logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

NAPE ATOA MAELEKEZO KWA KATIBU MKUU

Waziri wa habari,mwasiliano na teknolojia ya habari Nape Nnauye amemuagiza katibu mkuu wa wizara hiyo Dkt Jimmy Anazi kuhakikisha mameneja wote wa shirika la posta Tanzania wanashirikishwa katika utek . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • January 28, 2022

Siri 13 za St.Francis girls kufaulisha na kushika namba 2 Tanzania nzima

Kitendo cha Shule ya Wasichana ya St. Francis Mbeya kuendelea kuvunja rekodi ya kufaulisha na kushika namba 2 Tanzania nzima kwa matokeo ya form iv 2021 kilinifanya niendeshe gari kutoka Dar mpaka Mbe . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 27, 2022

Roketi ya Elon Musk Kugongana na Mwezi

Roketi iliyorushwa na kampuni ya uvumbuzi wa anga za juu ya bilionea Elon Musk inakaribia kugonga ndani ya mwezi na kulipuka. Chombo kinachosaidia roketi kulipuka kwa Falcon 9 kilikwenda katika a . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 27, 2022

Serikali ya Tanzania yazindua mradi wa akili bandia

 Serikali ya Tanzania imezindua mradi wa maabara ya akili bandia (artificial intelligence) utakaosaidia kurahisisha shughuli za maendeleo nchini.Hayo yamesemwa leo Jumatatu Januari 24, 2022 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 26, 2022

Waandamana kuliunga mkono jeshi lililofanya mapinduzi Burkina Faso

Wafuasi wa jeshi nchini Burkina Faso wameandamana katika mji mkuu jana Jumanne, siku moja baada ya maafisa jeshi kumkamata rais Roch Kabore na kuivunja serikali ya nchi hiyo.Mamia kadhaa ya watu w . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 26, 2022

Asilimia 95 ya walioumwa Uviko-19 hawakuchanjwa

Serikali imesema watu 3,147 walilazwa hospitalini kutokana na Uviko-19 kati ya Septemba 2021 mpaka Januari 23, 2022 ambapo kati yao 2990 sawa na asilimia 95 walikuwa hawachanja. . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 26, 2022

Marekani inaweza kumuwekea vikwazo Putin iwapo Urusi itaivamia Ukraine

Rais wa Marekani Joe Biden anasema ataangalia uwezekano wa vikwazo binafsi dhidi ya Vladimir Putin iwapo Urusi itaivamia Ukraine. Bw Biden alisema kunaweza kuwa na "madhara makubwa" kwa dunia . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • January 26, 2022

Tuzo ya BBC ya Komla Dumor ya 2022 yazinduliwa

BBC inamtafuta nyota anayechipukia katika uandishi wa habari barani Afrika kwa ajili ya Tuzo ya BBC World News Komla Dumor, ambayo sasa ni mwaka wake wa saba.Waandishi wa habari kutoka kote ba . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 25, 2022

Umati wa watu wenye furaha washerehekea mapinduzi Burkina Faso

Zaidi ya watu 1,000 wamekusanyika katika uwanja mkuu katika mji mkuu wa Burkina Faso, Ouagadougou, kusherehekea mapinduzi ya Jumatatu, huku wengine wakichoma bendera ya Ufaransa na wengine wakic . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 25, 2022

Agizo la jaji laishinikiza meli ya watalii kubadili mkondo ghafla

Abiria waliokuwa wakiabiri meli ya abiria walishangazwa baada ya meli hiyo kubadili mkondo wake kwa ghafla wikendi hiina kutia nanga katika eneo la Bahamas ili kukwepa ‘kutekwa nyara nchini Marek . . .

Afrika Mashariki
  • Na JZ The Brand
  • January 25, 2022

Museveni akanusha kuunga mkono uchaguzi wa Kenya - ripoti

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema hataegemea upande wowote katika uchaguzi wa urais wa Kenya utakaofanyika Agosti 9, zinasema ripoti katika gazeti la New Vision linalomilikiwa na serikali.A . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • January 25, 2022

Home HABARI MSEMAJI JESHI LA ZIMAMOTO AENDELEA NA ZIARA ZA KUBORESHA UHUSIANO MSEMAJI JESHI LA ZIMAMOTO AENDELEA NA ZIARA ZA KUBORESHA UHUSIANO

MSEMAJI na Mkuu wa Kitengo cha Habari, Uhusiano na Elimu kwa Umma wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACF) Puyo Nzalayaimisi ameendelea na ziara yake kwa ajili ya kuj . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 25, 2022

MADAKTARI BINGWA KUTOKA SAUDIA ARABIA WAFANYA UPASUAJI UKEREWE, 50 WAFANYIWA UPASUAJI

madaktari  bingwa kutoka saudia rabia na madaktari wa tanzania wamefenye upasuaji  wa wagonjwa 50 katika wilaya ukerewe mkoani mwanza.mkuu wa wilaya ya ukerewe kanali denis mwila ameeleza ku . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 25, 2022

Rais wa Malawi avunja baraza lake la Mawaziri

Rais wa nchini Malawi, Lazarus Chakwera amelivunja baraza lake la Mawaziri  lote kutokana na masuala ya rushwa. Akituhubia taifa lake kwa njia ya televisheni siku ya Jumatatu tarehe 24 2022 . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 25, 2022

WIZARA YA AFYA YAPONGEZA MAENDELEO YA MRADI UPANUZI JENGO LA MAMA NA MTOTO HOSPITALI YA RUFAA YA KANDA MKOANI MBEYA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekilaghe, amepongeza maendelo ya mradi wa upanuzi wa jengo la mama na mtoto na kumtaka mkandarasi kumaliza kazi iliyobakia pamoja na maboresho kabla . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 25, 2022

Mkurugenzi wa WHO “dunia inaweza tokomeza Covid 2022”

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dr. Tedros amesema Dunia inaweza kuit . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 24, 2022

SERIKALI YA TAZANIA YAANIKA SABABU YA KUWA NA SIMBA WENGI DUNIANI

RAIS wa Jumuiya ya Uwindaji ya Kimataifa, (SCI), Sven Lindqueast ameitaja Tanzania kuwa ni nchi yenye  nusu ya simba wote Duniani katika Mkutano wa 50 wa Mwaka wa Uwindaji wa Kitalii unaoen . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • January 24, 2022

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAFUNGUA TAWI MKOANI KATAVI

Tanzania Commercial Bank (TCB)  imezindua tawi jipya Mkoa wa Katavi Wilaya ya Mpanda ikiwa ni jitihada za kusogeza huduma za kibenki kwa wateja na Wananchi kwa ujumla.Tawi hilo la kwan . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • January 24, 2022

TCRA IMETANGAZA UAMUZI WAKE DHIDI YA STAR TV KWA KUKIUKA SHERIA YA MAUDHUI

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekifungia kwa miezi mitatu kipindi cha Efatha Ministry kinachorushwa kupitia kituo cha televisheni cha Star TV, kwa kukiuka kanuni za maudhui ya Utangazaji . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 24, 2022

Rais wa Burkina Faso Roch Marc Christian Kaboré azuiliwa katika kambi ya kijeshi

Rais wa Burkina Faso Roch Marc Christian Kaboré amezuiliwa katika kambi ya kijeshi, shirika la habari la Reuters limeripoti.Hatua hiyo Inakuja huku kukiwa na mkanganyiko wa mahali alipo rais.Shirika . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • January 24, 2022

MADUKA HOSP MITA 500

"Maduka yote ya nje ya dawa yanatakiwa kuwa nje umbali wa mita 500 sheria hii niliipitisha kabla sijaondoka Wizarani, maduka yaliyo ndani ya Mita 500 ndani ya Hospitali Nchi nzima tunakwenda kuyaondoa . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 24, 2022

BASI BILA DEREVA

Norway imesema inajiandaa kuanza majaribio ya Mabasi ya Abiria yasiyokuwa na Dereva ambayo yataanza majaribio kuanzia April 2022,Mabasi hayo yametengenezwa na Kampuni ya Kituruki ya Karsan na yana uwe . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • January 24, 2022

MAREKANI YAAGIZA FAMILIA ZA WAFANYAKAZI WA UBALOZI KUONDOKA UKRAINE

Marekani imewaagiza ndugu wa wafanyakazi wa ubalozi wake nchini Ukraine kuondoka nchini humo huku hali ya wasi wasi ikiendelea kungezeka katika kanda hiyo.Wizara ya mambo ya nje pia imetoa ruhusa kwa . . .

Afrika
  • Na Suzuki
  • January 23, 2022

MOTO WAUA TAKRIBAN WATU 16 NA KUJERUHI 8 NCHINI CAMEROON

Serikali Nchini Cameroon imesema takriban watu 16 wamefariki dunia kwenye Klabu iliyopo Mji Mkuu wa Taifa hilo, Yaounde kufuatia ajali ya moto iliyosababishwa na fatakiKwa Mujibu wa Wizara ya Ha . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • January 23, 2022

RAIS SAMIA AMPONGEZA DKT, SALIM KUTIMIZA MIAKA 80.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepongeza Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania (1984-1985) Dkt. Salim Ahmed Salim kwa kutimiza umri wa miaka 80 leo Januari 23, 2022, pia . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 23, 2022

Waandamana kupinga sherai za Corona Ujerumani

Maelfu ya watu waliandamana jana nchini Ujerumani kupinga vizuizi vya kuzuia kuenea kwa virusi vya corona na chanjo za lazima huku makundi madogo yakifanya maandamano kinzaniPolisi inasema zaidi y . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 23, 2022

Madawati Ya Kijinsia Vyuoni Isiwe Ya Mazoea Bali Yalete Tija’- Dkt. Gwajima

Serikali imesema Wanafunzi wa Vyuo Vikuu na Kati ni mojawapo ya wahanga wa vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyowasababishia kushuka kwa ufanisi kwenye masomo yao, hivyo kupitia Mpango Kazi wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 23, 2022

Abiria aliyegoma kuvaa barakoa asababisha ndege kukatisha safari angani

Kampuni ya ndege ya Marekani -American Airlines iliyokuwa ikisafiri kutoka Miami kuelekea London Uingereza imelazimika kurudi ilikotoka kwasababu mmoja wa wasafiri wake alikataa kuvaa barakoa, ime . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 23, 2022

Marekani kusitisha safari za ndege 44 kuelekea China

Serikali ya Marekani imesema  itasitisha safari za ndege 44 kuelekea China kutoka Marekani zinazofanywa na mashirika ya ndege ya China kujibu uamuzi wa serikali ya China kusitisha baadhi ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 20, 2022

RIPOTI YA CHANJO YA UVIKO-19 YATOLEWA RUKWA,

Wananchi wa mkoa wa Rukwa wamepongezwa kwa kujitokeza kupata chanjo ya kinga dhidi ya ugonjwa wa Korona ambapo hadi kufikia mwezi Januari mwaka huu watu 57,638 wamefanikiwa kupata chanjo hiyo katika v . . .

Kurasa 103 ya 106

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Wananchi wilayani ya Mwanga waondokana na kero ya Zahanati

    • 38 dakika zilizopita
  • Jobe Belligham kuukosa mchezo wa robo fainali dhidi ya Real Madrid

    • 49 dakika zilizopita
  • Abdul Nondo atoa wito kwa wananchi kutosusia uchaguzi mkuu

    • 58 dakika zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode