logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

Tanzania:Kuhusu Ukraine na Urusi, haiko upande wowote

Siku moja baada ya Ujumbe wa mabalozi wa nchi za Ulaya nchini Tanzania kuitaka Tanzania na nchi nyingine za Afrika kupaza sauti kukemea uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine, nchi hiyo imetoa msimamo wa . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

Liberia yapiga kura kufanya unyonyeshaji kuwa lazima

Bunge la Libeŕia kwa kauli moja limepitisha mswada unaowataka akina mama kunyonyesha watoto wao kwa angalau miezi sita.Mwakilishi wa Wilaya ya Rivercess Country #2 Byron W. Zahwea mnamo 2021 alip . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

Zungu ashauri kujengwa kituo cha Polisi Daraja Tanzanite

Naibu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu ameshauri kujengwa kituo cha Polisi jirani na Daraja la Tanzanite ili kuimarisha ulinzi wa kulinda madhari ya mradi huo uliojengwa kwa fedha nyingi.Hayo ame . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

Mke mpya wa Mrema asema atamrudisha ujanani

“Nataka kumrudisha Mrema kuwa kijana.” Hayo ni maneno ya mke wa mwenyekiti wa chama cha Tanzania Labor Part (TLP), Augustino Mrema anayejulikana kwa jina la Doreen Kimbi, wakati wakiwa kanisan . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

Kenya Yashindwa Kulipa Mkopo wa China wa KSh18B na Kuongezewa Riba ya KSh3.6B

Huenda Kenya ikabanwa na madeni baada ya kushindwa kulipa kwa wakati mkopo wa KSh 18 bilioni uliotumika kujenga Barabara ya Southern Bypass na hivyo kulimbikiziwa KSh 3.6 bilioni za riba iliyochelewes . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

Dunia yaomboleza mwanadiplomasia mahiri wa Marekani Madeleine Albright

Washington,Wanadiplomasia na viongozi mbalimbali duniani kote wanaendelea kutuma risala za rambi rambi kwa familia ya Madeleine Albright, mwanamke wa kwanza waziri wa mambo ya nje wa Marekani na m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

Taliban yaenda kinyume na ahadi ya kuruhusu wasichana kusoma

Kabul, Watawala wa Taliban nchini Afghanistan katika hatua ya kushangaza na isiyotarajiwa, wameamua kutozifungua tena shule za wasichana na kwenda kinyume na ahadi walioitoa ya kuruhusu wasichana . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

Moderna inatafuta uidhinishwaji kwa watoto chini ya miaka 6

Chanjo ya Moderna ya COVID-19 inafanya kazi kwa watoto wachanga, wanaokua, na watoto wa chekechea, kampuni hiyo ilitangaza Jumatano maendeleo ambayo yanaweza kufungua njia kwa watoto wadogo kupa . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Ummy Mwalimu asema kirusi kipya cha Uviko-19 hakijafika Tanzania

Wakati kirusi kipya cha Uviko 19 kikibisha hodi katika mataifa kadhaa yakiwemo ya Afrika, kirusi hicho bado hakijafika Tanzania.Hayo yameelezwa na Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu wakati akipokea chanjo a . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

RAISI SAMIA ATOA NENO KWA WALIOKUA WAKISEMA MIRADI YA HAYATI MAGUFULI HAITIENDELEZWA

Rais Samia Suluhu Hassan amesema watu waliokuwa wakisema miradi iliyaochwa na mtangulizi wake, Hayati John Magufuli haitaendelezwa, hawakuwa sahihi kwa sababu Serikali inayoongoza nchi ni ya Chama . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Rais Mwinyi atuma salamu za pole upepo mkali Nungwi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametuma salamu za pole kwa wananchi waliopatwa na maafa kufuatia upepo mkali uliotokea katika vijiji vya Kendwa na Nung . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

JELA MIAKA 19 KWA WIZI WA MTANDAONI

Mahakama ya wilaya ya Babati mkoani manyara imemuhukumu mtu mmoja aliefahamika kwa jina Gisgusta Ginanai mwenya umri wa miaka 35 mkazi wa Serengeti mkoani mara kifungo cha miaka 19 kwa kosa la wizi .A . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Saudi Arabia yakaribisha kauli chanya ya Waziri Mkuu wa Lebanon

Wizara ya mambo ya nje ya Saudi Arabia imesema inakaribisha "kauli chanya" iliyotolewa na Waziri Mkuu wa Lebanon, katika ishara ya kurudisha uhusiano kati ya Beirut na mataifa ya ghuba ya kiarabu. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Wanaharakati Jamaica wadai fidia za ukoloni wa Uingereza

Mwanamfalme wa Uingereza William na mkewe Kate wamewasili Jamaica kama sehemu ya ziara yao eneo la Carribean, saa chache baada ya wanaharakati kuandamana wakidai fidia kutokana na dhulma enzi za u . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Ramaphosa akataa upatanishi wa Russia na Ukraine

Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametoa mapendekezo kuwa hatua za NATO ndizo za kulaumiwa kwa uvamizi wa Russia dhidi ya jirani yake Ukraine. Wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema Ra . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Mawaziri wa nchi za Kiislamu wakutana Islamabad

Mawaziri wa mambo ya kigeni wa nchi za Kiislamu wameanza mkutano wao leo mjini Islamabad nchini Pakistan.Viongozi wa nchi hizo chini ya muungano wa OIC wanakutana wakiwa na ajenda inayolenga kuidh . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Spika Dkt Tulia ahutubia bunge la Umoja wa Mabunge Duniani

Wajumbe wa Umoja wa Mabunge Duniani IPU wakiwa katika mkutano wa 144 wa Umoja huo wakisikiliza hotuba mbalimbali za Maspika zikiwasilishwa leo Machi 22, 2022 katika kituo Cha kimataifa Cha Mikutan . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Wanajeshi wa Kenya wauawa Somalia: Usiri Unaohusiana Na Vifo Hivyo

Johnson ole Kiyaipi alizikwa kwa heshima kamili ya kijeshi nyumbani kwake Kenya baada ya kuuawa na bomu lililotegwa kando ya barabara nchini Somalia, ingawa jeshi wala serikali haijakiri hadhara . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Ukraine imekataa mapendekezo ya Russia kuusalimisha mji wa Mariupol

Ukraine ilikataa mapendekezo ya Russia kuusalimisha mji uliozingirwa wa Mariupol siku ya Jumatatu huku vikosi vya Russia vikiendeleza mashambulizi zaidi katika mji mkuu wa Ukraine, Kyiv. Naibu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

EU yaamuru kusitishwa kwa mafunzo ya kijeshi nchini Mali

Mwanadiplomasia wa juu wa Umoja wa Ulaya ameamuru kusitishwa kwa mafunzo ya kijeshi kwa wanajeshi nchini Mali. Mkuu wa sera za mambo ya nje wa Umoja wa ulaya Josep Borell anataka kuhakikishiwa d . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Zelensky awataka raia wa Ukraine kuendelea na mapambano

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amewatolea mwito raia wa nchi hiyo kuendelea na mapambano dhidi ya wanajeshi wa Urusi katikati ya ongezeko la mashambulizi dhidi ya raia. Rais wa Ukraine Volodym . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Uganda yazipiku Tanzania na Kenya kama nchi yenye furaha Zaidi kanda hii

Uganda imezipiku Kenya na Tanzanzia katika tathmini ya mataifa yenye furaha Zaidi dunini .Kenya imeshikilia nafasi ya 119 baada ya kushuka kutoka nafasi ya 86 mwaka jana huku uganda ikipiga hatuamb . . .

UTALII
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Mtoto wafaru maarufu wa Tanzania amefariki

Faru Rajabu mtoto wa aliyekuwa Faru maarufu Tanzania Faru John, amefariki dunia jumapili usiku katika hifadhi ya taifa ya serengeti akiwa na miaka 43. Shirika la hifadhi za taifa Tanzania TAN . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Makubi "Kamilisheni miradi ya IMF kabla ya June 2022"

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi ameagiza miradi yote ya Wizara ya Afya chini ya Mfuko wa fedha wa kimataifa (IMF) iwe imekamilika kabla ya 30 Juni, 2022. Prof. Makubi ameyas . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Mashine 24 za kubet zimevunjwa

Jumla ya mashine 24 za michezo za bahati nasibu zenye thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni 36 zimevunjwa na Bodi ya Michezo ya Bahati Nasibu Mkoani Kigoma baada ya msako ulifanywa na Bodi hiyo ikishir . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Mbowe Atoa Neno kwa Sabaya

Mwenyekiti Chadema, Freeman Mbowe amekumbusha machungu ya utawala wa aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya huku akidai kuwa, baadhi ya ofisi za umma nchini zinatumika kunyanyasa wanan . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Marekani yasema jeshi la Myanmar limefanya mauaji ya halaiki

Utawala wa Rais wa Marekani Joe Biden umeafiki kwamba unyanyasaji uliofanywa dhidi ya jamii ya walio wachache ya Rohingya na jeshi la Myanmar ni mauaji ya halaiki na uhalifu dhidi ya ubinadamu. Wa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 21, 2022

Ndege Fastjet haitalipa deni

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga TCAA, Hamza Johari amesema ndege aina ya Embraer 190 5H-FJH iliyozuiwa nchini Tanzania na waliokuwa wafanyakazi wake haiwezi kutumika kulipa madeni wa . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • March 20, 2022

Ujerumani yalegeza masharti ya kukabiliana na Covid-19

Ujerumani imeondosha mkururo wa mwanzo wa vizuizi vya kukabiliana na vurusi vya corona kitaifa, hatua ambayo imezusha wasiwasi wa kwa taifa hilo linaweza kuendelea kuibuka tena kwa ongezeko la vis . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • March 20, 2022

Urusi yadai kuwauwa wanajeshi 100 wa Ukraine mjini Schytomyr

Shambulio la Urusi katika kituo cha mafunzo cha karibu na mji wa kati wa Ukraine wa Schytomyr ladaiwa kuwauwa wanajeshi 100 wa Ukraine na wengine wa kigeni. Hayo ni kwa mujibu wa habari za Urusi a . . .

Kurasa 109 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 11 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 11 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 11 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode