logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Afrika
  • Na Asha Business
  • May 13, 2024

Uchaguzi wa urais nchini Chad: Chama cha Les Transformateurs chakata rufaa

Siku tatu baada ya kutangazwa kwa matokeo rasmi ya muda ya uchaguzi wa urais wa Chad na ushindi katika duru ya kwanza ya rais wa mpito, Mahamat Idriss Déby, Waziri Mkuu Succès Masra, ambaye pia anad . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 10, 2024

Tume ya uchaguzi Chad yasema Mahamat Idriss Deby alishinda uchaguzi wa rais

Tume ya uchaguzi huko Chad lilisema Alhamisi kuwa Rais wa mpito Mahamat Idriss Deby alishinda uchaguzi wa urais wa Mei 6 kwa zaidi ya asilimia  61 ya kura, likitaja matokeo ya muda, wakati pia mp . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 6, 2024

Togo: Chama tawala chapata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa bunge

Chama tawala cha Rais wa Togo Faure Gnassingbe kimepata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa bunge, maafisa wamesema, na kumruhusu kiongozi huyo wa muda mrefu kuimarisha mamlaka yake chini ya mabada . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 3, 2024

Uchaguzi nchini Togo: Kambi ya rais yaridhika, upinzani watangaza kukata rufaa

Wakati mwelekeo na matokeo ya uchaguzi wa Aprili 29 nchini Togo yakitangazwa, upinzani na hasa Chama cha Dynamics for the Majority of the People (DMP) kinaendelea kushtumu ubadhirifu uliojitokeza kati . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 12, 2024

Raia wanaendelea kusubiri kuundwa kwa serikali mpya

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ni siku kumi baada ya kuteuliwa kwa Judith Suminwa kuwa Waziri Mkuu, mwanamke wa kwanza katika historia ya nchi hiyo kushika nafasi hiyo, bado hajakabidh . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 11, 2024

Upinzani washinda uchaguzi wa bunge nchini Korea Kusini

Vyama vya upinzani vya kiliberali vya Korea Kusini vimepata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa bunge uliofanyika siku ya Jumatano. Waziri Mkuu wa nchi hiyo Han Duck-Soo tayari ameelezea dhamira ya . . .

afrika mashariki
  • Na Asha Business
  • April 1, 2024

Vyama viwili vikongwe vyatangaza kumuunga mkono rais Kagame

Vyama viwili vikongwe nchini Rwanda, Liberal na Social Democratic, mwishoni mwa juma vimetangaza kuwa vitamuunga mkono mgombea wa chama tawala cha Rwanda Patriotic Front, Paul Kagame, katika uchaguzi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 28, 2024

Wagombea 10 wa urais nchini Chad waandamana baada ya fomu zao kupingwa

Wagombea 10, wakiwemo wapinzani wawili wakali wa utawala wa kijeshi wa Chad, Jumatano waliandamana baada ya kuzuiliwa kushiriki kwenye uchaguzi wa rais wa tarehe 6 Mei.Mahakama ya Katiba mjini N’Dja . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 25, 2024

Mgombea wa Upinzani aukaribia ushindi Senegal

Mgombea wa upinzani nchini Senegal, Bassirou Diomaye Faye anaongoza katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais, ambao ulifanyika baada ya miaka kadhaa ya ghasia na mzozo wa kisiasa.Mshindi wa uchaguz . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 26, 2024

Rais wa Belarus kuwania tena urais 2025

Lukashenko alitoa matamshi hayo baada ya kupiga kura katika uchaguzi wa bunge na madiwani, uliokosolewa na Marekani kuwa upuuzi.Afisa mkuu anayesimamia uchaguzi katika taifa hilo la zamani la Kisoviet . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 23, 2024

Siri yafichuka CHADEMA

Siri yafichuka CHADEMA Kukodisha Waandamanaji Mwanza / Mwenezi CCM Mwanza Atoboa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 21, 2024

Baraza la Katiba Senegal lachapisha orodha mpya ya wagombea

Baraza la Katiba la Senegal limechapisha orodha iliyorekebishwa ya wagombea wa uchaguzi wa rais uliocheleweshwa kutoka Februari 25 hadi tarehe ambayo haijatangazwa.Baraza hilo wiki iliyopita lilibatil . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • February 20, 2024

WANACHAMA WA CHADEMA MBEYA WAKO TAYARI KWA MAANDAMANO

Wanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoani Mbeya tayari wanejikusanya maoneo ya Mbalizi mkoani humo wapo tayari kuanza maandamano. Maandamano hayo ambayo yataongozwa na Mwenyekiti F . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • February 16, 2024

Kura ya kuahirisha uchaguzi yafutwa Senegal

Baraza la Katiba la Senegal, limebatilisha tangazo la kuchelewesha uchaguzi wa rais, uliokuwa ufanyike mwezi huu likisema kura ya Bunge ilikuwa kinyume na katiba likidai muswada uliopitishwa ulikuwa k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • February 7, 2024

Wabunge watatu wa upinzani wakamatwa Senegal

Wabunge watatu wa upinzani wamekamatwa nchini Senegal, huku kukiwa na mzozo mkali wa kisiasa.Mvutano huo ni kufuatia hatua ya Bunge kupiga kura hapo jana na kuahirisha uchaguzi wa urais hadi Disemba 1 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 19, 2024

Karim Wade akana uria wake wa Ufaransa ili kugombea Urais wa Senegal

Karim Wade, mtoto wa kiume wa aliyekuwa rais wa Senegal na pia kiongozi wa kisiasa mwenye nguvu nchini humo, amekana uraia wa Ufaransa ili kuweza kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu mwezi ujao.Wade am . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 17, 2024

Trump aelekeza macho kwenye uchaguzi wa New Hampshire, baada ya kushinda Iowa

Kufuatia Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump kuibuka mshindi  Jumatatu usiku kwenye uchaguzi wa mapema wa kuidhinisha mgombea urais wa Repablikan, kwa kujipatia asilimia 51 ya kura zilizopigw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 15, 2024

Upinzani wa Comoros walalamikia uchaguzi wa Jumapili

Uchaguzi wa Comoros imefanyika Jumapili, ukitarajiwa kutoa ushindi kwa wa muhula wa nne wa miaka 5 kwa Rais Azari Assoumani.Uchaguzi huo imefanyika wakati wapinzani wake watano wakidai ulijawa na udan . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • January 7, 2024

Tume Ya Uchaguzi Ya DRC Yafuta Kura Za Baadhi Ya Wagombea Wa Ubunge Na Udiwani

Tume ya uchaguzi ya Congo imesema kwamba imefuta kura zilizopigiwa wagombea 82 kati ya 101,000 waliowania viti vya bunge na udiwani, kwenye uchaguzi mkuu uliyofanyika Desemba.Hatua hiyo ni kutokana na . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • January 4, 2024

Trump akata rufaa kuondolewa kwenye karatasi ya kura ya Colorado

Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, Jumatano aliiomba Mahakama ya Juu ya Marekani kubatilisha uamuzi wa kuzuia ugombea wake katika jimbo la Colorado, na kuanzisha mzozo wa hali ya juu kuhusu iwa . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • January 2, 2024

Kinana Awasili Ruangwa, Kuwa Mgeni Rasmi Mkutano Wa CCM Wa Wilaya

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewasili wilayani Ruangwa kwa ziara ya kikazi ambapo pamoja na mambo mengine, atakuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Chama wa wi . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 28, 2023

Polisi DRC wamezuia maandamano yaliyoitishwa na upinzani nchini humo

Polisi mjini Kinshasa walizingira makao makuu ya Martin Fayulu, mmoja wa wapinzani watano wa Rais Felix Tshisekedi wa DRCWatu kadhaa wamejeruhiwa katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo si . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 26, 2023

Tshisekedi aongoza matokeo ya awali uchagzi DR Kongo

Tume ya Uchaguzi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, CENI, imetoa matokeo zaidi ya awali ya uchaguzi wa rais, yakionesha rais Felix Tshisekedi anaongoza kwa mbali, akifuatiwa na mfanyabiashara Mo . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 22, 2023

Warepublikan Walalamikia Uamuzi Wa Colorado Kuondoa Jina La Trump

Warepublikan kote Marekani, wamelalamika uamuzi wa mahakama kuu ya Colorado, wa kuondoa jina la rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, katika karatasi ya kura ya uchaguzi wa awali wa Republikan wa . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • December 21, 2023

Mtoto wa Shetta achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi CCM Taifa

Mtoto wa Msanii wa Bongo Fleva Shetta, Qailah Nurdin Bilal amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkutano wa 9 wa Chipukizi Taifa uliofanyika katika uk . . .

Kurasa 4 ya 13

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Top Stories
news
  • 3 masaa yaliopita

Watu 35 mbaloni kwa uuzaji wa mafuta ya dizeli na petroli kiholela.

Top Stories
news
  • 3 masaa yaliopita

Orodha ya Nchi 71 ambazo hazihitaji Viza kuingia nchini Tanzania

Top Stories
news
  • 4 masaa yaliopita

TANESCO watakiwa kuelekeza kasi ya ukarabati wa miundombinu ya umeme vijijini

Top Stories
news
  • 4 masaa yaliopita

Raia wa nchini 71 warahisishiwa viza kuingia nchini Tanzania

Top Stories
news
  • 5 masaa yaliopita

Dkt, Ndumbaro amazitaka sheria zifuatwe kipindi cha kampeni za uchaguzi

Top Stories
news
  • 5 masaa yaliopita

TARATIBU ZA KUFUTA AU KUSITISHA UFANYAJI KAZI WA JUMUIYA AU TAASISI YA KIDINI

Matukio
news
  • jana

Kijana Afariki Dunia: Ajinyonga Kwa Kutumia Manda Wa Suruali

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Watu 35 mbaloni kwa uuzaji wa mafuta ya dizeli na petroli kiholela.

    • 3 masaa yaliopita
  • Orodha ya Nchi 71 ambazo hazihitaji Viza kuingia nchini Tanzania

    • 3 masaa yaliopita
  • Dickson Job kimeeleweka Yanga, Apewa Miaka Miwili

    • 3 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode