logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Matukio
  • Na Jembefmtz
  • December 5, 2021

Takribani watu 20 wamefariki, 10 wameokolewa baada ya basi kupinduka kwenye mto Mwingi nchini Kenya

Takribani watu 20 wamefariki, 10 wameokolewa baada ya basi kupinduka kwenye mto Mwingi.Katika video iliyoonekana na gazeti la Star siku ya J . . .

Siasa
  • Na Suzuki
  • December 4, 2021

RAIS SAMIA AVUNJA BODI YA TPA NA MSCL.

Rais Samia Suluhu Hassan amevunja Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) na Kampuni ya Huduma za Meli nchini (MSCL) na kua . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 4, 2021

MMOJA AFARIKI, GARI LA ABIRIA LIKITEKETEA KWA MOTO.

Ajali ya magari 4 iliyohusisha malori 3 na basi la abiria kampuni ya classic lenye namba za usajili 68842 Ak 05 imetokea Wilaya ya Mbozi Mko . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 3, 2021

Dr Sebastian Ndege Ahamasisha Juu Ya Upimaji Wa Afya

Mkurugenzi Wa Jembe Media Limited Dr Sebastian Ndege Ahamasisha Juu Ya Upimaji Wa Afya Kwa Vitendo Na Kuonyesha Mfano.Ikiwa Ni wiki ya duni . . .

Michezo
  • Na Suzuki
  • December 3, 2021

TANZANIA YAOMBA KUANDAA KOMBE LA DUNIA.

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa ameomba Shirikisho la Soka la Afrika kwa Watu Wenye Ulemavu (FAAF) kuifikiria Tanz . . .

Siasa
  • Na Suzuki
  • December 3, 2021

SAMIA AUNGA MKONO MBAGALA KUWA WILAYA.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaomba wakazi wa Mbagala kuwa watulivu wakati akitatua changa . . .

Mahakamani
  • Na Jembefmtz
  • December 3, 2021

KESI YA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA DAR ES SALAAM, PAUL MAKONDA YATUPILIWA MBALI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam, hii leo imetupilia mbali kesi iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es . . .

Muziki
  • Na Suzuki
  • December 2, 2021

Msanii WizKid atunukiwa tuzo.

Msanii WizKid atunukiwa tuzo (plaque) ya Nyota wa Mchezo hii ni baada ya kuujaza ukumbi wa 02 Arena kwa siku tatu, ambapo ni Novemba 28, 29 . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 2, 2021

KARIAKOO MPYA UJENZI KUANZA BAADA YA DESEMBA 09 MWAKA HUU.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla amesema ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Ghorofa 6 utaanza b . . .

Habari
  • Na Suzuki
  • December 2, 2021

MVUA KUBWA KUNYESHA KUANZIA KESHO.

Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA) imetangaza kuwepo kwa mvua kubwa zinazotarajiwa kunyesha katika ukanda wa Pwani kuanzia tarehe tat . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 2, 2021

MAMA ANYWESHA SUMU WANAYE KWASABABU YA MAISHA MAGUMU CHATO MKOANI GEITA.

Watoto wawili wa familia moja wamefariki dunia mkoani Geita, baada ya mama yao mzazi kuwanywesha sumu na kisha  yeye kunywa kwa madai y . . .

Habari
  • Na Suzuki
  • December 2, 2021

SERIKALI IMETANGAZA KUONGEZEKA KWA MAAMBUKIZI MAPYA KWA VIJANA HUKU WASICHANA WAKIONGOZA.

Serikali imesema Maambukizi mapya kwa Vijana kati ya miaka 15 hadi 24 yamezidi kuongezeka huku Wasichana wakiwa vinara katika janga hiloWazi . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 2, 2021

SHAHIDI AKAMATWE KWA KUTOA RUSHWA - KESI YA SABAYA

Hoja ya kumkamata Mrosso imeibuliwa na Wakili Msomi Fridolin Bwemelo ambapo amesema inafikirisha kuona aliyetoa rushwa yupo huru uraiani huk . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • November 30, 2021

Waziri wa Madini Doto Biteko amewataka wachimbaji wote wa Madini Nchini kuhakikisha wanalinda afya.

Kila ifikapo Desemba mosi kila mwaka ni Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani, Waziri wa Madini Doto Biteko ameitumia fursa hiyo kuwataka wa . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • November 30, 2021

TUMEJIANDAA VYEMA NA WIMBI LA NNE LA UVIKO-19 (OMICRON) Waziri wa Afya, Dkt Dorothy Gwajima

Waziri wa Afya, Dkt Dorothy Gwajima amesema kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi mbalimbali Duniani zilizojiandaa kukabiliana na tishio la wim . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • November 30, 2021

Timu ya Taifa ya Tanzania ya Soka kwa Wenye Ulemavu (Tembo Warriors), imeipa hadhi nchi kwa kuwa Taifa la kwanza Afrika, kufuzu kwenda Robo Fainali za Mashindano ya Soka kwa Walemavu Afrika (Canaf)

Timu ya Taifa ya Tanzania ya Soka kwa Wenye Ulemavu (Tembo Warriors), imeipa hadhi nchi kwa kuwa Taifa la kwanza Afrika, kufuzu kwenda Robo . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • November 30, 2021

Rais wa Jamuhuli ya muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan afungua mipaka ya kibiashara kati ya Tanzania na Uganda.

Rais wa Jamuhuli ya muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan afungua mipaka ya kibiashara kati ya Tanzania na Uganda. Huku akiwataka ma . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • November 30, 2021

LIONEL MESSI ASHINDA TUZO YA BALLON D’OR MARA YA 7.

LIONEL MESSI ANASHINDA TUZO YA BALLON D’OR MARA YA 7.Miaka aliyoshinda Leo Messi Ballon d’Or!2009: Lionel Messi 2010: Lionel Messi 2011: . . .

Siasa
  • Na Suzuki
  • November 29, 2021

UFUNGUZI SHULE YA MUSEVENI CHATO GEITA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni kwa pamoja wakikata utepe kuz . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • November 29, 2021

Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa ametoa wito kwa Nchi za Ulaya na Marekani kuondoa vikwazo vya safari kwa Mataifa ya Kusini mwa Afrika

Rais Afrika wa Afrika kusini. Cyril Ramaphosa ametoa wito kwa Nchi za Ulaya na Marekani kuondoa vikwazo vya safari kwa Mataifa ya Kusini mwa . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • November 28, 2021

HARMONIZE AKIWASHA MTWARA - IBRAAH HOME COMING

Msanii Harmonize amekiwasha katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara katika Tamasha la Ibraah Home Coming . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • November 28, 2021

Rais wa Uganda Mh. Yoweri Kaguta Museveni afanya mazungumzo na Mh. Samia Suluhu Hassan.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Ujumbe wa Tanzania katika mazungumzo Rasmi na Ujumbe wa Uganda ul . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • November 28, 2021

SIMBA WAVUNA USHINDI KWA MKAPA DHIDI YA RED ARROWS

TIMU ya Simba ya Tanzania imeibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Red Arrows ya Zambia katikap Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam.&n . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • November 28, 2021

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi Viongozi mbalimbali

. . .

Top Story
  • Na Jacobmlaytz
  • November 21, 2021

MAN UNITED YAACHANA NA OLE GUNNAR

Manchester United wamethibitisha kusitisha mkataba wa kocha Ole Gunnar Solskjaer baada ya matokeo mabovu ya hivi karibuni.Taarifa ya United . . .

SOKA
  • Na Jacobmlaytz
  • November 19, 2021

GUEYE AFANYA KAMA MANE SENEGAL

Kiungo wa PSG Idris Gana Gueye ametoa msaada wa vifaa vya hospitali, dawa pamoja na kiasi cha pesa kwa wizara ya Afya ya taifa lake la Seneg . . .

Michezo
  • Na Jacobmlaytz
  • November 18, 2021

KOCHA MPYA SIMBA ATAMBA KUONDOKA NA ALAMA TATU KESHO

Kocha mpya wa Simba Pablo Franco raia wa Hispania amesema licha ya ubora wa Ruvu Shooting kwa namna alivyowaona watapambana kupata alama tat . . .

Kurasa 166 ya 171

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category