logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

WANAFUNZI WAKAMATWA KWA KUMCHAFUA RUTO KWA UJUMBE.

Wanafunzi tisa wa Chuo Kikuu cha Moi nchini Kenya wanashikiliwa na polisi kwa tuhuma zinazosemekana za kusambaza jumbe za kumchafua mgombea . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Ofisi ya mwendesha mashitaka yamchunguza aliyekuwa rais Enrique Peña Nieto

Ofisi ya mwanasheria mkuu wa Mexico imesema Jumanne kuwa inamchunguza Enrique Peña Nieto, ambaye alitawala nchi hiyo kati ya mwaka 2012 na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Pelosi awasili Taiwan licha ya onyo la China

Licha ya vitisho kutoka Beijing, Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani, Nancy Pelosi, amewasili kwenye kisiwa cha Taiwan. China ilionya . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Aliyekuwa Kiongozi wa Alshabab Achaguliwa Kuwa Waziri wa Dini Nchini Somalia

Serikali mpya ya Somalia iliyoapishwa imemteua aliyekuwa naibu kiongozi wa kundi la kigaidi la Al Shabaab, Mukhtar Robow kuwa Waziri wa Masu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

Jeshi la DRC linasema limeua waasi 11 wa ADF

Jeshi la DRC Jumanne limesema limewaua waasi 11 wa kundi la wanamgambo la Allied Democratic Forces (ADF), ambalo kundi la kigaidi la Islamic . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 3, 2022

China yalalamikia vikali ziara ya Pelosi, Taiwan

China Jumanne imelalamikia  balozi wa Marekani mjini Beijing Nicholas Burns, kutokana na ziara ya spika wa bunge la Marekani Nancy . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • August 2, 2022

Magoha Ashangaza Kufunga Shule Ghafla

WAZAZI na walimu nchini Jumatatu walijipata kwenye njiapanda, baada ya Waziri wa Elimu George Magoha kutangaza kuwa wanafunzi wataenda kweny . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 2, 2022

Majaliwa" Fuateni na Simamieni Falsafa ya Rais Wetu Samia Suluhu Hassan"

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka washiriki wa kozi fupi ya 13 ya viongozi watambue, wafuate na waisimamie falsafa ya Serikali ya awamu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 2, 2022

Tume ya uchaguzi ya Pakistan yasema chama cha Khan kilipokea fedha kinyume cha sheria

Tume ya uchaguzi ya Pakistan imeamua leo kuwa chama cha Waziri Mkuu wa zamani Imran Khan kilipokea fedha kwa njia haramu, hatua ambayo inawe . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 2, 2022

Moto mkubwa unaoteketeza misitu washindwa kudhibitiwa California

Maafisa wanaokabiliana na moto mkubwa  unaoendelea kuteketeza misitu Carlifonia, wanakumbana na hali ngumu  kutokana na radi pamoj . . .

Mafuriko
  • Na Asha Business
  • August 2, 2022

Watu 22 Waangamia na Mafuriko Uganda

Idadi ya watu waliongamania katika mafuriko jijini Mbale nchini Uganda imeongezeka na kufika watu 22 huku wengine 10 wakiwa katika hali mahu . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • August 2, 2022

simanzi vyatawala ajali iliyoua watoto wa vigogo

Msiba wa watoto wawili wa wafanyabiashara marufuku jijini la Arusha, waliokuwa wachumba umeibua simanzi na kutawaliwa na usiri kuhusu chanzo . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • August 2, 2022

India yathibitisha kifo cha kwanza cha mgonjwa wa homa ya nyani

India imethibitisha kifo cha kwanza cha mgonjwa wa homa ya nyani hapo jana. Wizara ya Afya katika jimbo la kusini la Kerala imesema mgonjwa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 2, 2022

Marekani yafanikiwa kumuua kiongozi mkuu wa Al-Qaida,

Rais Joe Biden wa Marekani ametangaza kwamba kiongozi wa kundi la al-Qaida, Ayman al-Zawahiri, ameuawa na mashambulizi ya ndege yasiyo ruban . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 1, 2022

Waarabu wamfuata Nabi Dar

Yanga bado haijawapa mikataba mipya makocha wao, lakini kama kuna kitu kitawashtua basi ni ujio wa ofa moja kubwa kwa kocha mkuu Nasreddine . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 1, 2022

Mshukiwa Wa Ujambazi Akamatwa Akiwa Na Sare Za Wanajeshi Na Silaha.

Mshukiwa  wa ujambazi ambaye polisi wanasema amewakosesha usingizi wakimtafuta hatimaye amekamatwa. Mkuu wa polisi eneo la Makadar . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 1, 2022

Shule Kufungwa Kwa Muda Kuanzia Kesho Jumanne.

Waziri wa Elimu Profesa George Magoha ametoa agizo kwamba shule zifungwe kote nchini kwa wiki moja kuanzia kesho Jumanne ili kutoa fursa kwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 1, 2022

Wasiolipia Chakula Shuleni Kufungwa Jela.

Halmashauri ya manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro , imepitisha rasimu ya sheria ndogo inayotaka wazazi watakaoshindwa kuwalipia vyakula wa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 1, 2022

Maelfu ya watoto hawana makaazi .

Shirika la Umoja wa Mataifa linalowashughulikia watoto, UNICEF limesema kuwa maelfu ya watoto wameyakimbia makaazi yao mashariki mwa Jamhuri . . .

Siasa
  • Na Asha Business
  • August 1, 2022

Rais Kenyatta Akana Madai Ya Kutaka Kumuua Ruto.

Wakati zikiwa zimesalia siku nane kabla ya Wakenya kufanya Uchaguzi Mkuu, Agosti 9, 2022, vita ya kurushiana maneno kati ya Rais Uhuru Kenya . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 1, 2022

Talaka Tishio.

 Mashauri ya ndoa na talaka 1,358 yamefunguliwa katika Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki Temeke (IJC) jijini Dar es Salaam katika kipindi . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • August 1, 2022

Senegal wapiga kura kuwachagua wabunge.

Wananchi wa Senegal Jumapili wamepiga kura katika uchaguzi wa bunge ambao upinzani una matumaini utalazimisha ushirika na Rais Macky Sall ku . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • August 1, 2022

Hatari kwa wanawake wanaojifukiza sehemu za siri zatajwa

 Kushamiri kwa biashara ya urembo mtandaoni kumeleta bidhaa ambazo nyingine ni hatari kwa afya ya viungo vya uzazi kwa wanawake.Bidhaa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 31, 2022

Sakho avunja ukimya.

wiki tangu kiungo mshambuliaji wa Simba, Pape Sakho atwae tuzo ya Bao Bora kwenye michuano ya Caf.Bao la Sakho liliingia kwenye kinyang’ . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 31, 2022

MWANAMKE AISHI NA MAITI YA KAKA YAKE, ADAI NI MUNGU WAKE.

Polisi mjini Kakamega wamemzuilia mwanamke wa makamo kwa madai ya kuishi na maiti kinyume na sheria. Shamim Kabere, mkazi wa Iyala, eneo bun . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 31, 2022

Zelenskiy aamuru watu waondoke Donetsk

Rais wa Ukraine amewaamuru wakaazi kuondoka mara moja katika eneo la mashariki la Donetsk. Wakati huo huo, Kyiv imesema jeshi la Ukraine . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 31, 2022

Biden akutwa tena na Covid-19, arejea karantini

Rais wa Marekani Joe Biden amepata tena na mambukizi wa virusi vya corona, jana, zaidi ya siku tatu baada ya kusafishwa kuondoka kwenye . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

KANISA LAFANYA TAMBIKO BAADA YA MWANAUME KUFA MADHABAHUNI.

Tambiko hilo litahusisha siku tatu za maombi na kufunga, kumchinja mbuzi mwenye rangi moja, kuliweka kanisa wakfu kwa Kristo kupitia maji . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Ethiopia Yasema Ipo Tayari Kwa Mazungumzo Na TPLF Bila Masharti.

Katika  hatua isiyo ya kawaida, afisa mmoja wa ngazi ya juu kwenye serikali ya Ethiopia amesema Alhamisi kwamba wako tayari kw . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Kinana Akerwa Na Trafiki Kusimamisha Magari Kila Saa.

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Komredi Abdulrahman Kinana amemshauri Mkuu wa Jeshi la Polisi N . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Unajua sababu ya dawa ya Mkongo kupigwa marufuku Tanzania??

Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala Tanzania, limepiga marufuku matumizi ya dawa aina ya Hensha maarufu kama Mkongo kwa binadamu, na kw . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Kambi ya Simba mambo ni moto.

Kambi ya Simba inaendelea kunoga, huku kocha Zoran Maki akisaliwa na wiki kama moja tu kukamilisha programu zake kabla ya kuja kuwasha m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Bei za mahitaji ya kila siku nchini Ujerumani zitarajiwa kupungua

Bei za mahitaji ya kila siku nchini Ujerumani zinatarajiwa kupungua katika nusu ya pili ya mwaka baada ya mfumuko wa bei wa miezi kadhaa. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Uchumi wa Marekani wanywea

Uchumi wa Marekani umenywea tena katika robo ya pili ya mwaka, ishara ambayo katika nchi nyingi duniani inazingatiwa kuwa mdororo wa uchum . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Mhasibu Wizara ya Mambo ya Ndani ahukumiwa.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu Mhasibu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchini, Christina Kaale kulipa faini ya Sh8 milioni au . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

CHADEMA WAITWA KWENYE KESI YA KINA MDEE.

Mahakama Kuu ya Tanzania imekitaka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kufika mahakamani kesho katika kesi ya Halima Mdee na wenz . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Sabaya atinga mahakamani.

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Moshi huku akiwa amefu . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

IEBC Kukutana na Wagombea Urais Kuhusu Wasiwasi za Fomu 34A, 34B.

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imewaalika wagombeaji urais kwa mkutano wa mashauriano huku kukiwa na wasiwasi kuhusu imani dhidi ya . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Waziri Wa Zamani Wa Msumbiji Afungwa Jela Miaka 16

Waziri wa zamani nchini Msumbiji amefungwa jela miaka 16 kwa kuhusika na vitendo vya ufisadi. Maria Helena Taipo, mwenye umri . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • July 29, 2022

Biden, na Xi Jingping wakubaliana kuandaa mkutanao wa ana kwa ana

Rais wa Marekani, Joe Biden na mwenzake wa China, Xi Jingping, wamekubaliana kuandaa mkutano wao wa kwanza wa ana kw . . .

Kurasa 100 ya 159

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category