logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Zote Za Kisiasa

  • Pata Habari Zote Za Kisiasa
Top Story
  • Na Suzuki
  • December 13, 2021

MOTO WA JPM HAUTAZIMIKA.

"Leo tunashiriki kama wabia kwenye uchimbaji wa rasilimali zetu muhimu na adhimu (mkadini) kwa ajili ya kuliletea maendeleo Taifa letu. Tunapaswa kujipongeza kwa hatua hii."Hatua ya safari hii sikuian . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 13, 2021

Msigwa asema kilichotokea nyumbani kwa Polepole hakikubaliki.

Anaandika Peter Msigwa baada ya Humphrey Polepole kuvamiwa na wasiojulikana nyumbani kwake Dodoma, "Kilichotokea nyumbani kwa polepole hakikubaliki hata kidogo, hawa wote waliohusika wakamatwe na . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 11, 2021

TEUZI LEO 11.12.2021

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Ali Idd Siwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasilia . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 10, 2021

FARU WA TANZANIA SASA RUKSA KUOA KENYA.

Wakati Tanzania ikiipatia Kenya ndege aina ya Korongo 20 kama zawadi ya Kristimas, Kenya imekubali Faru wa Tanzania waoe Kenya.Ndege 20 waliotolewa kwa Kenya kutaifanya nchi hiyo kuwa na ndege hao 32 . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 10, 2021

Mhe. Samia Suluhu Hassan, na mgeni wake Mhe. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Ikulu Jijini Dar es Salaam leo .

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, na mgeni wake Mhe. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya wakiwa katika picha yenye waasisi wa Mataifa mawili Tanzania na Kenya Hayati Mwalim Ju . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 9, 2021

Pato kwa Mtu kwa Mwaka 1961 lilikuwa Tsh .776

"Wastani wa Pato kwa Mtu kwa Mwaka 1961 lilikuwa Tsh .776 na kwa mwaka jana 2020 ni Tsh milioni 2.6 jambo hili linaongeza hadhi yetu machoni mwa Jumuiya za Kimataifa na kutuondolea unyonge na unyanyap . . .

Mahakamani
  • Na Jembefmtz
  • December 8, 2021

Lissu afutiwa kesi za uchochezi, atoa masharti kurejea

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na Mahakama, wamefuta kesi zote za uchochezi zilizokuwa zikimkabili Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, Dar e . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 8, 2021

RC Homera apiga ‘stop’ likizo watumishi wa Serikali Mbeya

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (RC), Juma Homera amefuta likizo kwa watumishi wote wa Serikali mkoa huo ambao idara zao zinahusika na ujenzi wa miradi ya miundombinu ya ujenzi wa vyumba  vya madarasa  . . .

Mahakamani
  • Na Jembefmtz
  • December 6, 2021

Mahakama yatupilia mbali ombi la kukamatwa shahidi kesi ya Sabaya

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imetupilia mbali ombi la kutoa hati ya kukamatwa shahidi wa 10 wa Jamhuri, Francis Mroso baada ya ombi hilo kutokidhi matakwa ya kisheria.Desemba Mosi, 2921 Wakili wa u . . .

Mahakamani
  • Na Jembefmtz
  • December 6, 2021

Kesi inayomkabiri Mbowe na wenzake kuanza na kiporo cha mapingamizi

Dar es Salaam. Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu wanaokabiliwa na mashtaka ya ugaidi kesho inatarajia kuendelea kuunguruma baada ya mapumziko y . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 6, 2021

Prof. Adelardus Lubango Kilangi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Brazil.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,akimuapisha Prof. Adelardus Lubango Kilangi kuwa Balozi wa Tanzania Nchini Brazil leo tarehe 06 Desemba, 2021 Ikulu Jijini Dar es Salaa . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 5, 2021

TRUTH SOCIAL YA DONALD TRUMP KUANZA MAPEMA 2022

Taasisi ya habari na teknolojia ya Trump inatarajia kuzindua programu hiyo ya mitandao ya kijamii uitwayo Truth Social mapema mwaka ujao.Haya yanajiri wakati Bw Trump akiwa amepigwa marufuku kutoka kw . . .

Mahakamani
  • Na Jembefmtz
  • December 3, 2021

KESI YA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA DAR ES SALAAM, PAUL MAKONDA YATUPILIWA MBALI

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni jijini Dar es Salaam, hii leo imetupilia mbali kesi iliyokuwa ikimkabili aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutokana na mapungufu ya kisheria.Uamu . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 2, 2021

SHAHIDI AKAMATWE KWA KUTOA RUSHWA - KESI YA SABAYA

Hoja ya kumkamata Mrosso imeibuliwa na Wakili Msomi Fridolin Bwemelo ambapo amesema inafikirisha kuona aliyetoa rushwa yupo huru uraiani huku wanaoshtakiwa kwa kutoa rushwa wapo mahabusu.Wakili Bwemel . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • November 30, 2021

Rais wa Jamuhuli ya muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan afungua mipaka ya kibiashara kati ya Tanzania na Uganda.

Rais wa Jamuhuli ya muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan afungua mipaka ya kibiashara kati ya Tanzania na Uganda. Huku akiwataka mawaziri wa tume ya ushirikiano wa pande zote mbili upande wa . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • November 29, 2021

Rais wa Afrika kusini Cyril Ramaphosa ametoa wito kwa Nchi za Ulaya na Marekani kuondoa vikwazo vya safari kwa Mataifa ya Kusini mwa Afrika

Rais Afrika wa Afrika kusini. Cyril Ramaphosa ametoa wito kwa Nchi za Ulaya na Marekani kuondoa vikwazo vya safari kwa Mataifa ya Kusini mwa Afrika yaliyobainika kuwa na aina mpya ya Virusi vya Corona . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • November 28, 2021

Rais wa Uganda Mh. Yoweri Kaguta Museveni afanya mazungumzo na Mh. Samia Suluhu Hassan.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Ujumbe wa Tanzania katika mazungumzo Rasmi na Ujumbe wa Uganda ulioongozwa na Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni kati . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • November 28, 2021

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan afanya uteuzi Viongozi mbalimbali

. . .

Kurasa 15 ya 15

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Matukio
news
  • 14 masaa yaliopita

Wimbi la ghasia lazuka Embu biashara za mamilioni ya pesa zikichomwa

Matukio
news
  • 14 masaa yaliopita

Watu 40 wapoteza maisha Darfur

Top Stories
news
  • 16 masaa yaliopita

Atupwa Jela Kwa Kuwatapeli Wanawake Wanne Kwa Njia Ya Mapenzi

Top Stories
news
  • 19 masaa yaliopita

Rais wa Marekani amtaka Putin kusitisha mapigano

Top Stories
news
  • 20 masaa yaliopita

Aliyekuwa Waziri wa Sheria wa Kongo kutumikia miaka 10 jera

Top Stories
news
  • 21 masaa yaliopita

Jera maisha kwa kumlawiti mwanafunzi wa miaka minne

Top Stories
news
  • 2 siku zilizopita

Maelezo ya mashahidi wa Lissu kusomwa August 18

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Wimbi la ghasia lazuka Embu biashara za mamilioni ya pesa zikichomwa

    • 14 masaa yaliopita
  • Juba yakanusha kuwapokea Wapalestina

    • 14 masaa yaliopita
  • Watu 40 wapoteza maisha Darfur

    • 14 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode