GUEYE AFANYA KAMA MANE SENEGAL

Kiungo wa PSG Idris Gana Gueye ametoa msaada wa vifaa vya hospitali, dawa pamoja na kiasi cha pesa kwa wizara ya Afya ya taifa lake la Senegal ili kuwasaidia Wananchi wa nchi hiyo.


Ikumbukwe hivi karibuni Sadio Mane nae alitoa msaada wa kuwasaidia watoto wanaofanya vizuri katika masomo yao kwa kuwanunulia Kompyuta, sare za shule na kuwapa pesa kama pongezi kwa walichokifanya.


Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii