logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
matukio
  • Na Asha Business
  • March 4, 2025

Wawili Wafariki Dunia Mkoani Morogoro, Mmoja Ajinyonga Kisa Ugumu wa Maisha

Watu wawili wamepoteza maisha katika matukio mawili tofauti Mkoani Morogoro ambapo mmoja kwa kujinyonga huku mwingine akifariki wakati akiwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 2, 2025

Waziri Mkuu Aongoza Kikao Cha Kitaifa Cha Dira Ya Maendeleo 2050

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Kitaifa ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, Machi 01, 2025 ame . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 2, 2025

JAMIN BEATS KUTOKA NCHINI GHANA AMEKUJA KIVINGINE

Msanii wa Ghana, **Jamin Beats**, ameachia wimbo wake mpya *Nothing Too Hard*, ambao unapatikana kwenye majukwaa mbalimbali ya muziki kama [ . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2025

Vita ya Martha Mwaipaja na Biatrice Mwaipaja

Mvutano kati ya MarthaMwaipaja na mdogo wake BeatriceMwaipaja umechukua sura mpya baada ya sauti zao wakishambuliana kwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2025

RC Makonda Atoa Mwezi Mmoja, Takukuru Kuwapata Waliokwapua Milioni 400 Za Waendesha Bodaboda

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda Alhamisi Februari 27, 2025 ameipa mwezi mmoja Taasisi ya kupambana na kuzuia rushwa TAKUKURU . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 28, 2025

Spika wa kaunti ajiuzulu na kuapa kuanika gavana

SPIKA wa Kaunti ya Turkana, Christopher Nakuleu, amejiuzulu kutoka afisini na kuapa kuendelea kumwangazia Gavana Jeremiah Lomorukai na bunge . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 28, 2025

Papa Francis anaendelea kupata nafuu hospitalini kulingana na Vatican

Vatican inasema kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Francis anaendelea vyema hospitalini kwa siku ya pili mfulilizo.Baada ya kulazwa ka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2025

Mfalme awataka raia wasichinje kondoo Eid-al-Adha

MFALME Mohamed VI wa Morocco jana aliwataka raia wa taifa hilo wajizuie kuwachinja kondoo wakati wa sikukuu ya kuchinja maarufu kama Idd-ul- . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2025

Dkt Slaa afutiwa kesi na kuachiwa huru

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Dkt. Wilbroad Slaa, baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini DPP kueleza kuwa hana nia ya kuen . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 27, 2025

Balozi Nchimbi Awasili Namibia Msiba Wa Sam Nujoma

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili nchini Namibia, akiongoza ujumbe wa CCM kwenye mazishi ya . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 27, 2025

Hamas yakabidhi miili ya mateka, Israeli ikiachiwa huru wafungwa

Hamas wamekabidhi miili ya mateka wanne wa Israeli mapema siku ya Alhamisi, baada ya wafungwa wa Kipalestina ambao wamekuwa wakizuiwa magere . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 26, 2025

Gambo "Kama Mtu Anataka Ubunge Asubiri Tuingie Uwanjani"

Mbunge wa Arusha mjini Mrisho Gambo amejibu kilichotokea jana February 24,2025 kwenye baraza maalumu la jiji la Arusha la kupitisha bajeti b . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 26, 2025

Rais Kiirr Amfuta Kazi Mkuu Wa Usalama

Rais Kiirr amfuta kazi mkuu wa usalama Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir amemfuta kazi mkuu wake mpya wa usalama na kumpandisha cheo mshirika . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • February 26, 2025

Gachagua amuahidi Raila urais Kenya 2027

Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua, amesema kwamba anaweza kumfanya kiongozi wa ODM, Raila Odinga kuwa rais wa Kenya iwapo atak . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • February 26, 2025

Kada ataka majibu uhalali wa Lema na Mnyika CDM

Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Mwanga Lembrus Mchome, amemuomba Katibu Mkuu wa chama hicho John Mnyika, kujibu barua yake ya malalamiko ya . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 26, 2025

Aliyemuua Mkewe na Kuuchoma Mwili Kwa Mkaa Ahukumiwa Kunyongwa.

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemhukumu Khamis Luwoga (45) adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 25, 2025

Ngeze "Tusiyakimbie matatizo, tuyakabili "

Mwenyekiti wa Umoja wa Wenyeviti Tanzania (ALAT), Murushid Ngeze amewaasa Wananchi kuacha tabia ya kuwakimbia watu waliopata matatizo kwani . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 25, 2025

Kiongozi Wa Upinzani Israel Amshutumu Netanyahu

Kiongozi wa upinzani katika utawala wa Israel amemshutumu waziri mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 25, 2025

ICC imetoa wito kwa makundi ya waasi kuheshimu sheria za kimataifa

Mwendesha mashtaka Mkuu katika Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu ICC, Karim Khan ametoa wito kwa makundi yote yenye silaha mashariki ya D . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • February 25, 2025

NASBOI AUNGANA NA D’BANJ KWENYE COMPOSE

Mwanamuziki kutoka nchini Nigeria ambaye amefanikiwa kuwa kwenye muziki na kiwanda cha Sanaa kwa miaka kadhaa Nasboi ambaye amefanikiwa kufa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 24, 2025

Uongozi Mbaya Wa Rais Tshisekedi Umezidisha Mzozo

Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Joseph Kabila amesema kuwa, uongozi mbaya wa mrithi wake, Rais Felix Tshisekedi ume . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 24, 2025

Afisa wa polisi wa Kenya kutoka ujumbe wa kimataifa wa usalama auawa

Hali bado ni ya wasiwasi nchini Haiti kutokana na ghasia za magenge. Afisa wa polisi wa Kenya aliyetumwa Haiti, aliyejeruhiwa wakati wa oper . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 24, 2025

Ukraine na Marekani zakaribia kufikia makubaliano kuhusu madini ya Ukraine

Marekani na Ukraine Jumapili zimesema zinakaribia kufikia makubaliano kwa Kyiv Kuipa Washington Sehemu kubwa ya madini yake nadra kama malip . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 23, 2025

Rais Dkt. Samia Ashiriki Hafla Ya Utoaji Tuzo Za Wasanii Wa Komedi, Washindi

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Jumamosi Februari 22, 2025 amesema Serikali itaendelea kuwashika mkono wasanii . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 23, 2025

Polisi Wadaiwa Kujiunga Na M23 Bukavu

Mamia ya askari wa Jeshi la Polisi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wanadaiwa kujiunga na waasi wa M23 katika Mji wa Bukavu baada ya . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • February 21, 2025

Wanawake 2 Wauguza Majeraha Kufuatia Kutandikwa na Pasta Akiwatoa Mapepo

Wanawake wawili wanauguza majeraha kutokana kisa cha kupigwa na mchungaji katika Kanisa la Betheli katika eneo la Kapkwen, Kaunti ya Bomet.& . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 21, 2025

Israeli yaishutumu Hamas kwa kuua watoto wa Bibas na kutokabidhi maiti ya mama yao

Kulingana na msemaji wa jeshi la Israeli, Ariel na Kfir Bibas walikufa wakiwa kizuizini huko Gaza, " ambao waliuawa na magaidi wa Kipalestin . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 21, 2025

Hata Matajiri Wanakimbia Matunzo ya Watoto, Ona Elon Musk Akilalamikiwa na Mama Watoto Wake

Mama wa watoto watatu wa Elon Musk, mwimbaji Grimes amelalamika kwenye mtandao wa X kuwa Elon hapokei simu zake na mtoto wao anaumwa sana na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 21, 2025

Manusura wa Ajali ya Ndege Iliyopinduka Miguu Juu, Kupewa Milioni 77 Kila Mmoja

Shirika la Ndege la Delta la Nchini Marekani, limesema litawapatia Abiria walionusurika kwenye ajali ya moja ya Ndege zake Nchini Canada kia . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • February 20, 2025

Jamaa ahepa na pesa za matanga alizopewa na mwanasiasa Bomet

POLO aliyepokezwa hela za mazishi na mwanasiasa hapa Chepalungu, Kaunti ya Bomet, alihepa nazo akisema zilikuwa zake.Duru zinaarifu kuwa pol . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 20, 2025

Watu 2 wa Familia Moja Wafariki 3 Walazwa Mahututi kwa Kushukiwa Kula Sumu

Msiba umekumba kijiji cha Kanyamelo huko Bondo baada ya wanafamilia wawili kufariki na wengine watatu kulazwa hospitalini kufuatia kisa kina . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 20, 2025

Rais Samia Azindua Tume ya Kutathmini mgogoro wa ardhi Hifadhi ya Ngorongoro

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua Tume ya Rais ya Kutathmini kuhusu masuala ya mgogoro wa ardhi ya eneo la Hifadhi ya Ngorongoro pamoj . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 19, 2025

Félix Tshisekedi aomba msaada wa kijeshi kutoka Ndjamena

Didier Mazenga, mjumbe maalum wa Rais wa Kongo Félix Tshisekedi, amezuru Chad siku ya Jumanne, Februari 18. Amefanya ziara hii akirejea kut . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 19, 2025

Mahakama yaamuru Dkt. Slaa afikishwe Mahakamani

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dr es Salaam, imeamuru kutolewa kwa amri ya Mwanasiasa Mkongwe, Dkt. Wibroad Slaa (76) kufikishwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 19, 2025

Jaji Amruhusu Elon Musk Kupunguza Wafanyakazi

Jaji wa Mahama nchini Marekani ameruhusu idara inayoongozwa na Elon Musk, inayojulikana kama Idara ya Ufanisi wa Serikali (DOGE), kuendelea . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • February 19, 2025

Mume Wa Rihanna Ashinda Kesi Mahakamani

Jopo la majaji jijini Los Angeles, Jumanne, Februari 18, limemuachia huru rapa maarufu kwa jina la A$AP Rocky baada ya kumkuta hana hatia ka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 19, 2025

Marekani yaongeza maradufu wafungwa wa Guantanamo Bay

Marekani imeongeza maradufu idadi ya wafungwa wanaodhaniwa kuwa tishio kubwa pamoja na wale wanaosubiri kurejeshwa makao kwenye kituo cha je . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 18, 2025

Israeli yataka 'kuondolewa kabisa kwa wanajeshi' katika Ukanda wa Gaza

Israeli inadai "kuondolewa kabisa kwa wanajeshi katika Ukanda wa Gaza" baada ya vita, Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel Gideon Saar amesema s . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 18, 2025

Mamia ya wafanyakazi wa safari za ndege Marekani wapoteza ajira

Utalawa wa Trump umeanza kufuta kazi mamia ya wafanyakazi wa idara ya safari za anga na kusababisha hali ya sintofahamu kuelekea kwa wikiend . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • February 18, 2025

Afungwa Miaka Mitatu Jela Kwa Kung’ata Watu Wawili

Mahakama ya Wilaya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu kwenda jela miaka mitatu Mkazi wa Kijiji cha Soswa wilayani humo, Amos John Malaki (30 . . .

Kurasa 5 ya 159

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category