logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Asha Business
  • March 20, 2022

Ajali nyingine ya wawili Morogoro

Zikiwa zimepita siku mbili tangu ajali ya basi na lori na kusababisha vifo vya watu 23 mkoani Morogoro, ajali nyingine ya gari ndogo ya abiria aina ya Coaster imetokea na kusababisha vifo vya watu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 18, 2022

Daktari wa meno miaka 20 jela

Daktari wa meno huko Wisconsin Marekani amepatikana na hatia ya makosa matano ya ulaghai wa huduma ya afya baada ya kugundulika kuharibu meno ya Wagonjwa kwa makusudi ili kujipatia pesa nyigi zaid . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 18, 2022

TDMA Yapiga Marufuku Uvutaji Sigara Maeneo Ya Hadhara

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA) imepiga marufuku  kutumia bidhaa za tumbaku katika maeneo yasiyo rasmi ili kulinda afya za jamii.Agizo hilo lilitolewa katika kikao kazi cha kuto . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 18, 2022

Poland yasema zaidi ya wakimbizi milioni 2 wameingia nchini humo kutoka Ukraine

Poland inasema zaidi ya wakimbizi milioni mbili, wengi wao wakiwa wanawake na watoto wamewasili nchini humo tangu kuanza kwa mapigano nchini Ukraine. Maafisa wa ulinzi wa mpakani wa Poland wanasem . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 18, 2022

Zaidi ya raia 700 wameuawa nchini Ukraine

Umoja wa Mataifa umedai kuwa zaidi ya raia 700 wakiwemo watoto 52 wameuawa nchini Ukraine tangu Urusi ilipoivamia jirani yake wiki tatu zilizopita, lakini idadi hiyo huenda ikawa kubwa zaidi.Mkuu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 18, 2022

Rais wa Marekani Joe Biden kuzungumza na rais wa China, Xi Jing Ping

Washington imeelekeza nguvu zake Beijing, Alhamisi, ambapo rais wa Marekani, Joe Biden, alipanga kufanya mazungumzo ya nadra na rais wa China, Xi Jinping. Mazungumzo hayo yanakuja wakati rais w . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 18, 2022

Waliosambaza video ya Prof. Jay watiwa mbaroni

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamshikilia Samwel Mhina (31) mkazi wa Temeke pamoja na wenzake 13 kwa tuhuma za kusambaza video katika mitandao ya kijamii kinyume na sheria. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 17, 2022

Rais Joe Biden amwita Putin kuwa mhalifu wa kivita

Wakatu hali ikiendelea kuwa mbaya nchini Ukraine, Rais Joe Biden wa Marekani amemwita rais wa Urusi Vladimir Putin kuwa ni mhalifu wa kivita.Msemaji wa Ikulu ya Urusi, Kreamlin Dmitry Peskov amese . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 17, 2022

Mkuu wa WHO asema janga kubwa zaidi ya kiafya duniani liko Ethiopia

Wakati ulimwengu unatoa zingatio kubwa kwa mgogoro wa Ukraine, Shirika la Afya Duniani limesema hakuna mahala duniani ambapo afya za watu zipo katika kitisho kibaya zaidi kama jimbo la Tigray, nch . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 16, 2022

Mwanamke Mwenye Kucha Ndefu Zaidi Duniani Hatimaye Azikata kwa Mara ya Kwanza

Ayanna Williams, mwanamke anayeishi Texas ambaye alishikilia rekodi ya 'Guinness World Record ya kuwa na kucha ndefu zaidi duniani, hatimaye amezikata baada ya miaka 30.Lakini kulingana na Guinness Wo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 16, 2022

Biden kuhudhuria mkutano wa kilele wa Umoja wa Ulaya

Rais Joe Biden wa Marekani Alahimis ya juma lijalo anatarajiwa kwenda mjini Brussels kwa lengo la kuhudhuria mkutano wa kilele wa Umoja wa Ulaya ambapo ajenda kuu inatarajiwa kuwa mzozo wa Ukraine . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 16, 2022

Wabunge wa Iraq kumchagua rais Machi 26

Bunge la Iraq limeitaja Machi 26 kuwa siku ya uchaguzi wa rais wa taifa hilo, baada ya kucheleweshwa. Aidha limetoa orodha ya mwisho ya wagombea 40.Miongoni mwa wagombea wenye kutajwa kuwa na nafa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 16, 2022

Meya wa Kiev amwalika Papa Francis

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amealikwa mjini Kiev wakati jiji hilo likiwa katika hatua ya kukaribiwa na hali nyingine ya mashambulizi ya Urusi.Ofisi ya Papa ya mjini Vatican i . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 16, 2022

Viongozi watatu wa Ulaya wafanya ziara Ukraine

Viongozi watatu wa eneo la Ulaya Mashariki wamekutana na Rais wa Ukraine,Volodymyr Zelensky  katika mji uliozingirwa wa Kyiv, katika kuonesha mshikamano wao huku mapigano yakiendelea.Viongozi . . .

Kilimo
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Serikali Ya Tanzania Yakaribisha Wawekezaji Sekta Ya Kilimo

Serikali ya Tanzania imewakaribisha wawekezaji wa masuala ya kilimo kuwekeza nchini ili kuongeza mnyororo wa thamani wa mazao ya kilimo na kuimarisha lishe kwa wananchi na kuinua pato la Taifa.& . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Ujerumani kununua ndege mpya za kijeshi Marekani

Ujerumani imesema itaziondoa baadhi ya ndege zake za kivita za zamani aina ya Tornado kwa kununua aina mpya kutoka Marekani ya F-35A, zenye uwezo wa kubeba silaha za nyuklia.Akitangaza uamuzi huo . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

UN yalaani hukumu ya kunyongwa watu 81 Saudi Arabia

Mkuu wa kamisheni ya haki za binaadamu ya Umoja wa Mataifa, Michelle Bachelet amelaana vikali hukumo ya kifo kwa watu 81 kwa siku moja huko Saudi Arabia. Mkuu huyo amelitaka taifa hilo la kifalme . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Afariki akijaribu kumuokoa mchumba wake

toto wa bilionea Juan Carlos Escotet Rodriguez mwenye umri wa miaka 31 amepoteza maisha wakati akijaribu kumuokoa mchumba wake wakati wa mashindano ya uvuvi mwishoni mwa wiki katika jimbo la Flori . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Samia" Polepole kabla hujaenda Malawi tutazungumza kwa kirefu"

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewapa maagizo viongozi wawili aliowaapisha leo Jumanne Machi 15, 2022.Viongozi hao ni Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Humphrey Polepole na Mkuu wa Mkoa wa Njo . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Kalonzo Musyoka "Nitaanza Kampeni Mara Tu Raila Odinga Atakapoapishwa"

Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka amesema atatumia mbinu za Naibu Rais William Ruto iwapo kinara wa ODM Raila Odinga atashinda kiti cha urais kwenye uchaguzi wa Agosti 9.Kama vile Ruto alivyomfanyia Rai . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Uingereza yaunga mkoni uchunguzi wa ICC kwa vita vya Ukraine

Naibu Waziri Mkuu wa Uingereza Dominic jana Jumatatu amesema Uingereza inaunga mkono jitihada ya Mahaka ya Kimatiafa ya ICC katika kuchunguza uhalifu wa kivita nchini Ukraine.Naibu huyo aliwaambia . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Viongozi wa Ujerumani na Uturuki wakutana

Uturuki na Ujerumani zimekubaliana kuendelea kufanya jitihada za kidiplomasia katika kuhakikisha mapigano yanasitishwa nchini Ukraine, huku wakisistiza pia umuhimu wa uhusiano wa pamoja na ushirik . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 15, 2022

Serikali yapokea vifaa tiba kutoka Ufaransa

Serikali ya Tanzania leo imepokea msaada wa vifaa tiba kutoka Serikali ya Ufaransa, kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa UVIKO-19. Akipokea msaada huo kwa niaba ya Serikali, Waziri wa Mambo y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Rais Samia kuongoza kumbukizi mwaka mmoja kifo cha Maguful

Rais Samia Suluhu Hassan atashiriki na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wa Mkoa wa Geita katika hafla ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, John Magufuli itakayofan . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Wananchi wazuia msafara wa kamati ya Bunge

Kundi la wananchi katika eneo la Fela wilayani Misungwi mkoani Mwanza unapojengwa mradi wa Reli ya Kisasa (SGR), kati ya Mwanza hadi Isaka mkoani Shinyanga, limesimamisha msafara wa Kamati ya Kudu . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Murathe Adai Raila Atakuwa Rais wa Tano Hata Bila Kupigiwa Kura Mlima Kenya

Naibu mwenyekiti wa Jubilee David Murathe amedai kwamba mgombea urais wa Azimio la Umoja Raila Odinga atakuwa rais wa tano, hata kama hatapigiwa kura eneo la Mlima Kenya.Murathe Adai Raila Atakuwa Rai . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Mwili wa Mwanamke Uliokatwa Vipande Watupwa Nje ya Kituo cha Polisi.

Polisi katika Kaunti ya Kisii wameanzisha uchunguzi baada ya mwili wa mwanamke wa umri wa kati kupatikana umetupwa nje ya kituo cha polisi mnamo Jumapili, Machi 13.Kulingana na ripoti za polisi, mareh . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Washington yataka washawishi kwenye TikTok kupambana na taarifa potofu kuhusu Ukraine

Jinsi gani ya kufanya mamilioni ya vijana kuelewa vigingi vya vita vya Ukraine wakati hawasomi taarifa zinazotolewa kwenye magazeti au kutazama taarifa za habari katika televisheni au kuzikiliza t . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Mazungumzo ya Chad yaanza kwa kugonga mwamba Doha

Serikali ya kijeshi ya Chad na makundi kadhaa ya upinzani walianza mazungumzo ya amani jana nchini Qatar kama hatua ya kwanza kuelekea kuumaliza uasi na kuandaa uchaguzi. Lakini baada ya hotuba za . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Erdogan na Scholz kuijadili Ukaine mjini Ankara

Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan atajadili vita nchini Ukraine na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz katika mazungumzo yatakayofanyika mjini Ankara leo. Uturuki na Ujerumani zinaendeleza juhud . . .

Kurasa 110 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 11 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 11 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 11 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode