1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Rayvanny aweka rekodi, apata × 8 za Gold India

Msanii wa Bongo Flava nchiniTanzania@rayvanny , ameendelea kuweka rekodi na kuthibitisha ukubwa wake kimataifa baada ya wimbo wak . . .

MSANII TEKNO AAMUA KUGAWA PESA ZAKE ZA USHINDI KWA MASHABIKI ZAKE

Msanii maarufu kutoka Nigeria, Tekno, amevutia hisia nyingi baada ya kushinda ₦298,000,000 kupitia mchezo wa betting. Kiasi hiki . . .

Jembe Michezo

Yanga na Pyramid ndio zina safu bora ya ulinzi kwenye mizunguko miwili ya CAF Champions league

Vigogo wa Afrika, Young Africans SC ya Tanzania na Pyramids FC ya Misri, ndiyo timu pekee ambazo hadi sasa hazijaruhusu goli katik . . .

Bondia wa Kitanzania Lupakisyo Shoti atwaa ubingwa IBO International

Bondia wa Kitanzania, Lupakisyo Mohamedi Shoti, ameandika historia mpya katika ngumi za kulipwa baada ya kumshinda Mromania Daniel . . .

Jembe Habari

Meta yaondoa akaunti za watoto Australia

Sheria hiyo mpya inawataka watoto walio chini ya umri wa miaka 16 kuwa na akaunti katika majukwaa kama TikTok, Facebook, YouTube n . . .

Jeshi la DRC na waasi wa M23 watuhumiana kwa ukiukaji wa makubaliano ya usitishaji vita

Jeshi la DRC na waasi wa M23 wanaosaidiwa na Rwanda, wamerushiana maneno kila mmoja akimtuhumu mwingine kukiuka makubaliano ya usi . . .

Habari Zote
afrika mashariki

Wawakilishi wa wagombea wakutana na Tume Uganda

Mkutano huo ulilenga kutoa hakikisho, na kugusia tamko la Umoja wa Mataifa kuhusu jinsi Uganda inavyoshughulikia upinzani wa kisiasa.Tume ya . . .

Teknolojia

Meta yaondoa akaunti za watoto Australia

Sheria hiyo mpya inawataka watoto walio chini ya umri wa miaka 16 kuwa na akaunti katika majukwaa kama TikTok, Facebook, YouTube na Instagra . . .

Kilimo

Kilimo Chatangazwa Kama Kituo Kipya cha Mafanikio kwa Vijana

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe Said Mtanda ametoa wito mahsusi kwa vijana kujikita katika sekta ya kilimo na kusema kuwa wakati umefika kwa vija . . .

Kitaifa

Rais Samia afanya mazungumzo na Naibu Mwenyekiti wa Biashara Jumuiya ya Madola

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Naibu Mwenyekiti wa Biashara wa Jumuiya ya Madol . . .

Kilimo

Mbunge Azza awasihi wananchi kulima mazao yanaostahimili ukame

Mbunge wa Itwangi Azza Hillal Hamad, amewasihi wananchi kulima mazao ambayo yanastahimili ukame kutokana na hali ya hewa kutokuwa nzuri,amba . . .

Mahakamani

Niffer, Chavala wafutiwa kesi ya uhani iliyokuwa ikiwakabili

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) amemfutia mashtaka na kumwachia huru mfanyabiashara wa vipodozi Jenifer Jovin (26) maarufu Niffer na Mika Lucas . . .