Ofisi ya Bunge inawajulisha Wabunge wote kufika Dodoma siku ya Alhamisi tarehe 10 Machi, 2022 kwa ajili ya Shughuli za Kamati za Kudumu za Bunge kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Bunge wa Bajeti. . . .
Siku ya Jumatano, Machi 2, Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lilipitisha kwa wingi azimio la kutaka Urusi isitishe mara moja matumizi ya nguvu dhidi ya Ukraine. Nchi 141 ziliidh . . .
Iringa. Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Iringa (RC), Queen Sendiga na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa . . .
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi maalum, Dkt. Dorothy Gwajima, amesema serikali ipo katika majadiliano na mapitio ya sera ili kubadili sheria ya ndoa ambayo imekua ikileta . . .
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maswala ya Ukimwi, Kifua Kikuu, Dawa za Kulevya na Magonjwa yasiyoya kuambukiza imetumia Siku ya Wanawake Duniani kuhamasisha wanaume nchini kujitokeza kupima ukimwi n . . .
Mrembo mmoja raia wa Zambia mwenye umri wa miaka 24, anayejulikana kwa jina Teresia, amefichua kuwa yeye huchumbiana na wanaume wote ambao hugharamia maisha yake ya kifahari. Teresia alisema . . .
Marekani imelikataa pendekezo la Poland la kutowa ndege za kijeshi za enzi za Kisovieti ili zikabidhiwe kwa Ukraine katika kuisaidia kwenye mapambano yake dhidi ya uvamizi wa Urusi, ikisema haliwe . . .
Mamlaka nchini Ukraine zinasema kuwa ndege za kijeshi za Urusi zimefanya mashambulizi mapya kwenye makaazi ya raia katika sehemu za kati na mashariki mwa nchi hiyo. Maafisa hao wanasema kuwa watu . . .
Marekani siku ya Jumanne ilisisitiza kuunga mkono mpango wa Morocco wa kujitawala kwa Sahara magharibi ili kusuluhisha mzozo wa miongo kadhaa wa ufalme huo na vuguvugu la kudai uhuru la Polisari . . .
Vikosi vya usalama vya Sudan vilimkamata kiongozi mkuu wa upinzani hapo Jumanne huku maafisa wakifyatua gesi ya kutoa machozi kuwazuia maelfu ya waandamanaji waliokuwa wakiandamana kupinga mapin . . .
Polisi nchini Kenya wamewakamata zaidi ya waendeshaji 200 wa boda boda katikati mwa jiji la Nairobi huku msako mkali dhidi ya sekta hiyo ukizidi kufuatia unyanyasaji wa kingono wa dereva wa k . . .
Mfalme wa zamani wa Uhispania Juan Carlos amesema ataishi mjini Abu Dhabi licha ya kukamilika kwa uchunguzi kuhusu shughuli zake za kifedha zilizosababisha kujipeleka mwenyewe uhamishoni katika Um . . .
Idadi ya wakimbizi wanaokimbia vita nchini Ukraine inatarajiwa kufika milioni mbili katika siku mbili zijazo. Mkuu wa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa Filippo Grandi amesema leo mjini Oslo . . .
Ujumbe wa maafisa waandamizi wa Marekani ulikwenda nchini Venezuela Jumamosi kwa mazungumzo na wajumbe wa serikali ya Rais Nicolas Maduro kuangalia uwezekano wa kupunguza vikwazo vya Marekani dh . . .
Kanisa katoliki nchini Malawi limeishutumu serikali kwa kuwa dhaifu juu ya ufisadi katika barua nadra ya ukosoaji iliyotolewa Jumapili kwenye makanisa kote nchini humo. Mamlaka inasema wamepokea . . .
MWAKA mmoja! Mwaka mmoja wa Utumishi uliotukuka, uzalendo, upendo na utu. Mwaka mmoja wa ushujaa kwake na kwa watanzania. Mwaka mmoja wa historia.Tutarudi hapa kwenye mwaka mmoja siku nyingine, Tu . . .
Kufungwa kwa mashamba 11 ya maua mkoani Arusha katika miaka ya hivi karibuni, kumesababisha hasara ya mabilioni na zaidi ya wafanyakazi 4,000 kukosa.Licha ya wamiliki waliopoteza mtaji, Serikali n . . .
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema tiketi zitakazotumika wakati wa safari za treni ya kisasa ya umeme SGR zitatumia mfumo wa kielektroniki katika hatua zote za ukaguzi wa kuingia, ndani ya tr . . .
Jeshi la polisi wilaya ya Nkasi limefika katika Kijiji Cha Mpasa kilichopo Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa na kufukua mwili wa Marehemu Ambaye alikuwa ni Mama mjamzito miezi 7 aliyefariki kwa kipigo . . .
Makachero wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) wameanzisha msako dhidi ya mwanamume mmoja aliyemshambulia kwa kisu mwajiri wake kabla ya kutoweka na kiasi cha pesa kisichojulikana.Benjamin Munene Ndia . . .
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ametangaza rasmi kuwa atawania muhula wa pili katika uchaguzi wa rais wa mwezi Aprili. Kwa muda sasa rais Macron alikuwa ameashiria kuwania kiti hicho katika uchag . . .
Mamlaka nchini Australia zimeonya hii leo juu ya ongezeko la mvua zaidi mwishoni mwa juma katika mikoa kadhaa iliyokumbwa na mafuriko mashariki mwa nchi hiyo. Mvua hizo huenda zikatatiza juhudi za . . .
Wakati maelfu ya watu wakiendelea kujificha katika mahandaki kukwepa vita na kutafuta usalama nchini Ukraine, mwanamke mmoja amepata uchungu na kujifungua mtoto chini ya ardhi. Tatiana mkaa . . .
HALMASHAURI ya Jiji la Dar es Salaam imesema imejipanga kuhakikisha inaongeza kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi ikiwa ni pamoja na kuwafikia wale wenye mahitaji maalum ili waweze kunufaika . . .
CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo kupitia mradi wa VaSPHARD kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali wamefanya mafunzo kwa Waganga wa tiba asili na kisha kupima dawa zao ili waweze . . .
Viongozi wa Jumuiya ya kiuchumi ya Afrika Magharibi ECOWAS wamefuta ziara yao nchini Burkina Faso iliyokuwa na lengo la kukutana na kiongozi wa kijeshi Paul-Henri Damiba. Taarifa ya ECOWAS imesema . . .
Wakati Serikali ikituma maofisa wa ubalozi wa Tanzania kwa nchi za Ujerumani na Sweden kuwafuatilia Watanzania waliokimbia vita nchini Ukraine, Serikali ya Poland imewapa siku 55 wawe wameondoka . . .
Wakati Serikali ikitoa jumla ya Sh333 bilioni kwa ajili ya manunuzi ya dawa, vifaa tiba na vitendanishi, Serikali imesema kuanzia sasa vituo vya afya na Bohari ya Dawa (MSD) vitapimwa kwa upatikan . . .
Kampeni zimeshika kasi ikiwa imesalia miezi 5 kabla ya uchaguzi mkuu nchini Kenya. Wapinzani wa naibu wa rais William Ruto sasa wanadai anachelea kushindwa na ameanza harakati za kuyakataa matokeo . . .
Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake juu ya ripoti kwamba kura iliyopigwa katika bunge la Libya kuidhinisha serikali mpya nchini humo haikutimiza masharti yanayokubalika kisheria.Matamshi hayo . . .