logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 27, 2026

UN: Zaidi ya wahamiaji 7,600 walikufa njiani mwaka 2025

Shirika la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa IOM limebainisha kwamba zaidi ya wahamiaji 7, 600 wasio na vibali walifariki dunia au walipotea kote duniani wakiwa njiani mwaka uliopita.Ripoti iliyotolewa na . . .

Siasa
  • Na Jembe Digital
  • February 27, 2026

Wadau Waendelea Kutoa Maoni kwa Tume ya Uvunjifu wa Amani

Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Februari 27, 2026 imekutana na Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir, . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • February 26, 2026

Mahakama Yasikiliza Kesi ya Kupinga Uteuzi wa Tume ya Uchunguzi

Kesi ya kupinga uteuzi wa Tume iliyoundwa kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani ya Oktoba 29, 2025 na siku zilizofuata, imeendelea kusikilizwa leo Alhamisi Februari 26, 2026 katika Mahakama Kuu ya T . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • February 24, 2026

Jamhuri Yafungua Shauri la Mapitio Kesi ya Uhaini ya Lissu

Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kwa niaba ya Jamhuri amefungua shauri la mapitio juu ya uamuzi wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu.Akiwasilisha taarifa hiyo mahakamani leo, . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • February 24, 2026

Mahakama Yakubali Pingamizi la Lissu Dhidi ya Ushahidi wa Ziada

Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imekubaliana na pingamizi lililowasilishwa na mshtakiwa Tundu Lissu kupinga taarifa ya kuongezwa kwa ushahidi (Notice of Additional Evidence) iliyotolewa n . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • February 23, 2026

Basi la Dar Express Lagongwa na Daladala

Ajali mbaya imeripotiwa katika eneo la Kwa Idd, wilayani Arumeru, mkoani Arusha, baada ya basi la kampuni ya Dar Express kugongana na daladala ya abiria.Taarifa za awali zinaonesha kuwa watu kadhaa wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 23, 2026

Zaidi ya Wafungwa 200 wa Kisiasa Venezuela Waanza Mgomo wa Kula

Zaidi ya wafungwa 200 wa kisiasa katika gereza la Rodeo I nchini Venezuela wameanzisha mgomo wa kula kama ishara ya kutaka kuachiliwa huru chini ya sheria mpya ya msamaha wa kisiasa ambayo haijawajumu . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • February 23, 2026

Notisi ya Ushahidi Yazua Mjadala Mkali Mahakamani

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imeahirishwa hadi kesho kufuatia mjadala mzito wa kisheria kuhusu notisi ya upande wa Jamhuri ya kuw . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 19, 2026

CPJ: Waandishi wa Kipalestina wanateswa magerezani Israel

Kamati ya Kimataifa ya Kuwalinda Waandishi wa Habari - CPJ imesema waandishi habari wa Kipalestina waliofungwa katika magereza ya Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Januari 2026 wamepitia "unyanyasaji wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 17, 2026

Mashambulizi ya Droni Kordofan Yazua Vifo 28 na Majeruhi Wengi

Mashambulizi katika soko kuu la kitongoji cha Sudri, Kordofan katikati mwa Sudan, yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 28 na kujeruhi makumi ya wengine, imesema Jumatatu jioni kundi la kutetea haki . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • February 16, 2026

Wanamgambo washambulia kituo cha jeshi Burkina Faso

Watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa itikadi kali wameshambulia hapo jana kituo cha wanajeshi katika mji wa kaskazini mwa Burkina Faso wa Nare.Taarifa ambazo hazijathibitishwa zinaeleza kuwa makumi ya . . .

Afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • February 10, 2026

Mamilioni ya watu wakabiliwa na njaa kutokana na ukame, mifugo imeangamia

Katika wiki za hivi karibuni, picha za mifugo iliyodhoofika katika eneo linalokabiliwa na ukame karibu na mpaka wa Somalia zimewashtua wengi katika eneo ambalo tayari limeathirika kutokana na athari z . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • February 9, 2026

Iran Yawakamata Viongozi Wanne Wanaodaiwa Kujihusisha Na Vurugu

Iran imewakamata viongozi wanne wa kisiasa wenye mwelekeo wa mageuzi, akiwemo katibu mkuu wa chama cha reformist na aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, katika kile mamlaka za nchi hiyo zimeel . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 30, 2026

Marekani Yasema Iko Tayari Kuchukua Hatua Dhidi ya Iran Kuzuia Silaha za Nyuklia

Waziri wa Ulinzi wa Marekani amesema kuwa jeshi la nchi hiyo lipo katika utayari kamili kutekeleza uamuzi wowote utakaochukuliwa na Rais Donald Trump kuhusu Iran, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuizuia . . .

ukraine
  • Na Asha Business
  • January 26, 2026

Zelensky asaka mifumo zaidi ya ulinzi wa anga

Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amewarai washirika wake kumpatia mifumo zaidi ya ulinzi wa anga kujikinga na mashambulizi ya Urusi ambayo amesema yameongeza madhila kwa umma wa Ukraine msimu huu wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 20, 2026

RSF walitumia makaburi ya pamoja kuficha uhalifu wa kivita

Imefahamika kwamba wanamgambo wa RSF nchini Sudan walifaya mauaji ya watu wengi katika jimbo la Darfur na kisha kujaribu kuficha ushahidi kwa kuwazika kwenye makaburi ya pamoja.Naibu Mwendesha Mashtak . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 17, 2026

WFP: Uhaba wa chakula wafikia kiwango cha hatari

Umoja wa Mataifa umeonya kwamba takribani watu milioni 55 katika Afrika Magharibi na Kati wanakabiliwa na uhaba mkali wa chakula mwaka huu.Shirika la Mpango wa Chakula Duniani WFP, linasema machafuko . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • January 15, 2026

Zelensky kutangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema atatangaza hali ya dharura katika sekta ya nishati kote nchini humo.Zelensky amesema hatua hiyo itawezesha kushughulikia operesheni za usambazaji wa umeme zi . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 22, 2025

Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

Mwili wa marehemu, Patric Francis, umekutwa unaning'inia ndani ya banda la mbuzi nyumbani kwao, alipokuwa akiishi na wazaazi wake.Patrick Francis (35) mkazi wa kijiji cha mapea, wilayani Babati mkoani . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • December 18, 2025

Polisi Morogoro wachunguza kifo dada wa kazi, magari kuchomwa moto Mvomero

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linaendelea na uchunguzi wa tukio la kuchomwa moto kwa magari mawili katika Kijiji cha Lusanga, Wilaya ya Mvomero, lililotokea kufuatia kifo cha mfanyakazi wa ndani, M . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Mvua kubwa yaezua paa la nyumba Mtwara

Mvua iliyoambatana na upepo imeezua paa la nyumba katika mtaa wa Ligula TES Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara.Mashuhuda wameeleza kuwa tukio hilo limetokea majira ya saa nane usiku wa kuamkia . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Maafisa uhamiaji 3 wahukumiwa kunyongwa mpaka kufa

Maafisa watatu wa Uhamiaji, Fredrick Kyomo, Joachim Trathizius na Mabruki Hatibu, wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa na Mahakama Kuu ya Tanzania baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Enos Elias, mkazi . . .

AJALI
  • Na Asha Business
  • December 17, 2025

Uzembe ndiyo chanzo cha ajali iliyoua 5 Songwe

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limesema uchunguzi wa awali umebaini kwamba ajali ya barabarani iliyotokea Disemba 16, 2025 majira ya saa 12:15 Jioni katika eneo la Karasa, Wilaya ya Mbozi Mkoani Songw . . .

Mafuriko
  • Na Asha Business
  • December 16, 2025

RC Mhita akagua athari za mvua Shinyanga

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mboni Mhita amefanya ziara ya dharura katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala Wilaya ya Kahama kukagua na kujionea athari za mvua kubwa zilizoonyesha usiku wa kuamkia Desemba . . .

Kurasa 3 ya 59

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Michezo
news
  • saa moja lililopita

BODI YA USHAURI YA TARURA YAKAGUA BARABARA ZA KUINGIA UWANJA WA AFCON ARUSHA

Makala
news
  • saa moja lililopita

Watumiaji dawa za kulevya hatarini kuugua saratani ya kinywa

Habari
news
  • saa moja lililopita

Ng’ombe, mbuzi na kondoo kupewa vitambulisho

Habari
news
  • saa moja lililopita

Wajumbe wa Kamati ya Pamoja CCM na ACT Wazalendo Watangazwa

Michezo
news
  • saa moja lililopita

Man United na Man City Kukutana Kwenye Derby Kali

Habari
news
  • saa moja lililopita

Trump apigia chapuo kuungana tena kwa Ireland

Burudani
news
  • 2 siku zilizopita

Marioo, Jux Na Wasanii Wengine Kushiriki Afrimma Musicfest Dallas

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • BODI YA USHAURI YA TARURA YAKAGUA BARABARA ZA KUINGIA UWANJA WA AFCON ARUSHA

    • saa moja lililopita
  • Watumiaji dawa za kulevya hatarini kuugua saratani ya kinywa

    • saa moja lililopita
  • Ng’ombe, mbuzi na kondoo kupewa vitambulisho

    • saa moja lililopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode