Msimamo wa Makundi Wazidi Kuchanganya vichwa Morocco

Michuano ya AFCON 2025 imeendelea kuwasha moto nchini Morocco na sasa picha ya nani anaweza kusonga mbele hatua ya 16 bora inaanza kuonekana kwa  baadhi ya vigogo wameonyesha ubabe huku timu nyingine zikibaki kupigania nafasi ya mwisho ya kuokoa heshima.

Na huu hapa ni muhtasari wa msimamo wa kila kundi:

 Group A

Morocco imeanza vizuri na kuendelea kuongoza kundi, ikifuatwa kwa karibu na Mali na Zambia ambao bado wana nafasi ya kusonga mbele.

1️⃣ Morocco — 4 pts
2️⃣ Mali — 2 pts
3️⃣ Zambia — 2 pts
4️⃣ Comoros — 1 pt

 Group B

Misri (Egypt) imeonesha ubora wake — pointi zote 6, ikionekana kuwa tayari kwa hatua ya mtoano.

1️⃣ Egypt — 6 pts
2️⃣ South Africa — 3 pts
3️⃣ Angola — 1 pt
4️⃣ Zimbabwe — 1 pt


Group C

Nigeria ipo kileleni baada ya kushinda michezo yake, huku Tanzania na Uganda zikibaki kupambana.

1️⃣ Nigeria — 6 pts
2️⃣ Tunisia — 3 pts
3️⃣ Tanzania — 1 pt
4️⃣ Uganda — 1 pt


Group D

Hili kundi lina ushindani mkubwa — Senegal na DR Congo ziko juu kwa pointi sawa.

1️⃣ Senegal — 4 pts
2️⃣ DR Congo — 4 pts
3️⃣ Benin — 3 pts
4️⃣ Botswana — 0 pts


Group E

Algeria tayari imejihakikishia 16 bora baada ya matokeo bora.

1️⃣ Algeria — 6 pts
2️⃣ Burkina Faso — 3 pts
3️⃣ Sudan — 3 pts
4️⃣ Equatorial Guinea — 0 pts


 Group F

Kundi hili limechanganya — timu tatu zina pointi sawa.

1️⃣ Ivory Coast — 3 pts
2️⃣ Cameroon — 3 pts
3️⃣ Mozambique — 3 pts
4️⃣ Gabon — 0 pts

#10YrsJembefm  #Familiamoja #AhsantekwaTime

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii