logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Afrika
  • Na Asha Business
  • May 4, 2025

Ndege zisizo na rubani za Sudani zashambulia mji wa mpakani karibu na Eritrea

Wanajeshi wa Sudani wamefanya shambulio la nadra la ndege zisizo na rubani katika mji wa mashariki wa Kassala, karibu na mpaka wa Eritrea, chanzo katika serikali pinzani, inayoshirikiana na jeshi, kim . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • May 2, 2025

Familia Ikifukua Mwili wa Marehemu Mchungaji Aliyezikwa Kisiri na Mkewe

Familia ya mwanamume aliyedaiwa kuzikwa kisiri na mkewe huko Voi, kaunti ya Taita Taveta, imechukua hatua kutokana na kucheleweshwa kwa haki. Edward Mwaigo Maghanga alizikwa na mkewe bila idhini ya fa . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • April 25, 2025

Mkazi Wa Maswa Ahukumiwa Miaka 30 Jela Kwa Kumbaka Binti Yake Na Kumpa Mimba

Mahakama ya Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Daudi Mabele (38), mkazi wa Kijiji cha Kakola, kilichopo Kata ya Shishiyu, wilayani humo.Mabele amehukumiwa kifungo hic . . .

Habari
  • Na Asha Business
  • April 24, 2025

Jeshi la Polisi Simiyu Lamfikisha Mahakamani Binti kwa Kudai ni Askari JWTZ

Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limemfikisha mahakamani binti aliyejitambulisha kwa jina la Pendo Paul Elikana (19), mkazi wa Kijiji cha Mbuga ya Banya, Wilaya ya Meatu, mkoani Simiyu, kwa tuhuma za ku . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 23, 2025

Jeshi Lazima Jaribio la Mapinduzi Dhidi ya Kapteni Traore

Maafisa kadhaa wa Jeshi walikamatwa kufuatia uvumi kuhusu Mapinduzi yaliyopangwa dhidi ya Kiongozi wa Burkina Faso Kapteni Ibrahim Traore ambaye alichukua madaraka mwaka wa 2022.Hii imezua hali ya was . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 18, 2025

Kaunti hizi 11 zinaongoza kwa magenge hatari

MOMBASA, Nairobi na Kilifi zimeibuka kama kaunti zinazoongoza kwa magenge ya uhalifu nchini, kulingana na ripoti ya 2025 iliyotolewa na Kituo cha Kitaifa cha Utafiti wa Uhalifu (NCRC).Ripoti hiyo, ili . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • April 16, 2025

Wanawake Wawili Wakamatwa Kwa Kutumia Bunduki Kuwatisha Wanaume

Kilichoanza kama kisa cha tahadhari kilizidi haraka kuwa kimbunga cha matatizo, kwani Sharon Auma na rafiki yake Nancy Atieno Obura walijikuta kwenye kina kirefu kuliko walivyowahi kufikiria.Hii ni ba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 15, 2025

Hamas yakabidhiwa mapendekezo mapya ya Israel kuhusu usitishaji mapigano

Wapatanishi toka nchi ya Qatar na Misri, wamekabidhi mapendekezo mapya ya Israel ya usitishaji wa mapigano huko Gaza kwa kundi la Hamas, mapendekezo ambayo hata hivyo afisa mmoja wa Hamas amesema kuna . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 14, 2025

Serikali ya Ethiopia yatuhumiwa kwa kuwafukuza raia wake kwa nguvu

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International, limetuhumu serikali ya Ethiopia kwa kuwafurusha kwa nguvu raia wake katika makaazi yao ili kupisha mradi wa serikali wa kupanua . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • April 9, 2025

Jela Miaka 30 Kwa Kumbaka Kiziwi Wilaya ya Kwimba, Mwanza

Mahakama ya Wilaya ya Kwimba, mkoani Mwanza, imemhukumu Malimo Mathias Nguno maarufu kama Gohe (41), kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 13 amb . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 4, 2025

Daktari wa makalio aliyesababisha kifo cha mteja arushwa ndani

DAKTARI wa masuala ya urembo anayeshtakiwa kumuua mwanamke aliyemfanyia upasuaji kumjengea makalio manene amenyimwa dhamana na Mahakama ya Kibra.Hakimu mwandamizi Bw Samson Temu aliamuru Dkt Robert Ma . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 4, 2025

Watu 30 wameuawa katika shambulio la watu wenye silaha

Watu 30 wameuawa katika eneo la Ruweng, Kaskazini mwa Sudan Kusini, baada ya kushambuliwa na vijana waliokuwa wamejihami kwa silaha.Mauaji haya yameripotiwa kutokea baada ya mzozo kati ya wafugaj . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 4, 2025

Waliodai Kubadilishiwa Mtoto Waangua Kilio Baada ya Majibu ya DNA Kufichua Ukweli

Waliodai kubadilishiwa mtoto waangua kilio baada ya majibu ya DNAHatimaye majibu ya vinasaba (DNA) ya watoto watatu waliozaliwa Machi 24, 2025 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha (Mount Meru) . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 3, 2025

Ajali ya Basi yauwa saba Same, majeruhi 31

Watu nane wamefariki Dunia na wengine thelathini na moja kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro.Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa J . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 2, 2025

Wanakwaya 6 waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same Kuzikwa leo

Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same mkoani Kilimanjaro itazikwa leo Jumata . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 2, 2025

Wanakwaya 6 waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same Kuzikwa leo

Miili sita ya wanakwaya wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Mmeni Chome, Dayosisi ya Pare waliofariki kwa ajali ya gari wilayani Same mkoani Kilimanjaro itazikwa leo Jumata . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 28, 2025

Jeshi latakiwa kuwaachia huru wanahabari wanaozuiliwa

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) hapo jana Alhamisi lilitoa wito kwa watawala wa kijeshi wa Burkina Faso kuwaachilia huru waandishi watatu waliokamatwa wiki hii ambao wa . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • March 26, 2025

Mwanamume Aliyehumukiwa Kifo Saudia Atarajia Kurejea Nyumbani

Stephen Munyakho, Mkenya aliyepatikana na hatia ya mauaji nchini Saudi Arabia, anatarajiwa kurejea Kenya kufuatia kuingilia kati kwa Jumuiya ya Waislamu Ulimwenguni. Machi 25, wakati wa futari ka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 26, 2025

Chatu wazua taharuki Katavi, Wananchi waomba msaada

Taharuki imetanda kwa wakazi wa Mtaa wa Kasimba Kata ya Ilembo Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, baada ya kuonekana mara kwa mara Nyoka aina ya Chatu katika makazi yao huku wakihofia usalama wao.Wakiz . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • March 25, 2025

Polisi Wamsaka Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Apotea,

Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taifa Daniel Chonchorio, Mkazi wa Nyakato jijini Mwanza anadaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha majira ya asubuhi siku alipotoka kuelekea . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 24, 2025

Al-Shabaab Waua Askari Polisi Sita Wa Kenya

Askari sita wa jeshi la Polisi la Kenya wameuawa na wengine wanne wamejeruhiwa katika shambulio linaloaminika kufanywa na kundi la kigaidi la Al-Shabaab la Somalia katika kambi ya polisi iliyoko kweny . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 20, 2025

Mwanaume Mganda Akamatwa baada ya Kukiri Kumuua Mkewe kwa Kupika Omena badala ya Nyama

Polisi mjini Naivasha wamemkamata mwanamume mmoja raia wa Uganda kwa madai ya kumuua mkewe katika eneo la Lwakhakha linalopakana na Kenya na Uganda.mshukiwa alimdunga kisu mkewe wa miaka 28 hadi akafa . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • March 19, 2025

Mwamba Jela Maisha Kwa Kumlawiti Mtoto wa Miaka Minne

MAHAKAMA ya Wilaya ya Iramba Mkoani Singida imemhukumu kifungo cha maisha jela Barnaba Yohana Isaya (20), mkazi wa kiji cha Nselembwe, kata ya Sherui, Wilayani humo kwa kosa la kumlawiti mtoto wa kium . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • March 17, 2025

Mwanafunzi wa Darasa la Kwanza Auawa Kikatili Mkoa wa Kilimanjaro

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mwanaume mmoja (26), mkazi wa kijiji cha Kirwa, Wilaya ya Rombo, kwa tuhuma za mauaji ya mtoto Rosemary Mathias (06), mwanafunzi wa darasa la kwanza k . . .

Kurasa 8 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 11 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 9 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 9 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 9 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode