TUMEJIANDAA VYEMA NA WIMBI LA NNE LA UVIKO-19 (OMICRON) Waziri wa Afya, Dkt Dorothy Gwajima

Waziri wa Afya, Dkt Dorothy Gwajima amesema kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi mbalimbali Duniani zilizojiandaa kukabiliana na tishio la wimbi la nne la ugonjwa wa Uviko-19 ambalo limegundulika nchini Afrika kusini likiwa katika anuwai mpya iliyotambulika kwa jina la OMICRON.
.
Waziri Gwajima amesema hayo baada ya kuripotiwa kwa taarifa za kuenea kwa ugonjwa huo kutoka nchi mbalimbali Duniani ambazo zimeripoti kuwa na ongezeko la visa vipya vya Uviko-19.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii