logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Wanaopandisha nauli Kukiona

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imesema inaendelea na ukaguzi wa mabasi ya kwenda mikoani ili kubaini yanayozidisha nauli na kuchukua hatua. Ofisa . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Biden na Putin kufanya kuwasiliana kwa simu Alhamisi

Ikulu ya Marekani imesema Jumatano kwamba Rais Joe Biden atazungumza kwa njia ya simu na mwenzake wa Russia Vladimir Put . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Jumuia ya kimataifa yaingilia mzozo wa kisiasa wa Somalia

Msemaji wa Umoja wa Mataifa Ari Gaitanis amesema Jumatano kwamba  Umoja wa Mataifa pamoja na mataifa mengine wanafa . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 29, 2021

Kesi ya uchaguzi dhidi ya Barrow yatupiliwa mbali Gambia

Mahakama ya juu ya Gambia Jumanne imetupilia mbali kesi iliowasilishwa dhidi ya ushindi wa rais Adama Barrow kwa madai kwamba walioiwasilisha hawakufuata hatua za kisheria, kama inavyohitajikaBarrow a . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 29, 2021

Israel yaanza kutoa chanjo ya nne kwa watu wake

Madakatari nchini  Israel Jumatatu wameanza kutoa chanjo ya nne ya covid 19  kwa watu wake ikiwa kama sehemu y . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 29, 2021

Zaidi ya wahamiaji 400 waokolewa baharini

Meli ya shirika lisilo la kiserikali la Ujerumani Sea-Watch 3, ikiwa na wahamiaji 444, ilikuwa ikingoja kupewa bandari ya usalama kutia nanga baada ya operesheni  tano za uokoaji kutekelezwa kati . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 29, 2021

Waziri wa mambo ya kigeni wa Italy azuru Tunisia

Waziri wa mambo ya kigeni wa Italy Luigi Di Maio Jumanne wakati akiwa ziarani Tunisia, ameshauriana na rais Kais Sa . . .

Afrika
  • Na Jembefmtz
  • December 27, 2021

Rais wa Somalia amsimamisha kazi Waziri Mkuu wake

Kusimamishwa kwa Waziri Mkuu Mohamed Hussein Roble kunakuja siku moja baada ya Waziri Mkuu huyo kumshutumu Rais Farmajo kwa njama katika  uchaguzi wa bungeMzozo wa kisiasa kati ya viongozi wawili . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Mazrui augua Uviko-19

Waziri wa Afya, Ustawi wa jamii, Wazee, Jinsia na Watoto,  Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui amepata maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19 lakini hali anaendelea vizuri.Akizungumza na Mwananchi kwa njia . . .

Afrika
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Bomu lalipuka katika mkahawa uliojaa watu siku ya Krismasi - DRC CONGO

Maafisa nchini DR Congo wanasema kwamba takriban watu sita wamefariki katika shambulio la mlipuaji wa kujitoa muhanga katika makahawa uliojaa watu katika mji wa mashariki wa Beni.Maafisa wa polisi wal . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Wanne wapoteza maisha ajalini Kagera

WATU wanne wamepoteza maisha baada ya gari la mizigo aina ya Scania lenye namba za usajili T 654 DRW  walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka katika mteremko wa Kishoju Kata ya Kihanga W . . .

Afrika
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Ufunguo wa Jela Alikofungwa Mandela Kuuzwa Kwa Mnada Disemba 28,2021

SERIKALI ya Afrika Kusini imetaka kusitishwa kwa mnada wa kuuza funguo za chumba cha jela alichokuwa akiishi hayati Nelson Mandela kwenye jela ya “watukutu” ya Robben Island. Mnada huo uliopa . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Rais Biden apandisha hadhi ya uongozi wa Marekani duniani

Rais Joe Biden ameingia madarakani wakati hadhi ya Marekani ulimwenguni ilifikia rekodi ya chini.Katika nchi 60 na maeneo yaliyofanyiwa ukusanyaji wa maoni juu ya Uongozi wa Marekani na kampuni ya Gal . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Bethlehem yasheherekea Krismas licha ya masharti ya COVID-19

Licha ya mwaka wa pili wa kuwepo kwa masharti ya kusafiri kwa sababu ya COVID -19, mji wa Bethlehem, eneo ambako alizaliwa Yesu, lilifufua sherehe zake za kila mwaka za mkesha wa Krismasi.“Mwaka jan . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 23, 2021

TEUZI LEO DESEMBA 23.2021

. . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 22, 2021

MWILI WA MUHITIMU ALIYEUWAWA SUA MOROGORO WAAGWA.

Vilio na Simanzi vimetawala wakati wa ibada ya kumuaga Mwanafunzi ambaye amehitimu katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)  mkoani Morogoro, Magreth Mashuwe aliyeuwawa na watu wasioju . . .

Afrika
  • Na Suzuki
  • December 22, 2021

Uchaguzi wa rais nchini Libya matatani

Tume ya uchaguzi nchini Libya imeagiza kuvunjwa kwa kamati za uchaguzi nchini humo na kutilia mashaka uwezekano wa kuandaliwa kwa uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika mnamo Disemba 24.Ijumaa ya Disem . . .

Kimataifa
  • Na Gsengo
  • December 21, 2021

WATU 90 WAFARIKI BAADA YA ROLI LA MAFUTA KULIPUKA HAITI.

Naibu meya wa mji Cap-Haitien, nchini Haiti Patrick Almonor amesema idadi ya watu waliokufa baada ya lori la mafuta kulipuka wiki iliyopita imeongezeka na kufika watu 90. Naibu huyo wa meya anaho . . .

Kitaifa
  • Na Gsengo
  • December 21, 2021

ZAIDI YA WATU WAZIMA ELFU 15 HALMASHAURI YA IRINGA HAWAJUI KUSOMA NA KUANDIKA

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo akiongea na wazazi na wanafunzi juu ya umuhimu wa kujua kusoma na kuandikaMkuu wa Wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo akimkabidhi zawadi ya mwanafunzi wa . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 20, 2021

Trafiki wawapasomo Bodaboda Dar.

Madereva Bodaboda na Bajaji jijini Dar es Salaam, wametakiwa kujiamini na kutambua kuwa wana haki ya kujitafutia riziki kwa njia halali kwa kuzingatia Sheria za usalama Barabarani. &nbs . . .

Afrika Mashariki
  • Na Suzuki
  • December 18, 2021

Picha za mtoto Mdogo Akiwasaidia Kazi Maafisa wa Trafiki Zawasisimua Wakenya

Picha za mvulana mdogo Mkenya aliyevalia mavazi ya polisi, akiwa na bunduki bandia pamoja na pingu za plastiki, zimevuma sana mitandaoni Mvulana huyo aliyeonekana akielekeza trafiki kwenye mitaa ya Na . . .

Kimataifa
  • Na Suzuki
  • December 18, 2021

Watu 12 Pakistan wamepoteza maisha kutokana na mlipuko wa gesi

Mlipuko mkubwa wa gesi uliotokea leo kwenye mfumo wa majitaka katika mji wa Shershah kusini mwa Pakistan umewauwa watu wasiopungua 12 na kujeruhiwa wengine 11. Msemaji wa polisi ya mji huo Sohail . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 18, 2021

SERIKALI YATOA TAHADHARI UVIKO-19.

Serikali kupitia Wizara ya Afya imetoa tahadhari kwa wananchi kuzingatia kujikinga na Uviko-19 na kwamba ugonjwa huo bado upo hivyo huenda maambukizi yakaongezeka.Aidha katika kuelekea msimu huu wa si . . .

Kitaifa
  • Na Gsengo
  • December 17, 2021

DC MOYO: HAJARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA MADARASA TARAFA YA IDODI,ISIMAN NA PAWAGA

 Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo akiwa anakagua miradi ya majengo ya madarasa kwa ajili ya wanafunzi wanaotarajiwa kuingia kidato cha kwanza mwakani mwezi wa kwanza mwanzoni huku aki . . .

Kitaifa
  • Na Gsengo
  • December 17, 2021

CHANJO, LISHE NA AFYA MAZINGIRA NDIYO INAIBEBA SEHEMU KUBWA YA SEKTA YA AFYA NCHINI - DKT. GWAJIMA

Dkt. Dorothy Gwajima, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, wakati akifunga Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Maafisa Afya nchini uliomalizika jijini Dodoma.Watawa kutoka mkoani Arusha, w . . .

Top Story
  • Na Gsengo
  • December 17, 2021

Mtoto aliyezikwa aonekana, kaburi lake lafukuliwa

Mtoto Leonard Morisha (11), mkazi wa Kijiji cha Ngemo, Mbogwe mkoani Geita, aliyefariki dunia na kuzikwa Juni 27, 2017, anadaiwa kufufuka baada ya Oktoba 2020 kuonekana wilayani Kahama na wazazi wake . . .

Kitaifa
  • Na Gsengo
  • December 17, 2021

Mbarawa ‘avurugwa’ Mradi Wa Bil 11/-

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, amemtaka mhandisi wa Jengo la abiria katika Uwanja wa ndege wa Mwanza kufika mara moja kurekebisha dosari katika mradi huo wa Sh bilioni 11 ambao uj . . .

Kitaifa
  • Na Gsengo
  • December 14, 2021

Wizara ya Afya Tanzania yaanzisha mfumo wa kukusanya maoni ili kuboresha huduma zake.

Na.WAMJW....DODOMA 14/12/2021Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Dorothy Gwajima ameanzisha utekelezaji wa mfumo wa kukusanya maoni toka kwa watendaji wa taasisi anazosimam . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 13, 2021

RUFAA YA SABAYA YAPIGWA KALENDA.

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha imepanga kuanzia Februari 14, 2022 kuanza  kusikiliza rufaa iliyofunguliwa na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro Lengai Ole Sabaya na wenz . . .

Afrika
  • Na Suzuki
  • December 13, 2021

RAIS RAMAPHOSA AKUTWA NA MAAMBUKIZI YA UVIKO19

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa amepimwa na kukutwa na maambukizi ya COVID-19, anaendelea na matibabu huku majukumu akiyaacha kwa Naibu Rais, David MabuzaInaelezwa kuwa, Rais Ramaphosa ana dali . . .

Kurasa 121 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 8 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 8 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 9 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode