logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Matukio

  • Pata Habari za Matukio Mbalimbali
Siasa
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Takriban magaidi 60 wauwawa Burkina Faso

Takriban magaidi 60 wameuwawa nchini Burkina Faso na vikosi vya ndani vikisaidiwa na vile vya Ufaransa vilivyo pelekwa nchini humo kwa mujibu wa taarifa ya jeshi la Ufaransa. Taarifa ya . . .

Mahakamani
  • Na Asha Business
  • January 30, 2022

Mahakama ya DRC yawahukumu kifo watu 51 kwa mauaji ya wataalam wa Umoja wa Mataifa

Mahakama ya kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imewahukumu adhabu ya kifo watuhumiwa 51 waliokabiliwa na kesi ya mauaji ya wataalamu wawili wa Umoja wa Mataifa waliouawa mwaka 2017.Id . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • January 30, 2022

Marufuku wajawazito kutozwa fedha hospitalini

Waziri Ummy ametoa kauli hiyo jijini Tanga mara baada ya kutembelea kituo cha afya cha Makorora na kujionea hali ya utoaji huduma.“Naomba nisisitize hili si hapa tu bali ni nchi nzima, acheni ta . . .

Afya
  • Na Gsengo
  • January 27, 2022

RAIS SAMIA AWATAJA WANAOMTULIZA UBONGO WAKE.

 @Jembefmtz . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 26, 2022

MZEE MIAKA 55 AFIA GESTI AKIFANYA MAPENZI NA BINTI WA MIAKA 25.

Polisi wameanzisha uchunguzi katika kisa ambacho mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 55, amefariki katika chumba cha hoteli nchini Kenya, baada ya kufurahia burudani ya tendo la ndoa kati yake na mwan . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 23, 2022

Watu Watano wa Familia Moja Wauawa Dodoma

Watu watano wa familia moja wamekutwa wakiwa wameuawa nyumbani kwao eneo la Zanka wilayani Bahi mkoani Dodoma.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Onesmo Lyanga amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.Mkuu . . .

Dini
  • Na Asha Business
  • January 21, 2022

'Mchungaji' akamatwa baada ya watu wenye ulemavu kupatikana wamefungiwa katika nyumba yake

Mchungaji mmoja na mkewe wamekamatwa kwa madai ya kuwafungia walemavu katika eneo la chini la nyumba yao.Maafisa wa polisi wanasema kwamba Curtis Keith Bankston , 55, na mkewe walikuwa wakiendesh . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • January 20, 2022

WAZIRI MKUU WA UINGEREZA ASEMA HATOJIUZULU

  Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson anayepigania kuinusuru kazi yake baada kufanya sherehe za kunywa pombe ofisini na makazi yake ya Downing Street kipindi nchi ilipokuwa imefungwa ku . . .

Top Story
  • Na JZ The Brand
  • January 20, 2022

KUUNGUA KWA SOKO LA MITUMBA JIJINI DAR ES SALAAM

             Rais Samia Suluhu ametuma salamu za pole kwa wafanyabiashara wote wa soko la mitumba la Karume jijini Dar-es-salaam nchini Tanz . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • January 18, 2022

AJINYONGA JUU YA GOLI

Tyson Kilasi (32), Mkazi wa Kijiji cha Mawindi Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe, amekutwa amefariki kwa kujinyonga kwenye goli la kuchezea mpira wa miguu wa kijiji hicho huku pemb . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • January 10, 2022

BINTI ADAIWA KUMUUA MAMA ILI ARITHI MALI

Ikiwa zimepita siku kadhaa tangu litokee tukio la kijana mmoja jijini Arusha kumuua mama yake mzazi kwa tamaa ya mali, limeibuka tukio lingine la kinyama mkoani Kilimanjaro katika Manispaa ya Moshi.In . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Mapigano ya Wakulima, Wafungaji Malinyi Yachafua Hali ya Hewa

JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro, limesema wafugaji ambao walikimbia makazi yao kutokana na mapigano yaliyoibuka kati yao na wakulima katika Kijiji cha Itete wilayani Malinyi wamerejea baada ya h . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Mwanamke mwingine akutwa amekufa Arusha

Mwanamke mwingine mkazi wa Njiro jijini Arusha, Janerose Dewasi (66) amekutwa amefariki dunia nyumbani kwake baada ya kupigwa na kitu chenye ncha kali.Tukio hilo limetokea siku chache baada ya mfanyab . . .

Top Story
  • Na Gsengo
  • December 29, 2021

Aliyejenga kaburi barabarani apewa siku 45 kuliondoa

 Baraza la Ardhi la Kata ya King’ori wilayani Arumeru Mkoa wa Arusha, limemtaka mkazi wa kijiji cha King’ori, John Peter Nanyaro anayedaiwa kujenga kaburi katikati ya barabara kuliondoa ndani . . .

Jamii
  • Na Jembefmtz
  • December 27, 2021

Kenya: Baba Aua Mwanaye Kwa Kumsumbua Usingizini

Wapelelezi kutoka Idara ya Makosa ya Jinai (DCI) wamefichua kwamba wamemkamata mzee wa miaka 73, James Tarus, kwa kumuua mwanae.Kijana huyo ambaye alikuwa mlevi alielekea chumbani kwa baba yake na kuj . . .

Dini
  • Na Jembefmtz
  • December 27, 2021

WATANZANIA WAASWA KUILINDA AMANI YA NCHI YAO

Mufti Mkuu wa Tanzania shehe Abubakari Zuberi amewatahadharisha watanzania kuilinda amani ya nchi yetu kwamba ikiondoka kuirudisha itachukua muda mrefu.Amesema hayo katika Maulidi ya kumswalia mtume i . . .

Jamii
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Makaburi takriban 200 kuhamishwa Vingunguti kupisha athari za mto

Baada ya miaka mitatu tangu baadhi ya makaburi ya Vingunguti, jijini Dar es Salaam kusombwa na maji ya Mto Msimbazi, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imekuja na mpango wa kuyahamisha yaliyosalia k . . .

Teknolojia
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Kamera mpya ya utafiti wa anga za juu yarushwa kutoka French Guiana

Kamera ya James Webb Space ya NASA, iliyotengenezwa kuiwezesha dunia kufahamu ulimwengu ulivyokuwa wakati sayari za kwanza zilipopatikana, ilizinduliwa kwa njia ya roketi mapema Jumamosi kutoka pwani . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Aliyelala Kitandani Mbeya Ajikuta Ameamkia Masasi Juu ya mti

SAILI Juma (27) mkazi wa Mbeya ambaye mapema wiki hii alilala kitandani nyumbani kwao Mbeya na ghafla akaamkia juu ya mti Masasi mkoani Mtwara akiwa amelala fofo, amesafirishwa kurejea Mbeya. Jum . . .

Afya
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

WATATU WAZALIWA MKESHA WA KRISMASI HOSPITALI YA RUFAA MKOA WA SHINYANGA

Jumla ya watoto watatu wa kiume wamezaliwa katika mkesha wa Krismasi katika Hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Shinyanga wakiwa salama wenye afya njema.Akizungumza afisa muuguzi msaidizi kiongozi wa wodi y . . .

Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

TAARIFA YA KUFARIKI KWA ALIYEKUWA ASKOFU MKUU WA KANISA LA TAG

. . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 23, 2021

MBUNGE AFICHA MAGONGO YA MWENZAKE NCHINI KENYA

Katika hali ya kushanganza Mbunge mmoja wa jimbo la Embakasi Mashariki nchini Kenya aliyefahamika kwa jina Babu Owino amezua taharuki bungeni baada ya kuficha magongo ya kutembelea ya mbunge mwenzake . . .

Top Story
  • Na Suzuki
  • December 14, 2021

Ajali ya Iringa Waliofariki wafika kumi.

Idadi ya watu waliofariki kwenye ajali iliyotokea jana katika eneo la Lungumba Kata ya Mahenge karibu na mlima Kitonga mkoani Iringa imeongezeka na kufikia kumi.Majeruhi mmoja kati ya watatu waliotoka . . .

Jamii
  • Na Suzuki
  • December 8, 2021

AJIUA BAADA YA MCHEPUKO WAKE KUULIWA NA MUMEWE WAKATI WA FUMANIZI.

Watu wawili wamefariki akiwemo kijana aliyeuawa kwa kukatwa na panga baada ya kufumaniwa na mke wa mtu kilimanjaro. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema jana kuwa mwanamke aliye . . .

Kurasa 55 ya 56

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Unaweza Kupenda Hizi
Habari
news
  • 8 masaa yaliopita

China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

Habari
news
  • 8 masaa yaliopita

Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

Habari
news
  • 8 masaa yaliopita

Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

Habari
news
  • 8 masaa yaliopita

Uhamiaji Simiyu yaendelea na jitihada za kudhibiti Wahamiaji haramu

Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

Serikali kufuatilia Makala ya CNN kuhusu maandamano ya uchaguzi oktoba 29

Habari
news
  • 9 masaa yaliopita

Dkt, Samia anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi siku mbili mkoani Arusha

Habari
news
  • 10 masaa yaliopita

Kesi ya 3 yawasilishwa kupinga ujenzi wa Chuo Kikuu cha Nyamira

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • China imesaini makubaliano ya kufufua mradi wa TAZARA

    • 8 masaa yaliopita
  • Wanafunzi 52 watekwa na watu waliojihami kwa silaha Nigeria

    • 8 masaa yaliopita
  • Waziri Mkuu aagiza mkandarasi kukamatwa na kuzuia hati yake

    • 8 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode