logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Jamii
  • Na Asha Business
  • March 14, 2025

Akamatwa Kwa Kumfungia Mtoto wa Kambo kwa Miaka 20

Mwanamke mmoja kutoka Connecticut, Kimberly Sullivan (56), amekamatwa baada ya kijana anayesemekana kuwa mtoto wake wa kambo kudai kuwa alimfungia ndani ya nyumba kwa zaidi ya miaka 20 na kumtesa. Kij . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 12, 2025

Mganga Aliyekutwa Akifuga fisi Jela Miaka 20 Wilayani Bariadi

Mahakama ya Wilaya Bariadi mkoani Simiyu imemhukumu kifungo cha miaka 20 jela pamoja na kuchapwa viboko 12 Emmanuel John (31), maarufu kama Chief wa Kilulu, kwa kosa la kukutwa na nyara za serikali ai . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 7, 2025

Gilbert Kinyua" Uchunguzi wa Mauaji ya Mgonjwa KNH Wagonga Mwamba, Mshukiwa Mkuu Hana Hatia".

Uchunguzi kuhusu kifo cha Gilbert Kinyua, mgonjwa anayedaiwa kuuawa akiwa amelazwa katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta, umekwama baada ya mshukiwa kuruhusiwa. Hali hiyo ni kikwazo kwa familia ya K . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 6, 2025

Kundi la M23 Yawateka Wagonjwa 130 Hospitali

Umoja wa Mataifa umesema Wapiganaji wa M23 wamewateka karibu Watu 130 kutoka Hospitali za Mji wa Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Goma unaodhibitiwa na Waasi.Umoja wa Mataifa umesema wik . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 6, 2025

Dereva Wa Teksi Akamatwa Kwa Tuhuma Za Mauaji Ya Mteja Aliyetoweka Tangu 2016

Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Omary Seleman Mwanamtwa (61), mkazi wa Morogoro ambaye ni dereva wa teksi, anashikiliwa na polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za mauaji ya mteja wake, Ulumbi St . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 5, 2025

Miili yawaliouawa katika shambulio kwenye mkutano wa M23 yazikwa

Familia mashariki mwa DRC, Jumanne ya wiki hii zilizika wahanga wa shambulio lililoua takriban watu 13 huko Bukavu, huku jamaa waliokuwa na huzuni wakiisihi serikali kuhakikisha amani na usalama.Majen . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • March 4, 2025

Ajali Basi la AN Classic yauwa sita Dodoma

Takriban Watu sita wamefariki dunia na wengine 49 kujeruhiwa kufuatia kutokea kwa ajali iliyohusisha Lori na Basi la abiria katika eneo la Chigongwe llililopo jijini Dodoma.Ajalinhiyo, imetokea Machi . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 27, 2025

Hamas yakabidhi miili ya mateka, Israeli ikiachiwa huru wafungwa

Hamas wamekabidhi miili ya mateka wanne wa Israeli mapema siku ya Alhamisi, baada ya wafungwa wa Kipalestina ambao wamekuwa wakizuiwa magereza ya Israeli kuachiwa na kupelekwa kwenye ukanda wa Gaza.Of . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 26, 2025

Aliyemuua Mkewe na Kuuchoma Mwili Kwa Mkaa Ahukumiwa Kunyongwa.

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemhukumu Khamis Luwoga (45) adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe, Naomi Marijani, kisha kuchoma mwili wake kwa kutumia magun . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 24, 2025

Afisa wa polisi wa Kenya kutoka ujumbe wa kimataifa wa usalama auawa

Hali bado ni ya wasiwasi nchini Haiti kutokana na ghasia za magenge. Afisa wa polisi wa Kenya aliyetumwa Haiti, aliyejeruhiwa wakati wa operesheni, alifariki kwa majeraha siku ya Jumapili, Februari 23 . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • February 21, 2025

Wanawake 2 Wauguza Majeraha Kufuatia Kutandikwa na Pasta Akiwatoa Mapepo

Wanawake wawili wanauguza majeraha kutokana kisa cha kupigwa na mchungaji katika Kanisa la Betheli katika eneo la Kapkwen, Kaunti ya Bomet. Waathiriwa, Mercy Rono (38) na Mercy Cherotich (30), wa . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • February 20, 2025

Jamaa ahepa na pesa za matanga alizopewa na mwanasiasa Bomet

POLO aliyepokezwa hela za mazishi na mwanasiasa hapa Chepalungu, Kaunti ya Bomet, alihepa nazo akisema zilikuwa zake.Duru zinaarifu kuwa polo ni mfuasi sugu wa kigogo huyo wa siasa.Juzi familia yake i . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 20, 2025

Watu 2 wa Familia Moja Wafariki 3 Walazwa Mahututi kwa Kushukiwa Kula Sumu

Msiba umekumba kijiji cha Kanyamelo huko Bondo baada ya wanafamilia wawili kufariki na wengine watatu kulazwa hospitalini kufuatia kisa kinachoshukiwa kuwa na sumu kwenye chakula. Chifu wa eneo h . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • February 18, 2025

Afungwa Miaka Mitatu Jela Kwa Kung’ata Watu Wawili

Mahakama ya Wilaya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu kwenda jela miaka mitatu Mkazi wa Kijiji cha Soswa wilayani humo, Amos John Malaki (30) baada ya kukutwa na hatia ya kuwajeruhi watu wawili kwa ku . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 18, 2025

Zaidi ya raia 200 wameuwa na wanamgambo wa Sudan wiki hii - Ripoti

Wanamgambo wa Sudan wamewaua zaidi ya watu 200 wakiwemo wanawake na watoto, katika shambulio la siku tatu kwenye vijiji vya kusini mwa nchi hiyo, kundi la wanasheria linalofuatilia vita nchini humo li . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 14, 2025

Waasi wa AFC/M23 wadhibiti Kabamba na Katana na wanalenga uwanja wa ndege wa Kavumu

Waasi wa M23 sasa wako katika maeneo mawili y mko wa Kivu Kusini, ambayo ni maeneo ya Kalehe na Kabare, ambapo sasa wanakalia eneo la Kabamba na jiji la Katana. Maeneo muhimu yaliyo umbali wa kilomita . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • February 5, 2025

Daktari Anayeshutumiwa Kumbaka Mgonjwa Apigwa Kalamu

Afisa wa kliniki katika hospitali ya Pandya amesimamishwa kazi kufuatia madai ya kusikitisha ya unyanyasaji wa kingono yanayohusisha mgonjwa wa figo. Mshukiwa huyo aliyetambulika kwa jina la Dias . . .

Mtandaoni
  • Na Asha Business
  • January 31, 2025

Tumepunguza mesji za "Tuma kwa namba hii"

"Sisi kama Serikali tumeshachukua hatua kali kupitia TCRA na utakuwa pia shahidi kuwa wimbi la meseji limepungua kwa kiasi fulani, ilikuwa balaa zaidi ya ambavyo ipo sasa TCRA inaendelea na namna mbal . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 29, 2025

Mjue Mwanamke Mrefu na Mfupi Duniani, Washangaza

Wanawake wawili waliovunja rekodi za dunia kwa urefu na ufupi wao hivi karibuni walikutana kwa mara ya kwanza jijini London, Uingereza, na kutumia nafasi hiyo kuwahamasisha watu kote ulimwenguni kushe . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 28, 2025

Madereva Watanzania Wakwama Goma, Wazungukwa na Milio ya Risasi Kila Kona

Kutokana na machafuko yanayoendelea nchini Congo na jitihada za waasi wa kundi la M23 kupambana kuuchukua mji wa Goma, madereva wa magari makubwa ya mizigo(Malori) ambao ni watanzania wamekwama katika . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 26, 2025

Mmiliki wa timu za Alliance FC na Alliance Girls Afariki Dunia

Mmiliki wa timu za Alliance FC na Alliance Girls za Mwanza, James Bwire amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumapili (Januari 26, 2025) wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bu . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • January 24, 2025

Mtoto Alichukuliwa na Majambazi Baada ya Kutumbukiza Wazazi Shimo la Choo Apatikana

Habari zilizotufikia hii leo Januari 24, 2025 zimeeleza kuwa presha waliyokuwa nayo familia ya wanandoa Sosthenesi Melkizedeki Mrema na Joana Melkizedeki, wakazi wa eneo la Galagaza wilayani Kibaha ka . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • January 23, 2025

Mto mpya wazuka kaskazini mwa Los Angeles

Mamlaka za California Jumatano zimetoa amri ya watu kuondoka kwenye maeneo ya ndani baada ya moto mpya  kuzuka ukiwa na upepo mkali kwenye milima iliyopo kasakzini mwa Los Angeles.Moto huo wa Hug . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • January 21, 2025

AJIFUNGUA MTOTO MWENYE VICHWA VIWILI

Mkazi wa kijiji cha Chonga, wilayani Nkasi mkoani Rukwa, Lillian Ismail, mwenye umri wa miaka 21, amejifungua mtoto wa kiume akiwa na vichwa viwili. Tukio hilo limeacha jamii ya kijiji hicho katika ms . . .

Kurasa 9 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 9 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 9 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 10 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode