1. KARIBU UTANGAZE BIASHARA AU SUALA LAKO NA SISI ... TUNAFIKIA WENGI NDANI NA NJE YA NCHI

  • MWANZA 93.7MH/z |
Jembe Burudani

Jackie Chan Ajiandalia Wimbo wa Mazishi

Imeelezwa kuwa muigizaji maarufu wa filamu duniani Jackie Chan, tayari ameandaa wimbo maalum wa kuchezwa siku atakayofariki pamoja . . .

Wiz Khalifa Ahukumiwa Jela Romania kwa Kosa la Dawa za Kulevya

Staa mkubwa wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani, Wiz Khalifa amehukumiwa na Mahakama ya Romania kifungo cha miezi tisa jela kwa k . . .

Jembe Michezo

Senegal: Serikali inapanga kukata rufaa dhidi ya vikwazo vya CAF dhidi ya kocha Pape Thiaw

Kufuatia vikwazo vilivyotangazwa na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), siku kumi na moja baada ya mchezo wa fainali ya Kombe la M . . .

Simba Yawataka Mashabiki Kuungana Dhidi ya Esperance ya Tunisia

Msemaji wa Simba Sports Club, Ahmed Ally ametoa wito mzito kwa Wanasimba kuacha lawama na migawanyiko huu akisisitiza kuwa huu ni . . .

Jembe Habari

Wabunge wa Iran Wavaa Sare za IRGC Kupinga EU

Vyombo vya habari vya Iran vimeripoti kuwa wabunge wa nchi hiyo wamejitokeza bungeni leo wakiwa wamevalia sare za Jeshi la Walinzi . . .

Putin akubali kusitisha vita kwa wiki moja Ukraine

Rais Donald Trump wa Marekani amesema siku ya Alhamisi kwamba Rais wa Urusi Vladimir Putin amekubali kusimamisha mashambulizi kwa . . .

Habari Zote
Kimataifa

Wabunge wa Iran Wavaa Sare za IRGC Kupinga EU

Vyombo vya habari vya Iran vimeripoti kuwa wabunge wa nchi hiyo wamejitokeza bungeni leo wakiwa wamevalia sare za Jeshi la Walinzi wa Mapind . . .

Kitaifa

Waziri Mkuu Asisitiza Umuhimu wa Maadili na Mshikamano Katika Jamii

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amehimiza malezi bora ya watoto na vijana kama silaha muhimu ya kudumisha maadili, mshikamano na amani kat . . .

Afrika Mashariki

Ufaransa na Chad zafungua ukurasa mpya katika uhusiano wao wa pande mbili

Akipokelewa katika Ikulu ya Élysée  Januari 29 mwaka huu wakati wa ziara yake mjini Paris Rais wa Chad Mahamat Idriss Déby ambapo al . . .

SOKA

Senegal: Serikali inapanga kukata rufaa dhidi ya vikwazo vya CAF dhidi ya kocha Pape Thiaw

Kufuatia vikwazo vilivyotangazwa na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF), siku kumi na moja baada ya mchezo wa fainali ya Kombe la Mataifa ya . . .

Kimataifa

Marekani Yasema Iko Tayari Kuchukua Hatua Dhidi ya Iran Kuzuia Silaha za Nyuklia

Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa jeshi la nchi hiyo lipo katika utayari kamili kutekeleza uamuzi wowote utakaochukuliwa na Rais Don . . .

Kitaifa

Serikali Yatenga Sh. Bilioni 2 Kusaidia Watengeneza Maudhui Mitandaoni

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha TZS bilioni 2 itakayowawezesha watengenezaji . . .