logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Makundi yenye silaha huko Chad yashutumu kuyumba kwa mazungumzo ya amani ya Qatar

Makundi ya waasi wenye silaha nchini Chad siku ya Alhamis yaliushutumu mji wa Njamena kuzorotesha kwa makusudi mazungumzo huko Qatar ambayo yamebuniwa ili kuandaa mazungumzo ya kitaifa na uchagu . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Taarifa ya katibu mkuu wa chama cha Walimu Tanzania kuhusu Walimu kupandishwa madaraja

Katibu Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Deus Seif amesema Walimu walionufaika kwa kupandishwa madaraja (vyeo) katika Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu katika kipindi cha mwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Serikali yafunguka ukweli kuhusu jiwe la rubi la kilo 2.8

"Tuliwasiliana na Ubalozi wetu Dubai na katika kufuatilia, imebainika kuwa mmiliki wake anatoka Marekani, sasa tunafuatilia mmiliki wa awali na kama ni mali ya Tanzania tuone namna gani lilisafi . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Takriban watoto elfu 2 walifariki Tigray kutokana na utapiamlo

Karibu watoto 1,900 chini ya umri wa miaka 5 wamefariki kutokana na utapiamlo katika eneo la Tigray katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita. Haya ni kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na maafisa wa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 21, 2022

Spika atoa maagizo zuio la bajaji, bodaboda kuingia mjini Dar

Sakata la usafiri wa bodaboda na bajaji kuingia Katikati ya Jiji la Dar es Salaam limetua bungeni baada ya Mbunge wa Ukonga (CCM), Jelly Silaa kulitaka Bunge kusimamisha shughuli zake na kujadil . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Waasi wa Houthi kutowatumia tena watoto kama wanajeshi

Umoja wa Mataifa umesema waasi wa Houthi Yemen, wameamua kutowatumia tena watoto kama wanajeshi. Waasi hao wamewatumia maelfu ya watoto kupigana katika vita hivyo vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodu . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Libya yafunga kisima cha mafuta wakati mzozo ukitokota

Viongozi wa kikabila kusini mwa Libya wamekifunga kisima kikubwa zaidi cha mafuta nchini humo. Ni hatua ya karibuni kabisa ya kufungwa kisima cha mafuta wakati kukiwa na mzozo mkali kati ya serika . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Waziri Mkuu Uingereza katika kiti moto

Waziri Mkuu Boris Johnson kwa mara ya kwanza atakabiliana na wabunge wenye hasira tangu atozwe faini kwa kuvunja sheria, wakati kashfa ya sherehe itakapoendelea kumzonga.Kiongozi huyo wa Uingereza . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Jaji asema uvaaji barakoa kwenye vyombo vya usafiri Marekani ni kinyume cha sheria

Marekani imeondoa sheria ya kuvaa barakoa katika vyombo vyote vya usafiri. Mahakama moja katika jimbo la Florida imesema kwamba sheria hiyo ya kuzuia maambukizi ya virusi vya corona ni kinyume cha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Kamisheni ya haki za binadamu Ujerumani yataka wakimbizi wote wapewe haki sawa

Kamishina wa haki za binadamu katika serikali ya Ujerumani Luise Amtsberg ametaka wakimbizi wanaoingia Ujerumani kutoka mataifa kama Afghanistan na Syria wapewe haki sawa na wakimbizi wanaotokea U . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Mtendaji kata Handeni asimamishwa kazi kwa makosa 20

Kamati ya ulinzi na usalama wilayani Handeni mkoani Tanga, imemsimamisha kazi mtendaji kata ya Kwenjugo, Athumani Mgaza akidaiwa kutenda makosa 20 ikiwemo kuwafunga pingu wananchi wanaoshindwa kul . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 19, 2022

Ubovu wa barabara wamuibua Spika Tulia

Spika wa Bunge, Dk Tulia Akson ameitaka Serikali kutenga fedha kwa ajili ya matengenezo ya barabara zinazojengwa ili ziweze kuwa imara wakati wote.Amezungumza leo Jumanne Aprili 19, 2022 Bungen . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Tunayojua kuhusu kilichofanyika kwa mtalii kutoka Nigeria akiwa Zanzibar anayedai alinusurika kubakwa

Bi Zainab alituma katika mtandao wake wa Twitter siku ya Jumamosi masaibu aliyoyapata katika moja ya hoteli karibu na ufukwe eneo la Nungwi visiwani humo.Katika taarifa yake anaeleza kuwa alinusurik . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Mjumbe wa Marekani yuko Korea Kusini kujadili kitisho cha Pyongyang

Mjumbe Maalum wa Marekani kwa Korea Kaskazini Sung Kim amewasili mjini Seoul leo kwa mazungumzo na maafisa wa Korea Kusini juu ya kushughulikia kuongezeka kwa majaribio ya makombora kutoka Korea K . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Mwaka mmoja baada ya kifo cha Idriss Déby, changamoto ya amani na uhuru

Mwaka mmoja baada ya kifo cha Idriss Déby Itno, baraza la kijeshi la mpito lililoundwa katika hali ya dharura bado lipo. Nchi hii inatarajia mdahalo jumuishi wa kitaifa amba . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Majeshi ya Ukraine Yaapa Kupambana Hadi Mwisho, Yagoma Kujisalimisha kwa Urusi

MAJESHI ya Ukraine ambayo yapo jijini Mariupol yamegoma kujisalimisha kama ilivyotolewa amri na Urusi na badala yake yameapa kupambana hadi mwisho kutetea mji huo ambao upo mashariki mwa nchi ya Ukrai . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Mbowe atoa msimamo mkali akitaka hatua

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuwashughulikia watu wote waliolisababishia Taifa hasara ya mabilioni ya fedha kama ilivyobainishwa kwenye ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 17, 2022

Waziri Mkuu wa Uingereza kuitembelea India

Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ataitembelea India katikati ya wiki inayokuja kwa mazungumzo juu ya biashara na usalama pamoja mwenzake, Narendra Modi, ambaye amejizuia kuilaani Urusi kutok . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 15, 2022

Urusi yaonya kuhusu kutumwa kwa silaha za nyuklia ikiwa Uswidi, na Finland zitajiunga na NATO

Mmoja wa washirika wa karibu wa Rais wa Urusi Vladimir Putin aliionya NATO siku ya Alhamisi kwamba ikiwa Sweden na Finland zitajiunga na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani basi Urusi itapelek . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 15, 2022

"Urusi sio jirani kama tulivyomfikiria"

Mwishoni mwa mwezi Januari, wanajeshi wa Urusi walipokusanyika kwenye mpaka wa Ukraine na wengi bado wana shaka iwapo Urusi ingethubutu kuivamia, Waziri Mkuu wa Finland Sanna Marin alisema "haku . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • April 15, 2022

Majanga mikopo ya elimu ya juu

Dosari katika mifumo ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) zimesababisha baadhi ya wanufaika kuzidishiwa, wengine kupunjwa huku watoto kutoka kaya maskini pamoja na mayatima wakinyimwa kabisa. . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • April 15, 2022

Ujumbe wa Pasaka KKKT wabeba mzito

Maaskofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) wametuma salamu za Pasaka kwa mwaka 2022 zilizobeba ujumbe wa mambo makuu manane, yakiwamo mvutano na msuguano wa kisiasa kuhusu Katiba . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • April 15, 2022

Nyoka auwa kwa kumuuma mmiliki wa nyoka zaidi ya 100

Maafisa wa Maryland wamesema bwana mmoja amekutwa amekufa nyumbani, kwake Kaunti ya Charles ambae anafuga nyoka zaidi 100 akiwemo aina ya vifutu na koboko.Wachunguzi wameviambia vyombo vya habari . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 15, 2022

ICC kuitaka Urusi ijihusishe na uhalifu wa kivita wa Ukraine

Mwendesha Mashkata Mkuu wa Mahakama ya Kimatiafa (ICC), Karim Khan, amesema ataendelea kujaribu kufanikisha upatikanaji wa Urusi katika kujihusisha na uchunguzi wa uhalifu wake wa kivita huko Uk . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 14, 2022

Shambulizi la Ukraine dhidi ya meli muhimu ya Urusi 'litaitikisa Moscow'-Mtaalamu

Urusi inasema meli yake ya ya makombora katika bahari ya Black Sea Moskva imeharibiwa vibaya na moto uliosababishwa risasi zake kulipuka. Maafisa wa Ukraine hata hivyo wanasema meli hiyo imepigw . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • April 14, 2022

Tanzania, UAE Zasaini Makubaliano Kuimarisha Ushirikiano

Serikali ya Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu (U.A.E), zimesaini Makubaliano ya Tume ya Kudumu ya Pamoja katika nyanja za forodha, elimu, kilimo, nishati, mawasiliano, ulinzi na usalama.&nbs . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 14, 2022

Uingereza Yatoa Uamuzi Mgumu, Wahamiaji Haramu Kupelekwa Afrika Mashariki

SERIKALI ya Uingereza kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo Priti Patel inataraji kusaini mkataba na serikali ya Rwanda ambao utadumu kwa muda wa miaka mitano 5 wenye dhumuni la serika . . .

Uwekezaji
  • Na JZ The Brand
  • April 14, 2022

Mafanikio ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania T.I.C Robo Tatu ya Mwaka 2022

KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimeweza kupata mafanikio makubwa katika robo tatu ya mwaka inayoanzia Januari mpaka Machi, 2022 kutokana na ongezeko la usajili wa miradi na kuimarika kwa shugh . . .

Uwekezaji
  • Na JZ The Brand
  • April 14, 2022

TANZANIA KUWA NCHI YA KWANZA AFRIKA KWA KUSAMBAZA UMEME VIJIJINI

MKUU wa Mkoa wa Singida Dk.Binilith Mahenge amesema Tanzania itakuwa nchi ya kwanza Barani Afrika  kwa kusambaza umeme katika vijiji vyote.Dk. Mahenge ameyasema hayo jana wakati akizungumza na wa . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • April 14, 2022

MELI ZA MAGARI KUTUA BANDARI YA TANGA KUANZIA MWEZI MEI

BANDARI ya Tanga inatarajiwa kuanza kupokea Meli za Magari ifikapo Mwezi Mei mwaka huu ambayo yatakuwa yakipelekwa kuhifadhiwa eneo la Mwambani Jijini Tanga . Hatua hiyo inatajwa kwamba itafungu . . .

Kurasa 104 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 11 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 12 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode