logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • April 14, 2022

Ubalozi wa Marekani watoa tamko kuhusu Afande Sele ‘Hatukubaliani na ujumbe wa wimbo’

Ubalozi wa Marekani umetoa kauli juu ya wimbo wa Afande Sele unaofahamika kwa jina la “Bila Marekani”. Katika taarifa iliyochapishwa na Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania, imesema kwamba…“Tu . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • April 14, 2022

Ni madudu yaleyale ripoti ya CAG

Kuongezeka kwa deni la Serikali hadi Sh64.52 trilioni kutoka Sh56.76 trilioni na kuwepo madai ya bima ya afya yaliyohusisha wanaume 56 waliodaiwa kupata huduma ya upasuaji wa kujifungua na wengin . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Uber yasimamisha shughuli zake Tanzania

Kampuni ya Uber inayotoa huduma ya usafiri ya taxi kwa njia ya mtandao imesitisha huduma zake nchini Tanzania kuanzia leo 14 Aprili 2022. Kwa mujibu wa Taarifa iliyotumwa kwa wateja wa usafiri . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Watumishi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania, Washington Marekani Wampokea Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Viongozi, Watumishi wa Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania pamoja na Baadhi ya Wawakilishi kutoka nchi za SADC waliofika ku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

IMF yaunda mfuko wa ufadhili kukabiliana na changamoto za muda mrefu

Shirika la fedha ulimwenguni IMF limeidhinisha kuundwa kwa mfuko mpya wa ufadhaili unaolenga kuzisaidia nchi za kipato cha chini na za kati kukabiliana na changamoto za muda mrefu ikiwemo mabadi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Finland na Sweden kuamua juu ya kujiunga na jumuiya ya NATO

Mawaziri wakuu wa Finland na Sweden jana walikutana mjini Stockholm kujadili usalama wa kikanda kutokana na vita vinavyoendelea nchini Ukraine. Waziri mkuu wa Finland Sanna Marin na Magdalena Ande . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Mshukiwa wa shambulio kwenye kituo cha treni cha New York akamatwa na kushtakiwa ugaidi.

Mshukiwa wa shambulio la kufyatulia risasi watu wengi Jumanne kwenye kituo cha treni cha jijini New York amekamatwa Jumatano alasiri na kushtakiwa kwa kosa la ugaidi, wakili wa wilaya ya mashariki . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Hedhi yatajwa kikwazo cha masomo kwa wasichana

Imeelezwa kuwa asilimia 48 ya wanafunzi wa kike wanakosa masomo kutokana na kuwa katika mzunguko wa hedhi hali ambayo huathiri uwezo wa wanafunzi hao kujifunza kwa ufasaha. Hayo yamesemwa l . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • April 13, 2022

TARURA, TANROAD Wakumbushwa Kuweka Majina Ya Barabara Ili Kurahisisha Operesheni Anwani Za Makazi

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nauye amezikumbusha taasisi za TANROAD na TARURA kuweka majina ya barabara ili kurahisisha Operesheni ya Anwani za Makazi Akizung . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • April 13, 2022

NYUMBA 4000 JIMBO LA MPENDAE WAPOKEA MKONO WA FUTARI KUMUENZI MAREHEMU SALIM TURKEY

WAKAZI wa Jimbo la Mpendae Visiwani Zanzibar wamepata faraja Kwa familia ya Marehem Salim turkey Kwa kuendeleza yale mazuri kwa wananchi wake hususani kuwakumbuka watu wenye uhitaji katika kipin . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • April 13, 2022

Milioni 600 Zimepigwa, Aweso Achafukwa, Asweka watu Ndani

Zaidi shilingi milioni 600 zatumika vibaya Wilayani handeni Mkoani Tanga, Fedha hizo zilizotengwa kwa ajali ya kukamilisha mradi wa bwawa la maji la kata ya Kwemkambala ambapo mradi huo mpaka sasa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 13, 2022

EU kutumia diplomasia ya chakula kukabiliana na kupanda bei ya ngano

BRUSSELS Umoja wa Ulaya unalenga kukabiliana na kupanda kwa bei ya ngano na mbolea kwa kujihusisha na kile ulichokitaja kuwa diplomasia ya chakula. Kupanda kwa bei za bidhaa kunatarajiwa kusababis . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 13, 2022

Watu milioni 77 waishi katika umaskini uliokithiri kutokana na corona

Umoja wa MataifaRipoti ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa ugonjwa wa Covid-19 ulisababisha zaidi ya watu milioni 77 kutumbukia katika umaskini uliokithiri mwaka jana huku nchi nyingi zinazoendelea . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 13, 2022

Mashirika 16 ya kiraia yaiomba IMF kutoa dola trilioni 2.5 kwa nchi maskini.

Mashirika 16 ya kiraia Jumanne yamelisihi shirika la kimataifa la fedha( IMF) kutoa dola trilioni 2.5 katika akiba yake ya dharura ili kuzisaidia nchi maskini ambazo bado zinashindwa kujikwamua . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 13, 2022

Sudan Kusini yaunda jeshi linalojumuisha pande hasimu.

Serikali ya Sudan Kusini Jumanne imetangaza kuundwa kwa uongozi wa jeshi lililoungana, ikitekeleza kipengele muhimu cha makubaliano ya amani ya mwaka 2018 ambayo wafuatiliaji wanatumai yataisaid . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 13, 2022

Ukraine yamtia mbaroni mwanasiasa na mshirika wa Putin

Kyiv Shirika la ujasusi la Ukraine SBU limemkamata mwanasiasa wa upinzani nchini humo Viktor Medvedchuk, ambaye anaunga mkono Urusi na anatajwa kuwa mshirika wa karibu wa rais Vladimir Putin. Kigo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 13, 2022

OPCW yaelezea wasiwasi ripoti za matumizi ya silaha za kemikali Mariupol

The HagueShirika la kuzuia kuenea kwa silaha za kemikali duniani OPCW limesema kuwa lina wasiwasi na ripoti za matumizi ya silaha za kemikali katika mji uliozingirwa wa Mariupol nchini Ukraine. Ri . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 12, 2022

Baraza la usalama la UN wiki ijayo kuijadili hali ya kibinadamu Ukraine

Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa wiki ijayo limepanga kukutana katika kikao kingine kujadili hali ya kibinadamu nchini Ukraine,ikiwa ni juhudi za kuendelea kuitia mbinyo Urusi licha ya kutumi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 12, 2022

Maliha Khan ateuliwa rais wa Women Deliver

Shirika la kimataifa la kutetea usawa wa kijinsia na haki za wanawake limetangaza kumteuwa dkt Maliha Khan, kuwa rais wa shirika hilo. Kabla ya kuteuliwa kwake daktari Khan, alikuwa . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 12, 2022

Marekani yawaagiza raia wake waondoke Shanghai

Marekani imetoa agizo kwa raia wake wasiokuwa wafanyakazi wa dharura katika ubalozi wake mdogo mjini Shanghai, waondoke. Mji huo wa China umewekwa chini ya sheria kali za kudhiti kuenea virusi vya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 12, 2022

Wasomali milioni sita wakabiliwa na hatari ya kutumbukia kwenye baa la njaa

Mamiliaoni ya watu nchini Somalia wako hatarini kutumbukia kwenye baa la njaa ambapo watoto ndio hasa wanaokabiliwa na hatari hiyo inayotokana na ukame ulioongezeka nchini humo. Tahadhari hiyo ime . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 12, 2022

TARURA, TANROAD Wakumbushwa Kuweka Majina Ya Barabara Ili Kurahisisha Operesheni Anwani Za Makazi

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nauye amezikumbusha taasisi za TANROAD na TARURA kuweka majina ya barabara ili kurahisisha Operesheni ya Anwani za Makazi Akizung . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 12, 2022

Uongozi wa Wizara wawasisitiza mabalozi kwa bidii na weledi

Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki umewaelekeza mabalozi kufanya kazi kwa bidii na weledi pamoja na kuweka maslahi ya Taifa mbele katika utekelezaji wa majukumu y . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 12, 2022

Ukraine yasema maelfu ya watu wameuawa Mariupol

Mamlaka nchini Ukraine zimesema huenda maelfu ya watu wameuawa kufuatia mashambulizi ya Urusi katika mji wa bandari wa Mariupol, na kuishtumu Urusi kuchelewesha kimakusudi zoezi . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • April 12, 2022

Ndugai aibukia kwenye chanjo ya mifugo, ataka chanjo ya Ukimwi

Mbunge wa Kongwa, Job Ndugai amesema chanjo ya ugonjwa wa homa ya sotoka ni mkombozi kwa wafugaji wa Kongwa ambao wametaabika kwa muda mrefu. Pia, Ndugai amewataka wataalamu kwenda mbele zaid . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 11, 2022

CAF, TFF zabariki Mashindano ya Quraan kuunguruma Uwanja wa Mkapa

Shirikisho la soka Barani Afrika ‘CAF’ limeafiki mashindano makubwa ya Quraan kufanyika Uwanja wa Benjamin Mkapa siku ya Jumapili (April 17), licha ya uwepo wa mchezo wa Robo Fainali Kombe la . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 11, 2022

Watumishi 1,477 wasimamishwa kazi

Naibu Waziri katika Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Deogratius Ndejembi amesema watumishi wa umma 1,477 wamesimamishwa kazi kwa kukiuka sheria, kanuni, taratibu na miongozo inayosim . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 11, 2022

Madiwani Moshi wamng'oa Meya madarakani, apanda bodaboda

Baraza la Madiwani Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro limemuondoa madarakani Meya wa Manispaa hiyo, Juma Raibu kwa tuhuma mbalimbali ikiwamo matumizi mabaya ya madaraka.Raibu ameondolewa madar . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 11, 2022

Macron na Le Pen kuchuana duru ya pili ya uchaguzi

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron anaongoza katika duru ya kwanza ya uchaguzi uliofanyika jana Jumapili akifuatiwa na mpinzani wake wa karibu Marine Le Pen mwenye siasa kali za mrengo wa kulia. Wiz . . .

AFYA
  • Na JZ The Brand
  • April 11, 2022

WANANCHI WAJITOKEZA KAMPENI YA SARATANI NJOMBE

Wanaume tisa wakutwa na viashiria vya Saratani ya tezi dume ambao ni sawa na Asilimia 17 ya waliojitokeza kwenye kampeni ya uchunguzi wa saratani ya tezi dume mkoani Njombe.Hayo yamebainishwa . . .

Kurasa 105 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 11 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 11 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode