logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 18, 2022

Biden awasili Uingereza kwa mazishi ya Malkia Elizabeth 11

Rais wa Marekani Joe Biden aliwasili nchini Uingereza jana jioni kabla ya mazishi ya Malkia Elizabeth 11 siku ya Jumatatu.Haya ni kwa mujibu wa shirika la habari la AFP. Ndege aliyosafiria Biden iliwa . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • September 18, 2022

Washia milioni 21 waadhimisha siku ya Arbaini mjini Karbala, Iraq

Mahujaji milioni 21, waislamu wa madhahebu ya kishia, wakiwa wamevaa nguo nyeusi wamekusanyika katika mji wa Karbala nchini Iraq kuadhimisha siku ya Arbaini, wakati nchi hiyo ikikabiliwa na misukosuko . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 16, 2022

Balozi Rupia afariki dunia

 Katibu Mkuu Kiongozi wa tano, Balozi Paul Rupia amefariki dunia leo asubuhi nchini Afrika Kusini akiwa na umri wa miaka 84.Taarifa ya kifo chake imetolewa leo Septemba 16 kwa Mwananchi na mtu wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 16, 2022

Rais Biden na Ramaphosa kukutana Marekani

Rais Joe Biden wa Marekani na wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa wanatarajiwa kukutana leo hii katika Ikulu ya White House kwa mazungumzo yatakayojikita katika vita vya Urusi nchini Ukraine, maswala ya . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 16, 2022

SAMAKI WANAOVULIWA HAWANA SHAKA YOYOTE

Naibu wa waziri wa mifugo na uvuvi Abdallah Ulega amezungumza hii leo bungeni kuhusiana na kauli iliyotolewa na makamu wa rais Dkt Mpango wakati akiwa mwanza kuhusiana na na kutumia maji ya . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 16, 2022

Wakenya Waambiwa Wawe Tayari Kuumia

Muungano wa Watengenezaji Bidhaa (KAM) umewataka Wakenya kujiandaa kwa hali ngumu zaidi ya maisha.Kulingana na KAM, bei ya bidhaa nyingi muhimu itapanda kwa kiasi kikubwa wakati wowote kuanzia sasa. M . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 15, 2022

Waziri Mkuu wa Sweden ajiuzulu baada ya kundi la mrengo wa kulia kushinda uchaguzi

Waziri Mkuu wa Sweden wa chama cha Social Democratic Magdalena Andersson amewasilisha leo barua ya kujiuzulu. Hii ni baada ya muungano wa vyama vya siasa za mrengo wa kulia ambao unajumuisha chama cha . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • September 15, 2022

Baraza la Mitihani (Necta) Lafuta Ada ya Mtihani kwa Watahiniwa wa Serikali

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza kufuta ada ya mtihani kwa watahiniwa wa darasa la saba, kidato cha nne na sita wa shule za Serikali, huku wanafunzi wa shule binafsi watakuwa wanaendele . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 15, 2022

Abiria afariki alipokuwa akipanda ndege ya KQ kuelekea Mombasa

Shirika la ndege la Kenya Airways limethibitisha kuwa abiria aliyepata matatizo ya kupumua alipokuwa akipanda moja ya ndege zake amefariki.Katika taarifa Jumatano, KQ ilisema abiria huyo alitangazwa k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 15, 2022

MBUGE WA NYAMAGANA ASEMA HAYA MBELE YA MAKAMU WA RAIS

Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Jijini Mwanza Stanslaus Mabula haya ndiyo aliyoyawasilisha jana Tarehe 14 September 2022 mbele ya Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango, akihitimisha ziara yake . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 15, 2022

Jumuia ya kimataifa yaombwa kutoa chanjo ya Monkeypox kwa Afrika

Wakati visa vya maambukizi ya Monkeypox vikiendelea kushuka kwenye mataifa ya Ulaya pamoja na Marekani, wataalam wa sayansi wanasema kwamba sasa ni wakati wa kuweka kipaumbele cha upatikanaji wa chanj . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 15, 2022

Matumaini Ya Unga Wa Bei Nafuu Yafifia

Matumaini ya Wakenya kuwa gharama ya maisha ingeanza kushuka mara baada ya Rais William Ruto kuchukua madaraka yameanza kudidimia miongoni mwa Wakenya wengi.Katika manifesto na kampeni zake kuelekea u . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 14, 2022

Umoja wa Mataifa wataka ushirikiano dhidi ya madhila ya ulimwengu

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito wa mshikamano na ushirikiano ili kushughulikia ulimwengu ulio hatarini wakati wa ufunguzi wa Baraza Kuu la 77 la Umoja wa Mataifa.Akitolea . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 14, 2022

SHEREHE ILIVYOFANA NYUMBANI KWA RUTO BAADA YA KUAPISHWA

Kulikua na hali ya utulivu mkubwa katika sehemu mbalimbali nchini wakati wa kuapishwa kwa Rais William Ruto katika uwanja wa Kasarani.Hata hivyo, hali ilikuwa tofauti katika kaunti ya Uasin Gishu mami . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 14, 2022

Rais Ruto awateua majaji walioibua utata

Rais wa Kenya William Ruto, saa chache tu baada ya kuapishwa kama kiongozi wa taifa hilo la Afrika Mashariki, aliwateua majaji sita wa mahakama ya rufaa, waliokuwa wamependekezwa na Tume ya Huduma za . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 14, 2022

Mfalme Charles III Afanya Ziara kwa mara ya kwanza Ireland Kaskazini

Mfalme Charles III amefanya ziara yake ya kwanza Ireland ya Kaskazini tangu alipovikwa taji la ufalme. Mfalme Charles anazuru mataifa yote manne ya Ufalme wa Uingereza kabla ya mazishi ya kitaifa ya m . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 14, 2022

WIVU WA MAPENZI, USHIRIKINA VYATAJWA KUWA NDIO CHANZO CHA MAUAJI.

Wakati kumekuwa na wimbi la mauaji nchini, Serikali imesema sababu za wananchi kujichukulia hatua mkononi ni wivu wa mapenzi, migogoro ya ardhi, ulevi na imani za kishirikini.Kauli hiyo imefuatilia, s . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 13, 2022

Uganda yaanza kuilipa fidia Congo

Uganda imetoa dola milioni 65 kama malipo ya kwanza ya dola milioni 325 iliyoamuriwa kulipa na Mahakama ya kimataifa ya haki ICJ, kama fidia kutokana na taifa hilo kujihusisha katika mgogoro kwenye ji . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 13, 2022

Haki ya Faragha Kwa Wafungwa Wa Tanzania Iko Hivi

Serikali imesema suala la haki ya faragha kwa Wafungwa na Wenza wao itaanza kutolewa pale ambapo mifumo ya kisheria na miundombinu ya Magereza itakapokidhi kutolewa kwa haki hiyo ambapo masuala mengin . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • September 13, 2022

UFAHAMU UGONJWA SEPSIS

Jumanne ni Siku ya Kimataifa ya Ugonjwa wa Sepsis.Sepsis ni ugonjwa unaotishia maisha ambao huathiri mamilioni ya watu kila mwaka. Ugonjwa huu hutokea pale mtu anapopata maambukizi na kadri mwili unav . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • September 13, 2022

Papa aelekea Kazakhstan kushiriki mkutano wa kimataifa wa dini

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis ameanza leo ziara ya siku tatu nchini Kazakhstan ili kushiriki mkutano wa kimataifa wa kidini. Hata hivyo Papa Francis hatakutana na kiongozi wa Kanisa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 12, 2022

Marekani Yaadhimisha Miaka 21 Tangu Shambulio Kubwa la Kigaidi ‘Septemba 11’

Rais wa Marekani Joe Biden na Makamu wa Rais Kamala Harris wamewaongoza Wamerekani kuadhimisha miaka 21 tangu kutokea kwa shambuliao la kigaidi katika majengo pacha ya World Trade Center na Pentagon.& . . .

Afrika Mashariki
  • Na Asha Business
  • September 9, 2022

Rais wa Burundi ateua baraza jipya la mawaziri baada ya kumfuta kazi waziri mkuu

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye Alhamisi ameteua baraza jipya la mawaziri baada ya kumfuta kazi waziri wake mkuu Alain Guillaume Bunyoni, ambaye uhusiano wao katika miezi ya hivi karibuni ulizid . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • September 9, 2022

Wizi wa mafuta Nigeria wasababisha mgomo wa wafanyakazi

Wafanyakazi katika sekta ya petrol nchini Nigeria, wameitisha maandamano ya kitaifa kupinga wizi wa mafuta, hali ambayo imeathiri kwa kiasi kikubwa  uchumi wa nchi na mapato ya fedha za kigeni.Um . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 9, 2022

WAZIRI MKUU AWACHARUKIA WATUMISHI WA TAKUKURU MKOANI TABORA

Waziri mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) Mkoa wa Tabora, Musa Chaulo kuwakamata watu wote wanaohusika na usimamizi wa ujenzi wa Chuo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 9, 2022

Rais Samia atoa pole kifo cha Malkia Elizaberth II

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesikitishwa na kifo cha Malikia Elizaberth II wa nchini Uingereza, kilichotokea jana Alhamisi Septemba 8, 2022 katika visiwa vya Balmoral nchini Scotland alipok . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 8, 2022

CCM yatoa maelekezo kwa Serikali kuhusu tozo

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) imeielekeza Serikali kuchukua ushauri wa wananchi kuhusu tozo sambamba na kujielekeza katika kubana matumizi ya serikali na kutanua wig . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • September 8, 2022

Wakazi karibu na kiwanda cha nyuklia cha Ukraine washauriwa kukimbilia usalama

Ukraine  imeomba wakazi waliyoko kwenye maeneo yanayokaliwa na Russia karibu na kiwanda cha nyuklia cha Zaporizhzhia, kuondoka mara moja kwa ajili ya usalama wao.Taarifa hiyo imetolewa na naibu w . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • September 7, 2022

Rais wa Marekani Joe Biden Ampongeza William Ruto kwa Ushindi.

Rais wa Marekani Joe Biden amempongeza William Ruto kwa kuibuka mshindi wa uchaguzi wa urais.Katibu katika White House Karine Jean-Pierre alisema Marekani inasubiri kuendeleza urafiki wake na Kenya.al . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • September 7, 2022

Serikali kuboresha chujio la maji Geita

Serikali kupitia Wizara ya Maji imetoa Shilingi bilioni moja kwa Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira Mjini Geita (GEUWASA) kufanikisha utanuzi wa chujio la maji na kupunguza kero ya mgawo wa ma . . .

Kurasa 88 ya 123

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 15 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 15 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 15 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode