logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Mchina jera miaka 30 kwa kubaka wanawake 10

Mwanafunzi wa Shahada ya Uzamivu (PhD) kutoka China aliyeelezwa na polisi kuwa mmoja wa wanyanyasaji wa kijinsia wa kutisha zaidi nchini Uingereza amehukumiwa kifungo cha maisha jela. Zhenhao Zou, ra . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Washitakiwa kesi ya Ugaidi hoteli ya DusitD2 waenda jera miaka 30

Mahakama ya Kahawa Nairobi nchini Kenya imewahukumu Hussein Abdille na Mohamed Abdi Ali, waandaaji wa shambulio la hoteli ya DusitD2, kifungo cha miaka 30 gerezani kila mmoja. Hussein Abdille alishta . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 19, 2025

Iran kutoonyesha huruma kwa utawala wa Israel

Kiongozi mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameapa kwamba nchi yake haitoonyesha huruma kwa watawala wa Israel. Matamshi hayo yanakuja  saa chache baada ya Rais wa Marekani Donald Trump, kuit . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 19, 2025

Iran yafanya mashambulizi Hospitali ya Israel na kusababisha majeruhi

Kombora lililorushwa kutoka Iran limelenga jengo la hospitali kuu ya Beersheba iliyopo kusini mwa Israel na kusababisha majeruhi kadhaa, huku yenyewe ikijibu kwa kushambulia mtambo wa urutubishaji nyu . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 18, 2025

Mchuuzi aliyepigwa risasi na polisi katika maandamano angali hai, familia yathibitisha

BONIFACE Kariuki, mchuuzi wa barakoa aliyepigwa risasi na afisa wa polisi wakati wa maandamano jijini Nairobi Jumanne, angali hai, familia yake imesema.Babake, John Kariuki alisema mwanawe alipigwwa r . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • June 18, 2025

Afisa wa polisi afyatua risasi kiholela, maandamano yaongezeka Nairobi

Nchini Kenya, mji mkuu wa Nairobi umetikiswa siku ya Jumanne, Juni 17, na makabiliano kati ya waandamanaji, vikosi vya usalama, na makundi ya raia wenye silaha, waliotajwa kuwa "majambazi." Watu kadha . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • June 18, 2025

Mhubiri mwenye utata nchini Kenya afariki dunia

Mhubiri mwenye utata kutoka Kenya, Gilbert Deya, amefariki dunia katika ajali ya barabarani iliyotokea Jumanne jioni karibu na mji wa Kisumu, magharibi mwa Kenya. Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, Dey . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 18, 2025

Tanzania yaanza kusaka suluhu kuhusu tahadhari ya Marekani

Serikali ya Tanzania imeanza kufanya mashauriano na Marekani ili kufanyia kazi maeneo yanayihitaji kuboreshwa ili raia wake wasizuiwe kuingia Marekani. Uamuzi huo unatoana na Serikali ya Marekani kut . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 18, 2025

Marekani yafahamu maficho ya Kiongozi Mkuu wa Iran

Mashambulizi ya kila upande kati ya Israel na Iran yameingai siku ya sita, huku Rais Donald Trump wa Marekani akitoa ujumbe  kuhusiana na mzozo huo mpya wa Mashariki ya Kati. Rais Donald Trump a . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • June 17, 2025

Kinyozi ahukumiwa miaka 30 jera kwa kosa la ubakaji.

Mahakama ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza imemhukumu Lindwa Clement Balthazari (30) mkazi wa kijiji cha Malya na kinyozi wa saluni ya kiume kutumikia kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 17, 2025

Maandamano ya kupinga mauaji ya Albert Ojwang yatawanywa na polisi nchini Kenya

Waandamanaji waliokuwa na mabango wanamtaka Naibu Inspekta wa Polisi Eliud lagat kujiuzulu kufuatia kifo cha kutatanisha cha mwanablogu Albert Ojwang.Waandamanaji katika jiji la Nairobi walijipata wak . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 17, 2025

Israel waja na mpango mpya kuipindua serikali ya Iran

Israel inaamini kuwa kuna tishio kubwa kutoka kwa nguvu za nyuklia za Iran. Inasema lengo kuu la mashambulizi iliyofanya Ijumaa ilikuwa ni kuharibu tishio hilo.Ikiwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Ne . . .

Afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 16, 2025

Waziri wa sheria nchini Congo atuhumiwa kwa ubadhilifu wa fedha za umma

Bunge la taifa nchini DRC limeidhinisha Mwanasheria Mkuu wa Mahakama ya Juu Juni 15, kumfungulia mashitaka Constant Mutamba ambaya alikuwa Waziri wa Sheria wa DRC  kwa tuhuma za ubadhirifu wa fed . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 13, 2025

Maaskofu 500 wa kanisa la Gwajima wamefika mahakamani kusikiliza kesi

Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church, maarufu kama Kanisa la Ufufuo na Uzima, limefungua kesi Mahakama Kuu, Kanda ya Dodoma, likiomba amri ya muda ya kuondoa zuio lililowekwa na Serikali dhidi . . .

Afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 13, 2025

Polisi Kenya waomba radhi kwa Wananchi baada ya mwanamke kupoteza ujauzito ndani ya selo za polisi

Idara ya polisi nchini Kenya imeomba radhi Wakenya kufuatia tukio ambalo mahabusu aliyekuwa na ujauzito Milka Wangari alipoteza ujauzito kwenye selo za polisi baada ya kukamatwa kwa kosa la kuchukua s . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 13, 2025

Wananchi mkoani Simiyu wajiandaa kumpokea Dkt Samia Suluhu Hassan kuelekea ziara yake juni 15

Katika tukio la kipekee linalodhihirisha mapenzi ya wananchi kwa viongozi wao wakazi wa Mkoa wa Simiyu wamejitokeza kwa wingi kuonyesha furaha na bashasha kuelekea ziara ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Abiria 133 wameripotiwa kufariki ajali ya Ndege ya Air India

Mamlaka nchini India zimethibitisha kuwa Watu 133 wamefariki hadi sasa  kufuatia ndege ya abiria ya Air India iliyokuwa inatokea nchini India kwenda London nchini Uingereza kuanguka na kuwaka mot . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Abiria 242 wapata ajali ndani ya Ndege ya Air India June 12

Ndege ya abiria ya Air India iliyokuwa inatokea nchini India kwenda London nchini Uingereza imeanguka na kuwaka moto leo June 12,2025 katika eneo la Ahmedabad India muda mfupi baada ya kupaa ikiwa na . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • June 12, 2025

Watu tisa wamepoteza maisha kwenye ajali mbaya iliyotokea mkoani Morogoro

Watu tisa wamefariki dunia papo hapo na wengine 44 kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Hai kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa limebeba shehena ya sukari katika eneo la Lugono Melala barabara . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • June 11, 2025

Martha Karua na mwenzake wafungua kesi mahakamani dhidi ya serikali ya Tanzania

Aliyekuwa Jaji Mkuu wa Kenya, Dkt. Willy Mutunga Wakili Mwandamizi Martha Karua pamoja na watu wengine wanne wamefungua kesi katika Mahakama ya Haki ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EACJ) dhidi ya Seri . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • June 11, 2025

Takukuru Mara yamfikisha mahakamani tabibu wa kituo cha Afya kwa tuhuma ya kupokea Rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Mara imemfikisha mahakamani tabibu wa kituo cha Afya Magena kilichopo wilayani Tarime, Jacob Wankyo kwa tuhuma za kuomba na kupokea rushwa il . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • June 11, 2025

Afariki dunia katika harakati za kushiriki tendo la ndoa na mke wa mtu

Erasto Raphaely Kabupa (50), mkazi wa kijiji cha Igelehedza kata ya Ilembula wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe amefariki dunia akiwa katika nyumba ya kulala wageni wakati wa kushiriki tendo la nd . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • June 11, 2025

Maduka 17 yateketezwa kwa moto eneo la Buseresere wilayani Chato.

Maduka 17 katika eneo la Buseresere wilayani Chato, Mkoa wa Geita yameteketea kwa moto ambao chanzo chake hakijafahamika.Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Geita, Hamis Dawa amethibitisha . . .

Mauaji
  • Na Jembe Digital
  • June 11, 2025

Aliyetoweka baada ya mauaji ya mumewe akamatwa na polisi India

Mwanamke aliyetoweka baada ya mumewe kuuawa kikatili walipokuwa kwenye fungate yao amekamatwa baada ya kujisalimisha kwa polisi nchini. Familia za wanandoa hao zilidai kuwa bibi harusi pia alikuwa am . . .

Kurasa 3 ya 53

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Top Stories
news
  • 15 masaa yaliopita

TAARIFA : Afande Sele Amvalisha Mpenzi wake Pete Ya Uchumba

Top Stories
news
  • 18 masaa yaliopita

LIZZO : "Ilifikia Wakati Nikatamani Niondoke Duniani"

Habari
news
  • 18 masaa yaliopita

RC Sendiga akagua mabanda Maonesho ya Wakulima Kanda ya Kaskazini

Habari
news
  • 18 masaa yaliopita

Hatma ya plastiki yazua mjadala mkali

Habari
news
  • 18 masaa yaliopita

Rwanda yapokea wahamiaji 250

Siasa
news
  • 18 masaa yaliopita

Mkurugenzi INEC ataka vyombo vya habari kutopendelea chama cha siasa

Michezo
news
  • 18 masaa yaliopita

Mashindano ya Kwanza ya Dunia ya Soka la Roboti Kuandaliwa , Timu 30 Kuonesha Ubora wa AI

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • TAARIFA : Afande Sele Amvalisha Mpenzi wake Pete Ya Uchumba

    • 15 masaa yaliopita
  • LIZZO : "Ilifikia Wakati Nikatamani Niondoke Duniani"

    • 18 masaa yaliopita
  • RC Sendiga akagua mabanda Maonesho ya Wakulima Kanda ya Kaskazini

    • 18 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode