logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • June 26, 2025

Mahakama ya Afrika leo kutoa hukumu ya uchaguzi mkuu 2020

Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu, leo Alhamisi, Juni 26, 2025 inatarajiwa kutoa hukumu za mashauri mawili yaliyofunguliwa na raia wa Tanzania – wakiwemo viongozi wa vyama vya upinzani, . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

Serikali Kenya yapiga marufuku kurusha Live matangazo ya Gen Z

MAMLAKA ya Mawasiliano nchini Kenya (CAK) imevitaka vyombo vya habari nchini humo kusitisha matangazo ya moja kwa moja ya maandamano yaliyofanyika jijini Nairobi, ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu ya mwak . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

Iran yateketeza adhabu ya kuwanyonga majasusi watatu wa Israel

Iran imetekeleza adhabu ya kuwanyonga majasusi watatu wa Israel waliokuwa wakitumikia kifungo katika Gereza la Urmia Mkoa wa Azerbaijan Magharibi nchini humo, huku Serikali ikitangaza kufanya msako na . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 25, 2025

China kuendelea kununua mafuta Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa China inaweza kuendelea kununua mafuta ya Iran baada ya Israel na Iran kukubaliana kusitisha mapigano,hatua ambayo Ikulu ya White House ilifafanua kuwa ni ku . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • June 24, 2025

Mwigulu atoa utofauti wa deni la Serikali na deni la Taifa

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka wananchi kutopata hofu kuhusu deni la Taifa pale linapotangazwa, kwani deni hilo lina sehemu kubwa inayoenda kwenye upande wa kampuni binafsi na wala si . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 24, 2025

Kesi ya CHADEMA yapigwa kalenda hadi Julai 10

Kesi iliyofunguliwa na Wajumbe wa Bodi ya Wadhamini wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kutoka Zanzibar, imepangwa kusikilizwa Julai 10 mwaka huu katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 24, 2025

Museveni kugombea tena urais mwakani

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni atawania kuchaguliwa tena kwa muhula mwingine wa uchaguzi unaotarajiwa mapema mwaka ujao ili kuongeza utawala wake wa takriban miongo minne, kulingana na afisa mkuu kut . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Tehran yatishia kushambulia nchi yoyote itakayotumiwa na majeshi ya Marekani kuishambulia Iran.

Mshauri wa Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameahidi kwamba kambi zinazotumiwa na majeshi ya Marekani kufanya mashambulizi dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran, pamoja na nchi zinazoyahifad . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Rais wa Sierra Leone achaguliwa kuwa rais wa ECOWAS

Rais wa Sierra Leone, Julius Maada Bio, amechaguliwa kuwa Rais wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS)  Juni 22, wakati wa mkutano wa kawaida wa wakuu wa nchi uliofanyika Abuj . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Wanajeshi 7 Uganda kikosi cha UN wauawa Somalia

Takriban wanajeshi saba wa Uganda wameuawa nchini Somalia. Hayo yameelezwa na msemaji wa jeshi la nchi hiyo ya Afrika Mashariki Felix Kulayigye.Wanajeshi hao walikuwa sehemu ya Kikosi cha Umoja wa Mat . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 23, 2025

Iran imelaani vikali hatua ya Marekani imevuka "mstari mwekundu"

Iran imelaani vikali hatua ya Marekani na kusema imevuka "mstari mwekundu" kwa kushambulia siku ya Jumapili vinu vyake vitatu vya nyuklia vya Fordo, Isfahan na Natanz.Balozi wa Iran katika Umoja wa Ma . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 22, 2025

CHADEMA bado wanayo nafasi kutia saini kanuni za maadili

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeelezwa kuwa bado kina nafasi ya kutia saini kanuni za maadili ya uchaguzi ili kipate fursa ya kushiriki uchaguzi.Akizungumza katika Kongamano la Sheria . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 21, 2025

Maelfu ya Wairan waandamana kuipinga Israel

Maelfu ya watu katika mji mkuu wa Iran, Tehran wameandamana kuipinga Israel baada ya sala ya ijumaa huku waandamaji hao wameto Kuli za kuwaunga mkono viongozi waoMaelfu ya watu katika mji mkuu wa  . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 21, 2025

Israel yafanya vizuri kwenye Vita kuliko Iran

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa kwasasa Israel inafanya vizuri katika masuala ya vita ukilinganisha na Iran ambayo inafanya vizuri kidogo. Kauli ya Donald Trump inafutatia baada ya kutoa . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Mradi wa maji Butimba jijini Mwanza wazinduliwa rasmi leo juni 20

Rais Samia Suluhu Hassan amezindua Mradi wa Maji na kituo cha kutibu maji Butimba jijini Mwanza. Samia amezindua mradi huo  Juni 20, 2025 ikiwa ni mwendelezo na ziara yake ya kikazi katika mikoa . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Rwanda na DRC wameafikiana makubaliano ya awali ya amani

Hatua mpya ya amani yaanza kuchomoza Mashariki mwa Kongo, huku Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo zikitia saini makubaliano ya awali yanayolenga kumaliza vita vya muda mrefu. Nchi hizo zi . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Wanauchumi wafafanua kuhusiana na athari za mgogoro wa Israel na Iran

WACHAMBUZI wa masuala ya uchumi wamesema mgogoro kati ya Israel na Iran unaoendelea unaweza kuleta athari za kuongezeka kwa mfumiko wa bei za bidhaa muhimu na mafuta.Wakizungumza hapo juni 19  wa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Niger yataifisha hisa za kampuni ya Uranium ya Ufaransa

Serikali kijeshi ya Niger, imetangaza mipango ya kuitaifisha kampuni ya Orano, inayomilikiwa na serikali ya UfaransaKampuni hiyo inamiliki asilimia 63 ya hisa za kampuni kubwa ya Somair ya kuchimba ma . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 20, 2025

Umoja wa Ulaya kukutana mezani leo na Iran

Mawaziri wa Ulaya wanatarajia kukutana leo kuishawishi Iran irudi kwenye meza ya mazungumzo Mawaziri hao wa Mambo ya nje watakutana na mwenzao wa Iran Abbas Araghchi mjini Geneva, Uswis leo Ijumaa, kw . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • June 19, 2025

Putin awaonya Ujerumani kuwapatia Ukraine makombora ya Taurus

Rais Vladimir Putin wa Urusi ameionya Ujerumani kuhusiana na mipango yake ya kuipatia Ukraine makombora ya masafa aina ya Taurus. Amesema Moscow itaizingatia hatua hiyo kuwa ni kuhusika moja kwa moja . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • June 18, 2025

Umoja wa Afrika kuthamini maandalizi ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania utakaofanyika Oktoba 2025

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amekutana na Misheni Maalum ya Umoja wa Afrika ya Kutathmini Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, na kuahidi kuwa uchaguzi huo utafanyika kwa haki, uhuru na amani.M . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • June 18, 2025

Umoja wa Afrika kutathimini maandalizi ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania utakaofanyika Oktoba 2025

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amekutana na Misheni Maalum ya Umoja wa Afrika ya Kutathmini Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, na kuahidi kuwa uchaguzi huo utafanyika kwa haki, uhuru na amani.M . . .

Bungeni
  • Na Jembe Digital
  • June 17, 2025

Serikali kuongeza posho kwa wenyeviti wa vijiji kutoka 100,000% hadi laki 300,000%

Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo ameibua hoja nzito kuhusu malipo na maslahi ya wenyeviti wa serikali za mitaa akisema kundi hilo limekuwa likipuuzwa licha ya kuwa nguzo muhimu ya utawala wa karibu . . .

Mahakamani
  • Na Jembe Digital
  • June 16, 2025

KESI YA LISSU KUSIKILIZWA TENA JULAI MOSI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu hadi Julai 1, 2025 kwa ajili ya kusubiri Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kupitia jalada la kesi h . . .

Top Story
  • Na Jembe Digital
  • June 13, 2025

George Mcheche ateuliwa na Rais kuwa jaji mkuu wa Mahakama ya Tanzania

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania. Masaju ambaye amechukua nafasi ya Prof. Ibrahim Hamis Juma ambaye amestaafu . . .

Kurasa 4 ya 17

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Top Stories
news
  • December 24, 2025

Miaka kumi ya Jembefm

Matukio
news
  • December 22, 2025

Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

Matukio
news
  • December 18, 2025

Polisi Morogoro wachunguza kifo dada wa kazi, magari kuchomwa moto Mvomero

Matukio
news
  • December 17, 2025

Mvua kubwa yaezua paa la nyumba Mtwara

Matukio
news
  • December 17, 2025

Maafisa uhamiaji 3 wahukumiwa kunyongwa mpaka kufa

Matukio
news
  • December 17, 2025

Uzembe ndiyo chanzo cha ajali iliyoua 5 Songwe

Matukio
news
  • December 16, 2025

RC Mhita akagua athari za mvua Shinyanga

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Yanga Yatangaza wito wa EOI Ujenzi wa Uwanja wa Kisasa Jijini Dar

    • 13 masaa yaliopita
  • Magari mabovu marufuku kubeba wanafunzi

    • 13 masaa yaliopita
  • Hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kisa mafuriko

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode