Kama wasemavyo kila hatua mixx ndivyo mtandao unaoongoza Tanzania nzima kwa 4G na 5G iliyoenea kila kona wamefanikiwa kuigusa kila hatua ya mshiriki katika mbi . . .
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya timu ya taifa ya Zambia.Mchezo huo ni maalumu kwa ajili ya kuwania kufuzu Kom . . .
Klabu ya Simba Sc imemtambulisha kocha Dimitri Pantev kama meneja wa timu hiyo huku vyanzo vikieleza kocha mkuu wa Wekundu hao wa Msimbazi atakuwa Selemani Matola kwenye . . .
Klabu ya Dodoma Jiji FC imepigwa faini ya jumla ya Shilingi milioni 15 za Kitanzania na Bodi ya Ligi Kuu baada ya kushiriki michezo mitatu bila kuwa na kocha mkuu mw . . .
Kocha wa Manchester United, Rúben Amorim, yuko katika hatihati ya kufutwa kazi yuko katika hatihati ya kufutwa kazi endapo kikosi chake kitashindwa kupata ushindi d . . .
WAKATI timu ya Yanga SC ikiwa ugenini kwenye Uwanja wa Sokoine Mbeya katika maandalizi ya mchezo dhidi ya Mbeya City, Kocha Mkuu wa Yanga, Romain Folz, amewataka wanacham . . .
KOCHA wa muda wa Simba, Hemed Suleiman 'Morocco' amesema haikuwa rahisi kuvuka mechi ya raundi ya kwanza kwa timu hiyo, kwani ilikuwa inacheza kwenye mazingira magumu kut . . .
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) imetoa adhabu kwa Chama cha Soka cha Afrika Kusini (SAFA) baada ya kubainika kumchezesha Teboho Mokoena, mchezaji a . . .
Shirikisho la soka duniani, FIFA, limemchagua mwamuzi wa Tanzania, Ahmed Arajiga, kuchezesha mchezo muhimu wa kufuzu Kombe la Dunia 2026, kati ya Cape Verde na Eswatini!M . . .
Liverpool na Manchester United wanatazamiwa kushindania usajili wa pauni milioni 65 wa mlinzi wa Everton mwenye umri wa miaka 23 wa Uingereza Jarrad Branthwaite. (Mirror) . . .
Klabu ya Simba SC haitaruhusiwa kuwa na mashabiki kwenye mchezo wake wa pili dhidi ya Gaborone United baada ya CAF kukataa rufaa yao ya kupinga adhabu ya kucheza bila mas . . .
Kampuni ya Kitanzania ya JUSTFIT ( @justfitsportsgear ) inayojihusisha na uuzaji na utengenezaji wa vifaa vya michezo Septemba 22 mwaka huu kwa kushirikiana na Bodi ya Li . . .
Staa wa Timu ya Taifa ya Ufaransa na Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG), Ousmane Dembélé, ameshinda Tuzo ya Ballon d’Or ya 2025, akiwashinda wachezaji maarufu kama La . . .
Klabu ya Simba SC imefanya uteuzi rasmi wa kocha Hemed Suleiman ‘Morocco’ kuwa kocha mkuu wa muda wa timu hiyo. Hemed Morocco, ambaye pia ni kocha wa timu ya taifa ya . . .
Kocha wa Simba SC, Fadlu Davids, ameaga rasmi klabu hiyo akieleza hisia zake nzito baada ya muda wake kumalizika Msimbazi.Katika ujumbe wake wa kuaga, Davids amesema tang . . .
Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Bi. Neema Msitha, ameongoza mapokezi ya Mwanariadha Sajini Alphonce Simbu ambaye ni Bingwa wa mbio za Dunia kwa Wanau . . .
Mshambulizi wa Paris Saint-Germain, raia wa Ufaransa, Ousmane Dembele, ameshinda tuzo ya Ballon d'Or 2025 usiku wa Jumatatu, akimshinda Lamine Yamal wa Barcelona (Mchezaj . . .
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) ameipongeza timu ya michezo ya Wizara ya Maji (Maji Sport) kwa ushindi walioupata katika Mashindano ya Shirikisho la Michezo la Wizar . . .
Klabu ya Chelsea imefufua tena azma ya kumsajili kipa wa Ufaransa na AC Milan Mike Maignan, 30, na huenda ikamjumuisha kwenye orodha ya uhamisho katika dirisha lijalo la . . .
Kipyenga cha mashindano ya ngazi ya klabu barani Afrika kimepulizwa wiki hii na leo ni zamu ya mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga, ambao watashuka dimbani kuanza safari yao . . .
Kikosi cha Mnyama wa Afrika Mashariki, Simba SC, kimewasili nchini Botswana kwaajili ya mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) dhidi y . . .
JOTO la Kariakoo Dabi linazidi kupanda kwa kasi ambapo watani hawa wa jadi wanatarajiwa kukutana Uwanja wa Mkapa, leo Septemba 16 2025 katika mchezo wa fainali.Ofisa Haba . . .
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa Ngao ya Jamii utakaowakutanisha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC, dhidi ya watani wao wa . . .
Kwa miaka mingi, Tanzania imekuwa ikikumbukwa kupitia mashujaa wake wa riadha kama Filbert Bayi, aliyewahi kuvunja rekodi ya dunia na kushinda medali ya fedha Olimpiki, n . . .
Ikiwa kesho macho yote yataelekezwa kwenye Uwanja wa Taifa, ambapo watani wa jadi Simba SC na Young Africans SC watakutana katika Ngao ya Jamii, mchezo unaozindua msimu m . . .
Mwananchi day ni tamasha la vibe duniani ndani ya uwanja wa Mkapa leo ni vibe kama lote, na tayali mashabiki wa Yanga SC washaanza kuingia uwanjani kwaajili ya kuifurahia . . .
Umoja wa Vyama vya Mpira wa Miguu Ulaya (UEFA) umelainisha kanuni yake ya usajili kwa timu zinazoshiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya, uamuzi ambao unaweza kupokelewa kwa hisia . . .
Kamati ya Utendaji ya Umoja wa Vyama vya Mpira wa Miguu Ulaya (UEFA) imeamua Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu wa 2025/2026 itachezwa katika Uwanja wa Puskas Arena, . . .
Kocha Mkuu wa Simba Fadlu Davids amepongeza kiwango cha wachezaji wake baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia katika tamasha la 17 la Simba Day lilil . . .
Safari ya mafanikio huanza kwa kuituma kwa kile ambacho unakifanya kwenye maisha yako ya kila siku. Hapa Afrika kuna wachezaji wengi ambao wamefanya mengi na hata kushiki . . .
Mwaka mmoja tangu kuteuliwa kuongoza Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, bilionea na mwekezaji wa klabu hiyo, Mohammed Dewji (MO), ametangaza kujiondoa katika nafasi hiyo na . . .
Klabu ya Simba imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC na michuano ya kimataifa kwa kutambulisha rasmi usajili wa beki wa kati Wilson Na . . .
Serikali imetoa wito kwa klabu kongwe za Simba SC na Yanga SC, ambazo kwa sasa hutumia Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, kuhakikisha zinakuwa na viwanja mbad . . .