Waganga wa Tiba asili waomba kutohusishwa na matukio ya ukatili yanayotokea kwenye jamii kwani wao hawahusiki na kuwatuma watu wafanye ukatili badala yake wameomba kupewa thamani kama ambavyo madaktar . . .
Mzee wa miaka 70 nchini Marekani, aliyefahamika kwa jina la William Bryan, amefariki akiwa kwenye chumba cha upasuaji, baada ya madaktari kumtoa kiungo kisicho sahihi wakati wa upasuaji.Baada ya uchun . . .
Utawala wa rais wa Marekani, Joe Biden, Jumatano umeishutumu Russia, kwa kufanya juhudi kubwa za kuingilia uchaguzi wa rais wa Marekani, na kuendeleza upotoshaji kwa kutumia washawishi wa Marekani kue . . .
Zoezi la serikali ya Namibia la kukusanya zaidi ya wanyapori 700 kukabiliana na ukame mbaya zaidi katika miongo kadhaa linaendelea, huku takriban wanyama 160 wakiwa tayari wameuawa, wizara ya mazingir . . .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amelipongeza na kulishukuru Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Indonesia (Indonesian Aid), kwa ufadhili wa programu mba . . .
Baada ya Nigeria au Côte d’Ivoire, ni zamu ya Ghana kusitisha mauzo yake ya nafaka. Uamuzi unaanza kutumika mara moja na hadi hatua nyingine itakapochukuliwa. Uamuzi huo ulitangazwa siku ya Jumatat . . .
Kampeni ya vyombo vya habari inayojulikana kama “Washirika wa Afrika” iliyoandaliwa na China Media Group (CMG) itakuza mahusiano wa vyombo vya habari kati ya China na Afrika, na kuimarisha ushirik . . .
Bunge limepitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Shule ya Sheria Tanzania wa Mwaka 2024 ambao umeondoa sharti la kila mhitimu wa shahada ya sheria kupita katika shule hiyo.Sharti hilo lilimtaka k . . .
Ujerumani imewarejesha nyumbani raia wa Afghanistan, ikiwa ni mara ya kwanza tangu Agosti 2021 tangu kundi la Taliban kurejea madarakani.Ndege ya kwanza ya Qatar imeondoka mapema leo katika uwanja wa . . .
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limetolea ufafanuzi kuhusu tukio lililotokea la mwanafuzi wa kidato cha tatu katika shule ya Sekondari Mnadani ambaye anadaiwa kupewa adhabu kuchapwa viboko na walimu wa . . .
Katika kusherehekea kumbukumbu ya miaka 125 ya FC Barcelona, kampuni ya vito na saa ya Jacob & Co. iliunda saa maalum ya Epic X Tourbillon kwa ushirikiano na klabu hiyo.Saa ya waridi ya mili . . .
MAMIA ya walimu wanaogoma katika Kaunti ya Uasin Gishu walivamia shule ya upili ya Uasin Gishu ambapo walitorosha wenzao waliokuwa wakifundisha kabla ya kusherekea mlo wa mchana uliokuwa umeandaliwa w . . .
Uhispania ilisaini mikataba na Mauritania na Gambia kuimarisha ushirikiano katika kukabiliana na usafirishaji haramu wa watu na kudumisha uhamiaji halali.Uhispania ilisaini mikataba na Mauritania na G . . .
Makundi yenye silaha yanayotaka kujitenga nchini Mali yamekiri kuuawa kwa wapiganaji wake saba baada ya ndege isiyo na rubani kushambulia magari yao mawili kaskazini mwa nchi hiyo siku ya Jumatatu, ka . . .
Mashirika ya Umoja wa Mataifa yanaonya kwamba wakimbizi na jamii zilizohamishwa kutoka kwa makazi yao nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na nchi nyingine za Afrika walioambukizwa mpox wako katika . . .
Kundi la kwanza la kikosi cha nne cha jeshi la Kenya (KENQRF 4) kimetumwa rasmi DRC tangu siku ya Jumamosi Agosti 24, kuashiria kuanza kwa misheni yao ya kulinda amani nchini humo.Sherehe ya kuondoka . . .
Watu 33 wameuawa katika msururu wa mashambulizi yanayowalenga maafisa wa polisi kusini magharibi mwa Pakistan, raia na wasafiri.Kulingana na msemaji wa eneo hilo Shahid Rind mapema leo, magaidi walian . . .
MWANAUME mmoja alihukumiwa kifungo cha miezi mitatu jela na mahakama moja mjini Kakamega kwa kuiba mahindi ya thamani ya Sh70.Bw Meshack Opandiandiati alitenda kosa hilo katika shamba moja katika kiji . . .
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Kanda ya Kaskazini kwa kushirikiana na Asasi ya Youth and Community Rehabilitation (YCR) tarehe 22.08.2024 imeongoza kampeni maalum ya uokot . . .
Almasi kubwa ya kipekee, ambayo ni ya pili kwa ukubwa duniani kwa karati 2,492, na ambayo haitoshi kwa urahisi kwenye kiganja cha mkono, imepatikana kwenye mgodi mmoja nchini Botswana, kampuni ya uchi . . .
Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama amewaambia wanachama wenzake wa Democratic mjini Chicago kuwa kijiti kimekabidhiwa kwa Kamala Harris, na anatosha kuiongoza nchi hiyo.Akihutubia wakati wa kump . . .
Vikosi vya Ukraine, vimeharibu madaraja yote matatu ya Mto Seym magharibi mwa Russia, kwa mujibu wa vyanzo vya Russia, wakati uvamizi wa Kyiv ukiingia wiki yake ya tatu Jumanne.Kuvamia kwa Kyiv katika . . .
MWANAMKE aliyepatikana na hatia ya mauaji ya mume wake mnamo Jumanne alipewa hukumu ndogo baada ya kuomba msamaha kwa baba mkwe kutokana na kosa hilo.Inadaiwa Abigael Yego mwenye umri wa miaka 32 alim . . .
Serikali ya Malawi imepokea malipo ya bima ya dola milioni 11.2 kwa ukame unaohusishwa na El Nino ambao ulisababisha taifa hilo la kusini mwa Afrika kutangaza hali ya maafa mapema mwaka huu.Malipo hay . . .
Ama kweli tumetoka mbali sana, lakini tu niseme teknolojia na ugunduzi wa mambo mbalimbali umekuwa kwa kasi, kwani tulipotoka na tulipo ukilinganisha unaweza pata cheko la masikitiko.Nisikuchoshe sana . . .
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) inatarajia kupokea dozi za kwanza za chanjo dhidi ya mlipuko wa Homa ya Mpox wiki ijayo katika nchi hii ambapo ugonjwa huo tayari umeua takriban watu 570, Waziri . . .
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dk. Dorothy Gwajima amewataka wananchi kuwa wavumilivu wakati sakata la binti anayedaiwa kudhalilishwa kwa kubakwa na kulawitiwa . . .
Umoja wa Mataifa unashutumu ghasia "zisizokubalika" ambazo zimekuwa zikifanyika dhidi ya wahudumu wa masuala ya kibinadamu, ambapo 280 kati yao wameuawa duniani kote mwaka 2023, rekodi iliyochochochew . . .
Upinzani nchini Venezuela umeahidi kuendelea na maandamano wakati wa maandamano huko Caracas, Jumamosi Agosti 17, kwenda "hadi mwisho" kupinga kuchaguliwa tena kwa ais Nicolás Maduro mwishoni mwa mwe . . .
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema Tamasha la Kizimkazi ni fursa muhimu kwa Mkoa wa Kusini kuongeza vivutio vya utalii na kuwavutia wawekezaji kuwek . . .