logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 15, 2022

Russia yatishia kutumia silaha za nyuklia ikiwa Sweden na Finland zitajiunga na NATO.

Mmoja wa washirika wa karibu wa Rais wa Russia Vladimir Putin Alhamisi ameionya NATO kwamba ikiwa Sweden na Finland zitajiunga na ushirika wa kijeshi unaongozwa na Marekani, basi Russia itapelek . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 15, 2022

Miaka minane tangu utekaji nyara wa wasichana wa Chibok huko Nigeria

April 14 imetimia miaka 8 tangu kundi la kigaidi la Boko Haram lilipofanya shambulizi mwaka 2014 kwenye shule ya sekondari ya wasichana huko Chibok katika jimbo la Borno Kaskazini Mashariki mwa . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • April 14, 2022

Bunge lanusa matumizi mabaya fedha za Uviko

Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa (Usemi) imesema ufuatiliaji umeonyesha kuwa zipo dalili za baadhi ya halmashauri kutotekeleza miradi ya maendeleo kwa kutumia bajeti badala yake kut . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

WAISLAMU KUFUNGA MARA MBILI MWAKA 2030

Kalenda ya Saudi Arabia ya mwaka 2030 inaonesha kwamba Waislamu katika mwaka huo watafunga mara mbili kwa mwakakwa mujibu wa mtaalamu wa Nyota Khalid al-Zaqaq, tofauti ya siku za hesabu hizo ina . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Mamia wapoteza maisha katika mafuriko nchini Afrika Kusini

Idadi ya watu waliopoteza maisha katika mafuriko kwenye maeneo ya mji wa Durban nchini Afrika Kusini imepanda na kufikia 259. Mamlaka nchini humo zinasema watu wengi zaidi bado wanahofiwa kupotea. . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Macron, Scholz waepuka kutaja mauaji ya Ukraine kuwa "halaiki"

Viongozi wa Ufaransa na Ujerumani wamekataa kurejelea kauli aliyoitoa rais wa Marekani Joe Biden kwamba Urusi inatekeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Ukraine na kuonya kwamba kauli kama hizo haziwe . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Nchi mbili za Kiislamu ambazo ni Marufuku Kuoa wake Wengi.

Katika dini ya Kiislam, wanaume wanaruhusiwa kuoa wake zaidi ya mmoja kutokana na maandiko katika kitabu kitukufu cha Uislamu, Kurani.Wanaume Waislamu wanaruhusiwa kuoa hadi wake wanne, japo kwa masha . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 14, 2022

Maunda Zorro Afariki Dunia kwa Ajali ya Gari Usiku wa Kuamkia Leo Dar

MSANII wa Bongofleva, Maunda Zorro amefariki dunia kwa ajali ya gari, usiku wa kuamkia leo, April 14, 2022 baada ya gari alilokuwa amepanda aina ya VITZ kugongana uso kwa uso na lori la mchanga Kigamb . . .

Jamii
  • Na JZ The Brand
  • April 13, 2022

Bibi wa miaka 82, mwanawe wagombea mali

Hilda Maeda (82), mkazi wa Mabogini Wilaya ya Moshi, amemuomba Rais Samia Suluhu na mashirika ya kutetea haki za binadamu kuingilia kati, ili kumzuia mwanawe wa kumzaa asimdhulumu mali anazodai ku . . .

Habari
  • Na JZ The Brand
  • April 13, 2022

Kamanda Muliro amtaka Makonda kuripoti polisi

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amemshauri Paul Makonda kwenda kituo cha polisi kuripoti tuhuma alizozitoa mtandaoni, ikiwamo ya kudai kutishiwa maisha.“Sijaonge . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 13, 2022

Mtuhumiwa wa Shambulio la Raia kwenye Kituo cha Treni Jijini New York, Afahamika

HIVI karibuni limetokea shambulio katika stesheni moja ya treni jijini NewYork nchini marekani ambapo idadi ya watu Zaidi ya 17 wamejeruhiwa na wengine wawili wakiwa mahututi.Chanzo cha shambulio . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • April 13, 2022

Takribani watu 60 wafa kwa mafuriko Afrika Kusini

DurbanWatu takribani 60 wamepoteza maisha kutokana na mafuriko na maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa katika mji wa Durban na maeneo ya jirani ya mkoa wa Kwazulu Natal nchini Afrik . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 13, 2022

Vita ya Urusi ni mauaji ya halaiki yanayojaribu kuiteketeza Ukraine

WashingtonRais wa Marekani Joe Biden amevitaja vita vya Urusi nchini Ukraine kuwa mauaji ya halaiki, yanayolenga kuiangamiza Ukraine. Akizungumza katika hafla moja huko Iowa, alipokuwa akielezea k . . .

Jamii
  • Na Asha Business
  • April 12, 2022

MAPACHA WATATU WACHUMBIWA NA MWANAUME MMOJA

Dada watatu pacha wanaofanana kama shilingi kwa ya pili wamefichua kuwa sasa wanachumbiana na mwanaume mmoja baada ya kumpenda katika nyakati tofauti.Wakizungumza katika mahojiano na Jalas, pacha hao, . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 12, 2022

AMUUA MTOTO WA MDOGO WAKE.

Kamanda wa Jeshi la Polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro amesema jeshi hilo linamshikilia Latifa Bakari (33) mkazi wa Mabibo jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za mauaji ya . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 12, 2022

Waasi wa ADF washukiwa kuua zaidi ya watu 30 katika mkoa wa Ituri.

Zaidi ya watu 30 waliuawa katika mashambulizi yaliyotekelezwa Jumapili na Jumatatu na washambuliaji wanaoshukiwa kuwa wanajihadi katika mkoa wa kaskazini mashariki mwa DRC wa Ituri, shirika la m . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 12, 2022

Serikali Yakataa Ombi la Ukraine la Kuhutubia Bunge la Kenya: "Msitukosanishe"

Kenya imekataa ombi la Ukraine la kuhutubia bunge la Kenya, serikali ikihofia kuingizwa katika mzozo wa Ukraine na Urusi na kusambaratisha uswahiba wa Nairobi na Moscow.Serikali Yakataa Ombi la Ukrain . . .

AJALI
  • Na JZ The Brand
  • April 12, 2022

Ajali yaua sita Korogwe

Korogwe. Watu sita wamefariki dunia na wengine 19 wamejeruhiwa baada ya basi dogo aina ya Coaster kupinduka katika eneo la kwa Mdulu Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • April 12, 2022

Wapenzi wa muziki wa injili Afrika wamuomboleza Osinachi

Kumekuwa na hisia kali baada ya taarifa za kifo cha mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Nigeria Osinachi Nwachukwu.Ripoti za awali zilisema kuwa mwanadada huyo mwenye umri wa miaka 42 alikuwa anaugu . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 11, 2022

Wanawake wawili wa Kipalestina wauawa na wanajeshi wa Israel.

Wanajeshi wa Israel Jumapili wameua wanawake wawili wa Kipalestina baada ya mmoja kuwakimbilia wanajeshi na mwingine kumchoma kisu mwanajeshi katika matukio tofauti katika Ukingo wa magharibi un . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 11, 2022

Ukraine yadai kugundua miili zaidi ya watu 1,200 karibu na Kyiv

Ukraine imedai kuwa imegundua miili zaidi ya watu 1,200 karibu na mkoa wa Kyiv, katika mauaji yanayodaiwa kufanywa na Urusi. Mwishoni mwa Juma, milio ya mabomu ilisikika nchini Ukraine wakati waka . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • April 11, 2022

Takriban watu 26 wakiwemo watoto wauawa na watu wenye silaha Nigeria

Watu wenye silaha wameshambulia vijiji vya jimbo la Plateau katikati mwa Nigeria na kuua takriban watu 26.Washambuliaji hao waliokuwa kwenye pikipiki walivamia takriban vijiji vinne vya mbali siku . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • April 8, 2022

Watu 35 wauwawa mashariki mwaka Ukraine

Watu wasiopungua 35 wamekufa leo na wengine zaidi ya 100 wamejeruhiwa baada ya roketi kukipiga kituo cha treni katika mji wa Kramatorsk kinachotumika kuwaondoa raia wanaokimbia vita mashariki mwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 8, 2022

Korea Kusini na Marekani wanajiandaa Ya jaribio la kombora

Korea kusini na Marekani wanajiandaa kwa uwezekano wa jaribio la nyuklia la Korea kaskazini huku mivutano ikiwa juu baada ya onyo la wiki hii kutoka Pyongyang, kwamba iko tayari kutumia silaha z . . .

Kurasa 42 ya 49

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Siasa
news
  • 11 masaa yaliopita

SABABU ZA HECHE KUNYIMWA UWANJA WA FURAHISHA MWANZA

Michezo
news
  • 11 masaa yaliopita

RASMI CARLO ANCELOTTI KOCHA MPYA BRAZIL

Michezo
news
  • 13 masaa yaliopita

XABI ALONSO KUANZA KUIFUNDISHA MADRID KOMBE LA DUNIA

Burudani
news
  • 13 masaa yaliopita

Foby "Kwenye Lebo unaingia msafi ukitoka mchafu"

Habari
news
  • 15 masaa yaliopita

Tume ya Uchaguzi Yatangaza Majimbo Mapya 8 na Kubadili Majina ya Majimbo 12

Siasa
news
  • 16 masaa yaliopita

Katibu wa BAWACHA Kilimanjaro aondoka CHADEMA

Habari
news
  • 2 siku zilizopita

Rais Samia Aongoza Taifa Kuaga Mwili wa Mzee Cleopa Msuya

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • SABABU ZA HECHE KUNYIMWA UWANJA WA FURAHISHA MWANZA

    • 11 masaa yaliopita
  • RASMI CARLO ANCELOTTI KOCHA MPYA BRAZIL

    • 11 masaa yaliopita
  • XABI ALONSO KUANZA KUIFUNDISHA MADRID KOMBE LA DUNIA

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode