logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 18, 2025

Zaidi ya raia 200 wameuwa na wanamgambo wa Sudan wiki hii - Ripoti

Wanamgambo wa Sudan wamewaua zaidi ya watu 200 wakiwemo wanawake na watoto, katika shambulio la siku tatu kwenye vijiji vya kusini mwa nchi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 17, 2025

Spika wa bunge la Uganda ameekewa vikwazo na Uingereza kutokana na wizi wa mabati

Serikali ya Uingereza imetangaza vikwazo kadhaa dhidi ya spika wa bunge la Uganda na maafisa wengine wa ngazi ya juu serikalini.Spika Anita . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 17, 2025

Mpaka wa Bugarama na Kamanyola wafungwa kutokana na kusonga mbele kwa M23

M23 inayoungwa mkono na Rwanda yuko rasmi katika mji mkuu wa mkoa wa Kivu Kusini, Bukavu, tangu mapema Jumapili asubuhi. Msemaji wa jeshi la . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2025

Shakira Ashindwa Kufanya Shoo, Akimbizwa Hospitali

Staa wa Pop duniani, Shakira, amelazimika kukatisha shoo yake nchini Peru na kukimbizwa hospitali baada ya kupatwa na maradhi ya tumbo.Kupit . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2025

Saudi Arabia kuwa mwenyeji wa mkutano wa maandalizi ya mkutano wa Trump na Putin kuhusu Ukraine

Saudi Arabia itakuwa mwenyeji wa mkutano wa maandalizi kati ya maafisa wakuu wa Urusi na Marekani siku ya Jumanne, Februari 18, kabla ya mku . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 17, 2025

Waziri Mkuu wa zamani wa Mauritius akabiliwa na kesi ya wizi wa fedha

Mahakama ya Mauritius imemuachilia kwa dhamana Waziri Mkuu wa zamani Pravid Jugnauth, baada ya kukamatwa Jumamosi kwa tuhuma za usafirishaji . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • February 16, 2025

Vijana 132 Wakamatwa Pwani Kwa Kujihusisha Na Biashara Ya Kitapeli, RPC Pwani Afunguka Tukio Zima

Vijana takribani 132 wenye umri wa kati ya miaka 18 na 22 kutoka mikoa mbalimbali, hasa ya pembezoni mwa Tanzania, wamekutwa huko Mlandizi, . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 14, 2025

Serikali yakanusha bandari ya Bagamoyo kuchukuliwa

Serikali imesema kwamba taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba kampuni moja kutoka Saudi Arabia imepata mkataba wa uwekezaji . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 14, 2025

Asilimia 40 ya watumishi wa umma hawafanyi kazi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,  Mhe. George Simbachawene amesema zaidi ya asilimia 40 . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 14, 2025

Rais Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano Wa 38 Wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili leo, tarehe 14 Februari 2025, katika Uwanja wa Ndege wa K . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 14, 2025

Waasi wa AFC/M23 wadhibiti Kabamba na Katana na wanalenga uwanja wa ndege wa Kavumu

Waasi wa M23 sasa wako katika maeneo mawili y mko wa Kivu Kusini, ambayo ni maeneo ya Kalehe na Kabare, ambapo sasa wanakalia eneo la Kabamb . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 14, 2025

Papa Francis amelazwa hospitali

Papa Francis mwenye umri wa miaka 88 amekuwa Papa tangu 2013 na amekuwa akisumbuliwa na matatizo ya kiafya mara kadhaa.Papa Francis amepelek . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 13, 2025

DR Congo Yapiga Marufuku Ndege Za Rwanda

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imepiga marufuku ndege zote zilizosajiliwa nchini Rwanda kutumia anga yake kutokana na vita vya uchok . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 7, 2025

Urusi na Uingereza kwenye mzozo kidiplomasia

Mwanadiplomasia wa Urusi amefukuzwa nchini Uingereza katika mzozo wa hivi karibuni wa kurushiana maneno baada ya Moscow kumtimua afisa wa Ui . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • February 7, 2025

Fifa Yaifungia Congo Brazzaville Kushiriki Shughuli Zote Za Kisoka

Shirikisho la soka la kimataifa (FIFA) limetangaza kusimamisha shirikisho la soka la Congo (FECOFOOT), hivyo kupiga marufuku timu ya taifa y . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 7, 2025

Burundi kuwatuma wanajeshi wake katika Mji wa Bukavu nchini DRC

Nchi ya Burundi, imetuma wanajeshi wake katika eneo la Gatumba kwenye mpaka wa DRC, ambapo wanatarajiwa kutumwa katika Mji wa Bukavu, Mji Mk . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • February 7, 2025

WHO yasema kuwa njia zaidi za uokozi kutoka Gaza zinahitajika

Afisa wa ngazi ya juu wa Shirika la Afya Duniani WHO, huko Gaza amesema Alhamisi  kuwa njia zaidi  za kutoka zinahitajika ili kufa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • February 6, 2025

Cristiano azungumzia shauku yake kwa Ronaldo JR

Mshambulizi wa Al Nassr Cristiano Ronaldo amefanya mahojiano na Canal 11, ambapo alisisitiza hamu yake ya kucheza kwenye uwanja sawa na mwan . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 6, 2025

Afrika Kusini Yataka Marekani Iwekwe Vikwazo Last updated Feb 6, 2025

waziri wa Madini na Rasilimali za Petroli wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe ametoa wito kwa nchi za Afrika kusimamisha mauzo ya madini kwenda . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • February 5, 2025

Daktari Anayeshutumiwa Kumbaka Mgonjwa Apigwa Kalamu

Afisa wa kliniki katika hospitali ya Pandya amesimamishwa kazi kufuatia madai ya kusikitisha ya unyanyasaji wa kingono yanayohusisha mgonjwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 5, 2025

Hamas yapinga mapendekezo ya Trump kudhibiti Gaza na kuwaondoa raia

Wapiganaji wa Hamas wamelaani vikali matamshi ya rais wa Marekani Donald Trump kuhusu mipango yake ya kuidhibiti Gaza na kuwahamishia wakaaz . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 5, 2025

Mwanahabari Mkongwe Afariki Dunia Uingereza

Taarifa zilizotolewa na Shirika la Habari la Uingereza (BBC) zinasema mwandishi wa mkongwe nchini ambaye aliwahi kuwa mtangazaji wa BBC, Ahm . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 5, 2025

Zaidi ya watu 10 wauwawa kwenye mashambulizi ya bunduki shuleni, Sweden

Takriban watu 10 Jumanne wameuwawa kwenye ufyatulianaji wa risasi kwenye kituo kimoja cha elimu kati kati mwa Sweden akiwemo mshambuliaji, m . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2025

ACHENI WASANII WAISHI MAISHA YAO - OMAR HARDWICK

Nyota wa filamu ambae amejipatia umaarufu zaidi kupitia Tamthilia ya Power , Omari Hardwick ameungana na baadhi ya watu kuwatetea wasanii am . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2025

LIL YACHTY - NAMUOGOPA NICK MINAJ, HIP-HOP HAIJAFA.

Rapa Lil Yachty amekiri kwamba mpaka sasa bado anajutia maamuzi yake kwa kuchagua upande kwenye vita kati ya Card B na Nick Minaj mwaka 2018 . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • January 31, 2025

Tumepunguza mesji za "Tuma kwa namba hii"

"Sisi kama Serikali tumeshachukua hatua kali kupitia TCRA na utakuwa pia shahidi kuwa wimbi la meseji limepungua kwa kiasi fulani, ilikuwa b . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 31, 2025

Uganda kuimarisha vikosi vyake nchini DRC kulingana na jeshi la UPDF

Jeshi la Uganda, UPDF katika taarifa yake limesema litaimarisha ulinzi katika maeneo yake ya oparesheni hadi pale ambapo hali ya kawaida ita . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2025

Kisanduku Cheusi Ajali Ya Ndege iliyosababisha Vifo 67 Chapatikana

Mamlaka nchini Marekani zimesema zimefanikiwa kukipata kisanduku cheusi cha ndege ya abiria iliyogongana na helikopta ya kijeshi ya Black Ha . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • January 31, 2025

Mama wa Marehemu Bwire wa Alliance Afariki Dunia Siku ya Mazishi ya Mwanae

Siku chache tangu aliyekuwa Mmiliki wa Shule za Alliance, James Bwire kufariki dunia, mama yake mzazi, Nchagwa Manga naye amefariki dunia le . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • January 30, 2025

Sheikh Muhammad Idd afariki dunia

Sheikh maarufu nchini, Sheikh Muhammad Idd Muhammad, amefariki dunia leo tarehe 30, Januari, 2025Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Mufti na . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 30, 2025

Félix Tshisekedi ahutubia taifa na kutangaza kwamba jibu 'linaendelea'

Hii ni mara ya kwanza kwa rais wa Kongo kuzungumza tangu mashambulizi ya waasi katika siku za hivi karibuni mashariki mwa nchi hiyo, huko Go . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 30, 2025

Jumuia ya Afrika Mashariki yaiomba DRC kuzungumza na waasi wa M23

Jumuia ya Afrika Mashariki Jumatano imeitaka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuzungumza na “wadau wote”, wakiwemo wapiganaji wanaoungwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 29, 2025

Mjue Mwanamke Mrefu na Mfupi Duniani, Washangaza

Wanawake wawili waliovunja rekodi za dunia kwa urefu na ufupi wao hivi karibuni walikutana kwa mara ya kwanza jijini London, Uingereza, na k . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • January 29, 2025

Unaota mchana, Kindiki asuta Gachagua kwa kusema Ruto hatashinda muhula wa pili

NAIBU Rais Profesa Kithure Kindiki amemwambia mtangulizi wake Rigathi Gachagua kuwa kauli yake kwamba Rais William Ruto atakuwa rais wa muhu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 29, 2025

Shirika la ndege la Ubelgiji lasitisha safari zake kwenda na kutoka DRC

Shirika la ndege la Ubelgiji limetangaza kusitisha safari zake za leo Jumatano kwenda na kutoka jijini Kinshasa kutokana na machafuko yalios . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • January 29, 2025

Wakubaliana kuondoa ulaghai ununuzi Mazao ya nafaka

Wakulima wa mazao ya biashara mkoani Simiyu, wameazimia kutumia mfumo wa stakabadhi ghalani kuuza mazao yao, ili kukabiliana na ulaghai unao . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 29, 2025

Burkina Faso, Mali na Niger zaondoka rasmi kwenye ECOWAS

Maelfu ya watu katika nchi za Niger, Mali na Burkina Faso zinazoongozwa na serikali za kijeshi Jumanne waliandamana kuunga mkono uamuzi wa n . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 29, 2025

Waasi wa M23 wauteka uwanja wa ndege wa Goma, Marekani yahimiza raia wake kuondoka DRC

Kundi la waasi wa M23 Jumanne lilichukua udhibiti wa uwanja wa ndege wa mji wa Goma, chanzo cha usalama kimesema, kufuatia mapigano ya siku . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • January 28, 2025

Aziz Ki Ageuka Dhahabu Klabu Nne Zataka Saini yake

Inaelezwa kuwa timu nne Barani Afrika Orlando Pirates, MC Alger, Wydad Casablanca na Al Ahly Benghazi zinawinda saini ya kiungo wa Yanga SC, . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 28, 2025

Madereva Watanzania Wakwama Goma, Wazungukwa na Milio ya Risasi Kila Kona

Kutokana na machafuko yanayoendelea nchini Congo na jitihada za waasi wa kundi la M23 kupambana kuuchukua mji wa Goma, madereva wa magari ma . . .

Kurasa 6 ya 159

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category