Waziri wa ulinzi wa Marekani Lloyd Asutin, ameelezea Imani yake kwamba Ukraine inaweza kushinda vita dhidi ya Russia, ambavyo vimechukua muda wa miezi miwili. Lloyd alikuwa akizungumza wa . . .
Korea kaskazini imefanya maonyesho ya makombora yake ya masafa marefu katika gwaride la kijeshi lililofanyika usiku. Wakati wa maonyesho hayo, kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un, ameap . . .
Maafisa wa afya katika mji wa Beijing, China, wameanza kupima virusi vya Corona kwa wakaazi milioni 21, kutokana na wasiwasi kuwamba huenda mji huo mkuu ukawekwa chini ya amri kali za kusitisha . . .
Wajumbe kutoka nchi 40 wanakutana kwa ajili ya kikao cha dharura kwenye mji wa Ramstein wa nchini Ujerumani kujadili njia za kuimarisha ulinzi wa Ukraine. Waziri wa Ulinzi wa Marekani Lloyd Austin . . .
Mkurugenzi Mtendaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la kutetea haki za binadamu, Human Rights Watch, Kenneth Roth, amesema leo kuwa atauachia wadhifa huo mwishoni mwa mwezi Agosti baada ya kuliongo . . .
Wizara ya mambo ya nje ya China imekanusha shutuma kwamba itatumia ushawishi wake kwa kampuni ya kutengeneza gari zinazoendeshwa kwa umeme, Tesla, ili kuathiri maudhui yanayorushwa na mtandao wa k . . .
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 3, 826 ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 58 ya muungano wa Tanzania.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumanne Aprili 26, 2022 na Waziri . . .
Spika wa Bunge mstaafu, Pius Msekwa amesema mtu asiyependa Muungano wa Tanzania akajinyonge.Msekwa ametoa kauli hiyo leo Jumanne Aprili 26, 2022 wakati akiwasilisha mada kuhusu hatua mbalimbali am . . .
Kufuatia Mvua ilionyesha April 23 mjini Geita iliyoambatana na upepo mkali na kusababisha kuezua paa za Kaya 42, mapema April 25 Mkuu wa mkoa wa Geita Rosemary Senyamule amefika eneo la Katumaini . . .
Mfalme wa Abdullah wa Jordan amekubaliana na Rais wa Marekani Joe Biden kuhusu haja ya kuzuia marudio ya makabiliano ya karibuni katika maeneo matakatifu ya Kiislamu mjini Jerusalem ambayo yalisab . . .
Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa Antonio Guteress anaelekea mjini Moscow ambapo anatarajiwa kukatana leo Jumanne na Rais wa Russia Vladimir Putin katika jitihada za kumuomba akubali kusitisha au . . .
Wakuu wa jeshi la Niger na jeshi la Burkina Faso Jumatatu wamesema operesheni ya pamoja ya wiki tatu katika eneo la mpakani linaloshambuliwa sana na wanajihadi, iliua magaidi 100 na wanajeshi . . .
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Muungano na Mazingira, Dk Selemani Jafo amesema wamefanikiwa kutatua kero 18 za muungano kati ya 25 zilizopo.Jafo ameyasema hayo leo Jumanne Aprili 26, 2022 wakati wa shere . . .
IBU MKUU wa Wizara ya Kilimo, Bw. Andrew Massawe na Mtendaji Mkuu wa Tanzania Horticulture Association (TAHA), Dkt. Jacqueline Mkindi, jana tarahe 22 April, 2022 katika ofisi ya Wizara ya Kilimo J . . .
RAIS Uhuru Kenyatta na Mkewe Margaret Kenyatta wawaongoza wakenya kutoa heshima zao za mwisho kwa Rais wa zamani Emilio Stanley Mwai Kibaki.Rais Kibaki alitawala nchi ya Kenya kati ya mwaka 2002 had . . .
Mji wa China wa Shangai Jumapili umeripoti vifo 39 kutokana na Covid 19, ikiwa idadi kubwa ya vifo licha ya kuweka masharti makali ya kupambana na ugonjwa huo kwa wiki kadhaa, huku mji mkuu Beij . . .
umatatu April 25 ni siku ya Malaria Duniani, shirika la afya Duniani (WHO) linapendekeza upanuzi wa matumizi ya chanjo ya kwanza ya malaria na kuitaja kuwa inawezekana kuleta mabadiliko katika vit . . .
WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa amefanya ziara na kukagua nyumba 103 miongoni mwa nyumba zinazojengwa na Serikali katika kijiji cha Msomera wilayani Handeni . . .
Madai ya Katiba mpya yameibukia nje ya viunga vya Ubalozi wa Tanzania Jijini New York, Marekani, ndivyo unavyoweza kusema.Hiyo ni baada ya waandamanaji kujitokeza nje ya ofisi ya ubalozi jana wakiwa . . .
Spika wa Bunge, Dk Tulia Akson ameahirisha kikao cha Bunge leo Jumatatu Aprili 25, 2022 kufuatia kifo cha Mbunge wa Viti Maalum, Mkoa wa Rukwa (CCM), Irene Ndyamkama kilichotokea jana katika Hospi . . .
Vyombo vya habari nchini Korea Kaskani vimetangaza taifa hilo kupata kile ilichokiita nguvu isiyoweza kushindwa, ambayo ulimwengu hauwezi kuipuuza na hakuna anaweza kuisogelea.Vyombo hivyo vimeong . . .
WAKALA wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini(RUWASA)Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi umesema kupatikana kwa miradi ya maji inayotekelezwa kwa fedha za UVIKO-19 ambazo zimetolewa na Serikali ya . . .
Mkoa wa manyara unalenga kuwachanja watoto wenye umri wa chini ya miaka 5 kuwakinga dhidi ya ugonjwa wa Polio unaosababisha kupooza.Kampeni hiyo itakayozinduliwa rasmi kuanzia April 28 na kukami . . .
Iran imeanzisha tena mazungumzo na hasimu wake wa kikanda Saudi Arabia, baada ya kusitishwa kwa mazungumzo ya siri mjini Baghdad miezi kadhaa iliyopita. Tovuti ya habari ya Irani ya Nour, inayotaj . . .
Uturuki imefunga anga lake kwa ndege za kiraia na kijeshi za Urusi zinazosafiri kuelekea Syria.Tangazo hilo linaashiria moja ya majibu makali zaidi ya Uturuki, ambayo imejenga uhusiano wa karibu n . . .
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Ronald Fenty Baba wa Msanii Maarufu Robyn Rihanna Fenty ambaye alifika katika ukumbi wa Paramount Pictures . . .
Shirika la Afya Ulimwenguni WHO limesema mpango wa majaribio wa chanjo ya malaria katika nchi za Kenya, Ghana na Malawi unaendelea vyema. Akizungumza mjini Geneva jana, Katibu Mkuu wa shirika hilo . . .
Jacqueline Ntuyabaliwe ambaye ni mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini, marehemu Reginald Mengi, ameshinda pingamizi alilowekewa na wasimamizi wa mirathi katika rufaa ya mirathi.Ameshin . . .
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupitia kwa Mkurugenzi wake wa huduma na elimu kwa mlipa kodi, Richard Kayombo imetoa ufafanuzi baada ya TRA kukutana na Timu ya Wataalam wa Kampuni ya META in . . .
Rais wa Marekani Joe Biden siku ya Alhamis aliidhinisha msaada mwingine wa kijeshi wa Marekani wa dola milioni 800 kwa Ukraine akitangaza ilikuwa muhimu kuvisaidia vikosi vya Kyiv kuwafukuza w . . .