Ruth Chepngetich ameweka rekodi mpya Chicago marathon siku ya Jumapili Oktoba 13 baada ya kukimbia mbio ndefu kwa masaa mawili dakika 9 na sekunde 57. Chepngetich anakuwa . . .
Real Madrid ya Hispania imepania kumsajili mlinzi wa kati wa klabu ya Arsenal raia wa Ufaransa William Saliba ili kuimarisha safu yao ya ulinzi inayomtegemea zaidi Antoni . . .
Klabu ya Manchester City ya Uingereza Oktoba 7, 2024 imeshinda kesi yake dhidi ya Bodi ya Ligi Kuu nchini humo ya sheria ya matumizi ya fedha iliyokuwa inawahusisha wamil . . .
Tetesi za usajili barani Ulaya zinasema hatma ya kocha Erik ten Hag katika klabu ya Manchester United itaamuliwa wakati wa mkutano wa timu hiyo leo huku msaidizi wake, Ru . . .
Shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA), limetangaza wazi mpango wake wa kushughulikia ombi liliwakilishwa na Palestina kuifungia Israel kujihusisha katika mchezo wa . . .
Alikuwa mchezaji nguli wa NBA, na si kwa umbo tu. Dikembe Mutombo, mchezaji nguli wa mpira wa vikapu kwa misimu 18 katika NBA, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 58 s . . .
Klabu ya Real Madrid imetangaza kuwa mshambuliaji wake nyota wa kimataifa wa Ufaransa, Kylian Mbappe amepata majeraha na atakuwa nje kwa muda wa wiki tatu.Taarifa iliyoto . . .
Klabu ya Real Madrid imetangaza kuwa mshambuliaji wake nyota wa kimataifa wa Ufaransa, Kylian Mbappe amepata majeraha na atakuwa nje kwa muda wa wiki tatu.Taarifa iliyoto . . .
Robert Lewandowski na Raphinha wote walifunga mara mbili na kusaidia Barcelona kuwalaza Villarreal 5-1 siku ya Jumapili.Barcelona walipata kipigo chao cha kwanza msimu hu . . .
KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga SC Stephane Aziz Ki ameamua kubeba jukumu zito la kuwapa furaha mashabiki katika dakika 90 za mchezo wa mkondo wa pili wa hatua ya awali . . .
Waamuzi na Majaji 26 kutoka Tanzania wamefaulu mafunzo ya Kimataifa ya Waamuzi na Majaji wa Dunia wa IBA Nyota moja, mafunzo yalifanyika katika Chuo cha taaluma ya Polisi . . .
Jamie Gittens alifunga mabao mawili Borussia Dortmund ilipofungua kampeni ya Ligi ya Mabingwa kwa ushindi wa 3-0 ugenini dhidi ya Club Brugge.Serhou Guirassy aliongeza pe . . .
Man United ambayo kwa sasa inashika nafasi ya 14, katika mechi tatu za mwanzo za EPL imeshinda moja na kupoteza mbili.Kutokana na kuanza vibaya, wachambuzi na mashabiki w . . .
Wadau wa soka Tanzania wamejiandaa vilivyo kwa ajili ya raundi ya pili ya mechi za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) wikendi hii, kwa hisani ya Guinness, Bia Rasmi na Bia Rasmi . . .
Klabu ya Fountain Gates yenye makao makuu mkoani Manyara imejipanga vyema kuelekea msimu huu baada ya kukamilisha sajili za wachezaji wake wote itakaowatumia. Fountain Ga . . .
Klabu za Manchester United na Manchester city zitavaana hapo Kesho kwenye mchezo wa fainali wa kombe la ngao ya jamii kwa msimu wa 31 tangu kuanzishwa kwa mashindano hayo . . .
Leo katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikiwa ni siku ya hukumu katika kesi ya Yanga na Juma Ally Magoma ikumbukwe kwamba siku ya Jumatano ndiyo ilipangwa kesi hiyo ku . . .
WINGA wa Simba Mwenye Udambwi Udambwi Willy Onana, licha ya kulamba mkwanja mrefu akijiunga na Muaither SC ya Qatar msimu ujao, atacheza Ligi Daraja la Kwanza baada . . .
Raisi wa Heshima na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi Simba bilionea Mohammed Dewji ametangaza kamati mpya ya mashindano kuelekea msimu mpya wa 2024/25. Mohammed De . . .
Klabu ya Simba Sc imemtangaza nyanda Moussa Pinpin Camara kama mchezaji mpyaKlabu ya Simba Sc imemtangaza nyanda Moussa Pinpin Camara kama mchezaji mpyaKlabu ya Simba ime . . .
Baada ya Yanga kuichapa mabao 4-0 Kaizer Cheif ya Sauzi, Mabosi wa kikosi hicho wameshtuka na kuanza hesabu kali za usajili, huku kocha akiwataka kuboresha maeneo matatu. . . .
Klabu ya chelsea imefanikiwa kumnasa golikipa Filip Jorgensen kutoka Villareal ya hispania kwa ada ya euro milioni 20.7 . Golikipa huyo aliicheza mechi 36 kwa msimu uliop . . .
Shirikisho la soka duniani FIFA linachunguza video inayoonyesha wachezaji wa timu ya taifa ya Argentina wakiimba nyimbo kuhusu wachezaji wa Ufaransa zilizotafsiriwa na sh . . .
Klabu ya Young Africans Sc imeibuka bingwa wa kombe la Safari Cup baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Safari Champions katika dimba la Benjamin Mkapa. . . .
Ligi ya Afrika Kusini inafanya vyema na ni moja kati ya ligi bora barani Afrika lakini Sielewi kwanini timu yao ya taifa sio nzuri ”“Wasimamizi wanatakiwa kukaa na ku . . .
Nyota wa klabu ya Manchester City, Kevin De Bruyne yupo tayari kupunguza nusu ya mshahara wake ili acheze misimu miwili au mitatu Real Madrid.Nyota huyo raia wa Ubelgiji . . .
Inaelezwa kuwa juma mgunda yupo mbioni kurejea Coastal Union kwa nia ya kwenda kuiongezea nguvu timu hiyo itakayoshiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika. Ina . . .
Mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mfanyabiashara Mohamed Dewji ameripotiwa kutoa shinikizo la kujiuzulu nafasi zao kwa wajumbe wote aliowateua yeye ambapo mpaka sasa wajumbe w . . .
Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo Barbara Gonzalez amekubali kurudi ndani ya klabu hiyo.Makubaliano baina ya pande zote mbili, yaani Bodi ya Wakurungenzi n . . .
Winga wa Ufaransa, Kylian Mbappe amekamilisha taratibu zote za usajili za kujiunga na Real Madrid akitokea PSG.Kwa mujibu wa ripoti, Mbappe atakuwa akilipwa mshahara wa . . .
KIKOSI Cha Tanzania Kilichoitwa vs Zambia Kufuzu Kombe la DuniaNi kesho ligi inatamatika huku ni Yanga vs Tz prison kule ni Simba vs Jkt tanzania usikose kuzitazama mechi . . .
WAGOSI wa Kaya, Coastal Union wamejihakikisha nafasi ya kushiriki michuano ya kimataifa msimu ujao baada ya leo kukata tiketi ya CAF kwa kutoka suluhu na JKT Tanzania kwe . . .
Klabu ya Arsenal inahusishwa na mpango wa kumsajili Mshambuliaji kutoka nchini Uholanzi na Klabu ya Bologna ya Italia Joshua Orobosa Zirkzee.Siri ya mpango wa usajili wa . . .