataifa yanayofanywa na wanamgambo wa Houthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen yanaathiri juhudi za kibiashara na misaada licha ya majaribio ya Marekani . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • June 12, 2024

Eneo la kuchimba dawa Vijana wageuza fursa

Eneo la kuchimba dawa lilivyogeuzwa fursa, Spika Tulia waunga mkonoKama wewe unatembelea mitandao ya kijamii basi bila shika umewahi kukutana na video hii inayoonyesha eneo maarufu kwa jina la Kona ya . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • June 11, 2024

Hakuna abiria aliyeponea katika ajali ya ndege nchini Malawi: Rais Chakwera

Rais wa Malawi Lazarus Chakwera amethibitisha kuwa hakuna abiria aliyepona katika ajali ya ndege iliokuwa imembeba makamu wa rais Saulos Chilima na watu wengine tisa.Makamu wa rais wa Malawi, Saulos C . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • June 10, 2024

Waasi wa Yemen washambulia meli ya mizigo

Shambulizi la kombora lililofanywa na waasi wa Houthi wa Yemen, lililenga meli ya mizigo yenye bendera ya Antigua na Barbuda katika Ghuba ya Aden, ikiwa ni shambulizi la karibuni zaidi kwenye kwa meli . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 10, 2024

Askari aua mke na ndugu zake kisa aridhi mali

Rosemary Ndlovu, aliyekuwa askari polisi huko Afrika Kusini, alipatikana na hatia ya kuua mpenzi wake pamoja na ndugu zake watano (5) kisha akachukua fedha za bima zao za maisha jumla ya dola za kimar . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 7, 2024

Zoezi la Kufukua Miili ya MAITI Shakahola lasitishwa kwanza

Wakati awamu ya tano ya zoezi la uchimbaji wa makaburi iliyoanza Jumatatu baada ya mapumziko ya miezi minane huko katika msitu wa Shakahola, miili mingine mitatu imefukuliwa na kuongeza wasiwasi kuwa . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 6, 2024

Mwalimu Adaiwa Kujinyonga Kwa Kupoteza Sh50,000 Kwa Aviator

MWALIMU wa Shule ya Upili ya Wavulana ya Nyamira ameaga dunia baada ya kudaiwa kujitia kitanzi alipopoteza pesa kwenye mchezo wa kamari unaofahamika kama ‘Aviator‘.Aviator ni mchezo wa kamari . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • June 6, 2024

12 wafikiswa mahakamani kwa udanganyifu Sumbawanga

Wakazi 12 wa Sumbawanga Mkoani Rukwa wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu na kujipatia fedha kiasi cha Sh 9,200,000 kwa njia ya uda . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • June 5, 2024

wachimba migodi 30 wakwama chini ya ardhi kwa siku nne

Makumi ya watu walioajiriwa na kampuni ya uchimbaji madini walikuwa wakifanya kazi katika mgodi mkubwa katika kijiji cha Galkogo, wilayani Shiroro, Jumapili jioni wakati ajali hiyo ilipotokea, amesema . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • June 5, 2024

Mwamba Jela Mwaka Mmoja kwa Kumlisha Kinyesi mke wake

Mkazi wa Kijiji cha Nyamburi Kata ya Sedeco, wilayani Serengeti mkoani Mara, Nyaikongoro Mwita (34), amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja jela na kulipa faini ya Sh 2,000,000 kosa la shambulio la kudhu . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • June 4, 2024

Miili saba zaidi yagunduliwa katika msitu wa Shakahola nchini Kenya

Wachunguzi wa Kenya Jumatatu waligundua miili saba zaidi huku shughuli ya kufukua miili zaidi ikianza tena katika msitu ambako mamia ya watu waliokufa kwa njaa walizikwa katika makaburi ya pamoja, pol . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 30, 2024

Sokwe wa Michael Jackson bado yuko hai

Kwenye miaka ya 1980, kipindi ambacho Michael Jackson yuko kwenye ubora wa muziki wake, alichukua sura tofauti kwenye macho ya watu kwa uamuzi wake wa kuishi na sokwe ambaye alipewa jina la Bubbles.Bu . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • May 30, 2024

Ndege nyingine ya Marekani ya MQ-9 imeanguka nchini Yemen

Picha zilizoelezewa na AP zilionyesha MQ-9 imeanguka katika jangwa na eneo lake la mkia limekatika kutoka kichwa cha ndege.Ndege nyingine ya Marekani aina ya MQ-9 Reaper isiyokuwa na rubani, ilianguka . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 28, 2024

Ugomvi wa wanandugu wasababisha mauaji, wawili mbaroni

Watu wawili (majina yao yamehifadhiwa), wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Arusha, kwa tuhuma za mauaji ya Ndembora Exaud Nanyaro, aliyefariki dunia wakati akipatiwa matibabu baada ya kujeruhumiw . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • May 24, 2024

Wanajeshi wa Marekani wapata majeraha katika juhudi za kutengeneza gati la muda kwenye pwani ya Gaza

Wanajeshi watatu wa Marekani walipata majeraha yasiyo ya kivita katika juhudi za kutengeneza gati la muda kwenye pwani ya Gaza ikiwa ni njia ya misaada ya kibinadamu, huku mmoja akiwa katika hali mbay . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • May 24, 2024

Watoto waliozaliwa kambi ya waathiriwa wa mafuriko wafikia tisa

Mratibu wa Maafa Mkoa wa Pwani, Rose Kimaro amesema takribani Watoto tisa wamezaliwa kwenye kambi za waathirika wa mafuriko ya Mto Rufiji Wilayani Rufiji na Kibiti, Pwani ambapo kati ya hao wapo mapac . . .

Kurasa 14 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 12 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 10 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 10 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 11 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode