logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • April 26, 2022

Shaka "Tutalinda dola kwa kufanya haya"

Dar es Salaam. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wanachama wake kuhakikisha wanalinda dola kwa kufanya kazi na kutekeleza Ilani na ahadi zote wakati wa uchaguzi.Kimesema kuwa wananchi ambao ndi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 25, 2022

Macron ashinda uchaguzi wa rais Ufaransa

Wapiga kura nchini Ufaransa jana wamempa ushindi Emmanuel Macron wa muhula wa pili madarakani katika uchaguzi wa rais baada ya mpinzani wake wa siasa kali za mrengo wa kushoto Marine Le Pen kushin . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 24, 2022

Ufaransa kumchagua rais wake mpya katika duru ya pili

Mamilioni ya wapiga kura nchini Ufaransa, wanapiga kura Jumapili hii Aprili 24, kumchagua rais katika duru ya pili ya uchaguzi, unaowakutanisha rais Emmanuel Macron na mwanasiasa wa siasa za mreng . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Lusinde awacharukia Zitto na wanaomnanga Magufuli

Mbunge wa Mvumi (CCM), Livingstone Lusinde amemshukia Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na watu wanaomsema vibaya Rais wa Awamu ya Tano, Hayati John Magufuli na kumsema vizuri Rais Samia Sul . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • April 22, 2022

Mbunge ahoji wateule wa Rais kuwaondoa watumishi waliowakuta

Mbunge wa Kilindi (CCM), Omary Kigua ameitaka Serikali kutoa vibali vya ajira kwa wateule wa Rais wanaowaondoa watumishi waliowakuta katika taasisi wanazopangiwa kuongoza.Kigua ameyasema hayo leo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 18, 2022

Kampeni za uchaguzi zaendelea kuelekea duru ya pili ya uchaguzi wa urais

Nchini Ufaransa, wagombea wawili kwenye kiti cha urais, rais anayemaliza muda wake Emmanuel Macron na Marine Le Pen wameingia katika wiki ya mwisho ya kampeni kuelekea d . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 15, 2022

Rais wa zamani wa Ufaransa Francois Hollande aomba Wafaransa kumpigia kura Emmanuel Macron.

Rais wa zamani wa Ufaransa wa siasa za Kisocialist Francois Hollande Alhamisi ametoa wito kwa wapiga kura kumuunga mkono Emmanuel Macron katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais tarehe 24 Aprili. . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 15, 2022

Wabunge wa Somalia waapa

Wabunge wa Somalia wamekula kiapo chao kuanza kazi ikiwa ni hatua muhimu kulekea katika uchaguzi wa kiongozi mpya wa taifa hilo, hatua ambayo imekuwa ikicheleweshwa kwa miezi kadhaa iliyogubikwa m . . .

Bungeni
  • Na JZ The Brand
  • April 14, 2022

Serikali yatoa waraka wa masharti watumishi kuishi na wenza wao

Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Zainabu Katimba amehoji juu ya waajiri wasiotoa fursa kwa watumishi wao kufanya kazi wakiwa karibu na wenza wao.Katimba amehoji suala hilo leo Alhamisi Aprili 14, 2022 . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 12, 2022

Maafisa wa zamani wa chama kilichopigwa marufuku PKK wakamatwa nchini Uturuki

Mamlaka nchini Uturuki zimewakamata na kuwashikilia watu 46 wakiwemo maafisa wa zamani wa chama cha kisiasa kinachounga mkono harakati za wakurdi-PKK,ambao wanashukiwa kuwa na mafungamano ya kuwas . . .

Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • April 12, 2022

Zelensky aomba kuhutubia AU kuhusu uvamizi wa Urusi

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amewasiliana na Umoja wa Afrika (AU) ili kuunga mkono uvamizi wa Urusi na kuomba kulihutubia shirika la bara hilo. Bw Zelensky alimpigia simu Rais wa Senegal . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 11, 2022

Bunge la Pakistan kumchagua waziri mkuu mpya baada ya kura ya kutokuwa na imani na Imran Khan.

Pakistan leo Jumatatu inapiga kura kumchagua kiongozi wa upinzani Shehbaz Sharif kama waziri mkuu mpya wa nchi hiyo, siku moja baada ya bunge la taifa kupiga kura ya kutokuwa na imani na waziri . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • April 7, 2022

Vyama 8 vya Siasa Vyatishia Kujiondoa Azimio.

Vyama vinane vya kisiasa vimetishia kuondoka katika muungano mpya uliobuniwa karibuni wa Azimio la Umoja One Kenya ambao unaunga mkono urais wa kiongozi wa ODM Raila Odinga.Katika taarifa ya Jumatano, . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Nahodha aapishwa

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Dk Tulia Akson amemwapisha Mbunge wa kuteuliwa, Shamsi Vuai Nahodha kushika wadhifa huo leo Aprili 5 jijini Dodoma.Nahodha ameapishwa kuwa mbunge kufuatia ut . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • April 5, 2022

Tanzania ina upungufu wa vituo vya polisi 470

Serikali imewaomba wabunge, wananchi na wadau kushirikiana katika ujenzi wa vituo vya polisi kwa kuwa ina uhitaji wa vituo vya polisi daraja B, 470Wito huo umetolewa leo, Aprili 5, 2022 na Wazi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • April 3, 2022

Raia wa Hungary wanapiga kura kumchagua Waziri Mkuu

Wapiga kura nchini Hungary leo wanapiga kura huku wakikabiliwa na kibarua kizito cha kuchagua muungano wa vyama vya upinzani wenye sura ya kimagharibi, au kuendeleza utawala wa waziri mkuu mwenye . . .

Bungeni
  • Na Asha Business
  • March 31, 2022

Rais wa Tunisia alivunja bunge.

Rais wa Tunisia Kais Saied Jumatano amelivunja bunge la nchi hiyo na kusema kwamba wabunge watafunguliwa mashtaka, akijiongezea mamlaka zaidi kwa kipindi cha miezi 8 na kuongeza zaidi mzozo wa k . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 29, 2022

Joto la kisiasa lapanda kuelekea uchaguzi wa urais Ufaransa

Nchini Ufaransa, kampeni za kisiasa zimeshika kasi, kuelekea Uchaguzi wa urais uliopangwa kufanyika Aprili 10, wakati huu kura za maoni zikionesha kuwa, rais Emmanuel Macron ana nafasi kubwa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Wakongwe wa vuguvugu la MauMau lililopigania uhuru wa Kenya, wamshtaki mahakamani Makamu rais William Ruto.

Wakongwe wa vuguvugu la MauMau lililopigania uhuru nchini Kenya, wamemshtaki Naibu Rais wa Kenya William Ruto katika mahakama kuu jijini Nairobi kwa kile wanachokitaja kuwa ni kuasi majukumu ya . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • March 23, 2022

Chama kikuu cha upinzani nchini Sudan Kusini chajiondoa kwenye mchakato wa kufuatilia utekelezaji wa makubaliano ya amani.

Chama kikuu cha upinzani nchini Sudan Kusini Jumanne kimesema kinajiondoa kwenye tume inayofualitia mchakato wa amani nchini humo, ikiwa pigo kwa taifa hilo linalotafuta uthabiti. Chama c . . .

vita
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Mtoto wa Museveni anaunga mkono uvamizi wa Urusi nchini Ukraine

Mtoto mwenye nguvu kiutawala wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Luteni Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ameelezea kuunga mkono uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.Jenerali Kainerugaba - ambaye ni kamanda . . .

Kitaifa
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

VIONGOZI EPUKENI MGONGANO WA MASLAHI MIRADI YA BARABARA

Wabunge wa mkoa wa Rukwa wameshauri viongozi kujiepusha na mgongano wa maslahi kwa kutofanya kazi za ukandarasi wa miradi ya barabara ndani ya mkoa huo ili watendaji wapate nafasi ya kusimamia mrad . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Shambulio kubwa latokea katika mkutano wa upinzani Zimbabwe

Mtu mmoja ameuawa na wengine 10 kujeruhiwa katika mapigano kwenye mkutano wa chama cha upinzani huko Kwekwe, katikati mwa Zimbabwe, Jumapili. Wafuasi wa Chama cha Wananchi (CCC) walivamiwa na kund . . .

Afrika
  • Na JZ The Brand
  • February 28, 2022

Shambulio kubwa latokea katika mkutano wa upinzani Zimbabwe

Mtu mmoja ameuawa na wengine 10 kujeruhiwa katika mapigano kwenye mkutano wa chama cha upinzani huko Kwekwe, katikati mwa Zimbabwe, Jumapili. Wafuasi wa Chama cha Wananchi (CCC) walivamiwa na kund . . .

Mahakamani
  • Na JZ The Brand
  • February 16, 2022

Hatma Kesi ya kina Mbowe kujulikana Ijumaa

 Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imesema Ijumaa Februari 18, 2022 itatoa uamuzi iwapo Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu wana kesi ya kujibu . . .

Kurasa 15 ya 17

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Top Stories
news
  • December 24, 2025

Miaka kumi ya Jembefm

Matukio
news
  • December 22, 2025

Ajiua kwa kujinyonga kwenye banda la mbuzi Manyara

Matukio
news
  • December 18, 2025

Polisi Morogoro wachunguza kifo dada wa kazi, magari kuchomwa moto Mvomero

Matukio
news
  • December 17, 2025

Mvua kubwa yaezua paa la nyumba Mtwara

Matukio
news
  • December 17, 2025

Maafisa uhamiaji 3 wahukumiwa kunyongwa mpaka kufa

Matukio
news
  • December 17, 2025

Uzembe ndiyo chanzo cha ajali iliyoua 5 Songwe

Matukio
news
  • December 16, 2025

RC Mhita akagua athari za mvua Shinyanga

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Yanga Yatangaza wito wa EOI Ujenzi wa Uwanja wa Kisasa Jijini Dar

    • 13 masaa yaliopita
  • Magari mabovu marufuku kubeba wanafunzi

    • 13 masaa yaliopita
  • Hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kisa mafuriko

    • 13 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode