logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Afrika
  • Na Asha Business
  • May 15, 2022

Wagombea 36 kushiriki katika uchaguzi wa rais nchini Somalia hii leo

Wagombea 36 wanawania kiti cha rais katika uchaguzi unaofanyika leo nchini Somalia ambao umecheleweshwa kwa muda mrefu.Rais huyo atachaguliwa na wabunge katika eneo la uwanja wa ndege lililo chini . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • May 13, 2022

Wabunge waliotimuliwa uanachama Chadema watinga bungeni

abunge wa viti maalum waliofukuzwa uanachama wa Chadema juzi leo Ijuma Mei 13 wameudhuria vikao vya Bunge isipokuwa Halima Mdee na Ester Bulaya.Aliyenza kuingia ndani ya ukumbi wa Bunge ni Ester M . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 11, 2022

Bobi Wine atinga Baraza Kuu Chadema

Mwanasiasa wa upinzani na mwanamuziki maarufu nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu Bobi Wine amewasili katika ukumbi wa Mlimani City kwa ajili ya kuhudhuria kikao cha Baraza la Kuu la Chadema . . .

afrika mashariki
  • Na JZ The Brand
  • May 10, 2022

Mtoto wa Rais Museven Afikishwa Mahakamani kwa Kuutaka Urais wa Uganda

Mahakama ya kikatiba ya Uganda imemtaka mtoto wa Rais Yoweri Museveni, Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba, kujibu shtaka analotuhumiwa la kueleza nia yake ya kuwania urais akiwa bado anahudum . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 9, 2022

Kura za mapema zaanza kupigwa Australia

Upigaji kura wa mapema umeanza nchini Australia leo, wiki mbili kabla siku ya kupiga kura, huku matokeo ya utafiti wa maoni yakionesha chama cha upinzani cha Labour kikiongoza na waziri mkuu Scott . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 9, 2022

Chama cha CDU chashinda uchaguzi Schleswig-Holstein

Chama cha kihafidhina cha Ujerumani cha Christian Democratic Union, CDU kimeshinda uchaguzi katika jimbo la Schleswig-Holstein. Takwimu rasmi za matokeo ya awali yaliyotolewa mapema leo zimekiweka . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Uchunguzi dhidi ya rais wa zamani wa Guinea waanza

Idara ya mahakama ya Guinea imeanza uchunguzi dhidi ya rais wa zamani wa nchi Alpha Conde na maafisa wengine 26 waliokuwa katika serikali yake. Hatua hiyo inafuatia malalamiko kutoka kwa kundi moj . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 5, 2022

Mwanachama wa Oath keepers amekiri njama za uchochezi kulishambulia bunge la Marekani

Mwanachama wa wanamgambo wa mrengo mkali wa kulia wa Oath Keepers siku ya Jumatano alikiri kushiriki katika njama za uchochezi wakati wa shambulizi la mwaka 2021 kwenye jengo la bunge la Marekan . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 29, 2022

IEBC Kenya imetangaza sheria ya usawa wa jinsia kwa wagombea wa kisiasa

Vyama vya kisiasa nchini Kenya viko kwenye hatari kwa wagombea wake katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9 kuondolewa katika orodha ya wagombea iwapo vyama hivyo havitatimiza mahitaji ya sheria ya usa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 27, 2022

Kikosi kazi cha Samia, MCT na LHRC mezani

Katibu wa Kikosi kazi cha kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia, Sisty Nyahoza ameainisha vituo vitakavyotumika kutoa maoni kuhusu maeneo tisa yaliyopendekezwa na kikosi kazi hicho.Katika taarifa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Shaka "Tutalinda dola kwa kufanya haya"

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wanachama wake kuhakikisha wanalinda dola kwa kufanya kazi na kutekeleza Ilani na ahadi zote wakati wa uchaguzi.Kimesema kuwa wananchi ambao ndi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Macron ashinda uchaguzi wa rais Ufaransa

Wapiga kura nchini Ufaransa jana wamempa ushindi Emmanuel Macron wa muhula wa pili madarakani katika uchaguzi wa rais baada ya mpinzani wake wa siasa kali za mrengo wa kushoto Marine Le Pen kushin . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Ufaransa kumchagua rais wake mpya katika duru ya pili

Mamilioni ya wapiga kura nchini Ufaransa, wanapiga kura Jumapili hii Aprili 24, kumchagua rais katika duru ya pili ya uchaguzi, unaowakutanisha rais Emmanuel Macron na mwanasiasa wa siasa za mreng . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Lusinde awacharukia Zitto na wanaomnanga Magufuli

Mbunge wa Mvumi (CCM), Livingstone Lusinde amemshukia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na watu wanaomsema vibaya Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli na kumsema vizuri Rais Samia Sul . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Mbunge ahoji wateule wa Rais kuwaondoa watumishi waliowakuta

Mbunge wa Kilindi (CCM), Omary Kigua ameitaka Serikali kutoa vibali vya ajira kwa wateule wa Rais wanaowaondoa watumishi waliowakuta katika taasisi wanazopangiwa kuongoza.Kigua ameyasema hayo leo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Kampeni za uchaguzi zaendelea kuelekea duru ya pili ya uchaguzi wa urais

Nchini Ufaransa, wagombea wawili kwenye kiti cha urais, rais anayemaliza muda wake Emmanuel Macron na Marine Le Pen wameingia katika wiki ya mwisho ya kampeni kuelekea d . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 15, 2022

Rais wa zamani wa Ufaransa Francois Hollande aomba Wafaransa kumpigia kura Emmanuel Macron.

Rais wa zamani wa Ufaransa wa siasa za Kisocialist Francois Hollande Alhamisi ametoa wito kwa wapiga kura kumuunga mkono Emmanuel Macron katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais tarehe 24 Aprili. . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 15, 2022

Wabunge wa Somalia waapa

Wabunge wa Somalia wamekula kiapo chao kuanza kazi ikiwa ni hatua muhimu kulekea katika uchaguzi wa kiongozi mpya wa taifa hilo, hatua ambayo imekuwa ikicheleweshwa kwa miezi kadhaa iliyogubikwa m . . .

Bungeni
  • Na JZ The Brand
  • April 14, 2022

Serikali yatoa waraka wa masharti watumishi kuishi na wenza wao

Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Zainabu Katimba amehoji juu ya waajiri wasiotoa fursa kwa watumishi wao kufanya kazi wakiwa karibu na wenza wao.Katimba amehoji suala hilo leo Alhamisi Aprili 14, 2022 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 12, 2022

Maafisa wa zamani wa chama kilichopigwa marufuku PKK wakamatwa nchini Uturuki

Mamlaka nchini Uturuki zimewakamata na kuwashikilia watu 46 wakiwemo maafisa wa zamani wa chama cha kisiasa kinachounga mkono harakati za wakurdi-PKK,ambao wanashukiwa kuwa na mafungamano ya kuwas . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 12, 2022

Zelensky aomba kuhutubia AU kuhusu uvamizi wa Urusi

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amewasiliana na Umoja wa Afrika (AU) ili kuunga mkono uvamizi wa Urusi na kuomba kulihutubia shirika la bara hilo. Bw Zelensky alimpigia simu Rais wa Senegal . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 11, 2022

Bunge la Pakistan kumchagua waziri mkuu mpya baada ya kura ya kutokuwa na imani na Imran Khan.

Pakistan leo Jumatatu inapiga kura kumchagua kiongozi wa upinzani Shehbaz Sharif kama waziri mkuu mpya wa nchi hiyo, siku moja baada ya bunge la taifa kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 7, 2022

Vyama 8 vya Siasa Vyatishia Kujiondoa Azimio.

Vyama vinane vya kisiasa vimetishia kuondoka katika muungano mpya uliobuniwa karibuni wa Azimio la Umoja One Kenya ambao unaunga mkono urais wa kiongozi wa ODM Raila Odinga.Katika taarifa ya Jumatano, . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Nahodha aapishwa

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Dk Tulia Akson amemwapisha Mbunge wa kuteuliwa, Shamsi Vuai Nahodha kushika wadhifa huo leo Aprili 5 jijini Dodoma.Nahodha ameapishwa kuwa mbunge kufuatia ut . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Tanzania ina upungufu wa vituo vya polisi 470

Serikali imewaomba wabunge, wananchi na wadau kushirikiana katika ujenzi wa vituo vya polisi kwa kuwa ina uhitaji wa vituo vya polisi daraja B, 470Wito huo umetolewa leo, Aprili 5, 2022 na Wazi . . .

Kurasa 14 ya 16

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 10 masaa yaliopita

Ajiua baada ya kumumuua mtoto wake wa miaka 2

Matukio
news
  • jana

Wahanga wa maporomoko Chesongoch kuzikwa kaburi la pamoja

Top Stories
news
  • 4 siku zilizopita

Miaka kumi ya Jembefm

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

32 wamefariki dunia, baada ya mgodi wa Kobalt Congo i kuporomoka

Top Stories
news
  • 5 siku zilizopita

Wanafunzi 595,816 wa kidato cha nne wameanza rasmi leo mitihani ya kuhitimu elimu ya sekondari

Top Stories
news
  • 5 siku zilizopita

REA,TANESCO watakiwa kushirikiana kuongeza idadi ya wateja vijijini

Matukio
news
  • 5 siku zilizopita

Netanyahu aapa kupinga kuanzisha taifa la Palestina

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 8 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 8 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 9 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode