hirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limevifungia viwanja vya Jamhuri (Dodoma), CCM Kirumba (Mwanza), na Liti (Singida) kutumika kwa michezo ya Ligi Kuu Tanzania Ba . . .
Makamu wa Rais wa Yanga SC, Arafat Haji, ameweka wazi kuwa mechi ya watani wa jadi kati ya Yanga SC na Simba SC, iliyokuwa imepangwa kufanyika Machi 8, 2025, haitapangiwa . . .
Shirikisho la soka la kimataifa (FIFA) limetangaza kusimamisha shirikisho la soka la Congo (FECOFOOT), hivyo kupiga marufuku timu ya taifa ya Congo na vilabu kushiriki ka . . .
Mshambulizi wa Al Nassr Cristiano Ronaldo amefanya mahojiano na Canal 11, ambapo alisisitiza hamu yake ya kucheza kwenye uwanja sawa na mwanawe, Cristiano Jr. Hata hivyo, . . .
Inaelezwa kuwa timu nne Barani Afrika Orlando Pirates, MC Alger, Wydad Casablanca na Al Ahly Benghazi zinawinda saini ya kiungo wa Yanga SC, Stephan Aziz K raia wa Burkin . . .
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limetangaza ongezeko la asilimia 75 kwa atakayebeba Kombe la CHAN ambapo mshindi sasa atapata Dola za Kimarekani Milioni 3.5.CA . . .
Ushindi wa mabao 3-0 walioupata Manchester City dhidi ya Leicester City umerejesha matumaini ya kikosi cha Pep Guardiola kilichoanzafa vibaya kwa msimu huu. Ushindi huo n . . .
Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imemfungia miaka mitano kujihusisha na mpira wa miguu Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Mpira . . .
Mtoto King John Mseke (9) ambaye ni Mtoto wa Msanii Staa wa Hiphop Tanzania Joh Makini ( @JohMakiniTZ ), amewasili katika Academy ya Club ya Manchester City iliyopo Jijin . . .
Shirikisho la soka Duniani (FIFA) limethibitisha kuipatia Saudi Arabia haki za kuwa nchi mwenyeji wa Kombe la Dunia la FIFA la 2034 huku Uhispania, Ureno na Morocco wakit . . .
SERIKALI imesema inaangalia uwezakano wa kuwapa Simba na Yanga ndege moja kwa ajili ya kwenda nchini Algeria katika michezo yao ya Kimataifa ya hatua ya makundi ya Ligi y . . .
BINGWA mtetezi wa Ligi Kuu ya Kandanda Uingereza (Epl) Manchester City wamejikuta katika hali ambayo hawajazoea miaka ya hivi karibuni.Mechi ya Jumanne ya Kipute cha Klab . . .
SHIRIKISHO la Kandanda Duniani (FIFA), lilizindua rasmi muundo mpya wa ‘FIFA Club World Cup’ mnamo Novemba 14, 2024.Shirikisho hili linachukulia hii kuwa hatua kubwa . . .
Mwaka 2019 - Rais wa Shirikisho la Soka Ghana alimfukuza Kazi Kwesi Appiah na rasmi hakua tena kocha wa Ghana. Sababu ya kufukuzwa ilikua kutumia ‘Wachezaji wasiojulika . . .
YANGA imeanza mikakati ya kuimarisha safu yake ya ushambuliaji katika dirisha dogo la usajili litakalofunguliwa Desemba 15 mwaka huu ambapo jina la mshambuliaji Bayo Aziz . . .
Ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Ireland unamfanya kocha wa mpito wa Uingereza Lee Carsley kuendelea kufanya vyema katika kibarua chake tangu akabidhiwe kibarua . . .
Timu ya KMC imemtangaza kocha kali ongala kuwa kocha mpya wa timu hiyo baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha mkuu wa KMC FC Abdihamid Moalin.Timu ya KMC imemtangaza . . .
Mkuu wa PGMOL Howard Webb anasema beki wa Arsenal William Saliba alitolewa nje kwa kadi nyekundu ipasavyo dhidi ya Bournemouth. Maafisa wa Mechi Mic'd Up pia anazungumzia . . .
Baada ya YANGA kususia uwanja wa Azam Complex, na kutangaza kuhamia uwanja wa KMC Complex. CEO wa Azam, Abdulkarim Amin 'Popat' aliita kikao cha dharula kwa wafanyakazi w . . .
1.poor signing of players in two years Huu ni mfano namba Moja ambao mmefeli kwa kwa kiasi kikubwa coz sajili za wachezaji wengi kwa asilimia kubwa hazijalipa.2. Bad . . .
Makocha wa Simba SC na KMC wameongea na waandishi wa habari kuelekea mchezo utakaoziktanisha timu zao siku ya kesho Novemba 6 kwenye uwanja wa KMC Complex Mweng . . .
Mkurugenzi wa michezo wa Arsenal Mbrazil Edu Gaspar anatarajiwa kuondoka Arsenal baada ya kuwasilisha barua ya kuacha kazi kwenye Bodi ya Wakurugenzi wa klabu hiyo . . .
Kocha wa Liverpool Arne Slot ameweka wazi kuwa wanayo nafasi ya kushinda ubingwa wa mkombe yote ambayo timu yake inashiriki msimu huu wa 2024-2025. Slot ameyasema hayo al . . .
Kocha huyo anayefundisha Sporting Lisbon ambayo ni Mabingwa watetezi wa ligi ya Ureno na ndiyo vinara wa ligi hiyo msimu huu wa 20245-2025 ikiwa na alama 27, katika miche . . .
Stephen amewahi kushinda tuzo ya MVP mara mbili amekuwa na historia ya kuumia kifundo cha mguu wake mara kwa mara amefunga alama 18 huku . . .
Thomas Tuchel kocha wa zamani wa Chelsea ya England ametangazwa na FA ya nchi hiyo kuwa kocha wao mkuu baada ya Gareth Southgate kujiuzulu mwezi Julai 2024. Kikosi c . . .
Baada ya juzi uongozi wa Kagera Sugar kutangaza kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu, Paul Nkata, nyota wa zamani wa Simba na Yanga, Juma Kaseja  . . .
Ruth Chepngetich ameweka rekodi mpya Chicago marathon siku ya Jumapili Oktoba 13 baada ya kukimbia mbio ndefu kwa masaa mawili dakika 9 na sekunde 57. Chepngetich anakuwa . . .
Real Madrid ya Hispania imepania kumsajili mlinzi wa kati wa klabu ya Arsenal raia wa Ufaransa William Saliba ili kuimarisha safu yao ya ulinzi inayomtegemea zaidi Antoni . . .
Klabu ya Manchester City ya Uingereza Oktoba 7, 2024 imeshinda kesi yake dhidi ya Bodi ya Ligi Kuu nchini humo ya sheria ya matumizi ya fedha iliyokuwa inawahusisha wamil . . .
Tetesi za usajili barani Ulaya zinasema hatma ya kocha Erik ten Hag katika klabu ya Manchester United itaamuliwa wakati wa mkutano wa timu hiyo leo huku msaidizi wake, Ru . . .
Shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA), limetangaza wazi mpango wake wa kushughulikia ombi liliwakilishwa na Palestina kuifungia Israel kujihusisha katika mchezo wa . . .
Alikuwa mchezaji nguli wa NBA, na si kwa umbo tu. Dikembe Mutombo, mchezaji nguli wa mpira wa vikapu kwa misimu 18 katika NBA, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 58 s . . .