logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Top Story
  • Na Suzuki
  • January 10, 2022

KESI YA SABAYA NA WENZAKE KILINDIMA TENA LEO.

Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita inatarajiwa kuendelea leo kwa shahidi wa 14 wa upande wa mashataka kuanza kutoa ushahidi.Sabaya n . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • January 10, 2022

MPANGO KUMUWAKILISHA SAMIA SADC

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango anaondoka nchini hii leo kuelekea Lilongwe, Malawi kumuwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa dharura wa wakuu wa nchi na Serikali wa nchi Wanachama wa . . .

Top Story
  • Na Gsengo
  • January 8, 2022

RAIS SAMIA AFANYA MABADILIKO BARAZA LA MAWAZIRI, MAKATIBU WA KUU NA MANAIBU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi Januari 8,2022 amefanya mabadiliko Madogo katika Baraza la Mawaziri, Makatibu Wakuu, Manaibu Makatibu Wakuu.Rais Samia Sul . . .

Afrika
  • Na Suzuki
  • January 4, 2022

RAIS WA MSUMBIJI NA MKEWE WAMEKUTWA NA MAAMBUKIZI YA UVIKO 19

Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi na mkewe Isaura wamekutwa na maambukizi ya virusi vya Uviko-19.Taarifa iliyotolewa na ofisi ya Rais huyo jana Jumatatu Januari 3, 2021 imesema kuwa Rais Nyusi na mkewe w . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • January 4, 2022

TEUZI LEO JANUARI 04.2022.

. . .

Kitaifa
  • Na Suzuki
  • January 4, 2022

MOTOTO AFARIKI KWA KUNYWA DAWA YA MIFUGO.

Mtoto mwenye umri wa miaka mitano amefariki dunia huku mwingine akinusurika baada ya kunywa dawa ya chanjo ya ng’ombe katika kitongoji cha Imalamakoye Wilaya ya Urambo mkoani Tabora. Mwenyekiti . . .

Kimataifa
  • Na Suzuki
  • January 3, 2022

MTOTO ALIYEZALIWA ANGANI ATUPWA KWENYE PIPA LA CHOO CHA NDEGE.

Wafanyakazi wa uwanja wa ndege nchini Mauritius wamekuta mtoto mchanga wa kiume aliyetelekezwa kwenye chombo cha kuhifadhia taka ndani ya choo cha ndege ya Air Mauritius.Mwanamke mwenye umri wa miaka . . .

Kimataifa
  • Na Suzuki
  • January 3, 2022

AL SHABAB WAUA SITA KENYA

Takriban watu sita wameuawa na vijiji kuchomwa moto na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al Shabab katika mji wa pwani wa Lamu nchini Kenya.Polisi wamesema wapiganaji waliokuwa na silaha nzito wali . . .

Kimataifa
  • Na Suzuki
  • January 3, 2022

WAZIRI MKUU WA SUDANI ABWAGA MANYANGA.

Waziri Mkuu wa Sudan, Abdallah Hamdok ametangaza kujiuzulu wadhifa huo baada ya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum, ya kupinga makubaliano ya kuongoza Serikali ya Mpito.Hamdok am . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • January 1, 2022

Makamu wa Rais ashiriki misa ya mwaka mpya

Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akiwa na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango leo tarehe 1 Januari 2022 wameungana na waumini wa kanisa katoliki Parokia ya mtakatifu Paulo wa Msalaba Jimbo Kuu la Dodoma kus . . .

Kimataifa
  • Na Suzuki
  • December 31, 2021

BAADHI YA NCHI AMBAZO TAYARI ZIMEINGIA 2022

Wakati Tanzania na baadhi ya nchi kote ulimwenguni ikiwa inahesabu saa kadhaa hadi kufika Januari 1, 2022, kuna nchi na miji tayari wamewasha fataki za 2022. Vilevile kuna miji ambayo huenda ikawasha . . .

Kitaifa
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Wanaopandisha nauli Kukiona

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imesema inaendelea na ukaguzi wa mabasi ya kwenda mikoani ili kubaini yanayozidisha nauli na kuchukua hatua. Ofisa . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Biden na Putin kufanya kuwasiliana kwa simu Alhamisi

Ikulu ya Marekani imesema Jumatano kwamba Rais Joe Biden atazungumza kwa njia ya simu na mwenzake wa Russia Vladimir Put . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Jumuia ya kimataifa yaingilia mzozo wa kisiasa wa Somalia

Msemaji wa Umoja wa Mataifa Ari Gaitanis amesema Jumatano kwamba  Umoja wa Mataifa pamoja na mataifa mengine wanafa . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 29, 2021

Kesi ya uchaguzi dhidi ya Barrow yatupiliwa mbali Gambia

Mahakama ya juu ya Gambia Jumanne imetupilia mbali kesi iliowasilishwa dhidi ya ushindi wa rais Adama Barrow kwa madai kwamba walioiwasilisha hawakufuata hatua za kisheria, kama inavyohitajikaBarrow a . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 29, 2021

Israel yaanza kutoa chanjo ya nne kwa watu wake

Madakatari nchini  Israel Jumatatu wameanza kutoa chanjo ya nne ya covid 19  kwa watu wake ikiwa kama sehemu y . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 29, 2021

Zaidi ya wahamiaji 400 waokolewa baharini

Meli ya shirika lisilo la kiserikali la Ujerumani Sea-Watch 3, ikiwa na wahamiaji 444, ilikuwa ikingoja kupewa bandari ya usalama kutia nanga baada ya operesheni  tano za uokoaji kutekelezwa kati . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 29, 2021

Waziri wa mambo ya kigeni wa Italy azuru Tunisia

Waziri wa mambo ya kigeni wa Italy Luigi Di Maio Jumanne wakati akiwa ziarani Tunisia, ameshauriana na rais Kais Sa . . .

Afrika
  • Na Jembefmtz
  • December 27, 2021

Rais wa Somalia amsimamisha kazi Waziri Mkuu wake

Kusimamishwa kwa Waziri Mkuu Mohamed Hussein Roble kunakuja siku moja baada ya Waziri Mkuu huyo kumshutumu Rais Farmajo kwa njama katika  uchaguzi wa bungeMzozo wa kisiasa kati ya viongozi wawili . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Mazrui augua Uviko-19

Waziri wa Afya, Ustawi wa jamii, Wazee, Jinsia na Watoto,  Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui amepata maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19 lakini hali anaendelea vizuri.Akizungumza na Mwananchi kwa njia . . .

Afrika
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Bomu lalipuka katika mkahawa uliojaa watu siku ya Krismasi - DRC CONGO

Maafisa nchini DR Congo wanasema kwamba takriban watu sita wamefariki katika shambulio la mlipuaji wa kujitoa muhanga katika makahawa uliojaa watu katika mji wa mashariki wa Beni.Maafisa wa polisi wal . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Wanne wapoteza maisha ajalini Kagera

WATU wanne wamepoteza maisha baada ya gari la mizigo aina ya Scania lenye namba za usajili T 654 DRW  walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka katika mteremko wa Kishoju Kata ya Kihanga W . . .

Afrika
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Ufunguo wa Jela Alikofungwa Mandela Kuuzwa Kwa Mnada Disemba 28,2021

SERIKALI ya Afrika Kusini imetaka kusitishwa kwa mnada wa kuuza funguo za chumba cha jela alichokuwa akiishi hayati Nelson Mandela kwenye jela ya “watukutu” ya Robben Island. Mnada huo uliopa . . .

Kimataifa
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Rais Biden apandisha hadhi ya uongozi wa Marekani duniani

Rais Joe Biden ameingia madarakani wakati hadhi ya Marekani ulimwenguni ilifikia rekodi ya chini.Katika nchi 60 na maeneo yaliyofanyiwa ukusanyaji wa maoni juu ya Uongozi wa Marekani na kampuni ya Gal . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Bethlehem yasheherekea Krismas licha ya masharti ya COVID-19

Licha ya mwaka wa pili wa kuwepo kwa masharti ya kusafiri kwa sababu ya COVID -19, mji wa Bethlehem, eneo ambako alizaliwa Yesu, lilifufua sherehe zake za kila mwaka za mkesha wa Krismasi.“Mwaka jan . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 23, 2021

TEUZI LEO DESEMBA 23.2021

. . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 22, 2021

MWILI WA MUHITIMU ALIYEUWAWA SUA MOROGORO WAAGWA.

Vilio na Simanzi vimetawala wakati wa ibada ya kumuaga Mwanafunzi ambaye amehitimu katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA)  mkoani Morogoro, Magreth Mashuwe aliyeuwawa na watu wasioju . . .

Afrika
  • Na Suzuki
  • December 22, 2021

Uchaguzi wa rais nchini Libya matatani

Tume ya uchaguzi nchini Libya imeagiza kuvunjwa kwa kamati za uchaguzi nchini humo na kutilia mashaka uwezekano wa kuandaliwa kwa uchaguzi wa rais uliopangwa kufanyika mnamo Disemba 24.Ijumaa ya Disem . . .

Kimataifa
  • Na Gsengo
  • December 21, 2021

WATU 90 WAFARIKI BAADA YA ROLI LA MAFUTA KULIPUKA HAITI.

Naibu meya wa mji Cap-Haitien, nchini Haiti Patrick Almonor amesema idadi ya watu waliokufa baada ya lori la mafuta kulipuka wiki iliyopita imeongezeka na kufika watu 90. Naibu huyo wa meya anaho . . .

Kitaifa
  • Na Gsengo
  • December 21, 2021

ZAIDI YA WATU WAZIMA ELFU 15 HALMASHAURI YA IRINGA HAWAJUI KUSOMA NA KUANDIKA

Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo akiongea na wazazi na wanafunzi juu ya umuhimu wa kujua kusoma na kuandikaMkuu wa Wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo akimkabidhi zawadi ya mwanafunzi wa . . .

Kurasa 104 ya 106

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Paul Pogba " Mke Wangu Aliniacha Nilipofungiwa Kucheza Soka"

    • 10 masaa yaliopita
  • Rais Samia airuhusu Yanga kujenga uwanja

    • 10 masaa yaliopita
  • RC Mtanda" kero za wananchi zimeisha ni uongo"

    • 10 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode